Mlinzi wa zamani wa kimataifa wa Tanzania George Masatu nasimulia mikasa mbalimbali iliyomkuta enzi zake akisakata kabumbu fuatilia makala hii
Пікірлер: 14
@emanuelchizumi14 сағат бұрын
Beki bora wa muda wote Tanzania,Simba Nguvu Moja 💪💪🔥
@FahadAbubakari-y3f17 сағат бұрын
George Magere Masatu moja ya beki bora wa muda wote aliewahi tokea Tanzania.
@mjunikiobya22 сағат бұрын
Interview nzuri sana. Nimefurahi ulivyumuuliza striker aliyekuwa akimkubali, hilo swali inabidi uliulize kila mchezaji utakayemhoji akutajie wachezaji watatu anaowakubali sana
@MACHOYATAI-jk6fu7 сағат бұрын
😢eeee kumbe yanga walianza udhulumaji zamani
@husseinkonz51927 сағат бұрын
Masatu unyama mwingi nguvu 1
@Chemba676 сағат бұрын
Maelezo yake yamejaa ufundi na umahiri ktk kazi yake kama beki, ni dhahiri alikua akijua anachokifanya kwa utashi wake binafsi kwa lugha inayoeleweka na wengi ni KIPAJI🤝🤝
@MACHOYATAI-jk6fu7 сағат бұрын
Yanga NiwaZulumaji tokea zamani
@MACHOYATAI-jk6fu7 сағат бұрын
Yanga niwazlumaji kuanzia zamani
@mohamedsalum31126 сағат бұрын
George Magere Masatu
@bakanga141018 сағат бұрын
Acha unafiki tunamsikiliza anayehojiwa
@MedardAndrew-v3w17 сағат бұрын
George masatu wewe na hussein amani marsha nyinyi wawili mlipohamia tu simba na mimi ndo ilikuwa mwanzo wa kuiacha pamba na kuishabikia simba mpaka leo. Historia yangu kuwa shabiki wa simba ilianza na nyinyi wawili. Sijui hussein marsha kwa sasa yuko wapi!
@amoschacha28857 сағат бұрын
Ilikuwa mwaka gan hio na masha yupo uingereza
@Ambagaye7 сағат бұрын
Nilimpenda sana George Masatu wakati akiwa Pamba. Timu ile ilikuwa kiboko sana kwa timu zote za Tanzania zikienda Mwanza. Watu kama Rwemaho Mkami, Ibrahim Magongo, Fikiri Magoso na wengineo waliifanya Pamba kuwa tishiao sana. Sijui siku hizi George Masatu anafanya shughuli gani.