Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪 wapi likes sa Busati tv Kwa kazi nzuri wanaofanya jamani
@SaumuJumwa-u4v3 сағат бұрын
Wenye wanangoja Harusi ya Sania na mganga na masozi na Tisa tujuane 😂😂halafu Rahma ubaya ubwela 😁chenye Ulimfanyia Zatiti naona kiko karibu kutimia kwako 😂😂lazima ukubali uke wenza upende ukatae Kama wakubaliana na mm gonga likes 😂😂😂😂😂
@shamimtv2543 сағат бұрын
😂😂😂 siyo tisa ni chisa
@MwanamisiMunnah-x3v3 сағат бұрын
Asssaaaanteee😂😂😂😂
@SaumuJumwa-u4v3 сағат бұрын
@@shamimtv254 aaaah oooh majina mengine niya laana 🤣🤣😂😂😂😂
@SaumuJumwa-u4v2 сағат бұрын
@@MwanamisiMunnah-x3v 🤣🤣🤣🤣hapo hua kunanipunga
@DorothyAldo2 сағат бұрын
Asaaaaaanti😂😂😂😂🎉
@كامليا-ر7ز3 сағат бұрын
Mganga ngonde amepta maaidizi sania😂😂😂. Ila chiko kwa kweli unionyesha makosa sana kwa kina zatiti ery ugali wa mhogo n ulimbo😂😂😂😂😂 wake like kwa chisa n nawake zake yaan round hii chisa lazima asema 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AdveraElias2 сағат бұрын
Na bado hajasema 😂😂😂😂😂😂
@SdFft-j5g3 сағат бұрын
Ngonde kimamula utanivunja mbavu,umempenda sania,ndoa tunaigonjea na musicheleweshe,alfu ss Tasha kaenda kuishi ukweni😂😂😂,hivi ndo episode nzima iwe kumbukizi za chiko😢😢
@TheresiaMoses-g7w3 сағат бұрын
Mwacheni Mr Tasha anazoe mazingira ili aepukane na majanga ya chiko
@aishaallyaishaally32202 сағат бұрын
Kama🎉 wanaamin tasha ataenda lima kwa mzee mkolon km mm gonga like ndugu❤❤❤❤❤❤
@HonorX5-o1h44 минут бұрын
Mimi ninamni ataenda❤
@افلينافلين-ي9ك2 сағат бұрын
Kumbe chiku ww wuna sifa mbaya ukweni. Pole
@DominPallangyo3 сағат бұрын
BUSATI TV FOR HAPPIEST LIFE ❤❤🎉🎉 Mungu azidishe nguvu na maarifa kwenu wana Busati 🙏🙏🙏💕
@Najmahnyangasi3 сағат бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri sana ila sania kubali uwe mwana maji wa ngonde kimamula
@DianaMkembelwaСағат бұрын
270,Sania kushwa habari yako.tuzaliye huyo mlic mama 😮😮😮😮😮😮😮😮
@celestinekakai19812 сағат бұрын
Makofi kwa ngonde👏👏👏👏👏👏👏😂😂😂😂😂 Sania utasaidia kupiga dawa wateja wa ngonde
@Elizabeth-p3d4 сағат бұрын
Jamn na mimi nime wahi leo makofi kwangu haijawahi tokea😂😂😂😂 wazima lakn
@AdassaMsafiri4 сағат бұрын
Naombaa like hata mojaa jamanii nimewahi
@babysister4th2 сағат бұрын
Jamani leo nimependezwa na Rahma ❤❤
@ميريالشمري-ح9ب3 сағат бұрын
Ila rahma ikopowa❤❤❤ unapenda watoto 😂😂tulia saniya uzae namizimu yangonde achashombo😢😢eti msaidiye ngonde kutibuuu😅😅😅
@Mwana85Mwana85-wz1olСағат бұрын
Tasha umepata asili💯💯zote Kwa wakwe zako wallah Hila hyoo chico unajishau bore kwen masasi yup kama hvyo acha zarahau mchi inawejewe kina p Didi 😂😂😂
@salhaissa-xq9ov2 сағат бұрын
