Diva mm na ww tunashare siku kuzaliwa na aina tabia zako kwann maybe malezi I hope unasoma my comment
@nyanziratatou54043 ай бұрын
Kweli Diva ni tahira kabisa😂😂😂
@ummuwawili3 ай бұрын
usichoke mwaya Abdul usichoke kumlingania atabadilika tu inshaa Allah mwanzo mgumu lkn pole Allah akuzdishie subra maana bila subra huyo mke wako utamchoka mapema maana ni mtihani😢
@rizikially95353 ай бұрын
Kweli 😊❤
@AmanaHussein3 ай бұрын
Atabadilika inshallah 🤲
@NajmaJomy3 ай бұрын
Diva ww sasa upate maadili ya kiislam no Christmas only 5 daily prayers .follow Quran and hadth of the prophet Muhammad SAW. Only listen ur husband whatever he is telling you dont be stubborn about islamic religion am your sister in islam❤
@farhannahkulishwaburekunam53603 ай бұрын
Huyo Hutu humuwezi mwanamke sasa nimefahamu abdul humuwezi diva hatakiwi kuelewesha ni mjuaji
@btylove18703 ай бұрын
Sasa nimeelewa Abdul anawapataje hawa wanawake, na hivi ndivyo alivyompata diva. Wateja wake wengi watakuwa wameingiliwa sana na huyu sheikh ubwabwa! Very sad wallah☹
@Sam_me0129 күн бұрын
@@btylove1870 super sad for sure
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج2 ай бұрын
😂😂😂😂😂diva kapatikana af Abdulrazak mtu makin kwel😂😂😂😂😂atak utak utoto.
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Ila diva anautoto sana
@Jojo-lz7lq3 ай бұрын
Na anapenda mashindano🥹😂
@estherchou28993 ай бұрын
Jamani Abdul usipotoshe watu that is not the meaning of christmas tree 😢 Jaribu ku google basi mue mnatumia akili ata kidogo ku Kashif dini ya wenzio sio poa kbsa Ww dili na uganga wako usicheze na Imani za wenzio
@SemnyawendaАй бұрын
😅😅😂😂😂😂😂
@chunaabdullah13333 ай бұрын
Mbona usimfundishe dini kwanza huyu taira 😂😂
@catrinavampire85473 ай бұрын
😂mbona tahira
@angelinamwakadi5226Ай бұрын
Mbona isingekua leavemass na ni Christmas unajichanganya sheikh
@LuqKey3 ай бұрын
Huyu Abdul alikuwa na subra sana kuishi na huyu battery law
@khumayraabdulla963 ай бұрын
😂😂😂 Tatizo anajiona mchanga tu mapenz unaweza kuyapoteza kwa kujiona mchanga
@Sam_me012 ай бұрын
Sibado wako pamoja?
@fahzernyizzy24182 ай бұрын
Eti rest in peace 😂😂😂
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
DIVA anasekesha
@aj-gw1rl3 ай бұрын
😀 hawa sidhani kama wameachana
@sund25533 ай бұрын
Mganga anatibu nin haki utapeli huuu😅😅
@khairyaalamri40022 ай бұрын
Dada nimbaya hyu duh,sura Pana pia nzito
@Bashitetako3 ай бұрын
Una jidanganya huyo sio Beyonce unaishi na mwehu anaehisi yeye ni Beyonce
@FocusNyari3 ай бұрын
nyuma ya gramu
@catherinekanono4298Ай бұрын
Kwani huyu ni daktari ama anawaambea
@HamisiForogo3 ай бұрын
Shida ni mti wa kristmas
@hasinaaljabri15022 ай бұрын
Sasa nikweli ao filem
@SalmaMsangi-n2m3 ай бұрын
Diva km jinga
@khamismohammed25823 ай бұрын
Bongo kuna watu wanaibiwa kizembe. Shekh anawaibia sana mtoto karizika anachezewa tumbo
@blandinamyinga94892 ай бұрын
Shekhe ukaoa diva""usijali kawaida drama lkn pia ukumbuke alikuwa nani before siyo rahisi mtu kuacha au kusahau vitu alivyozoea kuvifanya kabla hamjakutana au kuowana.
