HOUSE GIRL EP 25 | S3 | Love Story 💕💞

  Рет қаралды 18,512

BUSATI TV

BUSATI TV

Күн бұрын

HOUSE GIRL SEASON 3

Пікірлер: 387
@geraldcrispini
@geraldcrispini 2 сағат бұрын
Chiko hana akili kabisa wanaompa big up tasha like kama zote
@aishahamis1609
@aishahamis1609 Сағат бұрын
Tupoooooo
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Honger tash kwa tabia nzur uliyoonyesh kwa wakwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉🎉Tash tulio furahia tash kusifiwa na wazazi WA zatit tujuan kweny comment
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj 2 сағат бұрын
Tasha ameweza sana eshima kitu kizuri
@user-Ambani
@user-Ambani 2 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GloriaNahimana-x8p
@GloriaNahimana-x8p 4 сағат бұрын
Tunao furahia doa ya zatiti na Tacha tujuane 🎉🎉
@Mariam-vg6wt
@Mariam-vg6wt 4 сағат бұрын
Nimewahi leo jaman toka nianze kuangalia sijawai pata hata likes mbili 2 😊
@Saumu-lm7nt
@Saumu-lm7nt 2 сағат бұрын
Sania Kama nakuona ulivyo Kama kimdori na kitumbo kikitoka Kama mtungi 😂
@fammamaboko6543
@fammamaboko6543 4 сағат бұрын
Dakika 3 jameni nimewahi N'a Mimi Léo nipewe like hâta 10😂😂😂😂
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 4 сағат бұрын
Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu yoyote atasomo comment hii Mwenyezi Mungu amfungulie milango ya baraka 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mwanaisha9462
@mwanaisha9462 3 сағат бұрын
Amina
@JescaYusuph-m4y
@JescaYusuph-m4y 3 сағат бұрын
Amina
@LucyelijaKadalida
@LucyelijaKadalida 3 сағат бұрын
Amin
@AminaKavuo-gj3oc
@AminaKavuo-gj3oc 3 сағат бұрын
Amen mim pia nimetoka Kenya
@mwanaisha9462
@mwanaisha9462 3 сағат бұрын
@@SaumuJumwa-u4v mm pia natokea kenya
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 сағат бұрын
UTAKAYESOMA HII COMENT MUNGU AKILINDE WW UZAO WAKO INSHALAA🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@Farthun
@Farthun 3 сағат бұрын
Amiin inshaallah kwako pia
@finedichengula6816
@finedichengula6816 2 сағат бұрын
Amina mtumishi
@shaniabdallah9993
@shaniabdallah9993 2 сағат бұрын
In shaallsh nawe pia
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Сағат бұрын
Allahumma Amiin 🤲 YAARAB 🤲
@MwanashaHemed-w3r
@MwanashaHemed-w3r Сағат бұрын
Amiin inshaallah 🤲
@ChimammyMummy
@ChimammyMummy 27 минут бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣chikoo jamenii ety hata kama tumejifunzaa Kwamba maji hayana rangi lkin sikwa Hali hiyoo nmechekaa
@veronicahmomanyi
@veronicahmomanyi 4 сағат бұрын
Team zuu siku hiz mnamuona zuu hako Sawa jaman
@Fathasssane-vs2th
@Fathasssane-vs2th 3 сағат бұрын
Nahis ana mimba kweli huyu
@pendochacha1326
@pendochacha1326 3 сағат бұрын
​@@Fathasssane-vs2thhii itakuwaa mimba kweli sio maigizo ila sasa kiuhalisia ni ya Kai au nani nisaidieni kiuhalisia lakn😂😂😂😂😂
@Frola-r9z
@Frola-r9z 3 сағат бұрын
