BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4

  Рет қаралды 31,059

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 201
@Naahlyan
@Naahlyan 3 ай бұрын
Tuseme ukweli diva na mume wake wamependezeana kiufup wanaendana naenjoy kuwaon
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 3 ай бұрын
kwani siwame achana au?
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 ай бұрын
I love the way Abdul tries to explain certain things to Diva""if this is how he is in real life""woow lovely.
@Sam_me01
@Sam_me01 29 күн бұрын
@blandinamyinga9489 that is how he is in reality show not in reality life my dear 😆
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 29 күн бұрын
@@Sam_me01 that's why I put IF
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 3 ай бұрын
Diva amenichekesha aki , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣they look good together❤❤❤❤ 🇬🇧
@Semnyawenda
@Semnyawenda Ай бұрын
Kwa hiyo sheikh ni dr pia wa hedhi na uzazi! Toba!😂😂😂
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 ай бұрын
WAKIPEWA INTV WANAPAKANA😊...WAKIKUTANA ZINAWAWASHA😊..ME APANA
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 ай бұрын
Diva mm na ww tunashare siku kuzaliwa na aina tabia zako kwann maybe malezi I hope unasoma my comment
@nyanziratatou5404
@nyanziratatou5404 3 ай бұрын
Kweli Diva ni tahira kabisa😂😂😂
@ummuwawili
@ummuwawili 3 ай бұрын
usichoke mwaya Abdul usichoke kumlingania atabadilika tu inshaa Allah mwanzo mgumu lkn pole Allah akuzdishie subra maana bila subra huyo mke wako utamchoka mapema maana ni mtihani😢
@rizikially9535
@rizikially9535 3 ай бұрын
Kweli 😊❤
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Atabadilika inshallah 🤲
@NajmaJomy
@NajmaJomy 3 ай бұрын
Diva ww sasa upate maadili ya kiislam no Christmas only 5 daily prayers .follow Quran and hadth of the prophet Muhammad SAW. Only listen ur husband whatever he is telling you dont be stubborn about islamic religion am your sister in islam❤
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Huyo Hutu humuwezi mwanamke sasa nimefahamu abdul humuwezi diva hatakiwi kuelewesha ni mjuaji
@btylove1870
@btylove1870 3 ай бұрын
Sasa nimeelewa Abdul anawapataje hawa wanawake, na hivi ndivyo alivyompata diva. Wateja wake wengi watakuwa wameingiliwa sana na huyu sheikh ubwabwa! Very sad wallah☹
@Sam_me01
@Sam_me01 29 күн бұрын
@@btylove1870 super sad for sure
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂diva kapatikana af Abdulrazak mtu makin kwel😂😂😂😂😂atak utak utoto.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Ila diva anautoto sana
@Jojo-lz7lq
@Jojo-lz7lq 3 ай бұрын
Na anapenda mashindano🥹😂
@estherchou2899
@estherchou2899 3 ай бұрын
Jamani Abdul usipotoshe watu that is not the meaning of christmas tree 😢 Jaribu ku google basi mue mnatumia akili ata kidogo ku Kashif dini ya wenzio sio poa kbsa Ww dili na uganga wako usicheze na Imani za wenzio
@Semnyawenda
@Semnyawenda Ай бұрын
😅😅😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 ай бұрын
Mbona usimfundishe dini kwanza huyu taira 😂😂
@catrinavampire8547
@catrinavampire8547 3 ай бұрын
😂mbona tahira
@angelinamwakadi5226
@angelinamwakadi5226 Ай бұрын
Mbona isingekua leavemass na ni Christmas unajichanganya sheikh
@LuqKey
@LuqKey 3 ай бұрын
Huyu Abdul alikuwa na subra sana kuishi na huyu battery law
@khumayraabdulla96
@khumayraabdulla96 3 ай бұрын
😂😂😂 Tatizo anajiona mchanga tu mapenz unaweza kuyapoteza kwa kujiona mchanga
@Sam_me01
@Sam_me01 2 ай бұрын
Sibado wako pamoja?