@rukaya-jg7hj3 ай бұрын
Asa diva umeolewa lkn unapingana na mume
@nancyg86643 ай бұрын
yan mjuaji huyu mimi ningekua nalidunda balaa
@rukaya-jg7hj3 ай бұрын
@@nancyg8664kama abdul ni mtu wa kupiga lingetolewa ngewe ilo diva
@khalsasalim79303 ай бұрын
Et beyonce 😂
@HajratHajrat05013 ай бұрын
Nijibuni wameachana au wapo pamoja 😂😂😂😂😂mbona wanachanganya
@marygregory7566Ай бұрын
Hilo wigi sio la kiislam mbona humkatazi
@nancyg86643 ай бұрын
😂😂ila diva ana sura kubwa
@rosemarymgweno24972 ай бұрын
Mgongo Vipi
@danamickle9739Ай бұрын
Ka yangu hapa ndugu
@farhannahkulishwaburekunam53603 ай бұрын
Hiyo culture imekujaje na wewe una mume mwaislam na ushakuwa mwiislam huyo bado hajakuwa Muslim kamil bado anamambo yake ka kisto nawamekutana wote wasemaji na diva hawezi kuelewa na huyo bwana ni tomuch mjuaji sana na bado hajafata dini ni jina tu
@Marjeby3 ай бұрын
😅Huyu jamaa aiseee wallah elimu ni muhimu sana huyuu fala hana elimi yoyote hawezi hata kumtibu mtu akiwa anaharisha tuu shenzi kabisa
@salmatuleteesehem71jmnmahm592 ай бұрын
Usijiite sheikh kwasababu ungekuwa Sheikh haswa basi usingemuoa huyo mwanamke we sema tu wewe ni muislam tu kwenye usheikh hapana mwanaume haswaa muislam anaejitambua hawezi kuoa mwanamke km huyo
@righitkileo3 ай бұрын
Woooooooyi.jamn kwani bado mnaishi pamoja?? Ila hawa wote wanauqonjwa wa Akili. Woooooooooooyi.
@MaryamShedrack2 ай бұрын
Kumbe diva mhaya jamani sasa mbona anasemaga msambaa
@Maimu.J.81023 ай бұрын
Hata hizo picha ameziweka hapo ukutani ni haram
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Ss unakula mkate na Chai namazoezi wapi na wapi
@AmanaHussein3 ай бұрын
Jamaniiiiii 😂😂
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
@@AmanaHussein 🤣🤣🤣
@leokamil62843 ай бұрын
Kila kitu Namtaja Baba yake hivi huyu dishi lipo sawa kweli?
@UmmIlyaas-t9h3 ай бұрын
Diva ATI muslim? Dayuth na mke wake mutabarijat. Minyuwele kama tambi, I don't even know why I am watching this rubbish.
@mrokay1time9583 ай бұрын
Niatari
@Zaburi-3 ай бұрын
Script hizi
@hellensaronga42593 ай бұрын
Mwambie huyo mmeo, religion is one of the element of culture. Alafu akome kuongelea Christmas kwa upotoshaji maana hajui chochote.Ana chuki sana na dini za watu. I hate....
@faridahalil44563 ай бұрын
Iweje asharehekea Xmas na akiwa amesilimu????? Huyu hajaikubali dini ya kiislam. Ndoa yako Abdul haiko sahihi. She is a beach na Allah atampa mitihani maana anachezea dini ya watu.Stick to your ukiristo wako. Tena mjeuri sana unavyomjibu mume utakavyo? Rudi ukafundwe
@dianaonesmo69513 ай бұрын
Ila uyu sheikh nae asaa mti una shidaa gan
@Mariamsalim-m2v3 ай бұрын
Kwanza me niseme huyu nishekhe wa aina gani kaenda kuoa mke ambae hana dini halafu kashamuona mkewe wa aina hio mbna kashindwa kumuelekeza kwa njia ya sawa na kumpa mafunzo ya dini
@salhawaziri16683 ай бұрын
Ni mganga
@aairraahseif56483 ай бұрын
@@salhawaziri1668so"akiwa mganga hana dini?
