"IDADI KUBWA YA WATUMIAJI WA SKANKA NI WANAWAKE, WENGINE INAWAONGEZEA STRESS, DCEA YABAINI

  Рет қаралды 8,934

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imebaini kuwa wanawake wengi ndiyo wateja wakubwa na watumiaji wa bangi aina ya skanka

Пікірлер: 18
@mohdali2408
@mohdali2408 2 ай бұрын
Kila siku tunaisema Serekali ila kwa hili hongereni sana
@mariammagige7127
@mariammagige7127 2 ай бұрын
Hatimaye wanawake tumefikiwa halooo 😂😂😂😂😂😂🎉
@damasmassawe3601
@damasmassawe3601 2 ай бұрын
hiyo nikweli kabisa yani wanawake hasa mabint wasasa wanavuta sna bangi ndio maana unakuta jambo dgo tu anaropoka ovyo ovyo
@MonicaBenitomwalongo
@MonicaBenitomwalongo 2 ай бұрын
ongeleni sana
@nacophai.t2601
@nacophai.t2601 2 ай бұрын
Sasa skanka hashish na bangi ni kitu kimoja ni hemp na chemical yake ni mmoja
@VictaDaudi
@VictaDaudi 2 ай бұрын
Wanawake hoyeeeee😆😆😆😆😆😡
@adiaygo8546
@adiaygo8546 2 ай бұрын
Hizo takwimu Za wanawake Na mashaka nazo😊😊
@gabapentin8070
@gabapentin8070 2 ай бұрын
Ww huwezi jua lkn ndo uhalisia
@saidimpako5186
@saidimpako5186 2 ай бұрын
WANATUMIKA KUSAMBAZA SIO KUTUMIA NI KAMA WATEMBEZA VIJOLA KUMBE NI HIYO
@zainabubakari319
@zainabubakari319 2 ай бұрын
😂😂😂 masihara
@YumnaBurhan-q6h
@YumnaBurhan-q6h 2 ай бұрын
Wanawake sasa duuuuh
@stanastana3199
@stanastana3199 2 ай бұрын
Skanka ndio msuba sio
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 2 ай бұрын
Serekali: "Idadi kubwa ya watumiaji wa skanka ni wanawake" Mwandishi: "Hizo takwimu mmepata wapi?" Serekali: "tuliambiwa na wateja na wadada wa saluni" 🤣🤣🤣
@stanastana3199
@stanastana3199 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 2 ай бұрын
Madem wa bongo Kila sem madem wana vuta sana sinza mbezii beach kinondoni tabata k koo mbagala mazensee tegeta kama au tembei mjini uwezii jua na uweziii ona madem wame alibika sanaa
@OmbeniShoo-kg8dr
@OmbeniShoo-kg8dr 2 ай бұрын
Funika kombe mwanaharamu apite yanamwisho
@watupipo
@watupipo 2 ай бұрын
Maisha magumu hakuna cha mapenzi
@DeogratiusMelchior
@DeogratiusMelchior 2 ай бұрын
Kimfaacho mtu chake, na pia hatufanani mpaka tuanze kupangiana nini cha kufanya na kutokufanya.. tupo Dunia huria.. huwezi jua huenda wewe unaepinga bangi ndio haupo sahihi... BANGI idumu milele sababu ipo tangu uumbaji, na kama ni haramu yeye alieifanya IWEPO ndio haramu zaidi. Weed Oyeee
AMPLIFAYA; WAKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA
10:26
MADAWA YA KULEVYA NA MADHARA YAKE.
17:47
S MEDIAZ ONLINE
Рет қаралды 5 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 82 М.