MAONGEZI YA ANA KWA ANA KATI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA TIDO MHANDO

  Рет қаралды 740,423

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

Maongezi ya ana kwa ana kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando.
#AzamTVUpdates #RaisSamiaNaTidoMhando #RaisSamia #TidoMhando #TidoMhandoIkulu

Пікірлер: 1 000
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
Maongezi yamekuwa mazuri sana hongera sana ndugu Tido Mhando kwa kuendelea kuweka historia nzuri ya kufanya mahojiano mazuri na viongozi wakuu wa nchi
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 жыл бұрын
Evarist mrope Umeongea point sana ndugu 💪
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
@@boniphacewambura1427 asante sana kaka
@johnsonndegwa5945
@johnsonndegwa5945 3 ай бұрын
Quite good kwa president Samia suluhu president Tanzania you're fearfully beautifully and wonderfully made by God's favor and grace
@mansouraltamim
@mansouraltamim 2 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan umefanya interview nzuri na umejibu masuali yote vizuri na kwa hekima kubwa sanaa. Mungu akulinde sana mama kila la kheir katika kujenga nchi yetu. Hongera snaa Mr. Tido Muhando kwa interview nzuri.
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 2 жыл бұрын
We need more journalists like you Tido, people who can ask difficult questions fearlessly. Well done Azam TV Hongera mama yetu! Well done with the Russia-Ukraine war that was a smart move indeed. Tunakuombea Mungu akutie nguvu uiongoze nchi yetu kwa uweledi mkubwa. May God protect you always. Hurray Tanzania 🇹🇿
@moa4122
@moa4122 2 жыл бұрын
Ameen Allahuma Ameen
@werun.1674
@werun.1674 2 жыл бұрын
That Mama Samia is granting this kind of interview without pre-determined questions, going by the kind of questions asked is exemplary. Tanzania is in good hands.
@nyandwiomar7683
@nyandwiomar7683 2 жыл бұрын
. X;c,,
@philojia2744
@philojia2744 2 жыл бұрын
Hongera mama samia kwa kazi nzuri mungu akujalie kuongoza nchi hii
@juliuskavumo1937
@juliuskavumo1937 2 жыл бұрын
@prospermagali
@prospermagali 2 жыл бұрын
Mahojiano bora kabisa. Asante Azam, Asante Tido kwa kuuliza maswali yote muhimu...
@ziadiibrahim4665
@ziadiibrahim4665 2 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu watanzania.wabariki viongozi wetu, wabariki pia Azam TV
@rizikally7594
@rizikally7594 2 жыл бұрын
Kila la kheri mama yetu Allah akupe afya njema na akuzidishie hekma na imani, tunakuamini sana
@user-gj2il6fo4t
@user-gj2il6fo4t 3 ай бұрын
Mama endelea kuchapa kazi zaidi❤❤❤❤Tunakipenda,kujali na kuthamini. Juhudi unaifanya kwa kla sekta ili wananchi wanufaike . M.Mungu skype afya na umri mrefu pia kukuengezea hekima,ubunifu upole na huruma kwa wananchi wake.❤❤❤❤ Chapa kazi Kuheshimiwa Rais Samia.
@salumali9312
@salumali9312 2 жыл бұрын
Hongera Azam lakini hongera zaidi Mama yetu mpenzi. Wazanzibari tunajiproud sana. Kwa hakika unatuwakilisha vizuri sana. Allah akupe kheri na baraka nyingi.
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 2 жыл бұрын
Tido the Best Journalist 👍👍👍
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah, Mwenyezi Mungu akupe nguvu InshaAllah Amina Thumma Amina
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Du! Excellent Mr. Tido Muhando, Hawa ndio wabobezi wa Habari. Nimependa jinsi alivyoonza haya mahojiano. Jamaa lonajua.
@venantrugabela6798
@venantrugabela6798 2 жыл бұрын
Zamani Tiddo hakuwa hivi. Enzi akiwa BBC. Mtu angetoka jasho kila mahali
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 жыл бұрын
Ninakubaliana na wewe kuhusu hili. Ila kwa nini mama alivyo compare Tanzania na United States of America Tido hakumuambia mama kuwa do not compare United States of America na Tanzania. Hapo ndipo Tido alipokosea. Tanzania yetu 99% ni maskini. Mama huyu anatukosea sana! Watanzania.