Kumb chiko tabia yako na chafu mpak wakwe uliwatukana na Mke umekosa jaman tumzomee chiko aliweka mwany toka Zaman jaman hapo chin chiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Moraadianaa-o2wys4 сағат бұрын
Wa kwanxa naombeni likes kutoka Kenya ❤❤
@user-AmbaniСағат бұрын
My fellow kenyans🇰🇪 hizi mboga anazotengeneza mama zatiti sini matawi ya muogo au mm macho mabaya😅
@zainabzain3434Сағат бұрын
Ndio mboga hiyo kisamvu tunaita
@user-AmbaniСағат бұрын
@@zainabzain3434 Natamani kujua taste yake
@DorcasNasimiyu-g4eСағат бұрын
Sania Mrs mganga😂😂😂😂 hapo ume patikana. I love you guys. Good job🎉🎉🎉
@moonGirl-t1i3 сағат бұрын
Ndani ndani from Kenya nawafuatilia sana Tasha pongezi kwako kq heshima ya wazazi wa zatiti lakini hiyo Chiko na madharau yake kwa wazazi C viema
@DivineIngabire-lj3sr2 сағат бұрын
Cisa jua kuyaoga ayo maji uluyacemusha pekeako😂😂😂😂
@AishaKombo-n5f2 сағат бұрын
Wakwanza mm kufurahi kumuona rahma àmeikubali mimba ya mume wake kwa mwanamke mwenzie ❤❤❤❤❤
Kijiji chakishamba,mtandao wakishamba nakila kitu chakishamba
@elvinakalu6991Сағат бұрын
Kumbe chiko anamadharau sana ,kwa familia ya wakwe zake
@KevinRioba-v8t36 минут бұрын
Chisa ningekua wewe naachana na movie juu mwanamke hawezi niendesha
@umfahad26092 сағат бұрын
Jamani wameni tamanisha ugali wa muhogo. Sie tuliokua nje ya TZ chakula adimu hichi jamani. Chiko anakidharau.🤤🤤😋😋
@DominPallangyo3 сағат бұрын
Jamani mimi nina ombi kwa mashabiki na watazamaji wa Busati na house girl kwa ujumla....naomba msiombe like kabla hamjatoa maoni na ushauri juu ya movie....like tuwape walioigiza ndo waliofanya kazi nzito maana kama tunaishia tyu kuomba like wao watajuaje walipokosea? 🙏🙏🙏Ni hayo tyu❤❤ nawapenda na Asanteni ❤❤🎉🎉🎉 BUSATI TV FOR LIFE ❤❤❤
@mauamshindo25583 сағат бұрын
Wanakela sana baada ya kutoa maoni wanataka like tuh😂
@DominPallangyo3 сағат бұрын
@@mauamshindo2558 me mwenyew kwel inanikera maana wakupewa like ni waigizaji sisi tunatakiwa tutoe maoni ya movie ila mtu kaingia tyu et nipeni like 😏😏😏😏
@SakinaMuba3 сағат бұрын
wajinga sana
@FaisalAlrefai-u2y2 сағат бұрын
@@SakinaMubaKweli kabisa
@RehemaMwakisyala-k9uСағат бұрын
Kwan izo like wanalipwa? naomba kujua mi mgen jaman
@Frola-r9z3 сағат бұрын
Jamani hongereni sana kwa kazi nzuri tunajifunza mambo mengi kupitia kipindi hiki 🙏🙏
@fatmahaji7639Сағат бұрын
Jamani Nimeumssss huo ungali wa Muhongo nawapenda wote nakupateni vizuri oman
@umfahad26093 сағат бұрын
Wa 42. Nami pia cjachelewa saana jamani leo. From 🇴🇲. Nawapenda saana Busati TV. Kazi nzuri. Na kl la heri.❤
Hzi kumbukumbu za chiko daaa zinakera kwa kwel yaan anaongea bila hta hofu,,ninaimaan watampenda snaa Mr Tasha kwa hekima zake.Yaan kaaa matusi vile sijapenda kweli mm
@shadya-gi8br2 сағат бұрын
