IBADA YA MAREHEMU MAMA PERES, MKE WA NABII MUTUME ELIJAH SHIYONGA MAIKUVA.
Пікірлер: 7
@NancyShisia-g4sКүн бұрын
Nilikuwa napenda hii church but what i sow in this church kile nimepitia i can go back hii kanisa makuhani wengi wamefanya ionekane mbaya the pain i go through sitawai sahau
@duncankegode786721 күн бұрын
Hii ni kelele ndugu zangu. Avandu vitu kwenye umuhonyi vurahi.
@pastorelijahdumusi805820 күн бұрын
@@duncankegode7867 Dunia Mungu kaiumba kwa mapenzi yake dungu yangu, ila kumtafuta mwenyezi Mungu bana we kwaitaji msaada. Na msaada wa kwanza Yesu kristo ambae alitufia msalabani, pia msaada mwingine ni ambapo the same Jesus crist, alituachia roho mtakatifu katika makanisa atuongoze ila tukamsahau tukamkimbilia yesu tukamwacha roho mtakatifu wa yesu, ambapo alisema huyo roho atuongoze kufika kwake, niseme hivi dungu, tunamfahamu Mungu kupitia njia ya ukweli ila labda niseme like formula ya hesabu ndio tofauti, twatumia njia ambayo inampendeza yesu kristo kuliko wale ambao walimfata yesu nao wakamkana roho mtakatifu ambaye tuliachiwa na yesu kristo,,,,,una dini yako niko na yangu, abudu Mungu wako usione kama ya mwenzio ni kelele, asante
@sarahmuhadia8510 Жыл бұрын
I just seee abasi
@shalomshalom47036 күн бұрын
Hii Church inaitwaje
@NancyShisia-g4sКүн бұрын
African B
@susansiligoi61554 ай бұрын
Hi everyone What happened to the faith 🤔I left one faith, one church 🤔😳