Hongera sana team yangu ya familia Babu yanga baba yanga mm yanga na kizazi changu chote yanga
@nayopamlimbatv13824 ай бұрын
Safi sana hii timu kubwa hata mimi babu yangu Yanga,baba yangu,na mimi ni Mwanachama kamili ninaelipia ada kabisa
@PanchoValentino-wh7wt4 ай бұрын
Mr President Engineer HERSI SAÏD YOUR ARE THE BEST 💛💚💯💥🌟💫⭐
@naliakafatuma98704 ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@husseinbachwa83724 ай бұрын
Raisi wa mahana saana sana... Mi Simba saana ila siwezi kuacha kusema ukweli wewe ni kioo cha mtu yeyote mpenda maendeleo kuweza kujitazama na kujirekebisha... Hongera saana kaka, na mwenyezi akubariki saana..
@LupimoclinicBlogspotsanitarium4 ай бұрын
Hotuba ya mh Engeneer Heris rais wa Yanga,hotuba zako mara nyingi huwa zimeshiba, binafsi huwa najivunia sana kuwama.m/kiti kama wewe Mungu akutunze na Mungu ailinde Yanga yetu Ameen!
@paraxedjoseph51744 ай бұрын
Good speech from a brilliant president ❤
@PeterNgeresa4 ай бұрын
Big presdar,hongeraaa sana sana hakika kaz yako inaonekana.keep it up bro!!.
@bernardgervas7684 ай бұрын
Tunakuombea maisha marefu rais wetu
@HasnaNassoro4 ай бұрын
Nipo kagera ngara
@EllyVicent-om6fz4 ай бұрын
Hongera sana timu ya udogon mwangu ha di sasa ni mtu mzima asante sana young africans
@esterkibuta73304 ай бұрын
Hongera raisi wetu wa yanga uko vizuri mbunifu mchapakazi busara nyingi da hongera sana tunzidi kukuombea ufanye zaidi ya hayo.
@SinzaRobert4 ай бұрын
Dah mungu atusaidie wana yanga
@ShomariHamisi-vn1xl4 ай бұрын
Hongera Eng.Herisi kwa uongozi imara na mazubuti,yanga oyeeeeeeeee!!
@GodfreyMidello4 ай бұрын
This what we call mind focus. Eng. HERIS.
@shaibusaady24204 ай бұрын
Allaah Akbar
@LemomoRiano4 ай бұрын
Hongereni sana wanainchi wa yangu kwa kufanya maturity kweny mkutano mkuu wa mwaka ila mimi sijafutiwa na rasi alivyo simama kwa wakati mrefu mimi Nanna ingependeza sana uwe na mwakilisha ili usimame kwa dakika za heshima japo kazi nzuri ila iwapo utakuwa na wakati mrefu ya kuzungumuza hataka Mazur kiasi gani. Tuatambua kuwa wewe ndio unaetenda ❤
@FurahaEdward-q9e4 ай бұрын
ukasimame wew
@FurahaGolden4 ай бұрын
Najivunia Kia mwananchi 💚💚💚💚
@BoKiMASTER-v5v4 ай бұрын
hongereni chama la wana👍👍👍👍👍
@JastineJasto6 күн бұрын
Kiongozi bora anatoka kwa mungu na sisi yanga tunashukuru kutupatia kiongozi bora
@YonahMwamanenge-hy7fe4 ай бұрын
Asante Rais Eng Hers Said huna baya endelea kuchapa ya kujitolea na Mungu atazidi kukubariki,
@KinanaManjura4 ай бұрын
Engineer Tunakuombea tufike mbali❤❤
@HusseinBabuwakichina-xb1bu4 ай бұрын
Kitengo cha habari mko vizuri kongole kwa Ally kamwe na jopo lako lote
@AnnastaziaDominick4 ай бұрын
Naipenda sana timu yangu🎉🎉🎉🎉
@MserbiaMbunjai4 ай бұрын
Nice speech...
