Tunaomba Busati kuachilia episode ingine leo 2 tujuane apa
@salhaissa-xq9ov3 сағат бұрын
Chiko tunayofurah chiko kufel mpango wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@samsonkaboko513717 минут бұрын
Huyu akawe mchungaji huko Kwa baba karobo huku atuachie zatiti wetu
@GloriaNahimana-x8p3 сағат бұрын
Mwenye amefulai tacha kuokowa na kai tujuane 🎉❤🎉
@evarkhanaya789115 минут бұрын
evar here
@sharifanyumayo63143 сағат бұрын
Jmn nawaomba Kwa siku muwe mnarusha mara 2 .kama mnaungana NAMI tujuane Sasa 🎉🎉🎉🎉🎉
@bennamush46163 сағат бұрын
Unataka watu wasilale washuti masaa 24 kwa wewe kuweza
@marynabwile40862 сағат бұрын
Ukweli Moja usiku ingine mchana
@hajaronduko761Сағат бұрын
Mbona ile season ingine walikwa wanatuma 2
@hajaronduko761Сағат бұрын
Please tupee mbili episodes per day feel loved from kenya ❤❤❤❤❤❤
@ScolaNgwale21 минут бұрын
Namimi nataka iwe hivyo@@hajaronduko761
@SadaDjuma-e9b2 сағат бұрын
Assant saan Bibi ni nakupenda saan zaid ya kuku❤, mtandike Batuli huyo mchawi asojua utu, team Bibi mpoooo??? Oyoooooo🎉🎉🎉🎉🎉
@ShamieWise2 сағат бұрын
Tupooooooooooooooooooooooo😂😂😂😂😂 kutoka Uganda
@Grace-w4r5nСағат бұрын
Tupoo ten tumejaa tele
@HhUhh-io8ixСағат бұрын
Bi zuuu❤❤❤❤ asante muno heeeee batuli hana utu aki kimrambe Tena sana
@DivineIngabire-lj3srСағат бұрын
Tupooo 😂😂nilimwambia aca sasa kimulambe 😂😂😂😂
@TatuBaya-jy8jlСағат бұрын
Tuko tunamfurahia bib yetu ❤❤🎉🎉🎉
@MRSSUMAILI1233 сағат бұрын
Toka nihanze kuhangalia house girl sija wahi kutoka wakwanza namimi leo nahomba like please 🙏
@SadaDjuma-e9b3 сағат бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, ninafurah kila ninapo kutan na nyie Ninawapenda saan ❤❤❤🎉🎉🎉.
@BetyHaule3 сағат бұрын
Xhida yako tasha mbishi xana bro pongez nying mno kwa kai🎉🎉🎉
@aliceaugustine132744 минут бұрын
Anajikuta mjuaji kuliko kila mtu
@aishaomar22873 минут бұрын
Ndio tujifunze
@AishaAbdoullah2 сағат бұрын
Bibi zuuu KAZI nzuuri hapo Sasa Filamu Ndo inaanza kuwa tamu jamani wanao subiri episode yakufata gonga like hapo Busati TV msitusaliti achiyeni nyingine tuone
@busatitv2 сағат бұрын
🙏🙏
@HapygideonСағат бұрын
@@busatitvMuwe mnatuwahishia mrushe hata viwili jamani Sasa mnatuletea muvi nyingi wakati house girl hamjamaliza
@YusraSiyaleo-yk2fz2 сағат бұрын
Wale tunaoamin batuli atamwambia zuu na kai ukweli na kai atamsaidia pesa.ya kumtibu mama yake batuli gonga like hapa tujuane 😅😅😅😅😅😅
Sania ayo mafazi yako ujapendeza safi san kai n tasha umarafiki wenu mashallah 🌹🌹 hila kina judani mefeli tena mefeli namtazid kufeli msr tasha ni mtu wa mungu mashallah hila chico n jeshi lako mefeli mpumvu mwezetu pole san kumbe papa ndyo waliyomteka mpumbavu mwezetu sania sania kijishangazi cha ngonde ngode kimeupuka
