Maongezi ya ana kwa ana kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando. #AzamTVUpdates #RaisSamiaNaTidoMhando #RaisSamia #TidoMhando #TidoMhandoIkulu
Пікірлер: 1 000
@evaristmrope2 жыл бұрын
Maongezi yamekuwa mazuri sana hongera sana ndugu Tido Mhando kwa kuendelea kuweka historia nzuri ya kufanya mahojiano mazuri na viongozi wakuu wa nchi
@boniphacewambura14272 жыл бұрын
Evarist mrope Umeongea point sana ndugu 💪
@evaristmrope2 жыл бұрын
@@boniphacewambura1427 asante sana kaka
@johnsonndegwa59453 ай бұрын
Quite good kwa president Samia suluhu president Tanzania you're fearfully beautifully and wonderfully made by God's favor and grace
@mansouraltamim2 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan umefanya interview nzuri na umejibu masuali yote vizuri na kwa hekima kubwa sanaa. Mungu akulinde sana mama kila la kheir katika kujenga nchi yetu. Hongera snaa Mr. Tido Muhando kwa interview nzuri.
@SWAHILINATION2 жыл бұрын
We need more journalists like you Tido, people who can ask difficult questions fearlessly. Well done Azam TV Hongera mama yetu! Well done with the Russia-Ukraine war that was a smart move indeed. Tunakuombea Mungu akutie nguvu uiongoze nchi yetu kwa uweledi mkubwa. May God protect you always. Hurray Tanzania 🇹🇿
@moa41222 жыл бұрын
Ameen Allahuma Ameen
@werun.16742 жыл бұрын
That Mama Samia is granting this kind of interview without pre-determined questions, going by the kind of questions asked is exemplary. Tanzania is in good hands.
@nyandwiomar76832 жыл бұрын
. X;c,,
@philojia27442 жыл бұрын
Hongera mama samia kwa kazi nzuri mungu akujalie kuongoza nchi hii
@juliuskavumo19372 жыл бұрын
Lî
@prospermagali2 жыл бұрын
Mahojiano bora kabisa. Asante Azam, Asante Tido kwa kuuliza maswali yote muhimu...
@ziadiibrahim46652 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu watanzania.wabariki viongozi wetu, wabariki pia Azam TV
@rizikally75942 жыл бұрын
Kila la kheri mama yetu Allah akupe afya njema na akuzidishie hekma na imani, tunakuamini sana
@user-gj2il6fo4t3 ай бұрын
Mama endelea kuchapa kazi zaidi❤❤❤❤Tunakipenda,kujali na kuthamini. Juhudi unaifanya kwa kla sekta ili wananchi wanufaike . M.Mungu skype afya na umri mrefu pia kukuengezea hekima,ubunifu upole na huruma kwa wananchi wake.❤❤❤❤ Chapa kazi Kuheshimiwa Rais Samia.
@salumali93122 жыл бұрын
Hongera Azam lakini hongera zaidi Mama yetu mpenzi. Wazanzibari tunajiproud sana. Kwa hakika unatuwakilisha vizuri sana. Allah akupe kheri na baraka nyingi.
@elizalutiga62872 жыл бұрын
Tido the Best Journalist 👍👍👍
@mwanahawamohammed85402 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah, Mwenyezi Mungu akupe nguvu InshaAllah Amina Thumma Amina
@gibsonjosephat63522 жыл бұрын
Du! Excellent Mr. Tido Muhando, Hawa ndio wabobezi wa Habari. Nimependa jinsi alivyoonza haya mahojiano. Jamaa lonajua.
@venantrugabela67982 жыл бұрын
Zamani Tiddo hakuwa hivi. Enzi akiwa BBC. Mtu angetoka jasho kila mahali
@aliyageorge67942 жыл бұрын
Ninakubaliana na wewe kuhusu hili. Ila kwa nini mama alivyo compare Tanzania na United States of America Tido hakumuambia mama kuwa do not compare United States of America na Tanzania. Hapo ndipo Tido alipokosea. Tanzania yetu 99% ni maskini. Mama huyu anatukosea sana! Watanzania.
