Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Yanga dhidi ya Kagera Sugar. Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 4-0 Wafungaji ni Clement Mzize, Mudathir Yahya, Pacome Zouzoua na Kennedy Musonda
Пікірлер: 72
@emmanuelmwamlima10276 күн бұрын
Wa kwanza nipewe like za penat ya pacome!!💚💚💛💛
@SalmaOmary-o2h6 күн бұрын
Young Africans💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
@triceyanga6 күн бұрын
kabla ya kumlaumu azizi ki hakikisha umelipa ADA
@DenisErickKabenga6 күн бұрын
Sawa mrembo q
@MajaliwaJuma-c5g6 күн бұрын
Kweli
@yokoi-u3g6 күн бұрын
Tafuta hela ada leo 😢😢😢😢 kweli maisha yanaende upesi
@MauBonde6 күн бұрын
Wanayanga tuache unafki wakikosa wageni Poa ila wananchi kelele kibao kwa wachezaji wa kizawa Mpira ni team work.......😂tuache unafki wanayanga Ada nayo inauma Sana...wangemuacha ata mzize ili record ziongezeke uzalendo Kwanza.
@VictoriaKisege5 күн бұрын
Kwanini triceyanga
@DioclesRutta5 күн бұрын
Ahahaha❤hii kari sana
@KharidBlauda6 күн бұрын
Aziz k mwamba sana anaelaum hajui boli
@vincentmushi12476 күн бұрын
Weee Hamisa Mobeto utamu unaompa Aziz mpaka kwenye penati...mungu anakuona😂😂😂
@RogersRugumisa6 күн бұрын
Yaaaan weww😂😂😂😂
@VictoriaKisege5 күн бұрын
Yangaaaaaa ni mwamba❤
@Aivanniyhamicisinkonde6 күн бұрын
Nakubali san yanga yangu
@OmaryKiswanya6 күн бұрын
Safii saanaa wananchii
@AminaTanzania6 күн бұрын
Yanga daaa🎉🎉🎉🎉🎉
@PAAKWAMEPAA6 күн бұрын
Asante
@shaibusaady24206 күн бұрын
Allaah Akbar
@FadhiraMoses-o8i6 күн бұрын
Yan dube haend na movement yampira sasa hapo alikuwa anaenda wap
@mgenikhalfan74716 күн бұрын
Wanakosa wachezaji wa kubwa penalty sembuse Azizi ki
@Abuushaymaatz6 күн бұрын
Ahahaha hii nchi Ina vituko sanaa😂
@africaendlesscruisingltd6 күн бұрын
Dube anatukaba jamani, kwa nini Kocha asimwache nje kidogo wacheze wengine?!
@Muhammedually6 күн бұрын
Alhamdu lillah
@SanchezMutiti-ie8ed6 күн бұрын
❤❤❤
@muddymuzungu43576 күн бұрын
Stephan Aziz key 🔑 Tuko pamoja na wewe
@BETINAMOLLEL6 күн бұрын
Sio shiva zetu
@AbuuKhuzaimah-z8i6 күн бұрын
Penalti siomambo yetu
@IsayaMichael-j8z6 күн бұрын
Gusa twende kwao
@NuruNgolle6 күн бұрын
Hata kama tumeshinda yani tumekosa magori mengi mno alafu utulivu hamna wachezaji muangalie tukikutana natimu nzuri ndio tunapoteza mechi
@JanethFrancis-e9b6 күн бұрын
Kweli kaka 2:56
@look4house-2556 күн бұрын
Aziz ki anajua kuwapig wat mapas
@MurungiEmmanuel-bn1ro5 күн бұрын
I' here in Rwanda l'm fun of Apr FC
@JanethFrancis-e9b6 күн бұрын
4:45 4:47
@jaybee34296 күн бұрын
Kiwafunga tu kagera waaarabu aaaaaah!!!!
