No video

HUKUMU YA KUTUMIA TASBIHI KATIKA KUFANYA NYIRADI (ADHKARI): SHEIKH ABDALLAH HUMEIYD-ALLAH AMUHIFADHI

  Рет қаралды 21,389

Elimu sahihi

Elimu sahihi

Күн бұрын

Пікірлер: 103
@AliAhmed-gx3tv
@AliAhmed-gx3tv 6 күн бұрын
MashaAllah Allah akuifadhi sheikh wng naona comments za watu wajinga wasiokua na elmu katika masala y elfu y kisheria angalia Allah anasemaje & mtume altufundisha nn bila kurahau kua MTUME wetu ndie mwalimu wetu hivo 2we macho kwaufata yale aliyojaliwa la Allah kutufundisha ingelkua n xwa kutumia tasbihi ingeanza kwamtu mbora w sisi wote
@muranisalim3572
@muranisalim3572 Жыл бұрын
Jazakallahu kheri
@abdallahmoussa614
@abdallahmoussa614 3 жыл бұрын
Allah akulipe kheri na akupe umri mrefu wa kheri tuzidi kupata faida
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
Amiin
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Aaamin
@gammamohammed6601
@gammamohammed6601 2 жыл бұрын
Jazaakallah khairah
@fatimaqis8833
@fatimaqis8833 3 жыл бұрын
Mashallah tuna fayidika san mashallah Allah Akujazekheli
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
Amiin
@selfally7962
@selfally7962 Жыл бұрын
O
@AliAhmed-gx3tv
@AliAhmed-gx3tv 6 күн бұрын
Kusoma haujui picha pia hauoni innah lillahi wainnah illahii rajiun huu n msiba wadhairi uliopitiliza yan unamtusi mtu anaekulingania ww na njia y sunah
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah
@user-sp8bc5pi4q
@user-sp8bc5pi4q 5 ай бұрын
Wavivu hao pia mtume alipanda ngamia na nyinyi pandeni ngamia musipande matatu.
@binyamin8009
@binyamin8009 2 жыл бұрын
Abuu hurayra Radhi za allah zimshukie juu yake alikuwa anavuta tasbihi tena nying sanaaa .
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Kwa kutumia Nini?, Hapo ndo mada, kwani nani kasema tasbihi hazifai?
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Oooh okey nishaelewa, ulivyo Anza maongezi yako, tatizo ni kwa aliye kukaririsha Kaka. Kwa kusema kuvuta huwenda ukachukulia alikuwa avuta hutu tu groli Ahahaha, sio hivyo Kaka sahihi ni alikuwa "Akisoma adhikar nyingi Sana" au akileta adhikar nyingi Sana.
@abdulmbaruku9177
@abdulmbaruku9177 2 жыл бұрын
Kwaiyo
@mussafrancophonetours1356
@mussafrancophonetours1356 3 жыл бұрын
Mambo ya wasanii hamgusii nyiradi mia moja hivi utaua nafsi kweli nafsi zilizojaa maovu kwa kuleta nyiradi 100 ndo utafika kwa munguu kwelii
@maryamhaji5894
@maryamhaji5894 3 жыл бұрын
Samhn shekhe sasa hiyo adhkar ikizidi mara 100 inafaa au haifai
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Itafaa, lakini Kama ni baada ya swala hamna, kwani tayari Mtume kashafundisha namna ya kuleta adhikar baada ya swala, lkn ikiwa baada ya kutoka kikao Cha swala soma hata Kama ni Kila dakika hamna neno
@halidijuma1884
@halidijuma1884 2 жыл бұрын
Mie nitataitumia,,,,kwa sababu inanirahishia kumsabih Mola wangu kwa wingi,,,,siwezi kuicha,,,, Broo
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 жыл бұрын
Atuondolee upuuuzi huyu shekhenaaaa anaaakili kweliii
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Allah akusamehe Sana na akujaalie matumiz mema ya ulimi wako
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 жыл бұрын
@@zanlec7357 Ameeen
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 жыл бұрын
@@zanlec7357 shehe ww muislam kwa akili zako unaambiwa nyiradi mwisho mia, unakubali? Kwa adillah zote hizo zilizokuwepo swahaba wakifanya Zaid ya miaa kama abuu khuraira Bila ya kuwa na katazo lolote kuwa watu hawatakiwi kufanya adhkar Zaid ya mia....