@rosebudkurwijila10922 жыл бұрын
Well done Madame President. Very informative. Hongera Tido, maongezi mazuri sana
@madukaj.j.69992 жыл бұрын
Hongera Mhe. Rais niseme kwa mara ya kwanza na mm unaupiga mwingi. Tido Muhando wewe ni bonge la journalist na wengine waige kwako. Wewe ni mfano wa kuigwa
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
Mama Maneno machache kazi kubwa.ingefaa huo msemo utumike maana kwa aliemgundua mama anachapa kazi kubwa sana ila kimyakimya.welldone mama❤❤
@charleshaule40082 жыл бұрын
This is one among best production ever in Tanzania. Tido Mhando composed himself so well. Mama Samia's scope of knowledge and response skills towards challenging questions has been so high. I rate the whole thing GOLD medal as far as my journalism experience is concern.
@victormahimbo2 жыл бұрын
Brother Tido umeupiga mwingi. Classic interview. Bado nakumbuka kazi yako nzuri RTD miaka ya 1970s ukiwa na fundi wako wa mitambo James Mhilu.
@doramalisa20612 жыл бұрын
Hongera sana mama, Kuna tatizo kwenye viwango vya ajali, ni changamoto kubwa Kuna vile kama miaka miwili imepita Hali ilikua shwari,
@salimamoshi6192 жыл бұрын
Hongera sana kaka yangu Tido Mhando Kweli wewe ni gwiji Sijachoka naomba uwahoji viongozi wote from USA
@abuumatingasi13322 жыл бұрын
Mama samia unatisha unaridhisha kwa majibu yako mm nimeshiba
@asilasaidsalim61382 ай бұрын
Jaman mama kasha choka kuongea mpumzishe kwanza yuko taaban
@shamimhayat76374 ай бұрын
Mnimeipenda sana hii interview mashaalah mama Samia hodari kujibu maswali
@martinsntonyo85372 жыл бұрын
It was a nice conversation between our president mama Samia suluhu Hassan and Tido mhando great responses indeed bravo madam president
@mbwanakassim4182 жыл бұрын
I am proud of my president,anajibu maswali kiufasaha,nikiongozi mwenye taarifa ya kila sekta ya uchumi,anatoa majibu sahihi kwa swali sahihi,anaeleza ukweli bila kupepesa ,ni jambo zuri sana wananchi tunapopata taarifa sahihi kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi,bravo mama Samia. Tido you are the best interviewer,relaxed and asking the right questions with discipline and integrity.
@waihura20392 жыл бұрын
Good interview right there Tido. Me like that Mama. Kazi mzuri
@driftdumper89272 жыл бұрын
Very humble mama! I hate ccm with all my heart but this Woman give me hope! Lets Go we trust you!! Tuongoze kwa haki sisi kazi tutafanya!!
@mitchellyt46492 жыл бұрын
Good interview atasijutii kumaliza bundle langu.. Mungu tulindie amani yetu
@raboymziki3362 жыл бұрын
Kama unamuelewa Tido gonga like!!
@philiposimioni28542 жыл бұрын
Asante sana mweshimiwa raisi kwa kuwaelezea uma kwa mahojiano mazuri na ndg tido
@mercynadia31402 жыл бұрын
Waandishi wa habari kwa mtini jifunzeni, hongera sana Tido Mhando aisee this is the powerful interview ,
@sasha-ri7tf2 жыл бұрын
Hongera sana Mama kwa majibu mazuri kwa mwandishi m'bobezi Tido Mhando. Tanzania tunakuhitaji sana. Hakika nchi inahitaji katiba ibadilishwe ili Rais Mama Samia atawale kama alivyotutawala Rais wa kwanza hayati Maalim Julias Nyeyere.
