Ila wanaume jaman😮 yani kilamba stress za mpumbavu mwnzko zimekuisha hadi wataka pewa pass ufunge mwnyw 😂😂...alafu tasha na kai mwafaa kuekana wazi sio kuvamiana ivo ntauwana kwa presha
@Ummyrahy66663 сағат бұрын
Mpumbavu wehhhhh umenimlzaa😂😂😂
@MasauShida2 сағат бұрын
Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿
@NajmahBebbsy-uw5iz2 сағат бұрын
Jamn house girl nowdays mnatoa episode fupofupi sana 😊😊❤one lov kama unakubaliana na mm gonga like tukisonga
@majumamusa8972Сағат бұрын
batuli myiramba mwenzangu kumbuka fathila za zuu lekite danda yanso mau weee😂😂😂😂
@MwanamisiSuleiman2 сағат бұрын
Kwaju😂😂😂😂
@sarafinamochache82692 сағат бұрын
Mwachiko jamani hilo jina kipochi manyoa la kufaa wewe sio mr tasha 😂😂😂😂😂😂 Vile unavyo litamka
@AshuraHamiss-g1lСағат бұрын
Sas candy somoyee unamtumia location kwenye cm gan😂😂😂jmn enewey guys nawapenda
@ASHANDEGWA2 сағат бұрын
Jaman mtu akikwambia ukiwa na D mbili ndio utaelewa,huwa anamaanisha nin
@ZenabebyСағат бұрын
Ukipata jibu niambie mpenzi 🥰
@SaumuJumwa-u4vСағат бұрын
Candy wala raha na pesa ya nyumba 😂😂😂acha iishe utulie juu ndo umemnunua batuli akamue zuu acha kiwarambe mpka mshangae
@mumfaraji5034Сағат бұрын
Huyu chamkondee nae kutwaaaa kuwaza waganga,bichwa kubwa mwili mdogo 😏
@umentco96002 сағат бұрын
😂😂😂😂 kilamba kikwanzo si kuraisi leo umesahau muchijiga mwesangu
@HarrietNeema-d9vСағат бұрын
Sania na kendy mwadanganyana lakini nawapenda ❤❤❤❤ Kwa maigizo yenu🎉🎉🎉
@SadaDjuma-e9b3 сағат бұрын
Wana BUSATI TV na washabiki wenzangu Ninawapenda saan, Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ❤❤❤❤
@EstherMzungu-b4nСағат бұрын
Jamani chiko usimwiite mwenzako kipochi manyoya😂😂
@careenmponzi88233 сағат бұрын
Yani candy na sania ngoja ardhi ipinduke watajuta hawamjui bibi🎉
@NadiaRamadhan-q1m3 сағат бұрын
Waka naomba like
@FatumaJuma-vk8nv3 сағат бұрын
Mambo yameanza kuchangamka😂😂😂😂 Kama unaamn weka like apa🎉🎉🎉🎉
@asmasultan74143 сағат бұрын
Zuu izo nywele fungua zatisha ndipo😂😂😂
@AnnahNanjala-xh6ov2 сағат бұрын
Candy na sania mlisaliwa nani? Jamani vituko haviishi😂😂😂🎉🎉
@ZaitunIssa-w9p3 сағат бұрын
Watuuu hatulali tunasubiri hii move jamani haipoii😂😂😂
@Nassrah7373 сағат бұрын
Watu hamlali khaa dak3 watu wana kanyagana😢 ata sehem ya kupita hamna
@AishaRadjabu-mz7ozСағат бұрын
Sasa jamen kendi akutapelew ten mbon sielew
@herveiratunga36563 сағат бұрын
Nawacukiya hawa wawiri kabisa
@agathashayo89072 сағат бұрын
Waoooo Yan ni bandika bandua tushindwe sis tu😂
@MwanarusiRupia2 сағат бұрын
Mashaallah movie nzuri sana😂😂😂😂😂😂😂
@NyamweruAlex58 минут бұрын
Hahahaaa et location we kendy una mambo baturi ana Kiswaswaduuu.
@fatumariziki7276Сағат бұрын
Wee chiko wajua kipochi manyoya huku Kenya nimatusi ww😂😂😂😂😂😂😂😂