HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025

  Рет қаралды 26,187

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Күн бұрын

#TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 92
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 3 ай бұрын
Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia
@BartonyMwasambili
@BartonyMwasambili 3 ай бұрын
Simba
@lovely-mq4rg
@lovely-mq4rg 2 ай бұрын
majinga mengi
@KhamisiSalimu
@KhamisiSalimu 3 ай бұрын
Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 3 ай бұрын
Askofu Big up!
@allyalsubhy6899
@allyalsubhy6899 3 ай бұрын
Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 3 ай бұрын
Mpumbavu ni wewe boya wewe
@martinisadru9899
@martinisadru9899 3 ай бұрын
Umejaa matope kwenye ubongo
@AdamShaban-uu4en
@AdamShaban-uu4en 3 ай бұрын
Watanzana amkeni ccm ni sawa na nguo ya zamani au nguo mtumba shauri yenu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
HABARI NDO HIYOO
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 3 ай бұрын
Pole sana
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 3 ай бұрын
Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen
@SamwelMdamanyi
@SamwelMdamanyi 3 ай бұрын
Sio lazima umkubali anyesema usiyopenda.bali Mungu atasmama na kweli daima
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Uko sahihi
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 3 ай бұрын
Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali. Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 3 ай бұрын
Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka
@ntulimwakimonga6966
@ntulimwakimonga6966 3 ай бұрын
Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮
@hassannuru7399
@hassannuru7399 3 ай бұрын
hakuna mwenye time naye. hayo yalikuwa ni ya kipindi cha yule mwendazake.
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
AA WAPII
@IssaMohamed-mp4hj
@IssaMohamed-mp4hj 3 ай бұрын
Mchungaji atapotezwa na ccm
@SamwelMdamanyi
@SamwelMdamanyi 3 ай бұрын
Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 3 ай бұрын
Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .
@peterdaimon-ug6fd
@peterdaimon-ug6fd 2 ай бұрын
Viongozi hawataki kusikiliza wanainchi wakiwa madarakani wanafikkli wanaakili kuliko wanainchi wote mwanamapinduzi hapa anaongea kwa hasira sababu yao hawataki kutusikiliza wanainchi
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 3 ай бұрын
Fisiyemu tulieni sindano iwaingie
@SaidShabani-s4o
@SaidShabani-s4o 3 ай бұрын
Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 3 ай бұрын
Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa
@paulalubini8930
@paulalubini8930 3 ай бұрын
Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia
@habibakusaga-tf4uu
@habibakusaga-tf4uu 25 күн бұрын
watazilipa kwa kutekwa
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 3 ай бұрын
Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia
@kassimualli1755
@kassimualli1755 3 ай бұрын
Mkundu wako
@BarakaAkech-r9q
@BarakaAkech-r9q 3 ай бұрын
Mama samia rudi kwenu znz
@venceslausmtanila93
@venceslausmtanila93 3 ай бұрын
Sio askofu huyu
@floraflora5717
@floraflora5717 Ай бұрын
Amen
@jacksonndiu1070
@jacksonndiu1070 3 ай бұрын
kweli alitakiwa ajiuzulu
@allymusira2153
@allymusira2153 3 ай бұрын
Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 3 ай бұрын
Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu
@hassannuru7399
@hassannuru7399 3 ай бұрын
acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 3 ай бұрын
Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.
@EmmanuelKuzenza
@EmmanuelKuzenza 3 ай бұрын
Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.
@evelina9621
@evelina9621 3 ай бұрын
😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera Zuri.mafundi sho Juu.uchaguzi.waamke.wasids
@miraabdul7470
@miraabdul7470 3 ай бұрын
Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi. Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura
@emmanuelkaale6448
@emmanuelkaale6448 3 ай бұрын
Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv 3 ай бұрын
Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.
@GidisonMarco
@GidisonMarco 3 ай бұрын