@JohariKasim-r8d2 сағат бұрын
Kipochi manyoya unajua manake😂😂😂😂
@carolineoganda427715 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ggfwtgg16522 сағат бұрын
Chiku Chiku 😅😅😅pessa hazi wakati mtu ana malaika wake 😅😅nimecheka hapo niende kwa batuli nimubaya bibi fanya kazi yako nakuamini huwezi kuniangusha unampenda mjukuu wako ❤❤❤❤
@FaidhaRamadhani-p6i2 сағат бұрын
Sema candy me nampenda na vituko vyake anaichangamsha hii move kwakwel 😂😂😂🎉🎉🎉
@JaneveeThomas3 сағат бұрын
Nimejitahd kuwahi Leo jamn busati tv mnaupiga mwingi 🥰🥰🌹
@mbikamtanganaki2 сағат бұрын
Asante bibi kwa kumuokoa zuu ila mfunze somoe asipende kucheza na maisha ya watu mbwa uyu
Sania anafanya watu wembamba waonekane wa ajabu mpumbavu anaomba kuzimia
@MagdalenaFrancis-up6wqСағат бұрын
😂😂😂😂😂
@RehemaMwakisyala-k9u2 сағат бұрын
Wew chiko unamatope sio akili 😂😂😂
@EveKaari-r7r3 сағат бұрын
Sania mipango imefeli na mshajulikana wote
@NajmahnyangasiСағат бұрын
Nimefurai kuona tasha na msimamo wako na kai alafu bstuli sema ukweli ujulikane jaman batuli wewe bizuu nakupenda sana mashallah kazi nzuri sana maua hayo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DivineIngabire-lj3srСағат бұрын
😂😂😂batuliii 😂umeyakanyaga leo nilikwambia tangu mwanzo ona sasa kilikukuta 😂😂😂😂hapo mwanzo hujaona kitu😂😂😂
@nevyStecy-g6v2 сағат бұрын
Hongera xn kai,,,,sania kaumbuka😢
@aishaomar9621Сағат бұрын
Batuli kanaswa na bibi zuu 😅😅😅😅😅bibi zuu ungemchapa mpka atakaposema ndio umuachie😅😅😅😅hapa patamu chiko huwezi kufaulu huo mpango wako😅 Mr Tasha Sania sio mtu mzuri umejionea sasa😢
@sadahamad61582 сағат бұрын
😂😂 chiko sasa tasha ndio kipochi manyoa bibi zuu ❤❤🎉🎉 kiramba ukwaju huishi vituko 🤣🤣
@FelisterLikuda-y9eСағат бұрын
Hio ni point km inawezekana kwa ck mrushe japo episode 2 itakaa poa sn
@berthashigela6638Сағат бұрын
Msimu uliopita ilikuwa na ep tatu kwa cku naomba na huku bc iwe tatu maana wengine hatulali na mi nikilala namwota Kai na Tasha ss jmni pls iwe dose bc mara tatu kwa cku
@busatitvСағат бұрын
Inshaallah
@Mwanajumahassan-tg3zg56 минут бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂busat tv hoyee yani nimecheka mm leo hii move yani nitamu hadi basi...😂😂😂😂😂😂tasha na kai aki urafiki wenu ni wakusaidiana hongera nimechekeshwa na hao watekaji 😂😂😂😂😂😂😂😂wakimbia kila mtu upande wake 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤ loo na batuli kimekuramba wako wapi mabosswako
@MauaMbaroukСағат бұрын
Ztt watah ili iwe fundisho kwa jamii, sanaa inafundsha jamii wafundisheni ukiach mwenzako anachukua ukidharau mwenzako hukithamini tasha kiokote kifaa ili jamii ujuwe tusionekane wanawake t hatuna uzzi buli na wanaume inatokezea ss wnawke sababu t tasha o🎉a na Mungu akupe pacha ili 1 mwimwite chiko 2 mwimwite rahma 💕💕💕💯
