OMO mzima mzima kisiwani Pemba
7:32
OMO ndani ya Kigoma
7:42
2 ай бұрын
Пікірлер
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k Күн бұрын
Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k Күн бұрын
Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k Күн бұрын
Ccm ni hao walio na madaraka sio nyie vikaragos mnaburuzwa tu tunakula njaa pamoja mbon haiwasaidii kitu hio ccm wameshasem Ina wenyew sio nyie ondoeni ujinga huo tetea haki Yako kwanza wajinga nyie huyo anaeipenda ccm amenufaika na nin awe na shida hapo haikusaidii Wala haikujui wanajuana wenyew tu hao sio nyie mnaopoga kelele ccm utakuwa wey
@hamadKhamis-p6k
@hamadKhamis-p6k Күн бұрын
Hao wanayoitetea ccm njaa km sie tu nyie
@Fatma99-ve7ys
@Fatma99-ve7ys Күн бұрын
Naisubir iyo siku na mwaka ufike nione kwamacho siyo muwe na maneno mazur ila vitendo hakuna
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s 2 күн бұрын
Inshaallah Mungu ataleta kher mwaka huu tumeshachoka kula muhogo mchungu bila ya ata dagaa!! Mungu yaa Raab liondoshe hili janga la ccm linatuongezea ucku wa giza TOTORO WAZANZIBAR ACLIMIA 85 Tumackini yaa Raab lione hili na MAOVU PIA YANACHANGIWA PIA NA unongozi wa chama cha mapinduzi WAZANZIBAR watuoi Wari wamekuwa wengi mahari hapana maisha magumu viongozi hawajashtuka maisha yanazidikuwa magumu😢😢😢 HASBIYALLAH WANEEMALWAKIYYL YAAB TUNAJUWA UNAYAJUA HAYA YOOTE NA UNAYAONA na wala hatukupaangii wew ni mjuzi wa wajuzi ila kwa udhalili wetu hatuna wa kumuomba isipokuwa wewe yaa ALLAH tunakuomba ufanye mageuzi mwaka huu inshaallah
@SudiKhamisi
@SudiKhamisi 2 күн бұрын
Marahii kazi ccm munayo kwa ACT
@harithwhite589
@harithwhite589 3 күн бұрын
Naangalia hii baada ya miezi minane naona jinsi masoko yalivokamilika na kuvutia,namuangalia bimani kwa miwani ya chini
@binmasoud4150
@binmasoud4150 4 күн бұрын
Watawala kazi yao kula tuu hawajali wananchi hata kidogo. Kusini watu wameamka sana washachoka kuhongwa pesa za sabuni
@salyali7807
@salyali7807 4 күн бұрын
ACT 🔥🔥🔥
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 4 күн бұрын
DR MWINYI ANAIANGAMIZA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI KWA UJUMLA👁️👁️
@salumnassornassor9733
@salumnassornassor9733 4 күн бұрын
Inshaallah kwa uwezo wa Allah atajaalia nchi yetu Zanzibar yetu itoke ktk muungano tumechoka kudhulumiwa
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 4 күн бұрын
Kuteka watu wao
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 4 күн бұрын
Wajinga hao ccm wanakudhalilisheni jamaazangu
@DaudsalumMohd-x1w
@DaudsalumMohd-x1w 4 күн бұрын
Asanteni viongozi
@GenttileZanzibar
@GenttileZanzibar 6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n 6 күн бұрын
Sisi wazanzibari baba wetu wa taifa ni karume sio nyerere
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 7 күн бұрын
Dufu linalia utam mno mm nimgonjwa wadufu jamani
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 7 күн бұрын
Kulinoga wallah
@SudiKhamisi
@SudiKhamisi 8 күн бұрын
Bado hamuja sem CCM nyinyi maalim mulimuona mjinga et
@AbdulMajidi-i9m
@AbdulMajidi-i9m 8 күн бұрын
Watawal wa nch jmn yujuen Kun kufa man Kun wat wanakul pesa za wanach hil lioneln Kun kufa cjui twenda kutan vp na mola wetu ajae Kun kund la mafisad kuzulum mlione hil yangu viongoz walopit wpo hao had Leo
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 9 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/iILSnnRomMqLZpYsi=C3iYZ2YTA2FAGEwl
@user-un3hr5kh6z
@user-un3hr5kh6z 10 күн бұрын
Kibele kunakuhusu
@ShamisYussuf
@ShamisYussuf 10 күн бұрын
Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 11 күн бұрын
Kifo cha maalem kimefichua wanafik
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 11 күн бұрын
Ndio,shekh,
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 12 күн бұрын
Ccm,hawanalolote,wanajidanganya,mbele,m,mungu,na,malaika,wake
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b 12 күн бұрын
Ulituulia chama chetu
@user-tu2ne7so3b
@user-tu2ne7so3b 12 күн бұрын
Ulisababisha wewe Mbwa mkuu wee
@user-sh2os4yh5l
@user-sh2os4yh5l 12 күн бұрын
Dk Mwinyi silent killer
@salyali7807
@salyali7807 12 күн бұрын
Hapa umempatia sawa sawa
@jaysullman3697
@jaysullman3697 12 күн бұрын
Wazanzibar sasa wamekua ni Sawa Sawa na Jela ya Watumwa wanaoteswa na Utawala wa CCM Looh😦🥺!!!