😅😅😅😅 jamani
@veronicahmomanyi
@veronicahmomanyi 3 сағат бұрын
@@Fathasssane-vs2th kbsa Yani yupo yupo to
@Fathasssane-vs2th
@Fathasssane-vs2th 3 сағат бұрын
@@pendochacha1326 kai 🤣🤣🤣🤣🤣
@niyaofabian5483
@niyaofabian5483 3 сағат бұрын
Baba zatiti amuita mama zatiti, mama tasha😂❤❤ kuigiza kazi kunamazoea aseeee
@jonnyfranco5318
@jonnyfranco5318 3 сағат бұрын
😂😂😂 duh walishindwa kuedit
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 сағат бұрын
Mm nmeelewa kamkubali kijana na ndio maana kamuita mkewe mama tasha
@dianadiana2958
@dianadiana2958 2 сағат бұрын
Chiko anadharau ya high standard 😅😅😅
@MwanahijaMwachanga-q3n
@MwanahijaMwachanga-q3n 2 сағат бұрын
Hamna kwa xaxa kashakuwa mama Tasha
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 сағат бұрын
@@MwanahijaMwachanga-q3n true
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 сағат бұрын
Tasha hongera zake ameweza kukaza kla Aina ya tusi kutoka kwa wazaz wake zatiti, lkn mwshon kapata asilimia 💯
@JanetRiziki-ut2is
@JanetRiziki-ut2is 2 сағат бұрын
Wenye tunasubiri harusi ya mr tasha na zatiti mikono juu ❤❤❤❤
@Mwanajumahassan-tg3zg
@Mwanajumahassan-tg3zg 3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂 ngonde asante sanaa kwa kumpenda sania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania piskali imeisha...rehma kazi unayo machozi ya zatiti nawe utalia tuuuu😂😂😂😂😂😂😂mr tasha unaenjoy kweli hongera busat tv❤❤❤❤❤❤❤
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 3 сағат бұрын
Safi ngonde mapenzi umempende Sania 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Ngonde umemuweza tujuane hap chin tulio furahia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@symochanji6896
@symochanji6896 4 сағат бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 wapi likes sa Busati tv Kwa kazi nzuri wanaofanya jamani
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 3 сағат бұрын
Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
@shamimtv254
@shamimtv254 3 сағат бұрын
😂😂😂 siyo tisa ni chisa
@MwanamisiMunnah-x3v
@MwanamisiMunnah-x3v 3 сағат бұрын
Asssaaaanteee😂😂😂😂
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 3 сағат бұрын
@@shamimtv254 aaaah oooh majina mengine niya laana 🤣🤣😂😂😂😂
@SaumuJumwa-u4v
@SaumuJumwa-u4v 2 сағат бұрын
@@MwanamisiMunnah-x3v 🤣🤣🤣🤣hapo hua kunanipunga
@DorothyAldo
@DorothyAldo 2 сағат бұрын
Asaaaaaanti😂😂😂😂🎉
@كامليا-ر7ز
@كامليا-ر7ز 3 сағат бұрын
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AdveraElias
@AdveraElias 2 сағат бұрын
Na bado hajasema 😂😂😂😂😂😂
@SdFft-j5g
@SdFft-j5g 3 сағат бұрын
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
@TheresiaMoses-g7w
@TheresiaMoses-g7w 3 сағат бұрын
Mwacheni Mr Tasha anazoe mazingira ili aepukane na majanga ya chiko
@aishaallyaishaally3220
@aishaallyaishaally3220 2 сағат бұрын
Kama🎉 wanaamin tasha ataenda lima kwa mzee mkolon km mm gonga like ndugu❤❤❤❤❤❤