Ila Sania ety ngomde kimamula mganga wa kienyeji😂😂😂😂😂
@leahfwimi59174 сағат бұрын
Nipen like nimekuwa wa kwanza❤❤❤
@floramacheva58552 сағат бұрын
Kumbe dharau ya chiko ilitoka kitambo 😢😢😢😢 kweli Zatiti hukustahili kuishi na chiko kabisa 😢
@JaneMhango-yl7xo3 сағат бұрын
Hata mm sijachelewa sana pa 25 seconds mm kutoka 🇿🇲
@AishaAbdoullah2 сағат бұрын
Jamani Busati TV kuweni mnapunguza kumbukumbu msiwi mnaifanya ndefu
@ElizabethDaudi-b6v2 сағат бұрын
Mbona maji nikama ya singida😅😅😅ila chiko siyokwakuchamba huko😅😅😅
@sayunimnguruta982 сағат бұрын
Rahma umenifirahisha sana kumbe kuna muda una utu ❤❤❤❤
Chisa kumbafffff Sana ww Yani ww n nyoka mkubwa Sana wallai Yani nakichukia Sana 😢
@marymele97143 сағат бұрын
Sania kula chuma icho na babakijacho wako😅😅😅😅
@DelvinChepkorir-t1dСағат бұрын
Kweli Zatiti kumbe iyo ndoa ya kwanza ulikosea kabisaa,,,,, heri tuh Sasa umempata Tasha wako❤❤
@NoorAli-gk8bj3 сағат бұрын
😂😂CHIKU bwana ulimbo maji yameekwa sabun
@aishaabeid81063 сағат бұрын
Sania acha kumkazia Mr aasanteee😂😂😂
@user-Ambani2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@zainabzain3434Сағат бұрын
😂😂😂
@HalimaAli-e4w40 минут бұрын
Jamni chiko kumbe alikuwa mjingaa sana jamni 😅😅wapi like❤🎉za tashaa wetu
@MrsMariam-x2s2 сағат бұрын
Penzi paja kwa kaka chinsa na dada rahma masonzi umedanganyika na wakina kendy kukudanganya na mimba umepewa jamani duu ongereni sana sana mie mnazidi tu kunifurahisha
@BeatriceMvaty3 сағат бұрын
Nikajua bas nimewah kumb duuhh Aya hongereni ❤❤❤
@NgalamnyaziScolasticah30 минут бұрын
Huyu rahman ata hamfikii daa mazozi mwenyewe anakaa km kitukutuku vile ila king'ang'anizi na sumbua tu kam kakake na chiko tu,ila Tasha ukarimu wake na busara zake zimewafanya wazazi wa zatiti kabadili majina badala ya mama zatiti ni mama Tasha sasa hongera mzee mkoloni kwa kumuozesha Tasha mwanao❤❤❤
@salhaissa-xq9ov2 сағат бұрын
Jaman chiko ulikua najipa laan tmwenyew toka zaman sas zinakuendesha w huna adabu chiko
@AminaBakari-oy9eb2 сағат бұрын
Sania tulia mgaga kashafanya yake😂😂saii tukiz pisi kali namimba ya mizimu😂😂😂
@MrsMariam-x2s2 сағат бұрын
Ila.mie kitu sijapenda kendy kurudi kuongeya na kayi zuu angeanza kipata raha namume wake bana mana kateseka sana mwanzo
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 сағат бұрын
Chisa kautaka chisa kauliy wap baba vijacho chisa na ngonde ngonde maua 🎉🎉🎉 bad msr Tasha
@lovenessmallya8163 сағат бұрын
Ja'mani natamani sania ageuzwe nyoka na Mganga a.k.a Baba kija 😅😅😅😂😂
Leo chiko umenichekesha sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥huu siulimbo kabisa jamani
@ASHANDEGWA3 сағат бұрын
Kwanza Chisa waendana na Masozi huyo Rahma aaah
@daphinekemto30943 сағат бұрын