@zainamusa2686
@zainamusa2686 Жыл бұрын
Subhana llah allah anisamehe ndugu yang kama hutaki kusikiliza acha lkn acha kucomment matusi
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 жыл бұрын
Leonard hadithi hujaiyona wasema ya kutungwa vizuri tuende kiusomi ndio Ilmu
@ibrahimahmed8859
@ibrahimahmed8859 4 ай бұрын
Mashekhe embu kuweni makini sana kwenye kuchambua na nnavyo kuja kuleta hoja njooni na Hadith za kutosha sijaona cha maana ulicho ongelea hapo zaidi ya kusema digital tasbihi kila mmoja akiwa nayo mskitini inawaletea kelele kama mtu anapiga nyundo. Ina mana hi technology yote ilio kuja kurahisisha vitu basi ni biddaa vipaza sauti, hizo mp3 unavyo visema zote hazifai msilete mihemko na mawazo yenu kwenye dini
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 3 жыл бұрын
Mnajua kwamba wake zetu wanazalishwa na wanaume wakienda kuzaa? Vp kama nguvu zetu waislam tutazielekeza ktk kutatua changamoto za waislam kuliko kuanza kujadili khitilafu zisizoisha ?
@alisaidi7477
@alisaidi7477 3 жыл бұрын
MashaAllah HOJA KUBWA SANAH
@amourshaame5704
@amourshaame5704 2 жыл бұрын
Sasa unafkiri tatizo hili litaindolewa kwa masheikh kuongea tuu? Si ni mpaka pale ambapo wanawake wenyewe watakaa na kusoma wakapata elimu ya kuwatibu wanawake wenzao. Kaa na ufkirie tena kijana
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
kasome mashule ya kidunia
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 жыл бұрын
Tatizo uislam wetu sio wa mikakati tunajadili hitilafu tu
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
@@amourshaame5704 fact
@shafikakrabi8490
@shafikakrabi8490 2 жыл бұрын
Shekhe tafuta elmu zaidi. Kweli kutabih ni vizuro kuhesabu kea vidole, lakini sayyeda Aysha alikuwa anasabiih kutumia kokwa zatende.
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 жыл бұрын
Asalam aleikum sheikh naomba uzungumzie masheikh wenye tabia mbaya ya kukusanya michango kwa visingieo vya urongo, mfano (wangonjwa, mayatima, wajane, miskiti au madrasa) watafanya mchango kwa kisingizio cha mgonjwa Kisha kilichopatikana 90% wala wao mgonjwa apewa 10%.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Vilivyokuwa havipo wakati wa Mtume ni vingi sana, Kama kutokuwepo ndio BIDAA basi hata sisi tuliopo leo ni BIDAA, TV, Simu nk. Kupata elimu kupitia vyombo ambavyo havikiwepo wakati wa Mtume Muhammad SAW ni BIDAA?
@ibnsefu9764
@ibnsefu9764 2 жыл бұрын
Nenda Ukasome
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Wasikilize Masheikh wakisalafy nin mana ya Bidaaa utaelewa vizur inshaallah. Kisha elewa kwamba hizo ni Fatwa za wanchuoni wakubwa sio manen ya Sheikh. Allah akuongoze ww pamoja na sisi aaamin
@mejumayanga5158
@mejumayanga5158 3 жыл бұрын
Je ukizidisha kuna makosa naomba mnisaidie plz
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 2 жыл бұрын
Vipi hakuna wanavyuoni waliokubalisha jambo hili?Mbona huwataji?Vipaza sauti kwenye adhana havikuwepo sasa hivi je?Vyombo vya teknolojia kutumika kusaidia ufanisi katika utekelezaji wa dini mbona vingine mnavikubali na vingine mnasema ni bidaa?Vipaza sauti,mp3,simu,pete za kuhesabia,hio tasbihi,n.k mbona vinatolewa fatwa tofauti?Inakuwaje na vyote Bwana Mtume hakutumia?
