Jamani mlikuwa na wasisi eti movie inahenda kuhisha na ukweli aujajulika like hapa tujuwane 😂😂😂. Kumbe season two ipo
@carolinenyadzua2458Ай бұрын
Kai,Zuu, Bibi YA zuu,Baba kai,Mr Tasha nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@MR_RAMSATZАй бұрын
Nawakubali wote tunaofuatilia house girl maana sisi busati tv tunawapenda sana tunahitaji mambo moto
@AgnesDavidmtalemwaАй бұрын
Nmependa interview yevu kiukweli mnaweza sana mungu pia azid kuwaongoza kama unapenda tim gonga like
@MagreneMathiasАй бұрын
I can't wait to see season 2🥰😍🔥🔥🔥from ghana...wakanda forever😅😅
@RosekinanuGitariАй бұрын
Jameni mko smart mnakaa kuiva kuiva pia mko beautiful and handsome men congratulations all kazi smart nawapenda buure mungu awabariki mnaenda mbali kwa upendo wa mungu
@AminaSuleiman-sr4ooАй бұрын
Kaz nzuri sana tumejifunza mengi sana tunasubl kwa ham
@JilyaChanguАй бұрын
Kendi na zuu nyie ndo noma sana. Wengne mhh hawafikii kendi we nomaaaa unajua sana kuigiza roho mbaya
@JustinMarcus-h7wАй бұрын
Zuuuh nataka uolewe na kaka angu unnaonekana. Unaadabu san😊
@AminaSuleiman-sr4ooАй бұрын
@@JustinMarcus-h7w hahahaha wee unataka umpokonye Kai kipenz Chak atakubal kwel
@catherinemnyani78Ай бұрын
Nmempenda bi zuuh Leo kapaka lipstic kapendezaa❤❤❤
@user-ic8oj1fy7qАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-oe7xe1dv3wАй бұрын
Am very much ready for season 2 house girl na natengea nikiwa Kenya 😅😅🎉like hata 10 BSI nizidi kuji feel proud na hii movie 🎥❤❤❤❤
@user-on8cb8qq9oАй бұрын
I’m watching from 🇺🇸 USA I love you guys ❤❤ yani hii move hua naifstilia sana. Sipendi iniache kabisa I can’t wait for season two
@BeckyKerubo-254Ай бұрын
Mimi huyu mpumbavu mwenzangu na mkewe nawapenda sanaa❤❤❤❤❤
@salamaodette1575Ай бұрын
😂😂😂😂
@nurufatsaidyАй бұрын
Hongeren sana kwa kazi nzuri hakika mnajua sn mmetuelimisha na kutufunza mengi tunasubir msimu wa pili
@zawadisaid3454Ай бұрын
Jamani mimi hapo sijamuona sania na babake kai plz😢😢 Jamani wako wapi Nawapenda bure nitoke busati TV niende wapi hapa toki mtu hapa❤❤❤
@user-hv3xu9sw6gАй бұрын
Tuliza komwe 😂 anakuj
@MamygumboАй бұрын
Jmn basi huo msimu wa pili msicheleqeshe jmn tyupo tyunasubiri house girl ni tamu sanaaa mauwa yenu washiriki wote wa house girl💐💐🌺🌺
@LadyKCGАй бұрын
God bless you all kazi nzuri sana.niko tayari nawasubiri….Nataka hio T-shirt 🙏
@user-dy1wi7nk6pАй бұрын
Namm nimeipenda hii t shert
@bupemtafya1686Ай бұрын
Hata mm nimeipenda sana ingenifikia huku Tunduma mpakani na zambia jaman
@TeddyJames-rh6clАй бұрын
Kazi nzuri Sana Mungu awabariki 🙏🙏 tumejifunza mengi sana
@Husna-s5kАй бұрын
Jamani mm nilizani ushatoka kumbe Bado ila msijali mashabiki wenu tuko pamoja naye kazi nzuri sana mnayoifanyaa tunatumai kazi nzuri inayokuja🎉🎉🎉
@SharonCharo-i6rАй бұрын
Hongeren Sana Kwa KAZI nzuri nwapenda bure...ila musichelewes hio nyengine bc nwapenda kinoma❤️❤️❤️❤️❤️
@user-iv2ni4bz6nАй бұрын
jameni nipe likes hata 10 tu...... much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 Gen Z
@SelemaniMalandiАй бұрын
Timu busati mko vizuri Sana, mnatufundisha nawapenda sana, Ila msicheleweshe season 2
@MejuSimbaАй бұрын
Kazi nzuri sana Wana busati TV mungu awatangulie katika kazi nzuri mnayotonesha
@HidayaHassan-g4hАй бұрын
Hongereni nyote kwa kazi nzuri tumejifunza mengi kutoka kwenu
@ChaguVeeNovidaАй бұрын
Shukran sana wana Busati Tv, Kazi zenu nzuri sana tumenufaika na mafunzo mliouonesha katika tamthilia hii titled House Girl........ Moto juu ya Motooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤ DaZuli❤
@priscilladama8686Ай бұрын
Pongezi kwa washirki wote aki mmecheza vzr tumejifunza mengi sn hongereni aki mnafaa tuzo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-vh7gw3we5zАй бұрын
waliopenda T -shirt ya house girl tujuane 🎉
@everlyneouma-ss5zcАй бұрын
Kazi nzuri Sana , twangojea msimu wa pili kwa hamu❤
@user-mm2oe3tx4jАй бұрын
Asante sana dada zuu tumejifunza mengi kupita kwako tujuane ambao tulikua kuanzia season 1❤
@clariszawadi2010Ай бұрын
Tunawapenda bure busati TV,nyanyake zuu na babake Kai, nyinyi ni wazee wenye busara sana, nawapenda nyote na ninawasubiria sàna kwenye season 2,ila nmependa sana series yenu ❤❤❤🙏🙏🙏🙏
@jacklineteresia2629Ай бұрын
Ongera Sana tunawapenda Kwa kazi zenu zuri...tunasubilia iyo Moto sasa🎉🎉🎉
@AdventinaAckreyАй бұрын
Tunawapenda wote na tumejifunza vingi hongeren Kwa Kazi nzur sana jman mlete basi tuna isubir Kwa hamu.