@RamaDee-b3r6 күн бұрын
Leo yanga kashinda kaenda robo😅😅😅
@imanimelchiory68666 күн бұрын
Mwinchui kama Mwinchui na penalty zake za ajabu ajabu
@stephanolulale97166 күн бұрын
Huyu referee achezeshe Simba SC vs Young Africans ijayo hakika penalty za kibu zitamiminika nyingi pmj na kadinying za njano kwa kumkaba kibu Denis au kumkaba Mpanzu.
@SamwelMzumbwe6 күн бұрын
Ilaa mawazo yako finyuu amekabwa mara ngap na amesababisha penat ngap
@VictoriaKisege5 күн бұрын
Muddy mzungu acha bwana 😂😂😂😂
@DjShallom_tz-pi8tu6 күн бұрын
ikangalombo mbona hacheze
@saidhamza53186 күн бұрын
huyu dube wameroga tena au.😳👀
@zilpagibore79336 күн бұрын
Tusilaumi kipa nae kafanya kazi yake
@Tassyomy6 күн бұрын
Pale Azizi K Alikua Anaulazima Gan WavKupiga Shut Badala Ya Kupenyeza Pasi Watu Wakafunge..Yanga Wakikutana..Na Timu Iliyokua Sirius.. hawatoboi..!🤪
@franccoz946 күн бұрын
PENALTY ZA UTOPOLO MNAZIHESABU LAKIN SIO KILA SKU MNABWATUKA, BWATUKA, TU WATU WANAKOSA PENATI HAMSEMI ,SIMBA AKIPEWA AKAPATA AMEPENDELEWAA
@KallaJr-o3u6 күн бұрын
Mwendo wa vichpo gusa achia twende leo
@look4house-2556 күн бұрын
Wamuz wabongo shikamoni
@CrispinSamson-hj8tf6 күн бұрын
Watano apa naombeni naniiiiii!😂 iv nn ile? Au bc!
@AminaTanzania6 күн бұрын
Pamoja na jeuri zenu siyo shida zetu kangera pamoja na kutufanya lafu IRA yanga jamani wapore sana wanasukumwa tuu akhaaa mnataka mtuumizier wachezaji wetu wakati. Tunahamu na Makolo nyie lafu hatutaki
@AlexLaizer-st5ou6 күн бұрын
Subria trhe nane uache kulalamka
@JUU-lw2je6 күн бұрын
Aziz ki asipewe tena penalty
@AthamanRamadhani6 күн бұрын
Hata Messi hukosa penalt,Aziz yeye nani acheni maneno
@cleophacemtumbuka8016 күн бұрын
Yaani kagera wanawapasia wachezaji wa yanga na kuwakaba kishkaji😁🤧🤮🥴
@IsayaMichael-j8z6 күн бұрын
❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Salehefranck6 күн бұрын
Wazee wa nyuma mwikoo
@HassanShijah-i1e6 күн бұрын
Gusa achia tusifunge 6 kama simba
@AthamanRamadhani6 күн бұрын
Kuwa na akili timamu hii ni ligi kuu,hizo goli sita alifunga mashindano gani na ni timu gani?
@kulwastima39936 күн бұрын
Ki Yuko vzr xn penalty kkox ni kawaida tu
@MasupaJuma6 күн бұрын
Mobeto penzi linanogo tam
@MagrethCostantine6 күн бұрын
Nne kwa kagera sawa, kwa waarabu kuwafunga kutinga robo fainal aa hamna, nyie si wajinga
@DavisMajor-sb2oz6 күн бұрын
Arafu amnasema ligi Haina ushindani wakati marefa wanawapa gemu yanii yanga TFF kwa ujumla ni hivyo saaana kwa sabab wao ndio wanasimamia nakutoa marefa makuma kama hawa
@FarajiMohammed-z4u6 күн бұрын
Kama inauma chomoa😅😅
@RichMotherr6 күн бұрын
😂😂😂😂 endeleeni kuteseka
@Immamk__446 күн бұрын
Pole mshikaji wangu 😎
@AaAa-tf7sl6 күн бұрын
Kwan bado unapumua tukuvunje shingo😂😂😂
@linajulius41856 күн бұрын
Ukitoa penalty inayokuuma mbwa ww ni 3 :0 tuliza mshono