@fahzernyizzy2418
@fahzernyizzy2418 2 ай бұрын
Eti rest in peace 😂😂😂
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 3 ай бұрын
DIVA anasekesha
@aj-gw1rl
@aj-gw1rl 3 ай бұрын
😀 hawa sidhani kama wameachana
@sund2553
@sund2553 3 ай бұрын
Mganga anatibu nin haki utapeli huuu😅😅
@khairyaalamri4002
@khairyaalamri4002 2 ай бұрын
Dada nimbaya hyu duh,sura Pana pia nzito
@Bashitetako
@Bashitetako 3 ай бұрын
Una jidanganya huyo sio Beyonce unaishi na mwehu anaehisi yeye ni Beyonce
@FocusNyari
@FocusNyari 3 ай бұрын
nyuma ya gramu
@catherinekanono4298
@catherinekanono4298 Ай бұрын
Kwani huyu ni daktari ama anawaambea
@HamisiForogo
@HamisiForogo 3 ай бұрын
Shida ni mti wa kristmas
@hasinaaljabri1502
@hasinaaljabri1502 2 ай бұрын
Sasa nikweli ao filem
@SalmaMsangi-n2m
@SalmaMsangi-n2m 3 ай бұрын
Diva km jinga
@khamismohammed2582
@khamismohammed2582 3 ай бұрын
Bongo kuna watu wanaibiwa kizembe. Shekh anawaibia sana mtoto karizika anachezewa tumbo
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 ай бұрын
Shekhe ukaoa diva""usijali kawaida drama lkn pia ukumbuke alikuwa nani before siyo rahisi mtu kuacha au kusahau vitu alivyozoea kuvifanya kabla hamjakutana au kuowana.
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 3 ай бұрын
Asa diva umeolewa lkn unapingana na mume
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
yan mjuaji huyu mimi ningekua nalidunda balaa
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 3 ай бұрын
​@@nancyg8664kama abdul ni mtu wa kupiga lingetolewa ngewe ilo diva
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 3 ай бұрын
Et beyonce 😂
@HajratHajrat0501
@HajratHajrat0501 3 ай бұрын
Nijibuni wameachana au wapo pamoja 😂😂😂😂😂mbona wanachanganya
@marygregory7566
@marygregory7566 Ай бұрын
Hilo wigi sio la kiislam mbona humkatazi
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
😂😂ila diva ana sura kubwa
@rosemarymgweno2497
@rosemarymgweno2497 2 ай бұрын
Mgongo Vipi
@danamickle9739
@danamickle9739 Ай бұрын
Ka yangu hapa ndugu
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Hiyo culture imekujaje na wewe una mume mwaislam na ushakuwa mwiislam huyo bado hajakuwa Muslim kamil bado anamambo yake ka kisto nawamekutana wote wasemaji na diva hawezi kuelewa na huyo bwana ni tomuch mjuaji sana na bado hajafata dini ni jina tu
@Marjeby
@Marjeby 3 ай бұрын
😅Huyu jamaa aiseee wallah elimu ni muhimu sana huyuu fala hana elimi yoyote hawezi hata kumtibu mtu akiwa anaharisha tuu shenzi kabisa
@salmatuleteesehem71jmnmahm59
@salmatuleteesehem71jmnmahm59 2 ай бұрын
Usijiite sheikh kwasababu ungekuwa Sheikh haswa basi usingemuoa huyo mwanamke we sema tu wewe ni muislam tu kwenye usheikh hapana mwanaume haswaa muislam anaejitambua hawezi kuoa mwanamke km huyo
@righitkileo
@righitkileo 3 ай бұрын
Woooooooyi.jamn kwani bado mnaishi pamoja?? Ila hawa wote wanauqonjwa wa Akili. Woooooooooooyi.
@MaryamShedrack
@MaryamShedrack 2 ай бұрын
Kumbe diva mhaya jamani sasa mbona anasemaga msambaa
@Maimu.J.8102
@Maimu.J.8102 3 ай бұрын
Hata hizo picha ameziweka hapo ukutani ni haram
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 3 ай бұрын
Ss unakula mkate na Chai namazoezi wapi na wapi
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Jamaniiiiii 😂😂
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 3 ай бұрын
@@AmanaHussein 🤣🤣🤣
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Kila kitu Namtaja Baba yake hivi huyu dishi lipo sawa kweli?
@UmmIlyaas-t9h
@UmmIlyaas-t9h 3 ай бұрын
Diva ATI muslim? Dayuth na mke wake mutabarijat. Minyuwele kama tambi, I don't even know why I am watching this rubbish.
@mrokay1time958
@mrokay1time958 3 ай бұрын
Niatari
@Zaburi-
@Zaburi- 3 ай бұрын
Script hizi
@hellensaronga4259
@hellensaronga4259 3 ай бұрын
Mwambie huyo mmeo, religion is one of the element of culture. Alafu akome kuongelea Christmas kwa upotoshaji maana hajui chochote.Ana chuki sana na dini za watu. I hate....