@rosebudkurwijila1092
@rosebudkurwijila1092 2 жыл бұрын
Well done Madame President. Very informative. Hongera Tido, maongezi mazuri sana
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 жыл бұрын
Hongera Mhe. Rais niseme kwa mara ya kwanza na mm unaupiga mwingi. Tido Muhando wewe ni bonge la journalist na wengine waige kwako. Wewe ni mfano wa kuigwa
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
Mama Maneno machache kazi kubwa.ingefaa huo msemo utumike maana kwa aliemgundua mama anachapa kazi kubwa sana ila kimyakimya.welldone mama❤❤
@charleshaule4008
@charleshaule4008 2 жыл бұрын
This is one among best production ever in Tanzania. Tido Mhando composed himself so well. Mama Samia's scope of knowledge and response skills towards challenging questions has been so high. I rate the whole thing GOLD medal as far as my journalism experience is concern.
@victormahimbo
@victormahimbo 2 жыл бұрын
Brother Tido umeupiga mwingi. Classic interview. Bado nakumbuka kazi yako nzuri RTD miaka ya 1970s ukiwa na fundi wako wa mitambo James Mhilu.
@doramalisa2061
@doramalisa2061 2 жыл бұрын
Hongera sana mama, Kuna tatizo kwenye viwango vya ajali, ni changamoto kubwa Kuna vile kama miaka miwili imepita Hali ilikua shwari,
@salimamoshi619
@salimamoshi619 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka yangu Tido Mhando Kweli wewe ni gwiji Sijachoka naomba uwahoji viongozi wote from USA
@abuumatingasi1332
@abuumatingasi1332 2 жыл бұрын
Mama samia unatisha unaridhisha kwa majibu yako mm nimeshiba
@asilasaidsalim6138
@asilasaidsalim6138 2 ай бұрын
Jaman mama kasha choka kuongea mpumzishe kwanza yuko taaban
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 4 ай бұрын
Mnimeipenda sana hii interview mashaalah mama Samia hodari kujibu maswali
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 2 жыл бұрын
It was a nice conversation between our president mama Samia suluhu Hassan and Tido mhando great responses indeed bravo madam president
@mbwanakassim418
@mbwanakassim418 2 жыл бұрын
I am proud of my president,anajibu maswali kiufasaha,nikiongozi mwenye taarifa ya kila sekta ya uchumi,anatoa majibu sahihi kwa swali sahihi,anaeleza ukweli bila kupepesa ,ni jambo zuri sana wananchi tunapopata taarifa sahihi kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi,bravo mama Samia. Tido you are the best interviewer,relaxed and asking the right questions with discipline and integrity.
@waihura2039
@waihura2039 2 жыл бұрын
Good interview right there Tido. Me like that Mama. Kazi mzuri
@driftdumper8927
@driftdumper8927 2 жыл бұрын
Very humble mama! I hate ccm with all my heart but this Woman give me hope! Lets Go we trust you!! Tuongoze kwa haki sisi kazi tutafanya!!
@mitchellyt4649
@mitchellyt4649 2 жыл бұрын
Good interview atasijutii kumaliza bundle langu.. Mungu tulindie amani yetu
@raboymziki336
@raboymziki336 2 жыл бұрын
Kama unamuelewa Tido gonga like!!
@philiposimioni2854
@philiposimioni2854 2 жыл бұрын
Asante sana mweshimiwa raisi kwa kuwaelezea uma kwa mahojiano mazuri na ndg tido
@mercynadia3140
@mercynadia3140 2 жыл бұрын
Waandishi wa habari kwa mtini jifunzeni, hongera sana Tido Mhando aisee this is the powerful interview ,
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 жыл бұрын
Hongera sana Mama kwa majibu mazuri kwa mwandishi m'bobezi Tido Mhando. Tanzania tunakuhitaji sana. Hakika nchi inahitaji katiba ibadilishwe ili Rais Mama Samia atawale kama alivyotutawala Rais wa kwanza hayati Maalim Julias Nyeyere.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Kwa kweli haya mahojiano ni ya standard ya hali ya juu sana. Mazingira, hadhira mpaka ujumbe wenyewe. Waandishi wa habari wengine wajitahidi kuiga kwa Mh Tido Mhando, Mama Samia tunakushukuru kwa jitihada zako za kukuza nchi yetu, tunakuombea sana
@revocatuspaschael7177
@revocatuspaschael7177 Жыл бұрын
Hongera sana mama tunaimani sana nawe
@magandajumanne8493
@magandajumanne8493 7 ай бұрын
😊😊
@mbekurelaon8820
@mbekurelaon8820 Жыл бұрын
Hongera Azam tv kwa mahojiano haya ya moja kwa moja na Rais Mmechagua gwiji wa habari hongera Mheshimiwa Tido Mhando Lakini kuna kazi inafanywa na watu wanao mwakilisha Rais Ngorongoro na Loliondo hatuamini Kama ni mama ndio amewagiza waje kutuonea Tunalia kwa sababu damu zilizomwagwa tukinyang'wa ardhi yetu Watumishi wanachonganisha wananchi na serikali ya Mama Samia
@harrietmalesi4222
@harrietmalesi4222 2 жыл бұрын
We thank God Mrs president You work is promising be blessed so much we are proud of you mother Care
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 жыл бұрын
Mzee Tido wewe ni gwiji wa habari. Hongera sana, mawali yako yanamsingi sana.