@haydarabdallah7914
@haydarabdallah7914 12 күн бұрын
💜💜💜💜
@user-gv3bv5cu2z
@user-gv3bv5cu2z 12 күн бұрын
Kumanina. acha. ujinfa. usiejielewa CCM. oyee😅. acha. izo😢
@jaysullman3697
@jaysullman3697 12 күн бұрын
Una hakika na ilo??
@yunuskhams7216
@yunuskhams7216 12 күн бұрын
Hii hakutia udhu si uzur kuisema maana huenda ikawa ni jambo la kimaumbile
@salyali7807
@salyali7807 12 күн бұрын
Mie ananishangaza Hussein Mwinyi.. Kua yote yanayotokea watu kuuliwa na kutayarisha vikosi kwake ni imani? Ama kweli mnafiq ni mtu hatari anasema anatabsam bado .. Hasbiyallah waneemal wakeel..
@BakaryOmally
@BakaryOmally 12 күн бұрын
@@salyali7807 tatizo la waoga siku zote imani zao kua wanapigwa tuu 25 bado aijafika mnachachawa yaani 25 ndo mwinyi haitaji ata kuzunguuka aliofanya yanaonekanwa nyinyi amna kitu mnachokiona kazi mkae majukwaani mutukane tu ndo mnayoiweza
@BakaryOmally
@BakaryOmally 12 күн бұрын
@@salyali7807 watu gani waliouliwa thibitisha shida yenu mnapenda kujihami na kulialia nyinyi zaidi mnachoweza kuwatusi watu majukaani hamna kitu mnalia na njaa fanyeni kazi
@Newchange25
@Newchange25 12 күн бұрын
​@@BakaryOmallyyou know nothing you have to be quiet
@user-nk9wy8ve2v
@user-nk9wy8ve2v 10 күн бұрын
​@@BakaryOmallyWewe kichogo deal na ya kwenu Bara Zanzibar haikuhusu Omali iyo vepe
@BakaryOmally
@BakaryOmally 12 күн бұрын
Akupeni kura naniii njaa fanya kazi
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 4 күн бұрын
Cc tutampa hajakuona ww
@BakaryOmally
@BakaryOmally 12 күн бұрын
Hamna lolote nyie hamna
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 12 күн бұрын
Ww bakar c umfate mwenzako mauzinde
@user-hx8gn5yx8c
@user-hx8gn5yx8c 12 күн бұрын
Wewe kunguni hasa sio chawa vijicho vidogo kwa ubaya
@BakaryOmally
@BakaryOmally 12 күн бұрын
@@ahmadSeif860 wewe si ndo anaekundua umemjuaje km nawewe sio hanisi
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 4 күн бұрын
Ww unalo ndio maana umevaa nguo
@yakoubfaki2026
@yakoubfaki2026 14 күн бұрын
Duh kiukwel shd bora tufe sote ili CCM tuu ikae madarakani, hatar haya mzee endelea kusema zaidi Ila juwa wakati firauni kafikia mwisho ma Hakuna nitakacho kaa daima
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 15 күн бұрын
askar si kazi za uungwana
@SudiKhamisi
@SudiKhamisi 16 күн бұрын
Mm hata ccm ifanye nn sita vaaa hata tisheti yake mm sivai
@SudiKhamisi
@SudiKhamisi 16 күн бұрын
Ukumbuke utakufa na CCM itakufa kafa mtum je CCM Lana tu uwah ww mwenye kujielewa kam atalipwa na mola wake haongozi nchi kwa zula et fanya haki Kama kweli nynyi niwadilifu cheka duniani ukalie kaburin
@SudiKhamisi
@SudiKhamisi 16 күн бұрын
Ujuwe ww mzee umri wako uko mwishoni sisi hatuna hofo na kifo kwa sababu niwajibu wetu Ila sisi hatuzulumu nafisi Kuna nynyi CCM je munawo uwezo wakulipa nafisi mbele ya mungu mzulumiwa halali Wala hasizii unalijuw hilo
@justinamatondane5197
@justinamatondane5197 17 күн бұрын
Hongera sana unaeleweka mno
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 18 күн бұрын
Japo hatupo vswn tupo majabalini ymn ila mulipo tupo z1 mamlaka kamili❤ Zanzibar ❤a,c,t kiboko ya vyama vyote
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 18 күн бұрын
Kwani alipanga hata useme kahama?
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 18 күн бұрын
Mbona mmeboronga? Wimbo wa kingszija haupo
@salyali7807
@salyali7807 18 күн бұрын
Hapa wametoa raha kweli
@yasserahmed9420
@yasserahmed9420 18 күн бұрын
Mazurui kesha hama😅
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 16 күн бұрын
Kahamia wapi?
@salyali7807
@salyali7807 18 күн бұрын
ACT fire 🔥🔥🔥
@user-pe9nq3wu4p
@user-pe9nq3wu4p 18 күн бұрын
act oye
@user-pe9nq3wu4p
@user-pe9nq3wu4p 18 күн бұрын
jusa hogera