@ErastoKibus4 ай бұрын
Mungu aibariki yanga
@MossesKasanie4 ай бұрын
Hongera xana team yanga ya family Babu yanga baba yanga mam yanga na kizazi changu chote yanga
@yasrikomba78744 ай бұрын
❤❤❤❤jongera sana yanga ❤❤
@JumaIssa-f9r4 ай бұрын
😮Hongera sana kwa hotuba nzuri yenye matuini makubwa na maendeleo kwa timu yeti hongera sana raisi wa timu ya yanga
@HusseinMustapha-n2n4 ай бұрын
manara ndoanafaha kwenye kitengo hicho ata viwanja avijahe raisi wetu na tunafanya vzur manara washirikian na alikamwe tunawapenda ote🎉🎉
@ZenaisKimario-dp1ox4 ай бұрын
Mungu akuweke miaka mingi
@FurahiniMbise-cb6uf4 ай бұрын
Big brain 💪
@MossesKasanie4 ай бұрын
Naipenda xana yanga ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@RaphaelMayoro4 ай бұрын
Nipo pamoja nanyi asante
@JumaIssa-f9r4 ай бұрын
Yanga tutachukuwa makombe miaka kumi mfululizo mpaka mokolo waseme poooo raisi wetu umefanya kazi kubwa sanaaaa hongera sanaaa
@yasrikomba78744 ай бұрын
❤❤❤shere ilifana kweli
@KalsonLameck4 ай бұрын
Mungu awabariki viongozi wetu
@MudyRajabu-m5q4 ай бұрын
Mungu akubaliki rais wewe unatifaa
@MbeziAthumani4 ай бұрын
Nakupongeza San injinia na mungu akulinde na WAbaya
@shukranionesphoro77444 ай бұрын
Mm ni Simba ila Hawa jamaa wamefika mbali, kzr Zaid mambo yanaenda Kwa weredi sana, duuu Simba yangu
Tuna Imani na wewe Rais wetu ya kwamba utatufikisha Inchi ya AHADI
@JafetiTngogoNgogo4 ай бұрын
good
@aploniamichael4 ай бұрын
Mungu ibarik yanga
@jumamustapha82544 ай бұрын
Jamani mimi sina kadi lkn ni kipenzi cha yanga tangu utotoni kwangu, nakumbuka nilinyimwa maandazi na kaka yangu kisa sikukubali kushabikia simba. Enzi hizo kijjn kulipata andazi hadi litoke mjini.
@husseynomar95234 ай бұрын
Bi Fatma Karume 🎉❤❤❤
@michaelmabula74444 ай бұрын
Eng . Upo vizuri sana Ila tengeneza mfumo ya task force ya matangqzo kupitia TV,Radio,na kila siku ya match kuwepo na hamasa ya kusajiri wanachama wapya .
@remidiuswilliam74944 ай бұрын
Hakika Uongozi tunao,,ila wanachama tunazingua tuamke tuko nyuma sana
@ImanueliMwakajinga-ry8ig4 ай бұрын
Maisha marefu kwako Mr president
@HassanNgota-b5o4 ай бұрын
Naomba timu ya wanawake,simba wanatamba sana malizani utawala wao kama kaka zao
@paulnzilo72524 ай бұрын
More 💕💕 engineer unastahili kuwa rais wa Taifa letu pia.
@veredianamassawe49354 ай бұрын
👏👏👏
@abdoulmaridadi48684 ай бұрын
Safi tupo pamoja eng
@flavianapeter4944 ай бұрын
Injinia heri ya tumbo lililo kuzaaa🙏
@DervishBaba4 ай бұрын
Naona ccm watupu sasa huu ni mkutano wa yanga au ni mkutano wa ccm kasoro raisi
@NadiaSadam-u3i4 ай бұрын
Chuki binafsi hiyo itakuwa wewe ni kolo fc kwendaaa
@unclegmihale4554 ай бұрын
🔥🔥💚💚💛💛💪
@adrianobihabwa34644 ай бұрын
Jamani yanga mtatuua 😂😂😂😂
@DismasBasili4 ай бұрын
Pongezi Kwa Raid wetu. Wana wa jangwani tumupe maua yake🎉🎉🎉
@AmurJecha4 ай бұрын
YANGA HAPO HAIJAPATA HASARA SEMINI SERIKALI IMEPATA HASARA LAKINI HIYO SIYO ISHU ENDELEENI TU❤❤❤❤
@HofuLipamba4 ай бұрын
Yanga imenoga mpaka basi 🎉🎉🎉🎉🎉
@KennedyVorogwe4 ай бұрын
Mtu wa maana sana engineer
@DudeMtu2-dg1fs4 ай бұрын
❤❤❤❤
@majidfrolian49044 ай бұрын
Kwani duniani kuna timu inayoleta raha kama Yanga?
@patrickngalya58844 ай бұрын
Next time anaechukua video aache kutumia hiyohiyo camera kupiga picha unaondoa mvuto kwenye video kukwamakwama wapo watu special Kwa ajili ya picha za mnato pls
@rehemakotinjo74654 ай бұрын
Yanga tamuuu💛💚🖤
@gollowrukata55044 ай бұрын
Good
@VelestinaElius4 ай бұрын
Wow❤❤❤
@alfackisadimartine51334 ай бұрын
Hongera sana Rais wa kilabu bora
@goodlucknzunda69494 ай бұрын
hila yangaaaa🔥🔥🔥
@AmtaB4cussAmtaB4cuss4 ай бұрын
Daima mbele Nyuma mwiko
@innocentmmandago30294 ай бұрын
Congratulations!!
@AmaniJulius-np2zx4 ай бұрын
Sisi km washabiki wa yanga tunaenjoi tunapenda kazi mnayofanya
@DervishBaba4 ай бұрын
Na mbona mambo yenu hayaingiliwi lkn simba mambo yao munawaingilia na kuwachafuliya roho mbaya tu
@ZaituniAlmas4 ай бұрын
Yanga raha mpka inakera
@godlistengodlisten75524 ай бұрын
EEEEE MWENYEZI MUNGU WETU BABA YETU WA MBINGUNI TUJAALIE SISI WAJA WAKO,TUWEZE KUWAONGOZA WANETU KUWA KWENYE TIMU YETU YA YANGA,WAPATE RAHA,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