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 сағат бұрын
Kumekucha kwa batuli au somoy unajidagaja ww batuli acha unafiki ww ushsupuak ww chezee bibi zuu ww n kazi yake mashallah mau yako bibi 🎉🎉🎉 batuli batuli nikuamby ww kitakuramba tu muda umefika mwisho somoy somoy kula chuma hchoo kwa bibi zuuu nimependa hyooo 😂😂😂
@GloriaNahimana-x8p3 сағат бұрын
Jamani leo nimewai naomba like 🎉❤🎉❤
@HapygideonСағат бұрын
Bibi zuu 🎉🎉🎉🎉umejua kunipa furaha,,huyo somoe mbaka aseme na sania na chiko na gang lenu liwakute jambo
@SdFft-j5gСағат бұрын
Kwa hyo papa ndo aliyemteka mkewe kilamaba😢😢😢, tulikua tunasema tuu ni kendii kumbe noo, nimefuraha bibi yke na zuu kwa Kuja umuokoa mjukuu wke, alfu kilamaba unaomba uzimie mmh😂😂😂
@hutahuta11702 сағат бұрын
😂😂😂😂naeapenda zuu nashemrjiyake nataka nizimie😂😂 bibi zuu hongela sana mungu atawalinda kai zuu tasha nazatiti
@HanifaHabiboСағат бұрын
Safy Sana Bibi Yake Zuu mpe kibano batuli aseme vyote mbele ya Zuu na kilamba ukwaju 😂😂 chiko huo unao Fanya ni ushamba kubali matokeo😅
@mariaowenya8378Сағат бұрын
Somoe uyo ni bibi umeweweseka wakat ulisema mapolisi wakikukamata hutowataja😂😂😂😂😂🏃🏃🏃
@DeeDan-sj1mrСағат бұрын
Sania kafikaje kwa masozy wakati alikua kwa chiko analaumiwa kwa kutokumteka mr taxha jaman pangen vzr ivyo vpande
@veronicahmomanyi2 сағат бұрын
Kwel sahii siwaelewi kbsa wanataka kualibu movie my mother ndyo wametangulia bado tumalize kwanza house girl
@PetronelaAdam-b9lСағат бұрын
Nampenda kiramba ukwaju jamn kama unampenda kilamba. Ukwaju gonga like
@PetronelaAdam-b9lСағат бұрын
Iike
@anniesylivester4100Сағат бұрын
Anachokifanya chiko mpaka sasa sio mapenzi tena n ujambazi😂😂😂😂🔥
@SalamaRajabu-c6h2 сағат бұрын
Nimefraishwa na Kai na bibi zuu hongeren Wana busati tv
@levinaernest436451 минут бұрын
😄😄😄 kabisa
@Juliety-v3o2 сағат бұрын
Bibi zuu tunakushukuru sana
@marynabwile40862 сағат бұрын
Aki muachilie hata mbili kwa siku tafadhali mnatuacha sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@salhaissa-xq9ov3 сағат бұрын
Honger San bib zuu kwa kumumbua batuli maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@EvelinMsagati3 сағат бұрын
Leo nimekuwa wakwanza ❤❤❤❤❤
@FaithJoshua-n8n5 минут бұрын
Mimi nawakilisha wa Kenya,, tujuane jameni 🎉🎉🎉
@JohorahassanHadiСағат бұрын
Bibi yake zuu mshike batuli vizuri sana aseme kile kimemleta kwa zuri
@SaraUlaya-is2ch3 сағат бұрын
Yaan kiramba we mwehu eti shemeji niache. Nizimie
@valentinembwika23212 сағат бұрын
😂😂😂😂
@ShakuurRayyan2 сағат бұрын
😂😂😂
@selestinakazuvi72132 сағат бұрын
😂😂😂 halafu ukizimie tenaa jamni
@MariamHamadi-z5l2 сағат бұрын