@deogratiasmacha7646
@deogratiasmacha7646 2 жыл бұрын
Mzee Tido na kukubali sana Tokea Radio Tanzania hadi Leo,nimependa sana haya Maojiano yako na Rais Samia ni yaubunifu wa hali ya juu,Unaviwango vya hali ya juu kimataifa zaidi.
@habibndyeshobora6848
@habibndyeshobora6848 2 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana,na umenikosha zaidi kwa kuonyesha kiwango cha halo ya juu ,ya kujiamini na kuonyesha kiwango cha juu cha akili,kuchuja ,tafakuri, response of abrupt questions !!!!!! Congratulations Madame President !!!!!!!!!!!!
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
Tido Mhando unamuuliza maswali mazuri,rushwa,madawa kulevya,anachenga sana
@binurusm8886
@binurusm8886 2 жыл бұрын
Mama, Binafsi Nakupongeza sana, Mwenyezi Mungu atakuinua na Kukulinda daima, URaisi wako Ni Mpango wa Mungu, Hukujaza fomu Kuomba URais, Mungu Ibariki Tanzania Yetu, Aamina.
@ismailally7212
@ismailally7212 2 жыл бұрын
Thank u mamaa
@dibamohamed6885
@dibamohamed6885 2 жыл бұрын
This is brilliant. Hard hitting questions and Mama answeres were impeccable and vivid. When our neighbours prosper we prosper..Wish her all the best inshaAllah
@doricemalisa5712
@doricemalisa5712 2 жыл бұрын
Mungu atakusaidia tu Rais wetu ,utafanikiwa kwa kila jambo ninakuombea sana kila siku
@ruispeter7706
@ruispeter7706 2 жыл бұрын
Interview nzuri imetulia hongera sana Azam hongera Mzee Tido I get more
@nazraseiban1082
@nazraseiban1082 2 жыл бұрын
An exceptional interview...congrats to Mama samia and not forgetting Bw. Tido ! Keep it up mama Samia u make us proud🥰
@Fefetubes
@Fefetubes 2 жыл бұрын
Mama we love you KUMBE WALIKUWA WANATUPOTOSHA HAWA KENGE
@maigajohn5828
@maigajohn5828 6 ай бұрын
Mzee Tido hongera sana kwa interview huko vizuri sana hongera sana mtani
@mizingayaudongo1097
@mizingayaudongo1097 3 ай бұрын
Excellent !
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 2 жыл бұрын
Mungu baba mrehemu hayati John Joseph Magufuri kwa mzuri aliyotufanyia katika Taifa letu Tanzania kuhakikisha zoezi zima la kuhamia Ikulu ya Dodoma zoezi lililokua linapigwa danadana kwa miaka mingi lkn kimbe wako alihakikisha linatimia km alivyotangaza baba wa Taifa JK Nyerere. Tazama mandhali ya Ikulu Dodoma inavyopendeza Tanzania nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mbimbikabanyanga6161
@mbimbikabanyanga6161 2 жыл бұрын
Kila nyumba /Kila familia inalia hali wanatamani mama samia ajiuzuru.Lakini hapa live wanamsifia mama kaupiga mwingi.Hii ndo tanzania yetu tunasifia kitu ukiludi nyumbani unasema hali ngum kila kitu kimepanda bei.
