Asante sana kwakumbukizi hii,M/Mungu ampumzishe kwa amani,Amina.
@kastulideemay67213 жыл бұрын
Ee mwenyenzi Mungu takasa madhaifu ya mtumishi wako mwl Julius Kambarage Nyerere ili katika hayo na yale mema ambayo mtumishi wako ameyatenda tusimame nayo sisi wanao mbele yako kama wajukuu wake tuseme kwa pamoja Mungu Amtakase. Amina
@chrishara15903 жыл бұрын
Thanks so much from Nairobi. Unforgettable Mwalimu. A servant of God says the Catholic church. A humble servant of Africa who liberated the whole of Southern Africa and welcomed millions of refugees.
@augustinekisapi2883 жыл бұрын
Asante sanaa ,tunaomba na ya mazishi
@josephlango55913 жыл бұрын
Mungu ampe heri za milele Mtumishi wake, Mwl. Nyerere. Daima atabaki kama shujaa wa imani, na kiongozi wa mfano vizazi na vizazi
@ephremmtuya30942 жыл бұрын
ilikuwa humilia nzuri sana na yenye uhalisia wa maisha ya Mwalimu , alifanya mengi kwa maslahi ya wengi hata shule za wakatoliki alilipatia taifa ziwe za wote
@josephnshimba35663 жыл бұрын
Asante Sana kwa hili kumbukumbu, kadinali Pengo alizungumza kwa kujiamini Sana, tena alikuwa na nguvu kipindi hicho
@gregoryndabigeze65423 жыл бұрын
Nasikia nguvu ya Mungu ndani yangu nikisikia homilia ya kardinal
@rynerlinuma84843 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba wa Taifa letu. Amina
@didasmwaya11682 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere
@rynerlinuma84843 жыл бұрын
Mama Maria Nyerere nae alikuwa bado strong kwa kweli
@emmanuelyoabu3400 Жыл бұрын
Kweli baba Pengo ulisema vyema sana
@rynerlinuma84843 жыл бұрын
Cardinal kwa kweli alikuwa very strong
@helencyprian87453 жыл бұрын
Sana dhaaa!
@upendokaaya3722 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mpendwa wetu na baba wa taifa letu Mwl Julius Nyerere.
@martinmwasubila87623 жыл бұрын
Upumzike ktk amani ya Kristo Mfufuka mbinguni MTUMISHI WA MUNGU mwl. J. NYERERE
@paulkasonso7972 жыл бұрын
God bless you 🙏
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
Homilia hii itaishi milele.
@onesmomassawe62302 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Mwalimu Raisi Julius Kambarage Nyerere
@rynerlinuma84843 жыл бұрын
Ikiwezekana Jugo Media siku ifaayo mtuwekee Homilia ya Cardinal siku ya Mazishi ya Hayati Askofu Anthony Mayala
@r14kgroup683 жыл бұрын
Kweli
@TheophilRomward-FBAttorneys6 ай бұрын
Ipo. Type tu Anthony Mayala itakuja. Very strong pia.