No video

PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...

  Рет қаралды 93,420

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...
CREDIT: VIDEO HII INAKUJIA KWA HISANI YA 'KLNT Online TV'
Mwanasheria nguli wa Kenya, Profesa Patrick Lumumba amehutubia vijana wa Kitanzania ambapo ameeleza mambo mengi...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 92
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@georgekitosi1514
@georgekitosi1514 Жыл бұрын
Asante kwa kuienzi lugha safi ya kiswahili inayojitosheleza bila kuchanganya kizungu.
@lulochristv
@lulochristv Жыл бұрын
I really admire the way he is delivering his messages when he takes the podium,. The way he is organizing all his speeches, I admire and deeply love this man, well knowledgeable in both theological ideologies, social, economics, historical and political things.🙌🏾. 👏🏾. . . May the Lord keep him for us, Africans.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 9 ай бұрын
Professor Lumumba ni Zaidi ya wengine Nakukubali zaidi ya Zaidi wewe ni Bora Bora Bora mno wewe ni Mhimili wa Africa..watakaoshindwa kukuelewa tuwazike hawana Faida hata tukiishi nao hawatafaa kwa lolote...❤❤❤
@nafutarymajogoro30
@nafutarymajogoro30 Жыл бұрын
Professor huyu huw namkubali sana kwa speech zake
@EliahParpulisEvalyneMkulati
@EliahParpulisEvalyneMkulati Жыл бұрын
Son of Africa - Proud and love your work PLO-Lumumba.
@patrickbatenga2645
@patrickbatenga2645 Жыл бұрын
Asante Sana Professor, umeongea Kiswahili kizuri Sana kuliko waswahili
@lubavacastory1831
@lubavacastory1831 Жыл бұрын
Kwani Lumumba sio mswahili?
@kilinyonellious
@kilinyonellious 11 ай бұрын
I really admire how Plo has content in his speech,,, congrats man of wisdom 💪
@kheriabdu7763
@kheriabdu7763 Жыл бұрын
We need him to be president of Zanzibar
@isayarozeck7512
@isayarozeck7512 Жыл бұрын
This is Real meaning Of Professor, More Appriciate PLO,
@chrispuspaul5682
@chrispuspaul5682 Жыл бұрын
professor is eloquent in both english and swahili. wakenya hua hatumpi heshma anazo stahiki
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 Жыл бұрын
Jambo mtumishi wa Mungu, nashukuru, kuona unaongeya kiswahili safi, maana kila nikikufatiliya, naona kingereza sana, uwe natuchangiya kiswahili kwa hutuba zote popote unapo hutubu, ili wa Africa wengi tuwe na changiya na wengine wana kiswahili. Asante
@amosbusingyewarugaba2550
@amosbusingyewarugaba2550 Жыл бұрын
Profesa huyu ananivutia kila mala ninapomsikiliza...Mungu ampe maisha marefu
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 Жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu Prof.Lumumba.
@kanaelikanuya7919
@kanaelikanuya7919 Жыл бұрын
Hongera sana profesa kwa speech inayoeleweka sana na elimu ya kutosha
@t.kolwali1807
@t.kolwali1807 Жыл бұрын
Waaa! PLO umegonga ndipo. Umezungumza Kiwahili safi sana kweli. Sisi wakenya tunakupenda sana.
@magidachimija5599
@magidachimija5599 Жыл бұрын
Bora bandari tumpe huyu prof❤
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Жыл бұрын
Ningependa sana awe anaongea kiswahili katika hotuba zake zote inapendeza sana ataeleweka zaidi
@HenryAnatoly-jg3df
@HenryAnatoly-jg3df Жыл бұрын
Mungu ibariki Afrika, pamoja na watu wake, wabarki wazalendo wetu wt waliothubutu kuipigania Afrika yao kwa moyo wa dhati kbs. Wasamehe pia madhambi ya wapumzike kwa amani. Tusamehe waafrika wt na kulifanya bara letu kua lenye nguvu na huru ktk imani na fikra.
@user-hp7vm9mv9x
@user-hp7vm9mv9x 11 ай бұрын
Professor lumumba is an African hello.
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 Жыл бұрын
Nice work,you are a real Professor🎉🎉🎉
@ramaboy2390
@ramaboy2390 Жыл бұрын
Atlist professor leo umeongea kiswahili nami nimekuelewa vzri
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@DerickNdonge
@DerickNdonge Жыл бұрын
Proffessor wewe ni kichwa pia kwa Africa...Mungu akutunze.
@SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks
@SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks Жыл бұрын
Asante mwalimu nakutakiya maisha malefu
@lembrismoringelaizerlaizer8741
@lembrismoringelaizerlaizer8741 Жыл бұрын
Be more blessed
@chivatsitsory3399
@chivatsitsory3399 Жыл бұрын
Long live our African leader
@abdulmajaliwa6376
@abdulmajaliwa6376 Жыл бұрын
I do admire this professor 👏👏
@user-gq9tz5nw3v
@user-gq9tz5nw3v Жыл бұрын
Thank you for your intellectual
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Жыл бұрын
PH. LUMUMBA 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@efraimumwakibibi4303
@efraimumwakibibi4303 Жыл бұрын
MUNGU akubariki limumba, MUNGU ibariki Tanzania
@jimbipeter4520
@jimbipeter4520 Жыл бұрын
Ww ni magufuli mtupu🥰
@BASILHOTAY-dp1ss
@BASILHOTAY-dp1ss Жыл бұрын
Good speech
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
Mungu akubariki
@bimulokagera622
@bimulokagera622 Жыл бұрын
PLO huyu anatakiwa kupewa uraia wa Tanzania na tumjengee sanamu la kumbukumbu
@twororeturimekijambere5491
@twororeturimekijambere5491 Жыл бұрын
asanteni sana
@user-hf9lo2es3z
@user-hf9lo2es3z Жыл бұрын
Da kipawa Cha pekee ,barikiwa
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 Жыл бұрын
Nakupenda xan mkuu mambo yko ni mwanga
@user-pz7zi2bf1w
@user-pz7zi2bf1w Жыл бұрын
Mungu mkuuu
@shabanmakata7329
@shabanmakata7329 Жыл бұрын
Kiswahili saaaaaaafi sana ameongea prof utadhani ni mTZ duhh
@7675kio
@7675kio Жыл бұрын
Hotuba nzuri sana kwa kuisikiliza lakini ina mapungufu mengi kwenye utekelezaji. Kwa mfano, nani wa kulaumiwa kwa vijana wetu kukimbilia ulaya? Nani asiyependa maisha rahisi? Wanaolaumu vijana wameshindwa kutengeneza mazingira rafiki ambayo yatawawezesha vijana kujipatia mkate wao wa kila siku. Wengi wanawaambia vijana wajiajiri mbona wao hawajiajiri. Bahati nzuri nina uzoefu wa kuajiriwa na kjiajiri. Kujiajiri hasa kwenye kilimo sio rahisi kama wengo wanavyosema. Hata hivyo, mapungufu hayo hayaifanyi hutuba hiyo kuwa moja ya hotuba bora sana kutoka kwa mtu bora sana Afrika.
@thomasbukira9350
@thomasbukira9350 Жыл бұрын
Huyu ni Prof kweli
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Ishi miaka mingi mtu Wa Mungu.
@estermgata9617
@estermgata9617 Жыл бұрын
Ni kweli waasisi wa mwanzo wa nchi za Afrika walikuwa ni vijana wenye uazalendo, uaminifu na nidhamu
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Жыл бұрын
Tatizo viongo wa kiafrica hasa hawa wa Sasa wapo kimasrahi Yao na vizazi vyao tu,, ndo maana tunatoka kwenda ng'ambo ✋
@stephenkamau8051
@stephenkamau8051 Жыл бұрын
Suprised he knows kiswahili🙆🏾‍♂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Huyu ni professor wa ukweli😊
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Kuna kijana yupo hapo ameshiriki kuuza bandari ameingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi na sasa ni waziri.
@kingnyamafutv8646
@kingnyamafutv8646 Жыл бұрын
Wewe mzee MUNGU akubaliki uwe na Maisha marefu
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Жыл бұрын
Mbona imeishia nusu bana dah GLOBAL TV vp tena
@thomasbukira9350
@thomasbukira9350 Жыл бұрын
namkubali saan hyu Prof,nataman apew nafas kuelimisha vijana zaid kwan ni mtu makini saan na anaongea kiswahil sanifu zaid.ana madin saan ktk bongo yake
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 Жыл бұрын
Yuko wapi natamani nikutane naye..anipe elimu kidogo
@dicksonmmasy55
@dicksonmmasy55 Жыл бұрын
Kuna watu tunatamana hata huyu professor aishi.mpaka siku Afrika imwelewe
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Safi kabisaa
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 9 ай бұрын
Natafuta videos zake za kiswahili.
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Lumumba ongelea mkataba wa bandari wa tanzania na dubai.