@HonorX5-o1h
@HonorX5-o1h 44 минут бұрын
Mimi ninamni ataenda❤
@افلينافلين-ي9ك
@افلينافلين-ي9ك 2 сағат бұрын
Kumbe chiku ww wuna sifa mbaya ukweni. Pole
@DominPallangyo
@DominPallangyo 3 сағат бұрын
BUSATI TV FOR HAPPIEST LIFE ❤❤🎉🎉 Mungu azidishe nguvu na maarifa kwenu wana Busati 🙏🙏🙏💕
@Najmahnyangasi
@Najmahnyangasi 3 сағат бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila sania kubali uwe mwana maji wa ngonde kimamula
@DianaMkembelwa
@DianaMkembelwa Сағат бұрын
270,Sania kushwa habari yako.tuzaliye huyo mlic mama 😮😮😮😮😮😮😮😮
@celestinekakai1981
@celestinekakai1981 2 сағат бұрын
Makofi kwa ngonde👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂 Sania utasaidia kupiga dawa wateja wa ngonde
@Elizabeth-p3d
@Elizabeth-p3d 4 сағат бұрын
Jamn na mimi nime wahi leo makofi kwangu haijawahi tokea😂😂😂😂 wazima lakn
@AdassaMsafiri
@AdassaMsafiri 4 сағат бұрын
Naombaa like hata mojaa jamanii nimewahi
@babysister4th
@babysister4th 2 сағат бұрын
Jamani leo nimependezwa na Rahma ❤❤
@ميريالشمري-ح9ب
@ميريالشمري-ح9ب 3 сағат бұрын
Ila rahma ikopowa❤❤❤ unapenda watoto 😂😂tulia saniya uzae namizimu yangonde achashombo😢😢eti msaidiye ngonde kutibuuu😅😅😅
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol Сағат бұрын
Tasha umepata asili💯💯zote Kwa wakwe zako wallah Hila hyoo chico unajishau bore kwen masasi yup kama hvyo acha zarahau mchi inawejewe kina p Didi 😂😂😂
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Kumb chiko tabia yako na chafu mpak wakwe uliwatukana na Mke umekosa jaman tumzomee chiko aliweka mwany toka Zaman jaman hapo chin chiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Moraadianaa-o2wys
@Moraadianaa-o2wys 4 сағат бұрын
Wa kwanxa naombeni likes kutoka Kenya ❤❤
@user-Ambani
@user-Ambani Сағат бұрын
My fellow kenyans🇰🇪 hizi mboga anazotengeneza mama zatiti sini matawi ya muogo au mm macho mabaya😅
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Сағат бұрын
Ndio mboga hiyo kisamvu tunaita
@user-Ambani
@user-Ambani Сағат бұрын
@@zainabzain3434 Natamani kujua taste yake
@DorcasNasimiyu-g4e
@DorcasNasimiyu-g4e Сағат бұрын
Sania Mrs mganga😂😂😂😂 hapo ume patikana. I love you guys. Good job🎉🎉🎉
@moonGirl-t1i
@moonGirl-t1i 3 сағат бұрын
Ndani ndani from Kenya nawafuatilia sana Tasha pongezi kwako kq heshima ya wazazi wa zatiti lakini hiyo Chiko na madharau yake kwa wazazi C viema
@DivineIngabire-lj3sr
@DivineIngabire-lj3sr 2 сағат бұрын
Cisa jua kuyaoga ayo maji uluyacemusha pekeako😂😂😂😂
@AishaKombo-n5f
@AishaKombo-n5f 2 сағат бұрын
Wakwanza mm kufurahi kumuona rahma àmeikubali mimba ya mume wake kwa mwanamke mwenzie ❤❤❤❤❤
@Leilajepmtu
@Leilajepmtu 3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mnganga jukua Maua yako 💐💐💐💐💐💐💐💐 saniya umekua kierere Sana dada 👍👍👍👍👍
@ElizabethDaudi-b6v
@ElizabethDaudi-b6v 2 сағат бұрын