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Kwa kweli haya mahojiano ni ya standard ya hali ya juu sana. Mazingira, hadhira mpaka ujumbe wenyewe. Waandishi wa habari wengine wajitahidi kuiga kwa Mh Tido Mhando, Mama Samia tunakushukuru kwa jitihada zako za kukuza nchi yetu, tunakuombea sana
@revocatuspaschael7177 Жыл бұрын
Hongera sana mama tunaimani sana nawe
@magandajumanne84937 ай бұрын
😊😊
@mbekurelaon8820 Жыл бұрын
Hongera Azam tv kwa mahojiano haya ya moja kwa moja na Rais Mmechagua gwiji wa habari hongera Mheshimiwa Tido Mhando Lakini kuna kazi inafanywa na watu wanao mwakilisha Rais Ngorongoro na Loliondo hatuamini Kama ni mama ndio amewagiza waje kutuonea Tunalia kwa sababu damu zilizomwagwa tukinyang'wa ardhi yetu Watumishi wanachonganisha wananchi na serikali ya Mama Samia
@harrietmalesi42222 жыл бұрын
We thank God Mrs president You work is promising be blessed so much we are proud of you mother Care
@marianmartin74832 жыл бұрын
Mzee Tido wewe ni gwiji wa habari. Hongera sana, mawali yako yanamsingi sana.
@deogratiasmacha76462 жыл бұрын
Mzee Tido na kukubali sana Tokea Radio Tanzania hadi Leo,nimependa sana haya Maojiano yako na Rais Samia ni yaubunifu wa hali ya juu,Unaviwango vya hali ya juu kimataifa zaidi.
@habibndyeshobora68482 жыл бұрын
Mama uko vizuri sana,na umenikosha zaidi kwa kuonyesha kiwango cha halo ya juu ,ya kujiamini na kuonyesha kiwango cha juu cha akili,kuchuja ,tafakuri, response of abrupt questions !!!!!! Congratulations Madame President !!!!!!!!!!!!
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Tido Mhando unamuuliza maswali mazuri,rushwa,madawa kulevya,anachenga sana
@binurusm88862 жыл бұрын
Mama, Binafsi Nakupongeza sana, Mwenyezi Mungu atakuinua na Kukulinda daima, URaisi wako Ni Mpango wa Mungu, Hukujaza fomu Kuomba URais, Mungu Ibariki Tanzania Yetu, Aamina.
@ismailally72122 жыл бұрын
Thank u mamaa
@dibamohamed68852 жыл бұрын
This is brilliant. Hard hitting questions and Mama answeres were impeccable and vivid. When our neighbours prosper we prosper..Wish her all the best inshaAllah
@doricemalisa57122 жыл бұрын
Mungu atakusaidia tu Rais wetu ,utafanikiwa kwa kila jambo ninakuombea sana kila siku
@ruispeter77062 жыл бұрын
Interview nzuri imetulia hongera sana Azam hongera Mzee Tido I get more
@nazraseiban10822 жыл бұрын
An exceptional interview...congrats to Mama samia and not forgetting Bw. Tido ! Keep it up mama Samia u make us proud🥰
@Fefetubes2 жыл бұрын
Mama we love you KUMBE WALIKUWA WANATUPOTOSHA HAWA KENGE
@maigajohn58286 ай бұрын
Mzee Tido hongera sana kwa interview huko vizuri sana hongera sana mtani
@mizingayaudongo10973 ай бұрын
Excellent !
@upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын
Mungu baba mrehemu hayati John Joseph Magufuri kwa mzuri aliyotufanyia katika Taifa letu Tanzania kuhakikisha zoezi zima la kuhamia Ikulu ya Dodoma zoezi lililokua linapigwa danadana kwa miaka mingi lkn kimbe wako alihakikisha linatimia km alivyotangaza baba wa Taifa JK Nyerere. Tazama mandhali ya Ikulu Dodoma inavyopendeza Tanzania nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mbimbikabanyanga61612 жыл бұрын
Kila nyumba /Kila familia inalia hali wanatamani mama samia ajiuzuru.Lakini hapa live wanamsifia mama kaupiga mwingi.Hii ndo tanzania yetu tunasifia kitu ukiludi nyumbani unasema hali ngum kila kitu kimepanda bei.
