Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa salaam za mwaka mpya tarehe 31 Desemba, 2023.
Пікірлер: 14
@DanielYohana-mt3bi6 ай бұрын
Our national our present lovely u mom.mimi nakukubali sana mama
@user-xp6kc1mx2i7 ай бұрын
Hongera sana rais wetu wa Tanzania Mh Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuriiii kwa taifa letu, Mungu ibariki Tanzania ❤
@levispaultitus86237 ай бұрын
Hongera kwa uongozi wako Mungu akuwezeshe kwa majukumu bora ya kujenga taifa letu❤
@jaywi56816 ай бұрын
Ni kweli 2023 ulikuwa Mwaka wa Mageuzi. Tunakutegemea sana Mhe. Rais katika kutimiza matakwa ya Utekelezaji wa Mageuzi hayo Mwaka huu 2024. Amiin
@obadiazabroni65186 ай бұрын
Kongore kwako mama,wakulima tunakutegemea sana
@OmmyJames-xn7ji7 ай бұрын
KUDOS TO MAMA WE❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@feiswalsalim2117Ай бұрын
um plz pthooreshaa ulifanikiwa kilimo nganii
@alialamoudi97296 ай бұрын
Hongera kwa kupata raisi kama huyo NA hongera kwa wazazi wake walimlea heshma uaminifu NA akili NA anajiamini NA hijabu yake imempendeza hio ndio mafunzo ya kiislaam kweli anajua anaye fanya mungu ampe janat alfrdaus NA kila mtu atazungumza NA mungu wake na ataulizwa kwa umry wake mali yake dini yake NA makosa yake
@feiswalsalim2117Ай бұрын
m hizoo helee za subuu school vola ship ulixitosa lwa mfuko ngani ndio hataukiondoka upatee kuendelea
@bodyaman6 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@seif34016 ай бұрын
Unawekeza Mali za bara unaijenga zanzibar
@amabilis-mariesangu95006 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡
@clarencehilary55886 ай бұрын
Hotuba yako haitusaidii kabisa tanganyika yetu kwanza na bandari yetu turudishie