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Mie naskiaa sauti ya kike tu bas Ila kama huyu ndo mwalim asomesha wanafunzi Na wanamsikiliza Wamekula hasara wanafunzi wote Naona hamna kitu
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Allah akusamehe San n akuongz ktik njia ilionyooka. N akuonyeshe hki kbla y MAUTI yko aaamin
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 2 жыл бұрын
Azina ubaya wowote ule kwa sababu lengo ni hesabu na tasbihi unatumia vidore...hata utumie pingili za vidore lengo ni hesabu tu..labda ukiitumia nia ya kuwaiga manasala..tasbihi inalahisisha sana..ndio maana M'mungu alisisitiza watu wasome..kwa mfano enzi za mitume walitumia wanyama kusafili leo hii yako trein za umeme we useme mm lazima nipande wanyama (huu ni ujinga)
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
But vidole havijabadilika kulingana na zama zote vidole viko vile vile
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 2 жыл бұрын
Hizi KZbin si za makafiri ? Mbona unatuelisha kupitia humu ? Kitu chochote cha kielimu ni cha Allah
@hassanameir1710
@hassanameir1710 2 жыл бұрын
Hivi ikiwa watembea nayo tu hio tasbihi bila ya kumtaja Allah. je yakua nnini? mbidaa, wapatamadhambi au vipi?
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Yani huyu Kasoma yemen miez 6 Tena yy anajifanya elimu yote kaizunguka yy Kumbe hamna kitu kichwani Swali÷ Kwaji ule mtasbih ni ibada Mbona mpumbavu sana ww
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Allah akusaheme Sana kwa7 hukijui ukisemacho umewaita Wanazuoni n wapumbavu Maan Sheikh anazisoma Fatwa za wanchuoni wakubwa sio manen yake. Allah akuongz ww pamj na sisi aaamin
@user-sp8bc5pi4q
@user-sp8bc5pi4q 5 ай бұрын
Wewe unamfuata mtume kweli au unapiga kelele tu salafi.
@mohamedafdhal7252
@mohamedafdhal7252 2 жыл бұрын
Upumbavu mtupu najuta hata kupoteza mb zangu mbona vipa saut mnatumia hamviharamishi mambo kibao ujinga tuu amna elimu wala nini ni upotovu
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Allah akusamehe Sana Kam Sheikh hana Elimu wewe kwanz Pima manen yak vizur San. Rudi nenda KASOME. Allah akuongoze katik njia ilionyooka ww pamoja na sisi aaamin
@mursalsaid3327
@mursalsaid3327 3 жыл бұрын
Kwahio sheikh unatwambia kutumia Tasbih ni haramu, na ni bidaa ,je sheikh zile mmbwe au mawe yanayotumiwa misktini kwa ajili ya kuhalilia maiti,toa ufanunuzi , sheikh misktini zimejaa hizo sasa nikusema masheikh wetu hawajui hili , Mimi ushauri wangu nyinyi wanazuoni mukae pamoja muelewane ,kuhusiana Na hizi hitlafu ambazo zinajitokeza kwa waislam kuhusu suala zima la ibada,
@adabwadoy2626
@adabwadoy2626 2 жыл бұрын
adhkari husema kwa njia yoyo al muradi kumtaja awahu kwa wingi hapana kosa lolote kutumia tasbihi
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 2 жыл бұрын
Mursal:Tatizo husomi ndo maana kila kitu kinakuwa kigeni kwako.
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
hio sio ikhtilaaf ball ni bidaa
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
@@adabwadoy2626 hio ni shanga sio tasbiih
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Kumtaja Allah ni ibada hivyo ukiweka namna maalumu au wakati maalumu inabidi ulete Dalili, lkn kumsabih Allah ni mda wowote na idadi yeyote, isipokuwa kwa zile ambazo Rasuul alaih swalaatu wa salaam amezitolea idadi au nyakati maalumu haifai kupunguza au kuzidisha Chochote au kuletea namna ambayo hakufundisha Mtume.
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 жыл бұрын
Kasome katika fatwa ya Sheikhul Islaam Ibn Taymia amotoa dalali ya kitumia Tasbiih maswahaba wametumia na Rasuul S.a.w. hakupinga amelikubali walemea kwa Rasuul hakutumia je maswahaba wakitumia mbele yake akikbali haijakua sunnah?