@pulikisia79632 жыл бұрын
Dah!! Nilijua atamtaja na ku appreciate kazi aliyoifanya katika hili.😭😭
@yusufhemedyusuf30212 жыл бұрын
@@mbimbikabanyanga6161 wasukuma mnalia sasa coz sukuma gang limepigwa chini. Walio wengi waliteseka na huyo dikteta mwendazake. Nchi imepoa sasa.
@TamuzaKale2 жыл бұрын
@@pulikisia7963 Hiyo sio ya Magufuli ni ya Nyerere... CHAMWINO ni Nyerere na si Magufuli!
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Haijajengwa na Magufuli hiyo. CHAMWINO ni Nyerere ndiye mjenzi wake! Ilijengwa tangu miaka ya 70.
@peterswai3912 жыл бұрын
Hongera Mhe Raisi Samia Suluhu hassan , God bless more,
@annarathanthony5801 Жыл бұрын
Asante sana mama kwa kutuelewesha kama hivi nasi tunakuwa na Imani nawe pamoja na Uongozi wako kwa wananchi unaotuongoza mungu akupe moyo huo ukweli umeweka mtu huru kwa kimaadili
@user-tp8fq9mb8eАй бұрын
Dear Mrs Samia Suluhu Hassan and as a politician, men and women from Africa especially East Africa where I come from, we ask us as young men and women.us and the next generation and the present generation not to just look away. I thank you very much and look forward to our positive unity East Africa from Somali capital Mogadishu Thank you family and friends we are one family and we must stay together work and help one another we Love africa ❤
@ephremmalley1532 жыл бұрын
One of the best interviews in our country which has rightly taken into account most areas of tanzanians' lives indiscriminately. I think this is due to a compitent journalist on one side and indisputably due to a good President who who is really determined to take our country a higher and better level. May God bless you Tido and mama Samia!
@SimbaM2kufu2 жыл бұрын
She’s a clown.
@doriteliapendoglorious18432 жыл бұрын
Delighted that such conversations are held. Well done Hon. SSH, Well done Azam TV!
@mwalimuseraphinokeywerah38712 жыл бұрын
Namwomba Mama Samia awe anaita mikutano mbalimbali kila baada ya miezi mitatu awe anaelezea haya aliyomweleza Tido hapa. Watanzania wote wasikie. Mawazo yake ni MAZURI SANA. Asipohutubia Watanzania watakuwepo watu wengi tu wanamsema bila kujua haya mawazo aliyonayo
@paterinomlowe83172 жыл бұрын
Mama mungu akulinde upo vzr ukweli unaishi you answer is philosophical
@user-hp1le5wd6l2 ай бұрын
Thanks your excellence for thy standard elaboration on our development
@shafiiabdallah13472 жыл бұрын
AMEKUA mkweli sana raisi amekua wazi kwa kila kitu hongera sana kwakutuambia kila kitu mungu akulinde na akupe nguvu
@wazirisaid83262 жыл бұрын
Our president is very intelligent, we are proud of her, she knows what she is exactly doing, she will lift our nation somewhere higher than here.Congratulations madam president we are behind you.
@TheFire_Gamer2 жыл бұрын
Mafuta na chakula vikipanda bei na mishahara izidi
@sweetbertmaghali3092 жыл бұрын
Mama uko vizuri tunazidi kukuombea.kwa Mola azidi kukulinda.Waangalie kwa jicho la huruma wastaafu.
@joachimmbosha57962 жыл бұрын
Hongera mh rais wetu, Mungu akujalie nguvu kutimiza majukumu ya Ujenzi wa. Taifa letu,,unandoto njema kwa watanzania.
@kasaisatv97652 жыл бұрын
Mahojiano bora kabisa. Hongera mama! Hii ndio maana ya uhuru wa vyombo vya habari. Hongera Tido kwa umahiri katika kazi yako.
