Mm wa kwanza koment baadae like my koment my comrades in gulf
@paulmutuku90425 жыл бұрын
Msichana ana kiburi na utoto sana.
@scholarnasy79065 жыл бұрын
Maina njoo baby nikupende wachana na huyo bibi hajui mambo ya ndoa
@naimkangi60275 жыл бұрын
Maina forget huyo bibi Ad move on na maisha yako she's not serious na paka ya msitu hata uiweke vizuri aje kwa nyumba cku moja itarudi mstuni .
@cynthiacyndy90955 жыл бұрын
Uyu dem ata Maina umevum lia sana....hiyo mdomo tu
@annnjogu9725 жыл бұрын
Serious huyo hayuko na haja na ndoa 40/24 yrs hazipelekani tafuta mke mwingine uoe bro...nigutee
@empressjanet89295 жыл бұрын
Difference of 16 years
@sekinatalibtalib82465 жыл бұрын
Msichana bado ana utoto. Mme ampe mdaa japo aoe mke mwengine wa makamo,coz mme ni mtu mzima ,kuelewana na huyo binti haitakuwa rahisi ivyo.
@mercykhasiala5 жыл бұрын
Huyu mwanamke anatupa bahati mwenyewe tu.
@everlynemulongo70045 жыл бұрын
Mercy Khasiala imgn 🤣😂 ajielewi
@alisaalis92185 жыл бұрын
Mercy Khasiala I wish ningekuwa mkikuyu,Huyu bwana ningemchukuwa,Lilian anakaa ana kam domo woii
@rhodamakeila59245 жыл бұрын
Huyu demu ana mdomo sana
@moseskijanatosha85415 жыл бұрын
hafai kuolewa na huyo jama
@kenyanbae99715 жыл бұрын
Maina nitafute pls,am single and searching I can make a good wife wachana na hiyo kihelehele
@sarahwambui42485 жыл бұрын
Wanaume mheshimu wanawake ....mcheeeeeew....mnakosea baadaye mnakuja kunyenyekea kaukeni kabisaar
@babukoi.69475 жыл бұрын
Huyu mdada hayuko serious,bwana Maina ujipange!
@classiccell96715 жыл бұрын
Matatizo yatakwisha lini janani !!😂😂😂poopo!!!
@thomashezekiah37645 жыл бұрын
Huyo mwanamke ana kiburi sana atafunzwa na ulimwengu
@elizabethnjambi6365 жыл бұрын
Kabisaa
@irenewangari944 жыл бұрын
Me and my husband tumeachana na 14 years and tunasikizana vizuri sana.
@shiisabina34135 жыл бұрын
Can I get this man.??
@mwaramaggie38755 жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢24yesrs na 40years waaah tafuta mtu ako 30years kuenda juu au mtu ako matured. Housegal turned to wife😂😂😂😂.wacha ni hustle .single and happy team gulf 24years tuko au💪👐
@fannyprudent25825 жыл бұрын
Hey fortune comes at once she has messed up
@mwaramaggie38755 жыл бұрын
Fanny Prudent true.
@busenasilvanos20965 жыл бұрын
Mwanamke anamaringo na ni maid
@harrietkemmy80625 жыл бұрын
Huyu shaghala hana akili kabisa yakelb...mwanaume anaonekana ako na akili na mpole
@loisegitau48975 жыл бұрын
maid kwanza ni mpoa kama bibi. huyo bwana ni mjinga sana. kikuyu na pombe mlirogwa? maina umetupa boma kwa madharau yako.
@violetnyansiaboka28215 жыл бұрын
Matendo na maneno ya mwanamke yanapandilisha mwanamme but lilian never make a decision when u are hungry nimekuhurumia
@danielwanjala96425 жыл бұрын
Kweli Maxomo ni ya muhimu uzaidia kuwemo kwa hekima,Huyu dem ako na utoto imechang'anyika na ujing'a,hana hats sababu maalumu ya kuaja ndoa take na ww maina style- up aibu ndogo ndogo ya kuoa kabla ya kujipang'a na ebuka ulevi na uwajibike kimaisha kama Mme.