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 жыл бұрын
Dah!! Nilijua atamtaja na ku appreciate kazi aliyoifanya katika hili.😭😭
@yusufhemedyusuf3021
@yusufhemedyusuf3021 2 жыл бұрын
@@mbimbikabanyanga6161 wasukuma mnalia sasa coz sukuma gang limepigwa chini. Walio wengi waliteseka na huyo dikteta mwendazake. Nchi imepoa sasa.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@pulikisia7963 Hiyo sio ya Magufuli ni ya Nyerere... CHAMWINO ni Nyerere na si Magufuli!
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Haijajengwa na Magufuli hiyo. CHAMWINO ni Nyerere ndiye mjenzi wake! Ilijengwa tangu miaka ya 70.
@peterswai391
@peterswai391 2 жыл бұрын
Hongera Mhe Raisi Samia Suluhu hassan , God bless more,
@annarathanthony5801
@annarathanthony5801 Жыл бұрын
Asante sana mama kwa kutuelewesha kama hivi nasi tunakuwa na Imani nawe pamoja na Uongozi wako kwa wananchi unaotuongoza mungu akupe moyo huo ukweli umeweka mtu huru kwa kimaadili
@user-tp8fq9mb8e
@user-tp8fq9mb8e Ай бұрын
Dear Mrs Samia Suluhu Hassan and as a politician, men and women from Africa especially East Africa where I come from, we ask us as young men and women.us and the next generation and the present generation not to just look away. I thank you very much and look forward to our positive unity East Africa from Somali capital Mogadishu Thank you family and friends we are one family and we must stay together work and help one another we Love africa ❤
@ephremmalley153
@ephremmalley153 2 жыл бұрын
One of the best interviews in our country which has rightly taken into account most areas of tanzanians' lives indiscriminately. I think this is due to a compitent journalist on one side and indisputably due to a good President who who is really determined to take our country a higher and better level. May God bless you Tido and mama Samia!
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 2 жыл бұрын
She’s a clown.
@doriteliapendoglorious1843
@doriteliapendoglorious1843 2 жыл бұрын
Delighted that such conversations are held. Well done Hon. SSH, Well done Azam TV!
@mwalimuseraphinokeywerah3871
@mwalimuseraphinokeywerah3871 2 жыл бұрын
Namwomba Mama Samia awe anaita mikutano mbalimbali kila baada ya miezi mitatu awe anaelezea haya aliyomweleza Tido hapa. Watanzania wote wasikie. Mawazo yake ni MAZURI SANA. Asipohutubia Watanzania watakuwepo watu wengi tu wanamsema bila kujua haya mawazo aliyonayo
@paterinomlowe8317
@paterinomlowe8317 2 жыл бұрын
Mama mungu akulinde upo vzr ukweli unaishi you answer is philosophical
@user-hp1le5wd6l
@user-hp1le5wd6l 2 ай бұрын
Thanks your excellence for thy standard elaboration on our development
@shafiiabdallah1347
@shafiiabdallah1347 2 жыл бұрын
AMEKUA mkweli sana raisi amekua wazi kwa kila kitu hongera sana kwakutuambia kila kitu mungu akulinde na akupe nguvu
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Our president is very intelligent, we are proud of her, she knows what she is exactly doing, she will lift our nation somewhere higher than here.Congratulations madam president we are behind you.
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 2 жыл бұрын
Mafuta na chakula vikipanda bei na mishahara izidi
@sweetbertmaghali309
@sweetbertmaghali309 2 жыл бұрын
Mama uko vizuri tunazidi kukuombea.kwa Mola azidi kukulinda.Waangalie kwa jicho la huruma wastaafu.
@joachimmbosha5796
@joachimmbosha5796 2 жыл бұрын
Hongera mh rais wetu, Mungu akujalie nguvu kutimiza majukumu ya Ujenzi wa. Taifa letu,,unandoto njema kwa watanzania.
@kasaisatv9765
@kasaisatv9765 2 жыл бұрын
Mahojiano bora kabisa. Hongera mama! Hii ndio maana ya uhuru wa vyombo vya habari. Hongera Tido kwa umahiri katika kazi yako.