@faridahalil4456
@faridahalil4456 3 ай бұрын
Iweje asharehekea Xmas na akiwa amesilimu????? Huyu hajaikubali dini ya kiislam. Ndoa yako Abdul haiko sahihi. She is a beach na Allah atampa mitihani maana anachezea dini ya watu.Stick to your ukiristo wako. Tena mjeuri sana unavyomjibu mume utakavyo? Rudi ukafundwe
@dianaonesmo6951
@dianaonesmo6951 3 ай бұрын
Ila uyu sheikh nae asaa mti una shidaa gan
@Mariamsalim-m2v
@Mariamsalim-m2v 3 ай бұрын
Kwanza me niseme huyu nishekhe wa aina gani kaenda kuoa mke ambae hana dini halafu kashamuona mkewe wa aina hio mbna kashindwa kumuelekeza kwa njia ya sawa na kumpa mafunzo ya dini
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 3 ай бұрын
Ni mganga
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 ай бұрын
​@@salhawaziri1668so"akiwa mganga hana dini?
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 3 ай бұрын
@@aairraahseif5648 elezwa nilichojib tafadhali
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Subhanallah hivi mnatoaga wapi nguvu za kuhukumu wenzenu😔
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 ай бұрын
@@AmanaHussein watu wanahukumu mpaka wanaona Abdul hana dini!si vizuri, ati Sio sheikh ni mganga!sasa mganga ndo hana dini? Kiasi wanajifanya wao wasafi sanaaa
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton 3 ай бұрын
jamaa muongo
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft 2 ай бұрын
Uyo diva ashukuru mungu kastirika na nganga kweli ww kibibi
@JosephKingwere
@JosephKingwere 3 ай бұрын
Mhmh
@RutyNatalia-uu5uj
@RutyNatalia-uu5uj 3 ай бұрын
Kwan ametia udhu mbn anaswali bila udhu
@MariamKichawele
@MariamKichawele 2 ай бұрын
Hawezi onesha kila kitu ila pia hawezi kuswali bila udhu
@UmmIlyaas-t9h
@UmmIlyaas-t9h 3 ай бұрын
Nyie mna juwa maana ya sheikh au??? Sheikh gani kweka picha ya mnyama kwenye office yake? Kwang hajuwi malaika hawa ingiyi fas ya ivo. Yani tanzania adi kunguni anapewa Jina la sheikh.
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 3 ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂😂😂😂😂au ni anafanya tu drama ili wauze iii reality yao Hii mbona kama content tu jaman Abou nae punguza ukali mapenzi gani hutaki hata kushikwa
@UmmIlyaas-t9h
@UmmIlyaas-t9h 3 ай бұрын
Sheikh gani chumba Kimoja na mwanamke bila mahram wake. Apo bila camera wangekuepo pekeye Yao tu.
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
kwan hukusikia anamtajia tarehe yule mfanyakazi wake alikuepo pembeni
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 3 ай бұрын
Ila diva anamwili mmbaya 😂😂😂 umejaziana hovyo hvyo si ajifanyishe mazoez jmn khaa..
@estherpaul3864
@estherpaul3864 3 ай бұрын
Jaman duuh😅😂
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Hivi wewe umemwingilia Mungu kazi yake sawa
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 3 ай бұрын
@@AmanaHussein Hiiii..😳 kichaa wewe,Mungu na limwili kuliachia hovyo lijae jae bila mpangilio vinahusiana nn hapo,🤗 mwambieni afanye mazoezi nyie machawa wake msio lipwa..mxuuuu😏😏😏
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 3 ай бұрын
You sound stupid 😏
@steveabel5819
@steveabel5819 3 ай бұрын
Ila all in all atakama kunatofauti na mapungufu, diva na shekhe wanapendezeana i would really like warudiane and sort their things out.
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 ай бұрын
He's cheater
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 3 ай бұрын
Anajiona kitotooo cha miaka 9
@Adje244
@Adje244 3 ай бұрын
Hili li Dada akili zake haziko sawa ni anamatatizo ya akili
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Hata mimi nadhani ana shida kiakili
@salimmohamed3603
@salimmohamed3603 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@verynice7879
@verynice7879 3 ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂 jinga kweli
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 ай бұрын
Sio sheikh huo ni Abdoul Razaq bhana 😊
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@lalafamily5290
@lalafamily5290 3 ай бұрын
Shehe muongo sana Christma😢s haina uhusiano na Cris, ni story ya kutunga kutoka kwenye uislamu kimtazamo!! Ukristo unapigwa mawe sana kila kona!! Christ not Cris au Kris!! Hizi kumbukumbu za kidini tu na siyo kama mihimili ya kiimani. Ramadhani ni tamaduni za kipagani ukifuatilia chanzo chake, ambapo utabishana na waislamu kuhusu hilo kidini. Ndiyo kama Christmas ilivyo kidini. Maswala ya kidini ni very contradicting.
