Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao
@hamadKhamis-p6kКүн бұрын
Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew
@hamadKhamis-p6kКүн бұрын
Ccm ni hao walio na madaraka sio nyie vikaragos mnaburuzwa tu tunakula njaa pamoja mbon haiwasaidii kitu hio ccm wameshasem Ina wenyew sio nyie ondoeni ujinga huo tetea haki Yako kwanza wajinga nyie huyo anaeipenda ccm amenufaika na nin awe na shida hapo haikusaidii Wala haikujui wanajuana wenyew tu hao sio nyie mnaopoga kelele ccm utakuwa wey
@hamadKhamis-p6kКүн бұрын
Hao wanayoitetea ccm njaa km sie tu nyie
@Fatma99-ve7ysКүн бұрын
Naisubir iyo siku na mwaka ufike nione kwamacho siyo muwe na maneno mazur ila vitendo hakuna
@Is-hakaRuweikh-k9s2 күн бұрын
Inshaallah Mungu ataleta kher mwaka huu tumeshachoka kula muhogo mchungu bila ya ata dagaa!! Mungu yaa Raab liondoshe hili janga la ccm linatuongezea ucku wa giza TOTORO WAZANZIBAR ACLIMIA 85 Tumackini yaa Raab lione hili na MAOVU PIA YANACHANGIWA PIA NA unongozi wa chama cha mapinduzi WAZANZIBAR watuoi Wari wamekuwa wengi mahari hapana maisha magumu viongozi hawajashtuka maisha yanazidikuwa magumu😢😢😢 HASBIYALLAH WANEEMALWAKIYYL YAAB TUNAJUWA UNAYAJUA HAYA YOOTE NA UNAYAONA na wala hatukupaangii wew ni mjuzi wa wajuzi ila kwa udhalili wetu hatuna wa kumuomba isipokuwa wewe yaa ALLAH tunakuomba ufanye mageuzi mwaka huu inshaallah
@SudiKhamisi2 күн бұрын
Marahii kazi ccm munayo kwa ACT
@harithwhite5893 күн бұрын
Naangalia hii baada ya miezi minane naona jinsi masoko yalivokamilika na kuvutia,namuangalia bimani kwa miwani ya chini
@binmasoud41504 күн бұрын
Watawala kazi yao kula tuu hawajali wananchi hata kidogo. Kusini watu wameamka sana washachoka kuhongwa pesa za sabuni
@salyali78074 күн бұрын
ACT 🔥🔥🔥
@natafutamatatizo43824 күн бұрын
DR MWINYI ANAIANGAMIZA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI KWA UJUMLA👁️👁️
@salumnassornassor97334 күн бұрын
Inshaallah kwa uwezo wa Allah atajaalia nchi yetu Zanzibar yetu itoke ktk muungano tumechoka kudhulumiwa
@Aisha-lj8bu4 күн бұрын
Kuteka watu wao
@Aisha-lj8bu4 күн бұрын
Wajinga hao ccm wanakudhalilisheni jamaazangu
@DaudsalumMohd-x1w4 күн бұрын
Asanteni viongozi
@GenttileZanzibar6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-hu4sd7bg8n6 күн бұрын
Sisi wazanzibari baba wetu wa taifa ni karume sio nyerere
@Aisha-lj8bu7 күн бұрын
Dufu linalia utam mno mm nimgonjwa wadufu jamani
@Aisha-lj8bu7 күн бұрын
Kulinoga wallah
@SudiKhamisi8 күн бұрын
Bado hamuja sem CCM nyinyi maalim mulimuona mjinga et
@AbdulMajidi-i9m8 күн бұрын
Watawal wa nch jmn yujuen Kun kufa man Kun wat wanakul pesa za wanach hil lioneln Kun kufa cjui twenda kutan vp na mola wetu ajae Kun kund la mafisad kuzulum mlione hil yangu viongoz walopit wpo hao had Leo
Hii hakutia udhu si uzur kuisema maana huenda ikawa ni jambo la kimaumbile
@salyali780712 күн бұрын
Mie ananishangaza Hussein Mwinyi.. Kua yote yanayotokea watu kuuliwa na kutayarisha vikosi kwake ni imani? Ama kweli mnafiq ni mtu hatari anasema anatabsam bado .. Hasbiyallah waneemal wakeel..
@BakaryOmally12 күн бұрын
@@salyali7807 tatizo la waoga siku zote imani zao kua wanapigwa tuu 25 bado aijafika mnachachawa yaani 25 ndo mwinyi haitaji ata kuzunguuka aliofanya yanaonekanwa nyinyi amna kitu mnachokiona kazi mkae majukwaani mutukane tu ndo mnayoiweza
@BakaryOmally12 күн бұрын
@@salyali7807 watu gani waliouliwa thibitisha shida yenu mnapenda kujihami na kulialia nyinyi zaidi mnachoweza kuwatusi watu majukaani hamna kitu mnalia na njaa fanyeni kazi
@Newchange2512 күн бұрын
@@BakaryOmallyyou know nothing you have to be quiet
@user-nk9wy8ve2v10 күн бұрын
@@BakaryOmallyWewe kichogo deal na ya kwenu Bara Zanzibar haikuhusu Omali iyo vepe
@BakaryOmally12 күн бұрын
Akupeni kura naniii njaa fanya kazi
@Aisha-lj8bu4 күн бұрын
Cc tutampa hajakuona ww
@BakaryOmally12 күн бұрын
Hamna lolote nyie hamna
@ahmadSeif86012 күн бұрын
Ww bakar c umfate mwenzako mauzinde
@user-hx8gn5yx8c12 күн бұрын
Wewe kunguni hasa sio chawa vijicho vidogo kwa ubaya
@BakaryOmally12 күн бұрын
@@ahmadSeif860 wewe si ndo anaekundua umemjuaje km nawewe sio hanisi
@Aisha-lj8bu4 күн бұрын
Ww unalo ndio maana umevaa nguo
@yakoubfaki202614 күн бұрын
Duh kiukwel shd bora tufe sote ili CCM tuu ikae madarakani, hatar haya mzee endelea kusema zaidi Ila juwa wakati firauni kafikia mwisho ma Hakuna nitakacho kaa daima
@saidrakwe872715 күн бұрын
askar si kazi za uungwana
@SudiKhamisi16 күн бұрын
Mm hata ccm ifanye nn sita vaaa hata tisheti yake mm sivai
@SudiKhamisi16 күн бұрын
Ukumbuke utakufa na CCM itakufa kafa mtum je CCM Lana tu uwah ww mwenye kujielewa kam atalipwa na mola wake haongozi nchi kwa zula et fanya haki Kama kweli nynyi niwadilifu cheka duniani ukalie kaburin
@SudiKhamisi16 күн бұрын
Ujuwe ww mzee umri wako uko mwishoni sisi hatuna hofo na kifo kwa sababu niwajibu wetu Ila sisi hatuzulumu nafisi Kuna nynyi CCM je munawo uwezo wakulipa nafisi mbele ya mungu mzulumiwa halali Wala hasizii unalijuw hilo
@justinamatondane519717 күн бұрын
Hongera sana unaeleweka mno
@user-qo8uj1ym4m18 күн бұрын
Japo hatupo vswn tupo majabalini ymn ila mulipo tupo z1 mamlaka kamili❤ Zanzibar ❤a,c,t kiboko ya vyama vyote