@jeremiahmaina1764
@jeremiahmaina1764 Жыл бұрын
Rushwa imeongezeka maradufu has polisi
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 2 жыл бұрын
"Mguu wa kwenda Mtume kauombea"
@harunamaboyi8937
@harunamaboyi8937 2 жыл бұрын
Honge raisi wetu wa afrika hongera sana
@danmtuli9484
@danmtuli9484 2 жыл бұрын
Dunstan Tido mhando, one of my best Swahili speakers, used to like one of your shows in Kenya 🇰🇪 “ ulimwengu wa bwana reddy kilowatts “ baadaye akiwa mkuu wa idhaa ya BBC, great interview with mama Samia🇹🇿
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 жыл бұрын
Our lady was prepared as a leader. Shez has all the details of many sectors in our country. Great information which are on point and briefly insightful. She needs contest for this seat by the Will of God. Congrats mama Samia bindi yake Suluhu wa Hassan.
@willewairaqwillewairaq2353
@willewairaqwillewairaq2353 2 жыл бұрын
Mama yupo vizur🇹🇿 tanzania lazima isonge👏👏👏👏👏
@Hassan_Mengi
@Hassan_Mengi 2 жыл бұрын
Safi sana mama, unajibu vzr sana na uongozi unaujua… keep it up.
@bashirjabir6351
@bashirjabir6351 2 жыл бұрын
Mama samia suruhu hassan mimi binafsi nakushuru sana kwa majb mazuri kwa Tido umeotoa majibu mazuri mama yetu.
@honomaria7279
@honomaria7279 2 жыл бұрын
Thank you our dear president. You are realy a visionary woman and I think this is the kind of a woman or a President we need for more other five years. Also your capacity of answering such great questions from such great man Tido Mhando.. what I m surprising is your knowledge of our country. Congratulation mama kaza mwendo. But the keen point is those you entrust responsibilities. Pay attention to those people
@victormahimbo
@victormahimbo 2 жыл бұрын
I support
@MrMwebesa
@MrMwebesa 2 жыл бұрын
Brilliant Interview..
@kabirigisaidi8253
@kabirigisaidi8253 2 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia, nakupenda, Unatia faraja sana. Mwanga unaonekana, Mungu akusimamie akuongoze vyema kwa hekima na utulivu usivimbe kichwa ukawa papa kwa kiburi. Nakupenda Rais wangu.
@trevisrodriguez7484
@trevisrodriguez7484 2 жыл бұрын
Sector ya madini kumbe inachangia 7% za pato la TAIFA serikali inapaswa kuongeza kuwatoza kodi hawa jamaa hii 7% bado wanatunyonya
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
yani nimenogewa kusikiliza mpaka mwisho interviw nzuri sana.Tido safi, Mama Safi.
@janeelly5824
@janeelly5824 Жыл бұрын
One of the best interview of our honourable President,big up mama✍️
@paulmshana735
@paulmshana735 2 жыл бұрын
Mh.Rais kuusu Rushwa ipo wazi kila mahali😭
@allinmelele1536
@allinmelele1536 2 жыл бұрын
Brilliant mother
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Hongera sana Mama kwa naongezi yako ya mafupi n Wazi
@nguvuyafikramedia1202
@nguvuyafikramedia1202 2 жыл бұрын
Masha allah interview iko vizr kwa kiwango cha kimataifa
@bonosaugustine6545
@bonosaugustine6545 2 жыл бұрын
I love you mom ,Mungu akulinde Mama tunaimani na wewe
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 жыл бұрын
Please love tozo pia , na bei ya mafuta ya kula, mafuta ya taa , petrol ⛽ 😘
@annaluganha7021
@annaluganha7021 2 жыл бұрын
Mnaimani na nani? Jisemee Nafsi yako wewe mwenyewe.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Changamoto ni maisha, hazikosekani,,, Tuna imani na Ww SSH... Mungu aendelee kukusaidia, uongoze Nchi kwa hekima yake!
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 жыл бұрын
Shikamoo mama Samia👌👌hujaniangusha na majibu ya Sintofahamu umejibu kwa uwazi this is my Eid present 2022💃
@henrymyinga9295
@henrymyinga9295 2 жыл бұрын
hongera Sana tido hongera Sana mama kwa kuelezea vizuri na mapokezi mazuri kwa mwandishi huyu mkongwe nimefurahishwa sana
@theresakabego3085
@theresakabego3085 2 жыл бұрын
Hongera Sana mama yet kwa kupigania maendeleo ya watanzania Mwenyezi mungu akupe maisha marrfu
@doricemalisa5712
@doricemalisa5712 2 жыл бұрын
Mama hongera sana umeielezea vizuri halihalisi ya nchi yetu, unajua Mama mm nakupenda sana kwa kuwa unatueleza ukweli ili tusibweteke tufanye kazi
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 жыл бұрын
Ww ni mtumishi wa umma
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 2 жыл бұрын
@@ramsdenjames9782 Huyo ni chawa
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 жыл бұрын
@@husseinyusuph5458 inawezekana
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 2 жыл бұрын
Mama uwezo wake kujieleza kwa mambo makubwa umeongezeka sana,💪👏
@SalasyaCK
@SalasyaCK 2 жыл бұрын
Kutoka Nairobi Kenya, nimeipenda haya mahojiano. Halafu pia Rais Samia hongera kwa uwazi wako Na kazi nzuri kwa Wanamuungano Wa Tanzania. Mungu akuzidishie.