Safi sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Huyu ni askofu au mwanasiasa?
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 3 ай бұрын
Gwajima yeye unamusemaje
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
@@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?
@EzekielKaminyoge
@EzekielKaminyoge 3 ай бұрын
Usutumie vibaya neno la Mungu askofu
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 3 ай бұрын
Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani
@IssaMohamed-mp4hj
@IssaMohamed-mp4hj 3 ай бұрын
Kweli maisha magum sana tz
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 3 ай бұрын
Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 3 ай бұрын
Askofu pokea 100% kwako,
@SaidShabani-s4o
@SaidShabani-s4o 3 ай бұрын
Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 ай бұрын
Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili
@EliaBurinda
@EliaBurinda 3 ай бұрын
Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia
@janengaga2928
@janengaga2928 3 ай бұрын
Askofu wewe huogopi.
@PeterJonathan-c8k
@PeterJonathan-c8k 3 ай бұрын
siku mkirudi njooni G Lema
@venceslausmtanila93
@venceslausmtanila93 3 ай бұрын
Hana kanisa kanisa kwanza
@kassimualli1755
@kassimualli1755 3 ай бұрын
Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu
@erickmsigala138
@erickmsigala138 3 ай бұрын
Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 3 ай бұрын
Wew imetokea wap kwa mam ako
@PhilipoNyangusi-f3u
@PhilipoNyangusi-f3u 3 ай бұрын
Mapema tulia sindano ningie
@AdamShaban-uu4en
@AdamShaban-uu4en 3 ай бұрын
Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm
@evelina9621
@evelina9621 3 ай бұрын
Kweli Ajihadali Maguli.alisem@
@abuuazhar3738
@abuuazhar3738 3 ай бұрын
Chadema UDINI UTAWAMALIZA.
@erickmsigala138
@erickmsigala138 3 ай бұрын
Utahira wako ndiyo unawaza udini
@NayratOmar
@NayratOmar 3 ай бұрын
Umeyakamyaga
@majebelemathis9991
@majebelemathis9991 3 ай бұрын
Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu
@kassimualli1755
@kassimualli1755 3 ай бұрын
Mkundu wew
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 3 ай бұрын
​@@kassimualli1755acha matus boya wew
@RafaerPetro
@RafaerPetro 3 ай бұрын
😅
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 3 ай бұрын
Kuisinda😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 3 ай бұрын
Kwani ccm ni MUNGU?
@SaidShabani-s4o
@SaidShabani-s4o 3 ай бұрын
Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho
@EliaBurinda
@EliaBurinda 3 ай бұрын
Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante
@edosha3137
@edosha3137 3 ай бұрын
Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.
@edosha3137
@edosha3137 3 ай бұрын
Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar
@PetroMpunga-rt7hv
@PetroMpunga-rt7hv 3 ай бұрын
Katiba mpya
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 3 ай бұрын
Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 3 ай бұрын
Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 3 ай бұрын
Nyie ni wadini sana Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote. Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20. Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 ай бұрын
Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.
@edosha3137
@edosha3137 3 ай бұрын
Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 3 ай бұрын
@@edosha3137 wameuza kwa wazungu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
​@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe
@martinisadru9899
@martinisadru9899 3 ай бұрын
Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.
#LIVE: BARAZA LA WANAWAKE WA CHADEMA WANAJIBU MAPIGO MUDA HUU
48:16
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 2,4 М.
Inside Out 2: BABY JOY VS SHIN SONIC 3
00:19
AnythingAlexia
Рет қаралды 9 МЛН
Пришёл к другу на ночёвку 😂
01:00
Cadrol&Fatich
Рет қаралды 11 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 56 МЛН
ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA KATIBU MKUU WA CCM EMMANUEL NCHIMBI
8:17
Chadema Media TV
Рет қаралды 21 М.
Maeneo mengi ya Nairobi yashuhudia athari za mvua
3:09
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 16 М.
Inside Out 2: BABY JOY VS SHIN SONIC 3
00:19
AnythingAlexia
Рет қаралды 9 МЛН