@SharifaGlamsen-mg2of
@SharifaGlamsen-mg2of 2 ай бұрын
😂😂
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 ай бұрын
Yan huyu diva kwel ziro kabisa
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 3 ай бұрын
Harajajuwa dini shida ndo hiyo hata asilaumewe mungu amuogoze yy na ss
@catherinekanono4298
@catherinekanono4298 Ай бұрын
Muongo huyu hujui maana ya Christmas tree
@abasiramashoo5026
@abasiramashoo5026 Ай бұрын
Wewe unashika wanawaki tumbo hakiki wewe ni malaya
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 ай бұрын
Aogi shee na katoka zoezi 😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 ай бұрын
Ilitaka uoneshe bafuni ili uone nini kwani
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 3 ай бұрын
Umeona eeh?😊
@leaherasto929
@leaherasto929 3 ай бұрын
anawashika shika ndio maana anawalala ovyo
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 3 ай бұрын
Umeshindwa kumfanya mkeo avae ijabu/asivae nywele bandia unaangaika na mti kweli? Upo serious Mganga? Hehe
@EmilyAlph
@EmilyAlph 3 ай бұрын
Ila Abdul alijitahidi sana kuishi na hili deri la barafu 🚮🚮
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 3 ай бұрын
Mwanamke jinga huyu khaaa
@JescaVicent-jo7sj
@JescaVicent-jo7sj 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Inamana mazoezi yale yote shehe hujajamba kwer?? Sasa udhu utakuwepo kwer au? Mana kuinama kule lazima ujambe ujue
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 3 ай бұрын
uache uongo
@MiriPeter
@MiriPeter 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@munaomar9532
@munaomar9532 2 ай бұрын
😂😂😂😂mjanja diva 😂😂😂
@somaliandnorway
@somaliandnorway 3 ай бұрын
Fake fake fake
@Sam_me01
@Sam_me01 2 ай бұрын
Hello guys mi niko na swali naombeni munielekeze ofisi ya sheikh iko wapi?
@Semnyawenda
@Semnyawenda Ай бұрын
Unaenda kutafuta majanga? Hauoni jinsi anavowachezea wanawake kama pipi!😢😅😅
@Sam_me01
@Sam_me01 29 күн бұрын
@@Semnyawenda hahahaaaa nataka nikamuone kwani ananini hasa cha kuwachanganya hawa wanawake hivi mana mi sijaona cha ajabu 😁😁
@Semnyawenda
@Semnyawenda 28 күн бұрын
@@Sam_me01 kwa kweli hakuna cha maajabu, janja janja tu! NAO wanaingia cha kike!
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
lakini najaribu kumuelewa Abdul
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 3 ай бұрын
bwana kichaa bibi kichaa
@mrokay1time958
@mrokay1time958 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jaaamaaaniiii
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 3 ай бұрын
Nimependa hii❤❤❤❤❤🎉
@dinalesmwakolo2131
@dinalesmwakolo2131 3 ай бұрын
Wa kwanza😊
@RandB_Channel
@RandB_Channel 3 ай бұрын
Kwahiyi huyu jama amekera.mbona wa Islam ☪️ wengi wanakuwaga wanatiya huyo mti?? Mnajifanya kujuwa dini na ijapo mazambi nimengi sana zenye mko mnafanya byenye habiendane nadini mmm huruma
@ifkajamac8841
@ifkajamac8841 2 ай бұрын
Dini harusu hivyo you're FAKE sheikh
@lissaseif4744
@lissaseif4744 2 ай бұрын
Mfunze mkeo kujistili kwanza ndo ukatae mti mpuuzeeeee wewe
@WilsonWaryoba
@WilsonWaryoba 2 ай бұрын
Shehe anaonekana mtu wa comand ndomaana hawaelewani mda mwingi
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Niliskia diva Yuko na mimba mdomo koma🏃🏃🏃
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 3 ай бұрын
@@AmanaHussein aamiin nataman iwe hivo napenda saana Allah ajaalie woote wanaotafuta watoto wapate..haijalishi personal issues zao ziko vp
@AmanaHussein
@AmanaHussein 3 ай бұрын
Inshallah inshallah inshallah
@bennamush4616
@bennamush4616 3 ай бұрын
😂😂Sasa unakimbia Nini Kwan Kuna bayaa😂😂
@x7hia
@x7hia 3 ай бұрын
Kama kweli basi Usimtangazie mwenzio mambo km hayo hayatangazwi especially ikiwa yeye mwenyewe muhusika hajayaweka wazi, na kama ni uongo basi acha kusambaza uongo kwa faida yako na vizazi vyako
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 3 ай бұрын
Xinatoka masikini tumuombee apate nae inshallah
@GraceKente-l2c
@GraceKente-l2c 3 ай бұрын
Kumbe diva muhaya 😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 3 ай бұрын
Excuse me😂😂😂 mtanga huyoo jamaniii😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
​@@FirdausyAbubakary-bl2wo😂😂baba ake mhaya ye anakuaje mtanga
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 3 ай бұрын
@@nancyg8664 subhaanaAllah hii sampul uhayanii mmh😀😀😀😀
@sophiaalnuru45
@sophiaalnuru45 3 ай бұрын
​@@nancyg8664ni mhaya ndio
@nayarichard5318
@nayarichard5318 3 ай бұрын
Yaani mm ingekua vita ananiitaje Beyonce yaani ananinanga?.....ila shehe nae anashida inshort mnajuana
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 2 ай бұрын
😅😅😅😅babako anaishi apa ndan!??
