Unaongea vzr sana maalim seif ,kwl unalipenda taifa la Zanzibar.
@khelefomar40974 жыл бұрын
UISLAM haukatazi utalii Ila utalii huo usiende kinyume na maadili hata WAKATI wa karume mkubwa ulikuwa na nidhamu
@pandungozi10724 жыл бұрын
Zanzibar jina tu! linawalevya watalii hadi ccm! sawasawaaa! babu shkamooo😄👍
@hatimmohamed42994 жыл бұрын
Tushachoka na mijizi CCM. Mimi CCM pia nishachoka
@hajihassan54334 жыл бұрын
Siasa!!!! Siku zote tunalaani Utalii kwa kuharibu maadili ya Mzanzibar leo kwa siasa tunausifu na kujipanga kuuimarisha.
@aishamuhammad77854 жыл бұрын
Mbona nyie hamuukatai uwo usanii?
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@aishamuhammad7785 Kuukataa ni huko kukosa nguvu.
@aishamuhammad77854 жыл бұрын
Haji Hassan nguvu gani muloikosa na awo watalii ndo wanaowapakuwa
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@aishamuhammad7785 Huu ni wakati wa kujenga HOJA sio MATUSI ili wenye akili tupime. Mtoto wa kike tawezaje kutukana mwanamme labda ujanajike wako unamapungufu. Hayo unayotamani kwa ZANZIBAR hayatapatikana kupitia vyama vya siasa. Vyama vyenyewe ndio bahasha la kuifungia Zanzibar. Wagombea wa vyama vyote wamechaguliwa Bara wale Dodoma wengine "some where" lakini Bara na Tume ni yao nnauhakika na matokeo ya Uchaguzi wanayo. Sasa wewe tukana tuzidi kuchukiana (Malengo ya Vyama) TUONEWE zaidi.
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын
Twambieni wapi hii media tuambieni sehemu gani
@amosmoses78004 жыл бұрын
JPM: nimekueteni hapa ili tupange mikakati mingine ya kushinda uchaguzi. Nawaoneni hamtumiki kama nilivyowaagiza. Nataka kujua tatizo lipo wapi? ALI BASHIRU : Mheshimiwa Mwenyekiti ; mbona tunafanya juhudi kubwa ata tunakosa kulala. ivi tunawabeba Wananchi kutoka vitongoji mbalimbali kuja kwenye kampeni zako; kwa mfano kule Mwanza tulikosa watu kabisa ikabidi tuwagalimikie watu kutoka Mikoa ya Geita / shinyaga na kuwaokota okota humo vijijini hadi Mwanza ili tuongeze idadi ya watu. Mheshimiwa. Bila ya ivo. Tutakuwa sisi tunaobaki kukusikiliza. POLEPOLE: Mheshimiwa M/Kiti nikiongezea hilo. Tumekuwa tukiwafata Wasanii. Na tunashukulu. Wametupa ushilikiano mzuri. ila tu malipo yao Bilioni 200 bado hawajalipwa. Mheshimiwa Kinana anasema tuwaalike pia waimbaji kutoka Congo. Tutapata washabiki wengi. Au unasemaje ? JPM : embu Kwanza naona kuna simu ya Rostam ananipigia kutoka Dubai. ..hallo! ************** ROSTAM : halloh! Mheshimiwa M/Kiti habali za tokea jana. Nakualifu huku mambo nimeshayasuka. Tumeelewana na Mheshimiwa Membe. Na hela zake kasema zibaki kwenye akaunti yake ya nje. Anasema atatekeleza yale maagizo yetu akitua tu huko Bongo. CCM oyeee . JPM : Asante sana Rostam. Uko vizuli. Nataka uyo Membe asaidiane na Lipumba .kuzichafua ATC na CUF , ila mambo mengine yanakuwa magumu kwa vile yule kamanda wetu Mzee Mkapa hatunae tena. Mzee Mwinyi anasinzia ovyo. Mzee kikwete na Mzee makamba wamenisusa. Sijui ataniokoa nani! IGP SIRRO: Mheshimiwa Laisi. Vijana wangu wapo tayali kwa lolote. Wanasubili amri yako tu. Kama nikutumia lisasi au mabomu tutazitumia kwa Ajili yako. Mheshimiwa. JPM: Ni kweli. Embu nikusikilize Jaji Kaijage. Unasemaje? Naona unakuna kichwa. JAJI KAIJAGE : Mimi naona kuna ugumu wa kuiba kula kwa kipindi hichi. Maana kuna madai hadi muda huu tumeshindwa kuwapa majibu. Wanadai kwanini Ni wao tu watenguliwe kuanzia Udiwani hadi ubunge. Na kwa upande wetu hakuna ata mmoja tuliemtengua. ?? JPM : Acha iwe ivo ivo. Watanielewa tu! wanalalamika kujenga kiwanja cha ndege kijijini kwangu chato. Mimi si nimefata nyayo za walionitangulia? Mzee Mkapa ameekeza hadi Afrika kusini ana maHoteli yake kule. Mzee kikwete nae Amejenga sana Kwao Msata. Na Majumba kibao kwa jina la mtoto wake Rizwani. ivi trilioni 1.5 nikichukua kuna ubaya gani? Naomba tu haya mambo tusiyafikishe huko nje. Yule Jamaa akifahamu atatushambulia kwa mikuki ya chuma! CHANNEL TEN : Mheshimiwa Laisi. Lakini hicho kimbunga si chakawaida. Huko Tunduma. Mbeya. Mwanza. Njombe. .Japo umetukataza tusikalibie kwenye Kampeni zao wala kuzilusha, lakini hicho kimbunga cha Lissu kinasikika hadi ulaya. Hadi Marekani. .Sisi wote tunatekeleza agizo lako kwamba tusilushe kampeni zao. Tatizo wanachukuaga kwenye simu zao. JPM : Embu nisubilini kidogo. Naenda kujisaidia. *******************************
@truthspeaker20624 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama ulikuepo yani
@mzuvendi4 жыл бұрын
Wewe nadhani ni wale wenye vipaji vya Movie Directors! Ingekuwa nina kampuni ya kutengeneza cinema ningekuajiri mara mora!
@truthspeaker20624 жыл бұрын
Liwaaaaallo na liiiiiweee
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын
Umepita bb
@nass.pofficial40864 жыл бұрын
Njoo uiskilize mzik mzur ikiwa Naomba saport zenu kzbin.info/www/bejne/eKO6mJmLoruSiLs
@babafii234eddie74 жыл бұрын
Bahamadi kwani ww si ulikua makamo wa kwanza wa rais ulishindwa nn kufanya haya yote uje useme sasaivi??
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 жыл бұрын
Ww boya makamo wakwaza sio mtendaji makamo 2 ndio mtendaji
@mangofish90794 жыл бұрын
Hujui mifumo ya siasa ya nchi hii ndugu
@rashidshela96254 жыл бұрын
ameshajibu hiyo hoja mkutano wa alabama uskilize tu utaacha kuropoka ovyo akiend kutfta wawkezaji akajanao ccm ikamkataliy ss angefanyaje?
@hajihassan54334 жыл бұрын
@@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 Maalim alikuwa Waziri Kiongozi na vyeo mbalimbali hana "legacy" yoyote.