@JanetRiziki-ut2isАй бұрын
Kazi nzuri sana tumejifunza mengi sana ❤❤❤❤
@mwanaishadola1998Ай бұрын
Tasha na kai nakubali sana hongereni sana Kwa kazi nzr mnayoifanya big 👍 up na bila ya kumsahau zuuuu nawapenda ddn
@DommyMhumbleАй бұрын
Fanyeni hiyo kitu Wana busati Mr Tasha penda ww Kwa ushauri mzuri ❤❤❤
@ifferallen8051Ай бұрын
Yan mnajua mnajua mnajua tenaa Yan mmewashinda had waigizaj w nje y nchiii mpo vizur n mmeupig mwing typo pamoj had kielewekee 🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@PetronilaIngosi-en1ghАй бұрын
Candy anacheza vizuri part ake🎉🎉😂😂😂ila naomba kimrambe kabisaaa
@user-hz6se7vh4hАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-lm1oi6es8xАй бұрын
Tuna subir kwa
@riziki8406Ай бұрын
😅😅😅😅
@MarymkonzaMarymkonza-jw7fjАй бұрын
😂😂😂😂hata mm nataka kimrambe❤❤❤😂
@LydiaCostantineАй бұрын
Zuu 😂 umetuwakilisha vyema bush people 🥰
@AminaKavuo-gj3ocАй бұрын
Yani mim Anne Sina usemi 🎉🎉🎉🎉hila niko na furaa San kwa kunifunza mengi,, cha kusema mim nawaombea tu kwa mwenyezi mungu muwa na kazi njema,, 🎉🎉🎉🎉nawapenda tu nyote
@BenardGavaАй бұрын
Shukran sana wanna busati kwa kazi nzuri sanasana kenti weee
@LawiyaMdhihirАй бұрын
MashaAllah shukran sana kwa Nazi yenu nzuri..tunasubiria kwa hamu na ghamuu❤
@leahwambui863Ай бұрын
House Girl team Congratulations 🎉🎉🎉🥰😍😘❤️ nimejifunza mengi sana , wait of season 2.. Mimi nataka hizo t-shirt 🙈🤭🤣
@bihatihАй бұрын
Kazi nzuri sana nawapenda bure mzidi nakuendelea nakazi nzur sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-tj9gk6rr8wАй бұрын
Hongereni sana tupo pamoja ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-ug7ui2cd3xАй бұрын
Gongratulation dear I’m enjoying my favorite movie zuu na Kai ❤
@user-yw9tb6vl9gАй бұрын
God bless you all tunaisubiri sana season 2 plz cheza hata leo🎉🎉❤
@BosiboriRodahАй бұрын
KAZI zuri sana nawafatiria toka 🇰🇪🇰🇪naomba T-shirt jameni 😊
@phaustnephinias1285Ай бұрын
Mi nimeipenda sana story yenu japo namimi natamani sana kuigiza nanyie
@Cleaver-lx5fsАй бұрын
Ila jaman kilamba ananifurahixha sana the way anavozungumza kwa madoido huku akipindisha pindixha xhingo lake lakn mbal na hayo huwa anaongea maneno yenye busara na uxhaul mzuri . Kama unamkubal kiramba tujuan hapa much love 🙏🙏🙏🙏
@EstherAnyango-pl1cwАй бұрын
Msitucheleweshe na season two, nawapenda Sana Mungu azidi kuwabariki kwa mafunzo yenu. Kai I love you together with Zii. From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Hadija-o5bАй бұрын
Mko vizuri sana ,nahitaji siidii ya house girl msimu wa kwanza wote
@user-yr1tj2yn3oАй бұрын
Kaz nzur ❤❤❤much love from 🇰🇪🇸🇦
@sarafinamochache8269Ай бұрын
Number 5 to comment ❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@RoseKasichanaАй бұрын
Nyote mko. Poa mnacheza part zenu vizuri hongereni sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ws8xy5ls8hАй бұрын
Hongera sana kwaote pia niseme akuna kazi inayokosa changamoto ila tu ,tumejifunza mengisana na pia bibi 🎉🎉🎉 jamani .
