Рет қаралды 756
Pamoja na kuwa ligi kuu ya soka Tanzania Bara inawavutia nyota kutoka mataifa mbalimbali kuja kucheza soka hapa nchini na tumeshuhudia baadhi ya wachezaji wakishindana katika kuwania ufungaji bora lakini bado hawajavunja rekodi ya mtanzania Mohamed Hussein Mmachinga aliyefikisha magoli 26 katika msimu mmoja