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 9 ай бұрын
Natafuta videos za Kuza za kiswahili
@user-pz7zi2bf1w
@user-pz7zi2bf1w Жыл бұрын
@RobertPaul-cg3rl
@RobertPaul-cg3rl Ай бұрын
MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 tha are main purposes are to Advocate of human rights and their resources in TANZANIA and African in general, to emphasize the people of Tanzania and African in general to avoid any entrance of climinal,to maintain peace, unity, independence, solidarity, rights, and responsibilities in case of Economic development especially in Tanzania poorly people living standard
@amosafrica2350
@amosafrica2350 Жыл бұрын
Kuna vijana wenye akili za wizi humo ndani naona hawamwelewi😆😆
@mussaelia8693
@mussaelia8693 Жыл бұрын
NaOmba kupata link ya hii ibada full
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭daaaaaah
@jamesjahasa4726
@jamesjahasa4726 Жыл бұрын
Hawa ndio ma professor waafrika walio Bora baba anaongea kiswahili huyu hachanganyi lugha ya kikoloni
@oklahommy9838
@oklahommy9838 Жыл бұрын
Huyu proffesor kiswahili ni hatari kiingereza ndio udiseme kabisaa
@jahsuncamara-kb2ec
@jahsuncamara-kb2ec Жыл бұрын
Remember mooroko mole shhh secret squirrel 🐿️🐿️🐿️🐿️🐿️
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ulaya hakuna maisha kwa mwafrika😅
@barakabahati6600
@barakabahati6600 Жыл бұрын
Ni mateso tu 😂😅😂
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 Жыл бұрын
Bado sisi utumwa unatung'ng'ania kwa mfano ukiangalia kama mama zetu wanakimbizana na kununua nywele ili tu wafanane na wazungu
@nelsonchristian1555
@nelsonchristian1555 Жыл бұрын
Phd
@ellyitete938
@ellyitete938 Жыл бұрын
Anajitahd kuongea lugha mbili kww ufasaha kiswahili na English
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
kumbe unajua kiswahili barbara
@chombasimon
@chombasimon Жыл бұрын
Waobinafsisha bandari wanaelewa speech hii kweli?
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 Жыл бұрын
Mwalimu angeuchanachana kwa hoja mkataba wa dhalimu wa DPW 😢..
@DerickNdonge
@DerickNdonge Жыл бұрын
Huyu ni mwafrica halisi
@majigeedward955
@majigeedward955 Жыл бұрын
Huyu mzee anachokisema anajifungua upande huu na wakati huohuo anafunika upande wa pili,,tu anasema kuhusu cc vijana tumepunguza uzalendo,,noo,c kweli,,yeye aongee na siasa za Afrika na viongozi wetu na kasumba zao za ubinafc ndiO zinatufny vijana tuwe hivi,,vyama tawala vinaona wao ndio watawala milele ,,,Ihanda ni mfano hai, Rwanda pia,,mbona hazungumziagi hizi tawala zakiafrica?
@pastorwilsonchiusa2910
@pastorwilsonchiusa2910 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana Professor hakika nimebarikiwa sana na mafundisho yako, Uko vizuri hata katika kufundisha Neno la MUNGU. Hakika wewe ni mwana Afrika mzarendo kweli kweli, na Kiswahili chako kimeokoka. Wewe ni zawadi ya Wana Afrika.
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Yaaan kawapiga nainjili? Saaafi
@abrahamesibanze7394
@abrahamesibanze7394 Жыл бұрын
Plo kiswahili unakielewa barabara si mjaluo wakawaida
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Maprofesa wetu wanafanya utafiti wa watu wenye nguvu na kiume na kusaini mikataba ambayo hata mwanchi wa kawaida hawezi kusaini
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Uyu mtu ameongea kitu ambacho mwenye kusikiza inagonga kwa moyo
@African511
@African511 Жыл бұрын
Huyu Prof nchini kwao wanamchukulia poa poa sana,lakini nje na nchi yake ni lulu kabisa sisi tunamuona.
@winterkasela9033
@winterkasela9033 Жыл бұрын
Fuuuu
@wilfredsamson6128
@wilfredsamson6128 Жыл бұрын
Atakufa hana alichotusaidia zaid yakulipwa kwenye haya makongamano
@kdloon2030
@kdloon2030 Жыл бұрын
Unataka akusaidie nini kukupa kazi au kukurahishia maisha yako?Yeye anakupa muongozo,na kukufungua akili.Mengine utafanya mwenyewe coz hata mabadiliko huanza na wewe mwenyewe.
@BASILHOTAY-dp1ss
@BASILHOTAY-dp1ss Жыл бұрын
Kwani Shida Iko wapi, ww unalipwa wap
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
@😀😀😀😀😀😀😀
@ufanisi901
@ufanisi901 Жыл бұрын
Wilfred wewe ni shenzi sana. Akili yako iko wapi? Ubongo wako ni ubongolala!
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 22 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 11 МЛН
LGBT Activists Try To Stop PLO Lumumba From Speaking At The EFF 10th Anniversary Celebration
5:02
Uthubutu Wako Ndio Utaamua Hatma Ya Maisha Yako - Joramu Nkumbi
6:02