@ElizaSanga-dl5vnАй бұрын
Tunawapenda sana❤️❤️❤️❤️wanabusati tv a.k house girl❤️❤️❤️
@EugeniaFrancisco-z5wАй бұрын
Zuu nakupenda
@OfficialZuli-ve5khАй бұрын
Nakupenda pia
@suzan2929Ай бұрын
Ata mm nakupenda ❤❤❤❤❤
@EugeniaFrancisco-z5wАй бұрын
@@suzan2929 Asante
@Bikhadija69Ай бұрын
Bibi zuu na kupenda bure Mashaa Allah inafunzo kweli mungu awape nguvu na afya mueendelee
@MrsMariam-x2sАй бұрын
Jamani bibi yetu tunakupenda sana bibi yetu upo juu sana unacheza vizuri sana bibi
@ajuwazaglodim7645Ай бұрын
Nakupenda bure dada Zuu! Naomba hali ikiwa bado Kai hajafanya hivyo, jichunge usubiri harusi. Umetufurahisha sana kwa msimu wa kwanza. 🇨🇩 🇨🇩
@ZekaniSАй бұрын
Kazi nzur ❤❤❤🎉🎉zuu kaka zuuu
@saumodzumbo9671Ай бұрын
Twawapenda sana ❤❤❤ na hongereni sana kwa kazi nzuri
@MrsMariam-x2sАй бұрын
Yani kilamba ukwaju mie nakukubali sna sn ❤
@rishedynassor6170Ай бұрын
Kaz zenu ni nzur sanah nimefatilia mwanzo mwsho na nasubiria kwa ham sana msimu wa pil na katika watu nimewapenda sanah UYU dada za titi na Tasha nimewakubal sanah ila kwa shukran zaidi wote mmecheza vizur sanah🎉🎉🎉🎉🎉
@MaryamMoosa-g5sАй бұрын
Kazi nzuri sana. tunasubiri. Kwa ham🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@monarm9363Ай бұрын
Wow chumati Chana chidada changu zatiti wow❤❤❤❤ mashallah tabarakallah zatiti ni dem mrembo sana
@Laventa-pl5uxАй бұрын
Much love from kenya ❤❤❤
@HusnaaAbdul-rahmaan-lu8ujАй бұрын
Waooo very nice ila tisheti zikopoa Mimi shabiki naomba haya tisheti nimezipenda jamani
@user-bq9zj5sm7iАй бұрын
Hlf mashaallah wenye movie nyote n waislamu nawapenda sana jmn❤❤❤❤
@user-bt1vl8nu5nАй бұрын
Ko umeskia hii mv inabagua dini kipome ww wangekuwa wakristo usinge watch
@BankuwihaZilfaАй бұрын
Much love from south Africa 🇿🇦
@user-oy5fn8du4uАй бұрын
Nawapenda bure team zuu ❤nampenda zuu na bbke kai
@DaddyMsafiАй бұрын
Asant san kwaote Ila musiharibu kwamana musimo wakwaza ulikuwa poa san asanteni ❤mupewemauwayenu🎉
@MonieNathanАй бұрын
Candy umependeza leo umevaa nguo za heshima❤
@MaryBosibori-xm7usАй бұрын
Dah kumbe nyie waislam nyote nawapenda bure congratulations 🎉🎉enyewe kama mm nilichienjoy sana na season ya kwanza nyote mko sawa kabisa be blessed na mwendelee kutupea vitu tamu kama za kwanza❤❤❤
@neemamsuya-sj8qgАй бұрын
Du nilijua imeisha na subiri msimu wa pili kwa hamu sana na mpenda sana zuu na kai
@AryonWambuiАй бұрын
Hongereni sana tunatumai msimu wa pili candy hautaumiza zuu na kumnyanyasa jmn unaonekana kweli ni maumbile yako pia Kai kuwa mwangalifu mno kwa kuskiza mkeo kama anyone kwambia niukweli au uongo zuu hasije umizwa zaidi jmn nawaoombeeni kuzidisha vipanji vyenu zaidi ,tunasubiria msimu wa pili kwa hamu na ghamu