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
ibun taymiyah sio dalili , bidaa ni bidaa tu na haramu hata kama mwanachuoni atasema inafaa
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 жыл бұрын
Ibn Taymia ametoa Dalili si maneno yake amtoa hadithi ya Hafswa na Abu hureira na Imaam Nawawy katika kitabu chake Al Adhkaar
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
acheni kuleta talbis hapa mahizbi ninyi ile ni shanga tasbihi ni tamko subhaana llah Ama kuita hio tasbiih ni jina lenu makhurafi
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
alafu ninyi hadithi hata la kutungwa ni hadithi
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 жыл бұрын
Kiusomi mtu akiambiwa kuna dalili hiutisha ili aangalie ni ni hadithi za kutungwa ilmu haiekewi mipaka kwa kwa kuwa sh. Fulani ashasema kwa hivyo sheikhul Islam na Imaam nawawiy na Abuu haanifa wamezitunga hadithi
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 2 жыл бұрын
Eh kumbe huyu nijahil namna hii.
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
Kma ulivokuwa ww
@muhidinally3753
@muhidinally3753 2 жыл бұрын
Duuu ila huyu Sheikh ni mtu wa ajabu sana. Tasbih iwe ya shanga au digital lengo lake ni kumfanya anayeleta tasbih kupata idadi yake kwa uhakika. Allah anakulipa kwa nia yako. Na hapa nia ni kupata usahihi wa hesabu. Vipi wewe Sheikh huwezi kufanya reasoning!!!. Unasema mambo haya hakuyafanya mtume, kwani Mtume hakufanya tasbih??
@zanlec7357
@zanlec7357 2 жыл бұрын
Tatizo sio Mtume Muhammad Swalallahu alayhi wasallam kua amefanya laaaa Bali alifanyaje? Na amefundishaje kuhus Tasbihi?
@hudaaalhussein3841
@hudaaalhussein3841 2 жыл бұрын
Km tasbih ni haram ht mp3 itkua ni haram
@mussafrancophonetours1356
@mussafrancophonetours1356 3 жыл бұрын
Masomo ambayo munatupa hayana mashiko mana kutumia tasbihii hakuna zambii isipokua mafundisho yenu muko kila kitu bidaa
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
hio sio tasbiih ni shanga umeambiwa mtume ametumia mkono wake
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
anayefanya bidaa yoyote anapata dhambi
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
sio kila kitu ni bidaa. Bidaa zinajulikana kama hili la huo mnyororo unaoitwa tasbihi
@muslimmassoud2673
@muslimmassoud2673 2 жыл бұрын
@@leonardmbonea4117 naam
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
Yani ukimsikiliza huyu jamaa ndo utajua mawahabi ufahamu wao ni mdogo sana. Kama kuchukua kwenye dini nyengine haifai mbona mnanasibisha saumu ya ashura kwa nabii musa wakati nabii musaa alikuwa mtume wa mayahudi. Alafu huyo shehe wenu rabii alisoma historia gani ikamuonyesha tasbihi ilianza kwa mabudha. Ukiona watu wanafanya kitu si dalili kuwa wao ndiyo walioanza.yani mawahabi wamechanganyikiwa kweli kweli hawajui hata maana ya bidaa ni nini.Hatakama mtume slikuwa anatumia vidole lkn wapi alisema ukitumia njia nyengine kufanya tasbihi ni vibaya?
@abdulrahmansalim1990
@abdulrahmansalim1990 Жыл бұрын
Saum ya ashura Iko katika Hadith sahihi ya mtume sallaLLahu aleihi wa Salam na si ATI waislam walitoa direct kwa nabii musa
@abiabi9353
@abiabi9353 Жыл бұрын
@@abdulrahmansalim1990 Hatusemi waisla wamechukua direct kwa Nabii mussa.Hadith sahihi unayosema inaonyesha mtume alichukua kwa mayahudi.Sasa kama mtume alichukua kwa mayahudi masnake hiyo ni sunna.sasa tukifata sunna ya mtume kumashida gani.pili pia inaonekana mawahabi wanajichanganya.wanasema speaker ya kuadhinia si bidaa maana nikifaa tu na sikatika dini.Jee tasbihi sikufaa?
@hudaaalhussein3841
@hudaaalhussein3841 2 жыл бұрын
Km tasbih ni haram ht mp3 itkua ni haram
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 2 жыл бұрын
haramu kisheria sio kwa kutumia akili
KISA CHA NABII IBRAHIM//SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:00:52
arkas online tv
Рет қаралды 43 М.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 21 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 25 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
SWALA YA TASBIH
47:43
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 69 М.
Sheikh Abdallah Humeid-Sifa Za Mke Mwema
41:00
ELIMU YENYE MANUFAA
Рет қаралды 29 М.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 21 МЛН