@jeremiahmaina1764 Жыл бұрын
Rushwa imeongezeka maradufu has polisi
@safhe-mpungi60752 жыл бұрын
"Mguu wa kwenda Mtume kauombea"
@harunamaboyi89372 жыл бұрын
Honge raisi wetu wa afrika hongera sana
@danmtuli94842 жыл бұрын
Dunstan Tido mhando, one of my best Swahili speakers, used to like one of your shows in Kenya 🇰🇪 “ ulimwengu wa bwana reddy kilowatts “ baadaye akiwa mkuu wa idhaa ya BBC, great interview with mama Samia🇹🇿
@jedidahbintidaudi82412 жыл бұрын
Our lady was prepared as a leader. Shez has all the details of many sectors in our country. Great information which are on point and briefly insightful. She needs contest for this seat by the Will of God. Congrats mama Samia bindi yake Suluhu wa Hassan.
@willewairaqwillewairaq23532 жыл бұрын
Mama yupo vizur🇹🇿 tanzania lazima isonge👏👏👏👏👏
@Hassan_Mengi2 жыл бұрын
Safi sana mama, unajibu vzr sana na uongozi unaujua… keep it up.
@bashirjabir63512 жыл бұрын
Mama samia suruhu hassan mimi binafsi nakushuru sana kwa majb mazuri kwa Tido umeotoa majibu mazuri mama yetu.
@honomaria72792 жыл бұрын
Thank you our dear president. You are realy a visionary woman and I think this is the kind of a woman or a President we need for more other five years. Also your capacity of answering such great questions from such great man Tido Mhando.. what I m surprising is your knowledge of our country. Congratulation mama kaza mwendo. But the keen point is those you entrust responsibilities. Pay attention to those people
@victormahimbo2 жыл бұрын
I support
@MrMwebesa2 жыл бұрын
Brilliant Interview..
@kabirigisaidi82532 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia, nakupenda, Unatia faraja sana. Mwanga unaonekana, Mungu akusimamie akuongoze vyema kwa hekima na utulivu usivimbe kichwa ukawa papa kwa kiburi. Nakupenda Rais wangu.
@trevisrodriguez74842 жыл бұрын
Sector ya madini kumbe inachangia 7% za pato la TAIFA serikali inapaswa kuongeza kuwatoza kodi hawa jamaa hii 7% bado wanatunyonya
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
yani nimenogewa kusikiliza mpaka mwisho interviw nzuri sana.Tido safi, Mama Safi.
@janeelly5824 Жыл бұрын
One of the best interview of our honourable President,big up mama✍️
@paulmshana7352 жыл бұрын
Mh.Rais kuusu Rushwa ipo wazi kila mahali😭
@allinmelele15362 жыл бұрын
Brilliant mother
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Hongera sana Mama kwa naongezi yako ya mafupi n Wazi
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
Masha allah interview iko vizr kwa kiwango cha kimataifa
@bonosaugustine65452 жыл бұрын
I love you mom ,Mungu akulinde Mama tunaimani na wewe
@aliyageorge67942 жыл бұрын
Please love tozo pia , na bei ya mafuta ya kula, mafuta ya taa , petrol ⛽ 😘
@annaluganha70212 жыл бұрын
Mnaimani na nani? Jisemee Nafsi yako wewe mwenyewe.
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Changamoto ni maisha, hazikosekani,,, Tuna imani na Ww SSH... Mungu aendelee kukusaidia, uongoze Nchi kwa hekima yake!