@kadirdanfodio9359
@kadirdanfodio9359 2 жыл бұрын
Ni Mahojiano yakina na Mazur Asante Uncle TIDO
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 2 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata ufafanuzi juu ya nchi yangu, siku zote kelele zinakuwa nyingi nasi tunafuata tu, ila leo nitakuwa mtulivu kusubir matokeo ya aliyo yasema
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@issakawaya8315
@issakawaya8315 2 жыл бұрын
Allah akulinde mama yetu tuna kiongozi mkweli inshaallah Allah akuzidishishe afya
@sunnysalim879
@sunnysalim879 2 жыл бұрын
na mm mwenyewe nimejifunza kitu habib
@petroemanuel4755
@petroemanuel4755 2 жыл бұрын
Mimi napeda Sana kumusikiliza mama maana huwa anatutia guvu kiutafutachi
@kadogojohn7643
@kadogojohn7643 2 жыл бұрын
Kwanza kabisa nawashukuru Azam Media kwa kuleta mahojiano haya muhimu naamini viongozi hawawezi kufanana katika kutengeneza mipango binafsi nina amini mh Rais anaweza kuyarekebisha mengi kulingana na namna anavyojibu maswali ya mwandishi anaonesha nia anayo ya kutufikisha pahala mwenyezi mungu akufanyie wepesi.
@hamisiramadhani3538
@hamisiramadhani3538 Жыл бұрын
Hongera sana mama mama analea tunashukuru sana mama Mimi mwananchi wa kaliua ninafurahia sana uongozi wako leo ninaona kila unachokisema unamwaga pesa kila kona ya Tanzania kwetu tumeona mradi wa barabara za mitaa mama nakuomba utuangalie na kwenye huduma ya maji kwetu maji tatizo
@catherinechifebe5800
@catherinechifebe5800 Жыл бұрын
Asante Magufuli wetu kwa Kujenga ikulu hiyo......Mungu akulipe mema huko....Mama Yetu Kamilisha kazi mliyoianza na Mtangulizi wako
@mage5371
@mage5371 2 жыл бұрын
Mama Samia SHIKAMOO KUBWA, nakufurahia, nakupenda najivunia mno uwepo wako toka ndani ya moyo wangu. Mama u mkarimu una dini, una lugha laini na safi yakutoa nyoka pangoni👏🏼👏🏼
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 2 жыл бұрын
A very brilliant interview ever from one of the most experienced journalist. Great Tido. Congole our beloved mom
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 2 жыл бұрын
Tupo pamoja na Serikali, nimekuelewa sana Mama. Hongera sana.
@komboabduhaji5047
@komboabduhaji5047 3 ай бұрын
Dah..! Yani mama nakuombea kwa Mungu akubarik sana katika uongezi wako kweli una nia safi kwa Watanzania
@haroldtarimo3115
@haroldtarimo3115 2 жыл бұрын
Naiona future bora Kwa nchi yetu katika miaka ijayo tumpe Mama muda tuone matokeo Big up sana Mama yetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
Akae mpaka achoke mwenyewe ah ah ah
@edsonmbilinyi8551
@edsonmbilinyi8551 2 жыл бұрын
Well done Tido! I appreciate AZAM media
@stellakachele9026
@stellakachele9026 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mama Kazi unaifanya
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 3 ай бұрын
God bless you my President! We are so proud of your accomplishments! Keep it up and enjoy fruits of your labor Mama! 🎉🎊👏
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Hii stair ya mazungumzo yakutembea kama mtu na shemeji yake wanasindikizana mmoja anakwenda kupanda gari aende kwake...Kiukweli imekaa poa sana.Ubunifu mzuri sana.