@jamilaomar63965 жыл бұрын
on point
@vincentomondi61314 жыл бұрын
Unajuaje hakua amejipanga akioa,,wewe hauoni vile huyo dame ako na mdomo,,huyo ni dame mluhya,,wako na mdomo.
@stecybeib80305 жыл бұрын
Mwanadada pang'ang'a punguza.ndoa n kuvumiliana isuuu bora uhai
@noreenitenyo71075 жыл бұрын
Maina Niko hapa achana na huyu mwanamke hayuko serious n ndoa she's childish
@beatriceomino73215 жыл бұрын
Dem ako na kichaa ama nn Maina mungu atakupa bb mwengine wacha na huyu mjinga chukua mtoi wako .
@aliceamanya64575 жыл бұрын
Kiherehere sana huyo msichana
@aishachambo32935 жыл бұрын
Wekeni namba za walioachwa tuwaliwaze jamani
@paulinekamau96333 жыл бұрын
Huyu dem ako wapi Sasa maina ulimchosha
@nimoras5 жыл бұрын
I understand tht lady ni yy tu anaeza jua shida zenye amepitia na huyu mwanaume so stop judging her ama Namna gany
@sarahwambui42485 жыл бұрын
Hahaaa....ety 3yrs...huhuuu
@JacqifysWorld3 жыл бұрын
nani bado anaskiza patanisho huu mwaka wa 2021? hehehe hapo kwa 24 kukuwa 35 amenimaliza ata mimi naweza zusha
@mirriamandayi67535 жыл бұрын
Mwanamka angali na utoto sana ....Maina plz angalia mwanamke mwingine uoe mature wachana na huyu afanye kazi ataamka late
@lucypeter66625 жыл бұрын
Aki huyu ako na utoto sana tena sana
@joashifedha28675 жыл бұрын
Mirriam andayi kweli KBS dadangu
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
huyu mdada hayuko series na ndoa, mbona huyu mume anaonekana ni mnyenyekevu, tena ni mpole kwa jinsi anavyosound.02.10.18.
@scholarnasy79065 жыл бұрын
Wanaume wako to pole public lakini kwa nyumba noma
@@scholarnasy7906 very true uyu mschana ni yy tu anamjua poa
@nimoras5 жыл бұрын
@@mwendapoleee kwanza hao ndo wabaya
@joysorewitindi85424 жыл бұрын
Lakini wanaume mwaheshimu ndoa
@mariyanegoodone1725 жыл бұрын
hapa sina comment mwana Dada belele belele mdomo mambo yamejaa
@mamatrevor38715 жыл бұрын
Waah huyu msichana anaakili hata kidogo 😕😕😕😕😕😕
@norahkimuyu90975 жыл бұрын
True....
@christernanjala96715 жыл бұрын
Msichana hauko tayari na ndoa we,better be open useme bado unahusle kuliko ku west life ya mtu ako 40
@linakery40175 жыл бұрын
Inaitwa doa walai bila uvumilivu utatoboa aky
@gracendungu58605 жыл бұрын
Watu wa 1994, kwanza tukule kule raha,huyu hakuwa ready kuoleka😂😂😂😂.acha nipigapige duster.😢😢woiye ni kama maina analia 😢😢maina nitafute tuongee tuoanane
@Princess-eq5ei5 жыл бұрын
🙄🙄🔫🔫
@paulinenjoroge79535 жыл бұрын
Huyo dem ata regreat siku moja
@elisawangare32965 жыл бұрын
I don't want to judge but lilian wacha kifront front mob..... Uki mature utarudi
@jannet5065 жыл бұрын
Hahahahaha awache kifront front,,
@isaacchumba5 жыл бұрын
😂😂😂kifront front
@johnmuiruri69105 жыл бұрын
Bro hawako kumi na mbili ka wafuasi wa yesu take heart n move on
@samueljr91055 жыл бұрын
Lilian ww hata nipewe bure kutoka kwa wazazi wako sikutaki mdomo ndefu na maneno ya marrygo round kujirudia rudia nkt yaani uende kwenu hunitaki lkn unataka pesa hata mm siwezi kukupa kma umeshindwa na watoto nirudishie kwani kuishi na mtu akuzalishe ni kutoboa bank ivuje pesa kila siku bure ww.