@OnlyRuky2 жыл бұрын
Shikamoo mama Samia👌👌hujaniangusha na majibu ya Sintofahamu umejibu kwa uwazi this is my Eid present 2022💃
@henrymyinga92952 жыл бұрын
hongera Sana tido hongera Sana mama kwa kuelezea vizuri na mapokezi mazuri kwa mwandishi huyu mkongwe nimefurahishwa sana
@theresakabego30852 жыл бұрын
Hongera Sana mama yet kwa kupigania maendeleo ya watanzania Mwenyezi mungu akupe maisha marrfu
@doricemalisa57122 жыл бұрын
Mama hongera sana umeielezea vizuri halihalisi ya nchi yetu, unajua Mama mm nakupenda sana kwa kuwa unatueleza ukweli ili tusibweteke tufanye kazi
@ramsdenjames97822 жыл бұрын
Ww ni mtumishi wa umma
@husseinyusuph54582 жыл бұрын
@@ramsdenjames9782 Huyo ni chawa
@ramsdenjames97822 жыл бұрын
@@husseinyusuph5458 inawezekana
@abuukamugisha59942 жыл бұрын
Mama uwezo wake kujieleza kwa mambo makubwa umeongezeka sana,💪👏
@SalasyaCK2 жыл бұрын
Kutoka Nairobi Kenya, nimeipenda haya mahojiano. Halafu pia Rais Samia hongera kwa uwazi wako Na kazi nzuri kwa Wanamuungano Wa Tanzania. Mungu akuzidishie.
@kadirdanfodio93592 жыл бұрын
Ni Mahojiano yakina na Mazur Asante Uncle TIDO
@ameirzapy13182 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata ufafanuzi juu ya nchi yangu, siku zote kelele zinakuwa nyingi nasi tunafuata tu, ila leo nitakuwa mtulivu kusubir matokeo ya aliyo yasema
@stevenmaketa80512 жыл бұрын
Kweli kabisa
@issakawaya83152 жыл бұрын
Allah akulinde mama yetu tuna kiongozi mkweli inshaallah Allah akuzidishishe afya
@sunnysalim8792 жыл бұрын
na mm mwenyewe nimejifunza kitu habib
@petroemanuel47552 жыл бұрын
Mimi napeda Sana kumusikiliza mama maana huwa anatutia guvu kiutafutachi
@kadogojohn76432 жыл бұрын
Kwanza kabisa nawashukuru Azam Media kwa kuleta mahojiano haya muhimu naamini viongozi hawawezi kufanana katika kutengeneza mipango binafsi nina amini mh Rais anaweza kuyarekebisha mengi kulingana na namna anavyojibu maswali ya mwandishi anaonesha nia anayo ya kutufikisha pahala mwenyezi mungu akufanyie wepesi.
@hamisiramadhani3538 Жыл бұрын
Hongera sana mama mama analea tunashukuru sana mama Mimi mwananchi wa kaliua ninafurahia sana uongozi wako leo ninaona kila unachokisema unamwaga pesa kila kona ya Tanzania kwetu tumeona mradi wa barabara za mitaa mama nakuomba utuangalie na kwenye huduma ya maji kwetu maji tatizo
@catherinechifebe5800 Жыл бұрын
Asante Magufuli wetu kwa Kujenga ikulu hiyo......Mungu akulipe mema huko....Mama Yetu Kamilisha kazi mliyoianza na Mtangulizi wako
@mage53712 жыл бұрын
Mama Samia SHIKAMOO KUBWA, nakufurahia, nakupenda najivunia mno uwepo wako toka ndani ya moyo wangu. Mama u mkarimu una dini, una lugha laini na safi yakutoa nyoka pangoni👏🏼👏🏼
@melkisedekkaijage27772 жыл бұрын
A very brilliant interview ever from one of the most experienced journalist. Great Tido. Congole our beloved mom
@rafikiwildlife42632 жыл бұрын
Tupo pamoja na Serikali, nimekuelewa sana Mama. Hongera sana.
@komboabduhaji50473 ай бұрын
Dah..! Yani mama nakuombea kwa Mungu akubarik sana katika uongezi wako kweli una nia safi kwa Watanzania
@haroldtarimo31152 жыл бұрын
Naiona future bora Kwa nchi yetu katika miaka ijayo tumpe Mama muda tuone matokeo Big up sana Mama yetu
@hassanmfaume45222 жыл бұрын
Akae mpaka achoke mwenyewe ah ah ah
@edsonmbilinyi85512 жыл бұрын
Well done Tido! I appreciate AZAM media
@stellakachele90262 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mama Kazi unaifanya
@PrincePaulIowa3 ай бұрын
God bless you my President! We are so proud of your accomplishments! Keep it up and enjoy fruits of your labor Mama! 🎉🎊👏
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Hii stair ya mazungumzo yakutembea kama mtu na shemeji yake wanasindikizana mmoja anakwenda kupanda gari aende kwake...Kiukweli imekaa poa sana.Ubunifu mzuri sana.