@salhawaziri16683 ай бұрын
@@aairraahseif5648 elezwa nilichojib tafadhali
@AmanaHussein3 ай бұрын
Subhanallah hivi mnatoaga wapi nguvu za kuhukumu wenzenu😔
@aairraahseif56483 ай бұрын
@@AmanaHussein watu wanahukumu mpaka wanaona Abdul hana dini!si vizuri, ati Sio sheikh ni mganga!sasa mganga ndo hana dini? Kiasi wanajifanya wao wasafi sanaaa
@nsajigwaburton3 ай бұрын
jamaa muongo
@NanaNana-oe5ft2 ай бұрын
Uyo diva ashukuru mungu kastirika na nganga kweli ww kibibi
@JosephKingwere3 ай бұрын
Mhmh
@RutyNatalia-uu5uj3 ай бұрын
Kwan ametia udhu mbn anaswali bila udhu
@MariamKichawele2 ай бұрын
Hawezi onesha kila kitu ila pia hawezi kuswali bila udhu
@UmmIlyaas-t9h3 ай бұрын
Nyie mna juwa maana ya sheikh au??? Sheikh gani kweka picha ya mnyama kwenye office yake? Kwang hajuwi malaika hawa ingiyi fas ya ivo. Yani tanzania adi kunguni anapewa Jina la sheikh.
@AishaHaji-jn7sg3 ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂😂😂😂😂au ni anafanya tu drama ili wauze iii reality yao Hii mbona kama content tu jaman Abou nae punguza ukali mapenzi gani hutaki hata kushikwa
@UmmIlyaas-t9h3 ай бұрын
Sheikh gani chumba Kimoja na mwanamke bila mahram wake. Apo bila camera wangekuepo pekeye Yao tu.
@nancyg86643 ай бұрын
kwan hukusikia anamtajia tarehe yule mfanyakazi wake alikuepo pembeni
@TrinaRoman3453 ай бұрын
Ila diva anamwili mmbaya 😂😂😂 umejaziana hovyo hvyo si ajifanyishe mazoez jmn khaa..
@estherpaul38643 ай бұрын
Jaman duuh😅😂
@AmanaHussein3 ай бұрын
Hivi wewe umemwingilia Mungu kazi yake sawa
@TrinaRoman3453 ай бұрын
@@AmanaHussein Hiiii..😳 kichaa wewe,Mungu na limwili kuliachia hovyo lijae jae bila mpangilio vinahusiana nn hapo,🤗 mwambieni afanye mazoezi nyie machawa wake msio lipwa..mxuuuu😏😏😏
@JacklineNamundengozi3 ай бұрын
You sound stupid 😏
@steveabel58193 ай бұрын
Ila all in all atakama kunatofauti na mapungufu, diva na shekhe wanapendezeana i would really like warudiane and sort their things out.
@Zainab_salat3 ай бұрын
He's cheater
@ramhuudulla89213 ай бұрын
Anajiona kitotooo cha miaka 9
@Adje2443 ай бұрын
Hili li Dada akili zake haziko sawa ni anamatatizo ya akili
@leokamil62843 ай бұрын
Hata mimi nadhani ana shida kiakili
@salimmohamed36033 ай бұрын
Kweli kabisa
@verynice78793 ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂 jinga kweli
@SuleimanKhdija3 ай бұрын
Sio sheikh huo ni Abdoul Razaq bhana 😊
@patriciaboniface99753 ай бұрын
😅😅😅😅
@lalafamily52903 ай бұрын
Shehe muongo sana Christma😢s haina uhusiano na Cris, ni story ya kutunga kutoka kwenye uislamu kimtazamo!! Ukristo unapigwa mawe sana kila kona!! Christ not Cris au Kris!! Hizi kumbukumbu za kidini tu na siyo kama mihimili ya kiimani. Ramadhani ni tamaduni za kipagani ukifuatilia chanzo chake, ambapo utabishana na waislamu kuhusu hilo kidini. Ndiyo kama Christmas ilivyo kidini. Maswala ya kidini ni very contradicting.