@pericykiko6198
@pericykiko6198 2 жыл бұрын
Yaaaani wewe umenichekesha
@bakermusa9033
@bakermusa9033 2 жыл бұрын
Mama mbunifu nami naanza kumkubali, kuna mambo mawili matatu akiyapa msukumo na Nitachonga na ki God’s kabisa nitulie
@andrewkalubi3524
@andrewkalubi3524 2 жыл бұрын
umenichekesha
@johnmagwila3002
@johnmagwila3002 2 жыл бұрын
Hongera saana Raisi wangu kipenzi mama Samia, ufafanuzi huu ni wa hali ya juu,ama kweli wewe ni kiongozi shupavu.Wewe ni kiongozi na kiongozi hupangwa na mungu,hivyo mungu amekuteua wewe ili uiongoze Tanazania kwa maarifa makubwa na weledi uliotukuka.Mimi kama mtanzania sijutii kukuona upo madarakani kwa wadhifa wa mwisho wa uraisi,maana unachapa kazi na hulali kwa kuona Watanzania wanapata maendeleo makubwa na maisha nafuu.Viva mama Samia,kidumu chama cha Mapinduzi.Ombi langu raisi wangu mahojiano haya na uzuri wa ikulu ya Dodoma yaingie kwenye filamu yetu pendwa ya TANZANIA THE ROYAL TOUR.
@tumsifudavid5887
@tumsifudavid5887 2 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia Raisi wetu. Mazigira mazuri. Hekima ya Mungu iendelee kukuhekemisha kwa Taifa letu..
@magigechambiri9562
@magigechambiri9562 2 жыл бұрын
Mama juuu ! Kidumu chama tawala.ufafanuzi ulioenda shule.
@salminahmad1540
@salminahmad1540 3 ай бұрын
Safi Sana mama yangu rais una majibu ya busara Sana Allah akulinde
@nassorshaaban7295
@nassorshaaban7295 2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Mamaetu Hakika najivunia Sana kuwa na Daisi mkweli km Samia Suluhu
@abdoolmerlicqeid304
@abdoolmerlicqeid304 2 жыл бұрын
Excellent interview.I learned alot from it.
@salomeivorant3266
@salomeivorant3266 2 жыл бұрын
Appreciate your work Tido good interview 🙏🙏🙏
@hamadfaki7625
@hamadfaki7625 2 жыл бұрын
Ndio mana na kupenda mama nakuamin sana Allah akubariki ufanikishe malengo yako
@dannypeter4951
@dannypeter4951 Жыл бұрын
Hongera sana mama raisi wetu haya ni kati ya mahojiano Bora Bora zaidi,wewe ni kiongozi Bora umebarikiwa mungu akupe maisha marefu zaidi
@godfreyvedastus4329
@godfreyvedastus4329 2 жыл бұрын
Huyu Mama ni Rais.... For sure mm nimepata elimu sana hapa.
@victorjames3730
@victorjames3730 2 жыл бұрын
Miwani ya Mama imempendeza
@marangamartin9925
@marangamartin9925 2 жыл бұрын
Si kivingine
@Hyun626
@Hyun626 2 жыл бұрын
Mama is up to date with her files. BRAVO MAMA SAMIA!
@mbwanabaruti7496
@mbwanabaruti7496 2 жыл бұрын
Hongera sana mama, endelea kutongoza nchi isonge mbele!! Hongera sana
@richardmagaka9525
@richardmagaka9525 2 жыл бұрын
Mama mama huyoo mama mama huyoo mama jamani jamani this is a True Mom of our nation be blessed mom
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Hii iterview imekuwa nzuri sana. Tido kauliza maswali kiufundi na kitaalamu, na maswali yote ndiyo ambayo wananchi wengi tunajiuliza. Na Mpendwa Mama yetu Samia kayajibu vizuri. Mungu aendelee kumtunuku hekima, maarifa, utashi na afya njema ya mwilini na rohoni ili aendelee kutuongoza vyema. Tunatamani Tanzania ipae kiuchumi, kijamii na kimshikamano. Iwe nchi ya mfano barana afrika na dunia nzima
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 жыл бұрын
True
Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
4:29
BBC News Swahili
Рет қаралды 166 М.
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 137 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 14 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 5 МЛН
MHE. RAIS SAMIA AKISHIRI TAMASHA LA UTAMADUNI LA BULABO - MWANZA
21:21
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 137 МЛН