Kijiji chakishamba,mtandao wakishamba nakila kitu chakishamba
@elvinakalu6991
@elvinakalu6991 Сағат бұрын
Kumbe chiko anamadharau sana ,kwa familia ya wakwe zake
@KevinRioba-v8t
@KevinRioba-v8t 36 минут бұрын
Chisa ningekua wewe naachana na movie juu mwanamke hawezi niendesha
@umfahad2609
@umfahad2609 2 сағат бұрын
Jamani wameni tamanisha ugali wa muhogo. Sie tuliokua nje ya TZ chakula adimu hichi jamani. Chiko anakidharau.🤤🤤😋😋
@DominPallangyo
@DominPallangyo 3 сағат бұрын
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
@mauamshindo2558
@mauamshindo2558 3 сағат бұрын
Wanakela sana baada ya kutoa maoni wanataka like tuh😂
@DominPallangyo
@DominPallangyo 3 сағат бұрын
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
@SakinaMuba
@SakinaMuba 3 сағат бұрын
wajinga sana
@FaisalAlrefai-u2y
@FaisalAlrefai-u2y 2 сағат бұрын
​@@SakinaMubaKweli kabisa
@RehemaMwakisyala-k9u
@RehemaMwakisyala-k9u Сағат бұрын
Kwan izo like wanalipwa? naomba kujua mi mgen jaman
@Frola-r9z
@Frola-r9z 3 сағат бұрын
Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri tunajifunza mambo mengi kupitia kipindi hiki 🙏🙏
@fatmahaji7639
@fatmahaji7639 Сағат бұрын
Jamani Nimeumssss huo ungali wa Muhongo nawapenda wote nakupateni vizuri oman
@umfahad2609
@umfahad2609 3 сағат бұрын
Wa 42. Nami pia cjachelewa saana jamani leo. From 🇴🇲. Nawapenda saana Busati TV. Kazi nzuri. Na kl la heri.❤
@EnjoyJosephElikana
@EnjoyJosephElikana 3 сағат бұрын
Lahima nimekupenda umekua nahuluma namwenzio nakupa🎉🎉🎉🎉 mauwa kwahuluma nimwanamke unayejua uchungu
@MwanakomboNassor
@MwanakomboNassor 12 минут бұрын
Chiko kanivunja mbavu apo kw ugali wa mihogo😂😂😂😂😂
@MwendeMunyao-zi1iy
@MwendeMunyao-zi1iy 4 сағат бұрын
Nimewai jamani naoba like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
@coolboymicky3651
@coolboymicky3651 4 сағат бұрын
Chisa kautaka 😂😂😂kazi anayo wake wawil
@MwanamisiMuna
@MwanamisiMuna Сағат бұрын
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
@shadya-gi8br
@shadya-gi8br 2 сағат бұрын
Ila Sania ety ngomde kimamula mganga wa kienyeji😂😂😂😂😂
@leahfwimi5917
@leahfwimi5917 4 сағат бұрын
Nipen like nimekuwa wa kwanza❤❤❤
@floramacheva5855
@floramacheva5855 2 сағат бұрын
Kumbe dharau ya chiko ilitoka kitambo 😢😢😢😢 kweli Zatiti hukustahili kuishi na chiko kabisa 😢
@JaneMhango-yl7xo
@JaneMhango-yl7xo 3 сағат бұрын
Hata mm sijachelewa sana pa 25 seconds mm kutoka 🇿🇲
@AishaAbdoullah
@AishaAbdoullah 2 сағат бұрын
Jamani Busati TV kuweni mnapunguza kumbukumbu msiwi mnaifanya ndefu
@ElizabethDaudi-b6v
@ElizabethDaudi-b6v 2 сағат бұрын
Mbona maji nikama ya singida😅😅😅ila chiko siyokwakuchamba huko😅😅😅
@sayunimnguruta98
@sayunimnguruta98 2 сағат бұрын
Rahma umenifirahisha sana kumbe kuna muda una utu ❤❤❤❤
@FunnyBanjo-xm8cz
@FunnyBanjo-xm8cz Сағат бұрын
Hhhhhh chko nakuchukia vibaya yayayaya nampenda mista tashaaa aishimiweeez