@pericykiko61982 жыл бұрын
Yaaaani wewe umenichekesha
@bakermusa90332 жыл бұрын
Mama mbunifu nami naanza kumkubali, kuna mambo mawili matatu akiyapa msukumo na Nitachonga na ki God’s kabisa nitulie
@andrewkalubi35242 жыл бұрын
umenichekesha
@johnmagwila30022 жыл бұрын
Hongera saana Raisi wangu kipenzi mama Samia, ufafanuzi huu ni wa hali ya juu,ama kweli wewe ni kiongozi shupavu.Wewe ni kiongozi na kiongozi hupangwa na mungu,hivyo mungu amekuteua wewe ili uiongoze Tanazania kwa maarifa makubwa na weledi uliotukuka.Mimi kama mtanzania sijutii kukuona upo madarakani kwa wadhifa wa mwisho wa uraisi,maana unachapa kazi na hulali kwa kuona Watanzania wanapata maendeleo makubwa na maisha nafuu.Viva mama Samia,kidumu chama cha Mapinduzi.Ombi langu raisi wangu mahojiano haya na uzuri wa ikulu ya Dodoma yaingie kwenye filamu yetu pendwa ya TANZANIA THE ROYAL TOUR.
@tumsifudavid58872 жыл бұрын
Hongera sana Mama Samia Raisi wetu. Mazigira mazuri. Hekima ya Mungu iendelee kukuhekemisha kwa Taifa letu..
@magigechambiri95622 жыл бұрын
Mama juuu ! Kidumu chama tawala.ufafanuzi ulioenda shule.
@salminahmad15403 ай бұрын
Safi Sana mama yangu rais una majibu ya busara Sana Allah akulinde
@nassorshaaban72952 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Mamaetu Hakika najivunia Sana kuwa na Daisi mkweli km Samia Suluhu
@abdoolmerlicqeid3042 жыл бұрын
Excellent interview.I learned alot from it.
@salomeivorant32662 жыл бұрын
Appreciate your work Tido good interview 🙏🙏🙏
@hamadfaki76252 жыл бұрын
Ndio mana na kupenda mama nakuamin sana Allah akubariki ufanikishe malengo yako
@dannypeter4951 Жыл бұрын
Hongera sana mama raisi wetu haya ni kati ya mahojiano Bora Bora zaidi,wewe ni kiongozi Bora umebarikiwa mungu akupe maisha marefu zaidi
@godfreyvedastus43292 жыл бұрын
Huyu Mama ni Rais.... For sure mm nimepata elimu sana hapa.
@victorjames37302 жыл бұрын
Miwani ya Mama imempendeza
@marangamartin99252 жыл бұрын
Si kivingine
@Hyun6262 жыл бұрын
Mama is up to date with her files. BRAVO MAMA SAMIA!
@mbwanabaruti74962 жыл бұрын
Hongera sana mama, endelea kutongoza nchi isonge mbele!! Hongera sana
@richardmagaka95252 жыл бұрын
Mama mama huyoo mama mama huyoo mama jamani jamani this is a True Mom of our nation be blessed mom
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Hii iterview imekuwa nzuri sana. Tido kauliza maswali kiufundi na kitaalamu, na maswali yote ndiyo ambayo wananchi wengi tunajiuliza. Na Mpendwa Mama yetu Samia kayajibu vizuri. Mungu aendelee kumtunuku hekima, maarifa, utashi na afya njema ya mwilini na rohoni ili aendelee kutuongoza vyema. Tunatamani Tanzania ipae kiuchumi, kijamii na kimshikamano. Iwe nchi ya mfano barana afrika na dunia nzima