Kazi nzuri wana busati na mungu awabariki❤❤
@OtiliaExavery3 сағат бұрын
Kumbe chiko dharau ni za kwake tokea zamani duuuh
@Jenniffer-m9k3 сағат бұрын
nimewahi jaman .naomben like zenuu🎉🎉🎉🎉🎉
@MwajumaAthuman-wv9mo2 сағат бұрын
Chiko untk chipsi. Nd auna ng.....😂😂😂
@امينهاا-ق4ف2 сағат бұрын
❤jaman mauwa ya mama zatiti hayo🎉🎉🎉❤
@HanifaHabibo47 минут бұрын
Jamani wanaomba chisa amuoe masozi mke wa 2 gonga like hapo chini kweli Zatiti umepata mume kumbe chiko kawazalilisha wakwe kipindi cha nyuma😂😂 sania kubali kuwa na mganga n'gonde kimamula kwanza ni mhandisome sema Yuko kilingeni 😅usijifanye hazi zako kuolewa nawatu wakubwa 😅hata huyo n'gonde kimamula ni mtu mkubwa hongera Tasha kujuwa kukaa vizuri na wakwe
@Juliety-v3o3 сағат бұрын
Xaxa sania apo cjui unabixana nn na ngonde apo we bebatu mimba ya mganga uo mdomo utaisha tu nijambo la mda
@mwanakombopopo51172 сағат бұрын
Maji asilia ya kijijini nayapenda hayana dawa
@RizikiZiki2 сағат бұрын
Chiko 😂😂😂huna lako Tasha kakula pawa si kwavituko ivyo ulivyokuwa navyo ukweni😢Cisa umeyatimba unajuwa vizuri mkeo nimkali alafu unajitowa akili😂😂
@Pili-n3l6 минут бұрын
Huyu masoz mzuri kwel mashaallah
@Maryam-e2x8p3 сағат бұрын
Chiko afai katika hii familiya majidevu tu 🇸🇦 🇸🇦
@HadijaVinyu3 сағат бұрын
Chisa mwenyewe Sasa Anaegombaniwa😂😂😂😂😂
@EstherMzungu-b4n2 сағат бұрын
Eeeeh lakini chiko umeweza leo kilakitu kwako sumu😂😂😂
@MinnahPetra2 сағат бұрын
Uyu masozi naye si umeambiwa mimba italelewa vip tena wataka kuolewa ama watak pia iyo mimba uilee pekeako kama kuna mwenye kukubaliana na mm gonga like
@MariamHamisi-ti9vbСағат бұрын
Jmn mama na baba zatiti mumenikumbusha kijijini kwetu ugali km huo na maji hayo yalivyo tamu 😢😢😢😢nakumbuka mbali sana
@ميريم-ط1س52 минут бұрын
Chiko kama chiko kitu kama huwez siunaacha tu kulko uongee Huna haya wee kwa wakwe waongea ww tu 😂😂Ila hayo maji mmmh pia mm singeweza kunywa 😂😂
@HapygideonСағат бұрын
Kwan rahma anateseka na Nini hasa yeye kama anakizalio siangezaa,ulimdhalilisha zatiti sasa kimekugeukia,,,waaaah natamani chisa na masozi nao wakamilishe jambo,,,rahma ukonde huo mwili😂😂😂😂
@SwaumuJuma-d6t21 минут бұрын
Wivvu
@SwaumuJuma-d6t21 минут бұрын
Wivvu😊
@FredmsemwСағат бұрын
Jamani mpumbav mwenzangu kapoa kweli
@MarikiaMbombwe32 минут бұрын
We mshenzi chiko unavotuzalilisha we fala kwiyo cc wandengereko washamba sawa bwan
@AAl-r1s2 сағат бұрын
chiko ugali unasema ni ulimbo😂😂
@sayunimnguruta982 сағат бұрын
Chiko kumbe toka mwanzo hakuwa mume sahihi Ila kwa Tasha sasa ndio ndoa sahihi ❤❤
@AgnesMiyi2 сағат бұрын
Nikweli baba zatiti tasha ni mwanaume bora sana kwa mwanao
@KigheKinguСағат бұрын
Hivi hawa wenye matangazo ya mikopo na nyinyi mnawaona me wananikera sanaaaa 😂