@SalhaMwampagatwa
@SalhaMwampagatwa 3 ай бұрын
Mimi sipendi diva nauyu mumewake waachane kwasababu wamependezana sana nasiku wakija kuachana nitaumia sana mimi jamani
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 3 ай бұрын
huyu ni mwanaume jaman kuishi na hili tahira si mchezo
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 ай бұрын
Nnacheka kaa fala aki anajitaidi sana sheikh 😂😂
@esterpaul5856
@esterpaul5856 3 ай бұрын
Tahira mama yako msenge ww
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by 3 ай бұрын
Siyo tahira hajui jamani kama wewe muislam kweli ungejua wanaume kwetu wachunga na viongozi wetu ndani ya nyumba
@lindamaunga3901
@lindamaunga3901 3 ай бұрын
😅😅 nacheka km mazur nyie mbn tahira jmn 😂🙌
@NajmaJomy
@NajmaJomy 3 ай бұрын
Kwni swala ya asr wasoma na saut mpaka huku twasikia
@lastborn7810
@lastborn7810 3 ай бұрын
Mtu anaswali na nguo za gym loo si ungeoga kwanza 😂😂😂😂
@mejumaamwachirero7324
@mejumaamwachirero7324 3 ай бұрын
Hivi kwani jasho ni najisi ebu someni dini
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 3 ай бұрын
​@@mejumaamwachirero7324😂😂😂
@lilasuliman552
@lilasuliman552 3 ай бұрын
Uislamu ni usafi​@@mejumaamwachirero7324
@lastborn7810
@lastborn7810 2 ай бұрын
@@mejumaamwachirero7324 lakini sio vizuri mbona kwengine haendi akiwa yupo na jasho anaoga ananukia ndo anaenda kwanini wakati kua na Allah asioge? Jasho si najis lakini inapendeza ibada kufanywa katika usafi
@JokhaSaid-e1c
@JokhaSaid-e1c 3 ай бұрын
Hi I watu bado mnaenda kutibiwa mitaani
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps 3 ай бұрын
Vichaa wawili waliochanganyikiwa
@WilliamSumuni
@WilliamSumuni 3 ай бұрын
Eti Christopher
@mawlodafarida
@mawlodafarida 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 3 ай бұрын
Eti tumpeleke mgomba 😂
@JudyHans-g8v
@JudyHans-g8v 3 ай бұрын
Kwahyo mas ni wingi Sawa, zile almasi tulikuwa tunakusanya na sumaku utotoni zinaitwa Al Ila Kwa mingi ndo almas😂😂
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
ZamaradiTV
Рет қаралды 15 М.
My daughter is creative when it comes to eating food #funny #comedy #cute #baby#smart girl
00:17
отомстил?
00:56
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 9 МЛН
AJENGA NYUMBA YA KISASA MADALE BAADA YA KULIPWA FIDIA YA BONDE LA MSIMBAZI
6:41
Msimbazi Basin Project (Bonde la Msimbazi)
Рет қаралды 751
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1
26:44
ZamaradiTV
Рет қаралды 23 М.
JIONEE MWIJAKU ALIVYO MZAWADIA ‘MTOTO WA KICHAGA GARI’
6:10
Crown Media
Рет қаралды 14 М.
Aunty Ezekiel - Mama Kijacho Episode 01
21:14
Swahiliflix Tv
Рет қаралды 50 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2
33:33
ZamaradiTV
Рет қаралды 24 М.
My daughter is creative when it comes to eating food #funny #comedy #cute #baby#smart girl
00:17