Masha Allah Ustadh Dr Sulley (Hafidullah). Baarak Allahu feekum for sharing. Love it!
@Adamswaiswa11 жыл бұрын
the world is in need of you
@christina4364 Жыл бұрын
Dk sule nakukubali sanaa hakika wewe ni tunu ufindisha yalio mema
@mazsam405511 жыл бұрын
Waislam.. Naomba mnisaidie vipi kupata vitabu vya DK SULLEY. Ahsanteni.
@abqariyahabqariy198011 жыл бұрын
mashaallah mungu akupe ilmu zaidi. upate kutufunza nasi.zaidi.
@mazsam405511 жыл бұрын
Inshaalah Mungu Akupe Uhai dk Sulley uweze kufundisha watu zaidi Inshaalah. tunaomba mzidi kudownload video za dk Sulley pale mnapozipata ili tuweze kuzipata sisi ambao tupo nje na Tanzania. Ahsante.
@aishaaaa69877 жыл бұрын
M,mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha. Mashaallah doctor Sule
@dullahwasaf42374 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu aminiiii
@samdhbghj90077 жыл бұрын
Maashaallah Dr Sulley mungu akujaalie
@hassanally94686 жыл бұрын
Mashaallah allahuakbar
@humudalbarwan3208 жыл бұрын
Allah awangoze katika dini kamil
@maymunaibrahim21876 жыл бұрын
Amin
@WeBorn2DieAnyTime11 жыл бұрын
Allahu Akbar
@sadiqshedyshahrif437411 жыл бұрын
taqbirrrrrrrrrriiiii
@Truthshallprevail129111 жыл бұрын
aa Wallahi nimefurahi kuona videos za Shehe wetu zimerudishwa katika KZbin. Mubarikiwe sana. JazakaAllah khayran kaka Ideamuslim1004.
@Halimabintmafitah8 жыл бұрын
SUBHANA LLAH. ALLAH ATAKULIPENI MASHEIKH WETU
@uwesusaid17146 жыл бұрын
shekhe nakubal kazi zako
@360-t5s11 жыл бұрын
mashallah
@360-t5s11 жыл бұрын
mashaallah
@husseiniddi93595 жыл бұрын
Mashaallah
@tidojulius92815 жыл бұрын
mtu anaeongea sana kiasili ni muongo
@abdallahmohamed59917 жыл бұрын
Naomba utuwekee ile mada ya Christmas
@kfastak11 жыл бұрын
EEEH. DOCTER WEWE NI NOMAA, TUNA KUKUBALI KAKA
@jafarmalungi9056 жыл бұрын
asante doctor
@rashidmaurid69557 жыл бұрын
wewe Jonas Kama ujui sema ujurishe ndugu ' hawawi sawa wanaojua na wasiojua '
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Dunia yatakawatukama hawa namashekh kabisa ili kufungua ufahamu
@zanzibaronlytv34704 жыл бұрын
Ata ww unaweza jitaid
@kitotaabdillahi46096 жыл бұрын
Preliminary Qur'an inajitafsiri yenyewe, then, kwa Hadithi sahihi, then maoni ya wanazuoni. Ufafanuzi wetu waote wa Kisayansi wa Aya za Qur'an ni lazima uwe na misingi yake kwenye vitu hivyo vitatu. Na siyo kwa Wanasayansi. Kuhusu hiyo aya 23:17, neno twaraiq halijafasiriwa kama matabaka, bali limetafsiriwa kama Mbingu. Ukisoma tafsiri zote za Qur'an, tafsiri iliyotolewa ni ya Mbingu. Mfano, ukisoma tafsiri ya ibn Kathir, ambayo ndiyo ipo ki-salafi zaidi (kwa maana ya kutumia Hadithi na maoni ya maswahaba), Mujahid anasema aya hiyo ina maana ya Mbingu saba. Na hata tafsiri zingine pia, kama Qutubi, Attabari, Asuyut, n.k, zinaeleza kuwa ni Mbingu saba, na siyo matabaka saba. Kwa hiyo, tafsiri hiyo ya matabaka ya troposphere, stratosphere, mesosphere, n.k haipo sahihi. These are just Heaven.
@igiraneza410 жыл бұрын
sijuwi kama waislaam kitu kama kuuwa ni haram? kama Baba wetu wa imani Musa alivyotuachia. amri 10 kama kweli !!!! makiani????????
@asiamatitu64568 жыл бұрын
UKITAKA KUUJUA UISLAM SOMA QUR'ANI HAPO UTAJUA KWELI MUNGU ALIRUHUSU KUUA WASIO NA HATIA? WALA USISIKILIZE VYOMBO VYA HABARI KWANI VINATIA CHUMVI NA KUUSEMA VIBAYA UISLAM
@jonasjoe36237 жыл бұрын
siku Sita zilihesabiwa vipi wakati dunia ndo ilikuwa inatengenezwa?suley n.a. Allah wote waongo
@fanicomoil76206 жыл бұрын
Ingia ktk uislamu usome uislamu ndio utajua zilikua siku zipi
@faridswaleh00185 жыл бұрын
Wewe uliyesema Dr sule na mungu murongo. Ww ulijuwaje ni urongo? Hayo ni maneno ya mungu ameyasema zamani kwenye Quran tukufu ni miyaka 1445 wewe una umri gani mginga