Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imebaini kuwa wanawake wengi ndiyo wateja wakubwa na watumiaji wa bangi aina ya skanka
Пікірлер: 18
@mohdali24082 ай бұрын
Kila siku tunaisema Serekali ila kwa hili hongereni sana
@mariammagige71272 ай бұрын
Hatimaye wanawake tumefikiwa halooo 😂😂😂😂😂😂🎉
@damasmassawe36012 ай бұрын
hiyo nikweli kabisa yani wanawake hasa mabint wasasa wanavuta sna bangi ndio maana unakuta jambo dgo tu anaropoka ovyo ovyo
@MonicaBenitomwalongo2 ай бұрын
ongeleni sana
@nacophai.t26012 ай бұрын
Sasa skanka hashish na bangi ni kitu kimoja ni hemp na chemical yake ni mmoja
@VictaDaudi2 ай бұрын
Wanawake hoyeeeee😆😆😆😆😆😡
@adiaygo85462 ай бұрын
Hizo takwimu Za wanawake Na mashaka nazo😊😊
@gabapentin80702 ай бұрын
Ww huwezi jua lkn ndo uhalisia
@saidimpako51862 ай бұрын
WANATUMIKA KUSAMBAZA SIO KUTUMIA NI KAMA WATEMBEZA VIJOLA KUMBE NI HIYO
@zainabubakari3192 ай бұрын
😂😂😂 masihara
@YumnaBurhan-q6h2 ай бұрын
Wanawake sasa duuuuh
@stanastana31992 ай бұрын
Skanka ndio msuba sio
@mohammedkhimji75052 ай бұрын
Serekali: "Idadi kubwa ya watumiaji wa skanka ni wanawake" Mwandishi: "Hizo takwimu mmepata wapi?" Serekali: "tuliambiwa na wateja na wadada wa saluni" 🤣🤣🤣
@stanastana31992 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Madem wa bongo Kila sem madem wana vuta sana sinza mbezii beach kinondoni tabata k koo mbagala mazensee tegeta kama au tembei mjini uwezii jua na uweziii ona madem wame alibika sanaa
@OmbeniShoo-kg8dr2 ай бұрын
Funika kombe mwanaharamu apite yanamwisho
@watupipo2 ай бұрын
Maisha magumu hakuna cha mapenzi
@DeogratiusMelchior2 ай бұрын
Kimfaacho mtu chake, na pia hatufanani mpaka tuanze kupangiana nini cha kufanya na kutokufanya.. tupo Dunia huria.. huwezi jua huenda wewe unaepinga bangi ndio haupo sahihi... BANGI idumu milele sababu ipo tangu uumbaji, na kama ni haramu yeye alieifanya IWEPO ndio haramu zaidi. Weed Oyeee