@buru1235
@buru1235 4 сағат бұрын
Chisa kumbafffff Sana ww Yani ww n nyoka mkubwa Sana wallai Yani nakichukia Sana 😢
@marymele9714
@marymele9714 3 сағат бұрын
Sania kula chuma icho na babakijacho wako😅😅😅😅
@DelvinChepkorir-t1d
@DelvinChepkorir-t1d Сағат бұрын
Kweli Zatiti kumbe iyo ndoa ya kwanza ulikosea kabisaa,,,,, heri tuh Sasa umempata Tasha wako❤❤
@NoorAli-gk8bj
@NoorAli-gk8bj 3 сағат бұрын
😂😂CHIKU bwana ulimbo maji yameekwa sabun
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 3 сағат бұрын
Sania acha kumkazia Mr aasanteee😂😂😂
@user-Ambani
@user-Ambani 2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Сағат бұрын
😂😂😂
@HalimaAli-e4w
@HalimaAli-e4w 40 минут бұрын
Jamni chiko kumbe alikuwa mjingaa sana jamni 😅😅wapi like❤🎉za tashaa wetu
@MrsMariam-x2s
@MrsMariam-x2s 2 сағат бұрын
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
@BeatriceMvaty
@BeatriceMvaty 3 сағат бұрын
Nikajua bas nimewah kumb duuhh Aya hongereni ❤❤❤
@NgalamnyaziScolasticah
@NgalamnyaziScolasticah 30 минут бұрын
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 2 сағат бұрын
Jaman chiko ulikua najipa laan tmwenyew toka zaman sas zinakuendesha w huna adabu chiko
@AminaBakari-oy9eb
@AminaBakari-oy9eb 2 сағат бұрын
Sania tulia mgaga kashafanya yake😂😂saii tukiz pisi kali namimba ya mizimu😂😂😂
@MrsMariam-x2s
@MrsMariam-x2s 2 сағат бұрын
Ila.mie kitu sijapenda kendy kurudi kuongeya na kayi zuu angeanza kipata raha namume wake bana mana kateseka sana mwanzo
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol 2 сағат бұрын
Chisa kautaka chisa kauliy wap baba vijacho chisa na ngonde ngonde maua 🎉🎉🎉 bad msr Tasha
@lovenessmallya816
@lovenessmallya816 3 сағат бұрын
Ja'mani natamani sania ageuzwe nyoka na Mganga a.k.a Baba kija 😅😅😅😂😂
@aishaomar2287
@aishaomar2287 2 сағат бұрын
Astaghfirullah, mhurumie😂😂😂 mlitaka mimba akapata...sai nyoka! Aaaaweeeeh 😊
@TeresaSefu
@TeresaSefu 2 сағат бұрын
😂😂😂😂
@user-Ambani
@user-Ambani Сағат бұрын
Haaa😂😂
@VumiliaAmina
@VumiliaAmina 3 сағат бұрын
Kwa huu muchezo Rahama namupenda sana
@salhaissa-xq9ov
@salhaissa-xq9ov 3 сағат бұрын
Chisa acha kujifanya unamkana mtot wew
@ElizabethDaudi-b6v
@ElizabethDaudi-b6v 2 сағат бұрын
Leo chiko umenichekesha sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥huu siulimbo kabisa jamani
@ASHANDEGWA
@ASHANDEGWA 3 сағат бұрын
Kwanza Chisa waendana na Masozi huyo Rahma aaah
@daphinekemto3094
@daphinekemto3094 3 сағат бұрын
Kazi nzuri wana busati na mungu awabariki❤❤
@OtiliaExavery
@OtiliaExavery 3 сағат бұрын
Kumbe chiko dharau ni za kwake tokea zamani duuuh
@Jenniffer-m9k
@Jenniffer-m9k 3 сағат бұрын
nimewahi jaman .naomben like zenuu🎉🎉🎉🎉🎉
@MwajumaAthuman-wv9mo
@MwajumaAthuman-wv9mo 2 сағат бұрын
Chiko untk chipsi. Nd auna ng.....😂😂😂
@امينهاا-ق4ف
@امينهاا-ق4ف 2 сағат бұрын
❤jaman mauwa ya mama zatiti hayo🎉🎉🎉❤
@HanifaHabibo