@wabuya18934 жыл бұрын
Ignorance is a disease
@asdlyne21205 жыл бұрын
Mwanamke akili ndogo..ajifunze kunyamaza..marriage is not a bed of roses
@blessedemmy45385 жыл бұрын
Lilian you will regret soon young gal,marriage lyf isn't that easy but u av to be polite d prayerful for it to work😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@faithklove94195 жыл бұрын
Huyu dem ako na kelele mingi sana
@Quilant7495 жыл бұрын
Gidy na ww ungekua unarepley comments zetu, na pia unatupatia namba za watu hawa lakini pombe hapana kwangu
@scholarnasy79065 жыл бұрын
Wakupee number ya kina nani😀😀😀
@everlynemulongo70045 жыл бұрын
Uyu mwanamke ajielewi aty 3 yrs aiii maina nko apa
@monicahnjoroge31975 жыл бұрын
Ako na mdomo kubwa..Tupewe number ya maina
@everlynemulongo70045 жыл бұрын
Anaboo
@joycejacinta89055 жыл бұрын
Gidy npe number ya maina miaka mitatu my food
@liliankibuga16085 жыл бұрын
Hahahaha tunatafuta wanaume kama hawa lkn hawapatikani
@edwardsimiyu72395 жыл бұрын
Ignorance has no cure... 😁😁
@daggiekangethe7895 жыл бұрын
Matatizo yataisha lini.Huyu mwanamke amegusa pesa akawa wazimu.maina wanawake ni wengi utapata tuu.
@abigaeloyolr95505 жыл бұрын
Pia Mimi niko na mlevi na wanaulimi tamu sana kwa hivio gidi achaneni nahuyo mwanadada mlevi kuishi nayeye aaa
@njeshkaris89575 жыл бұрын
Huyu mke hana haja ya ndoa maina move on
@timothmalanga88615 жыл бұрын
achana naye huyo mwanamke hakufai
@alicesamuel42245 жыл бұрын
Kiherehere hujui miaka ni Baraka kutoka kwa mwenyeenzi we jamaa Ata uko na roho nzuri kukaa na kasuku..
@fidewanjiku59975 жыл бұрын
Shida ya houuse keep akipandiswa cheo😩😩😩😩
@norahkimuyu90975 жыл бұрын
Aka kabinti ni kashezi sana...
@kenyanniggar3575 жыл бұрын
how do this children run into premature marriages???????? ati amedanganya age yako so hutaki kuongea na yeye? upuuzi .
@yahabibiyahayatiyahayuni73395 жыл бұрын
Huyo mdada tawee sio wa kuishi kwa ndio maina ujipange 2
@mwendapoleee5 жыл бұрын
Mimi siwezi tetea bwana anawacha familia yake ilale njaa!
@dunna16635 жыл бұрын
Ashapata mwengine huyu bibi
@nabwilelinet70275 жыл бұрын
Sina comment yangu ilinishinda
@winnewayesu30995 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@SteveAnders215 жыл бұрын
😑😑😑😓😓😓
@naliakasandra58845 жыл бұрын
Utaregret dada
@fatmaalnabhani36095 жыл бұрын
Miaka 3 ,mnada
@mohamedomar40375 жыл бұрын
Kuoa mtu ya 1994 ni hasara shida tupu
@jebiwotspari94035 жыл бұрын
Bro move on. Huyu kibibi bado hako na mdomo
@florencealumasi91475 жыл бұрын
Gidi,niunganishe na huyo mme
@jamilaomar63965 жыл бұрын
😂😂😂😂
@estherwambui33765 жыл бұрын
Ambia Maina dalili ya mvua ni mawingu anjipe suguli atafte rika yake aoe