Huyu chiko ananikera hilo jina la kipochi manyoya hivi anajua maan yake au anaita tuu😅😅
@Neema-h4d46 минут бұрын
Aisee pambee tu mm nasubir batuli aseme ukwel
@abigaelabraham86293 сағат бұрын
Kwa mara ya kwanza kbs Leo ninaomba like jamani
@AnnaEmmanuel-cw8hwСағат бұрын
Naomba ni zimie😄😄😄
@JuliusMakau-er1fw58 минут бұрын
Bna saizi mnatoa pole pole lakini
@AngelSebas-f2c3 сағат бұрын
Leo nmewah
@lillyjames14813 сағат бұрын
Jamani nipewe likes Leo nimewai
@christinewanga738516 минут бұрын
Waah! hii Movie i say iko 🔥🔥 na Mafunzo kibao, umudhaniae siye diye, hio ni kwa Zuu na Mr.Tasha, 2, Urafiki kati ya Mr.Tasha, Kai na Kilamba ni wa kupigiwa mfano na kufaa❤️❤️🥳 3, Smtmes tusiwee na huruma ile ya sanaa na kuamini kila mtu licha ya kuona Redflag kiac kwamba tunasahau Adui ni wale tu wanaotuzunguka, anyway Busati T.V movies zenyu ni 🔥🔥🔥👏👏👏
@FghgRyy3 минут бұрын
Batuli 😂😂😂😂 kimemrambaa leo Chiko achana na mipango yako bana hata ukienda mwenyewe huwezi 😂😂
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 сағат бұрын
Kiramba mchuzi eti sehem ukweli bibi hatakuzima hyooo somoy somoy kitakuramba au kishakuramba cend cend mwezenu 🔥🔥🔥🔥 unamuakia uku hila sania n cend mnapingia kelele m kijacho tu hap
@HarrietNeema-d9v27 минут бұрын
Hongera sana bibi zuu Kwa kazi yko nzuri ❤❤ movie tamu Kwa sasa❤❤❤❤ nawapenda bure team busati 🎉🎉🎉
@MwanakomboAli-p5e2 сағат бұрын
Asante Bibi zuu😂
@sakina555056 минут бұрын
Batuli batuli batuli nimekuita mara 3😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kilamba eti shemeji naomba nizimie😂😂😂😂😂😂
@PerezQuenisha18 минут бұрын
Hongera sna Kai n bibi zuu
@ReneNzeyimanaСағат бұрын
Jamani Léo wakwanza kutoka Burundi naomba like zenu wananzengu🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Betty-t9q48 минут бұрын
Hapo sasa Bibi kafanya lake,wangapie tunaamuunga mkono,tujuane kwa like🎉❤🎉❤
@FghgRyy40 секунд бұрын
Kai bey Kai bey ❤ Nakupenda mpaka naumwa umejua kunifurahisha wewe ndio rafik mwema kabisaaa 🎉🎉
@busimebiringanine58002 сағат бұрын
Pastor Chiko 🤣🤣🤣 hasira za nini
@adamsalim587Сағат бұрын
9:30 Huyu ana matatizo maskini ya Mungu hana shida yoyote huyu binti bibi😂😂😂😂 Kilamba umeupiga mwingiiii aiseee
@salhaissa-xq9ov2 сағат бұрын
Jaman pap nae alogikiria nin kumteka Mke WA kiramb ili apate kend kiurahisi sas kend kamweleza kweli tunao amin Mke WA kiramb ataavhiliwa na pap tujuane
@sarafinamochache8269Минут бұрын
Batuli kikurambe kabisa 😂😂😂 mr chiko unafaa ujue hizo gharama hata ukiamua utumie zote zatiti ndio kusema
@Johar9032 сағат бұрын
❤❤❤❤ongereni sana kwa kazi nzuri bibi zuu pambana akikisha zuu akimzuru kitu yeye pamoja na kai Somoe sema ukweli Mungu awabariki nyote