Azizi kii sio anaupendo Azizi kii Niupendo Mungu Ampe Kila lilo Jema Upendo Nguvu Vizidi kwake, Uyo ni mfano wa kuigwa kile alicho Mpa Mungu si mchoyo kuwapa wengine aisee Mungu Ambariki sana Naizo Baraka ziwe pamoja nae💚💚💛💛💛Mungu Humpa Mtoaji Zidi Kutoa uzidi Kupokea Safi Azizi kii 👏👏
@rehemamahendeka-rm2ek10 күн бұрын
Ni jambo jema vzr mno kwa UPENDO wa udugu wa dhati kwa dd zake(Yanga princess)Mungu akulipe neema Aziz Ki.Mshikamano daima.