@SharifaGlamsen-mg2of2 ай бұрын
😂😂
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
Yan huyu diva kwel ziro kabisa
@mapishiyetumazuri23123 ай бұрын
Harajajuwa dini shida ndo hiyo hata asilaumewe mungu amuogoze yy na ss
@catherinekanono4298Ай бұрын
Muongo huyu hujui maana ya Christmas tree
@abasiramashoo5026Ай бұрын
Wewe unashika wanawaki tumbo hakiki wewe ni malaya
@chunaabdullah13333 ай бұрын
Aogi shee na katoka zoezi 😂😂
@tanzcanmediatv44733 ай бұрын
Ilitaka uoneshe bafuni ili uone nini kwani
@esthermakelemo28643 ай бұрын
Umeona eeh?😊
@leaherasto9293 ай бұрын
anawashika shika ndio maana anawalala ovyo
@witnessmlay74153 ай бұрын
Umeshindwa kumfanya mkeo avae ijabu/asivae nywele bandia unaangaika na mti kweli? Upo serious Mganga? Hehe
@EmilyAlph3 ай бұрын
Ila Abdul alijitahidi sana kuishi na hili deri la barafu 🚮🚮
@salhawaziri16683 ай бұрын
Mwanamke jinga huyu khaaa
@JescaVicent-jo7sj3 ай бұрын
😅😅😅😅
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Inamana mazoezi yale yote shehe hujajamba kwer?? Sasa udhu utakuwepo kwer au? Mana kuinama kule lazima ujambe ujue
@aboudijaaboudija3 ай бұрын
uache uongo
@MiriPeter2 ай бұрын
😂😂😂😂
@munaomar95322 ай бұрын
😂😂😂😂mjanja diva 😂😂😂
@somaliandnorway3 ай бұрын
Fake fake fake
@Sam_me012 ай бұрын
Hello guys mi niko na swali naombeni munielekeze ofisi ya sheikh iko wapi?
@SemnyawendaАй бұрын
Unaenda kutafuta majanga? Hauoni jinsi anavowachezea wanawake kama pipi!😢😅😅
@Sam_me0129 күн бұрын
@@Semnyawenda hahahaaaa nataka nikamuone kwani ananini hasa cha kuwachanganya hawa wanawake hivi mana mi sijaona cha ajabu 😁😁
@Semnyawenda28 күн бұрын
@@Sam_me01 kwa kweli hakuna cha maajabu, janja janja tu! NAO wanaingia cha kike!