@HanifaHabibo 47 минут бұрын
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
@Juliety-v3o
@Juliety-v3o 3 сағат бұрын
Xaxa sania apo cjui unabixana nn na ngonde apo we bebatu mimba ya mganga uo mdomo utaisha tu nijambo la mda
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 сағат бұрын
Maji asilia ya kijijini nayapenda hayana dawa
@RizikiZiki
@RizikiZiki 2 сағат бұрын
Chiko 😂😂😂huna lako Tasha kakula pawa si kwavituko ivyo ulivyokuwa navyo ukweni😢Cisa umeyatimba unajuwa vizuri mkeo nimkali alafu unajitowa akili😂😂
@Pili-n3l
@Pili-n3l 6 минут бұрын
Huyu masoz mzuri kwel mashaallah
@Maryam-e2x8p
@Maryam-e2x8p 3 сағат бұрын
Chiko afai katika hii familiya majidevu tu 🇸🇦 🇸🇦
@HadijaVinyu
@HadijaVinyu 3 сағат бұрын
Chisa mwenyewe Sasa Anaegombaniwa😂😂😂😂😂
@EstherMzungu-b4n
@EstherMzungu-b4n 2 сағат бұрын
Eeeeh lakini chiko umeweza leo kilakitu kwako sumu😂😂😂
@MinnahPetra
@MinnahPetra 2 сағат бұрын
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
@MariamHamisi-ti9vb
@MariamHamisi-ti9vb Сағат бұрын
Jmn mama na baba zatiti mumenikumbusha kijijini kwetu ugali km huo na maji hayo yalivyo tamu 😢😢😢😢nakumbuka mbali sana
@ميريم-ط1س
@ميريم-ط1س 52 минут бұрын
Chiko kama chiko kitu kama huwez siunaacha tu kulko uongee Huna haya wee kwa wakwe waongea ww tu 😂😂Ila hayo maji mmmh pia mm singeweza kunywa 😂😂
@Hapygideon
@Hapygideon Сағат бұрын
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
@SwaumuJuma-d6t
@SwaumuJuma-d6t 21 минут бұрын
Wivvu
@SwaumuJuma-d6t
@SwaumuJuma-d6t 21 минут бұрын
Wivvu😊
@Fredmsemw
@Fredmsemw Сағат бұрын
Jamani mpumbav mwenzangu kapoa kweli
@MarikiaMbombwe
@MarikiaMbombwe 32 минут бұрын
We mshenzi chiko unavotuzalilisha we fala kwiyo cc wandengereko washamba sawa bwan
@AAl-r1s
@AAl-r1s 2 сағат бұрын
chiko ugali unasema ni ulimbo😂😂
@sayunimnguruta98
@sayunimnguruta98 2 сағат бұрын
Chiko kumbe toka mwanzo hakuwa mume sahihi Ila kwa Tasha sasa ndio ndoa sahihi ❤❤
@AgnesMiyi
@AgnesMiyi 2 сағат бұрын
Nikweli baba zatiti tasha ni mwanaume bora sana kwa mwanao
@KigheKingu
@KigheKingu Сағат бұрын
Hivi hawa wenye matangazo ya mikopo na nyinyi mnawaona me wananikera sanaaaa 😂
@RoseNjoka_23
@RoseNjoka_23 Сағат бұрын
Yan kumbe mwenzangu umeona ee😢😢
DUNIA (Ep 06)
20:48
ASMA FILMS
Рет қаралды 21 М.
Synyptas 4 | Жігіттер сынып қалды| 3 Bolim
19:27
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,6 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 41 МЛН
MAPENZI NI GAME { EPISODE 15 } LOVE STORY 💞
34:33
KING_NOELY1
Рет қаралды 13 М.
KIZAZI CHA HAMDALA KIUNO•|EP 96|
8:10
MPEMBA COMEDIAN
Рет қаралды 4,3 М.
HOUSE GIRL EP 24 | S3 | Love Story 💕💞
22:18
BUSATI TV
Рет қаралды 55 М.
KIZAZI CHA HAMDALA KIUNO•|EP 95|
8:01
MPEMBA COMEDIAN
Рет қаралды 18 М.
MY MOTHER EP 26  | Sad Story 💔💔
21:11
BUSATI TV
Рет қаралды 23 М.
КТО САМЫЙ СМЕШНОЙ КОТИК? 😂
0:37
Pimpochka Games
Рет қаралды 1,4 МЛН