@nancyg86643 ай бұрын
lakini najaribu kumuelewa Abdul
@wemaMichael-fr4th3 ай бұрын
bwana kichaa bibi kichaa
@mrokay1time9583 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jaaamaaaniiii
@salhamrishoi49433 ай бұрын
Nimependa hii❤❤❤❤❤🎉
@dinalesmwakolo21313 ай бұрын
Wa kwanza😊
@RandB_Channel3 ай бұрын
Kwahiyi huyu jama amekera.mbona wa Islam ☪️ wengi wanakuwaga wanatiya huyo mti?? Mnajifanya kujuwa dini na ijapo mazambi nimengi sana zenye mko mnafanya byenye habiendane nadini mmm huruma
@ifkajamac88412 ай бұрын
Dini harusu hivyo you're FAKE sheikh
@lissaseif47442 ай бұрын
Mfunze mkeo kujistili kwanza ndo ukatae mti mpuuzeeeee wewe
@WilsonWaryoba2 ай бұрын
Shehe anaonekana mtu wa comand ndomaana hawaelewani mda mwingi
@AmanaHussein3 ай бұрын
Niliskia diva Yuko na mimba mdomo koma🏃🏃🏃
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@AmanaHussein aamiin nataman iwe hivo napenda saana Allah ajaalie woote wanaotafuta watoto wapate..haijalishi personal issues zao ziko vp
@AmanaHussein3 ай бұрын
Inshallah inshallah inshallah
@bennamush46163 ай бұрын
😂😂Sasa unakimbia Nini Kwan Kuna bayaa😂😂
@x7hia3 ай бұрын
Kama kweli basi Usimtangazie mwenzio mambo km hayo hayatangazwi especially ikiwa yeye mwenyewe muhusika hajayaweka wazi, na kama ni uongo basi acha kusambaza uongo kwa faida yako na vizazi vyako
@AshuuuBakari3 ай бұрын
Xinatoka masikini tumuombee apate nae inshallah
@GraceKente-l2c3 ай бұрын
Kumbe diva muhaya 😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
Excuse me😂😂😂 mtanga huyoo jamaniii😂😂😂😂
@nancyg86643 ай бұрын
@@FirdausyAbubakary-bl2wo😂😂baba ake mhaya ye anakuaje mtanga
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@nancyg8664 subhaanaAllah hii sampul uhayanii mmh😀😀😀😀
@sophiaalnuru453 ай бұрын
@@nancyg8664ni mhaya ndio
@nayarichard53183 ай бұрын
Yaani mm ingekua vita ananiitaje Beyonce yaani ananinanga?.....ila shehe nae anashida inshort mnajuana
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج2 ай бұрын
😅😅😅😅babako anaishi apa ndan!??
@SalhaMwampagatwa3 ай бұрын
Mimi sipendi diva nauyu mumewake waachane kwasababu wamependezana sana nasiku wakija kuachana nitaumia sana mimi jamani
@nicholauspeter94543 ай бұрын
huyu ni mwanaume jaman kuishi na hili tahira si mchezo
@faridalihondo33223 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah13333 ай бұрын
Nnacheka kaa fala aki anajitaidi sana sheikh 😂😂
@esterpaul58563 ай бұрын
Tahira mama yako msenge ww
@MwanakomboNassor-bw3by3 ай бұрын
Siyo tahira hajui jamani kama wewe muislam kweli ungejua wanaume kwetu wachunga na viongozi wetu ndani ya nyumba
@lindamaunga39013 ай бұрын
😅😅 nacheka km mazur nyie mbn tahira jmn 😂🙌
@NajmaJomy3 ай бұрын
Kwni swala ya asr wasoma na saut mpaka huku twasikia
@lastborn78103 ай бұрын
Mtu anaswali na nguo za gym loo si ungeoga kwanza 😂😂😂😂
@mejumaamwachirero73243 ай бұрын
Hivi kwani jasho ni najisi ebu someni dini
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
@@mejumaamwachirero7324😂😂😂
@lilasuliman5523 ай бұрын
Uislamu ni usafi@@mejumaamwachirero7324
@lastborn78102 ай бұрын
@@mejumaamwachirero7324 lakini sio vizuri mbona kwengine haendi akiwa yupo na jasho anaoga ananukia ndo anaenda kwanini wakati kua na Allah asioge? Jasho si najis lakini inapendeza ibada kufanywa katika usafi
@JokhaSaid-e1c3 ай бұрын
Hi I watu bado mnaenda kutibiwa mitaani
@AhmedAdan-po5ps3 ай бұрын
Vichaa wawili waliochanganyikiwa
@WilliamSumuni3 ай бұрын
Eti Christopher
@mawlodafarida2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@efrahfarahahmed89603 ай бұрын
Eti tumpeleke mgomba 😂
@JudyHans-g8v3 ай бұрын
Kwahyo mas ni wingi Sawa, zile almasi tulikuwa tunakusanya na sumaku utotoni zinaitwa Al Ila Kwa mingi ndo almas😂😂