IJUE MITI HII HATAR | HII NDIO MITI YA KICHAWI | USIIPANDE NYUMBANI KWAKO | DR. AL-HABIB NAKSH BANDY #MasjidMtoroTv #Naksh_Bandy
Пікірлер: 61
@athumanikhamisi3377 Жыл бұрын
شكرا
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Maashaallaah mungu akuzidishie elimu na baraka nyngi ktk kaz zako
@kijanahodari20803 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@jamillahmussa37753 жыл бұрын
Masha Allah, JazakAllahu khairan,,,,
@lkshmykomar54723 жыл бұрын
Mashallahu mashallahu jazaka llahu hery M /Mungu akulipe klalaher hapa duniyan mpaka mbele ya hak amina
@khadijaangore44083 жыл бұрын
Waalykummsaalam waramatulah wabarakatul. MashaAllah tabaraka Allah. Shukran jazakallab kheir. Kwa Elimu hii💕💕💕
@parma7863 жыл бұрын
Ahssante doctor Al Habib Allah akujalie kila la kheri na barka zote kutujulisha na insha Allah ntakuja nikuone papo kwa papo nimekuelewa sana tu Al hamdulah slm alkm.
@hijahamadi579311 ай бұрын
Sheikh imani hana amefika pahala anaamini miti zaidi kuliko quran, hatukatai kuwa ipo miti shamba inayotibu uchawi, lakini haiwezi kuwa bora kuliko quran.
@aishaaisharagp93813 жыл бұрын
Yaanishekhe umenigusa pazuri Allah akuhifadhi
@allymahamudu94923 жыл бұрын
Nimejifunza alihamdulillah
@salimmoha79623 жыл бұрын
Kwa maoni yangu shekh ungetuwekea picha ya hiyo miti pengine majina ni tofauti huko kwenu,tungeiyona kwa picha ingekuwa vizuri zaidi
@saeedsaeed73813 жыл бұрын
Masha Allah Sheikh well explain topic BarakAllah feek
@bintkijangwa43053 жыл бұрын
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh maa sha Allah shukran sheikh wetu
@buyingocatherine27923 жыл бұрын
MaashAllah shukuran we need pictures shk may Allah reward u Amen
@mariamumapunda46143 жыл бұрын
Allah akulipe nmejifunza mengi kutoka kwako
@hafidhdrogba33923 жыл бұрын
Ahsante shekh kwa kutufahamisha.lakin naomba tuwekee picha yaiyo miti ili tuijue
@bellbell92943 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wetu
@محمدالقايد-د6ب3 жыл бұрын
Mashallah
@worldwide92073 жыл бұрын
Asalamw warahimatullah wabarakatuhu Sheikh wengine iyo mti hatuijuwi kiukweli Mwenye ana edit video ingekua anatuonesha Sheik
@fatimashillah93413 жыл бұрын
Masha Allah
@musitemusite43163 жыл бұрын
Maashaallah
@douglaswallace59712 ай бұрын
Asalam aleikum brother. Dawa ya kiapo au mwavi sio ya kunywa ni kupaka na kuoga.
MashaAllah. Vp tukihitaji huduma zako tunakupataje?
@fatumakalombo3922 жыл бұрын
Hiv kweli Quran ya Mungu inashindwa jambo kamba msomaji na muombaji kaomba kwa yakini kweli??? Mwenyz Mungu si mjinga kiasi hiki. Ni bora ungesema kuran inatibu ila na kuna miti inatibu kama kuran.
@fatmaabdalla85433 жыл бұрын
Tutazipata wapi tuoneshe hio miti tuijue
@musitemusite43163 жыл бұрын
Amina
@khaulaomar6863 жыл бұрын
Qur an ni kila kitu almuhim imani yako juu ya mola wako,kwani tumeambiwa kitabu hiki hakin shaka ndani yake! Ukiwa na yaqini basi naam utajitibu kwa Bismi Allah ty!
@awesojama21303 жыл бұрын
Fawarabbi lkaaba ,,wallh indaka sha anu , ya Rajully
@angemasemo76863 жыл бұрын
Naam uchawi upooo tena saana
@hawahabibu6612 жыл бұрын
Mm hapa kuna mda huwa nataman kupga makelele
@muhammadomar853 жыл бұрын
Hakuna jini ambae hatoki kwa quran .Jini au uchawi hawaishindi quran.Na majini hawaishindi dua. Ni wakati tu waistijaba ndio bado na Allah mwenyewe hajaweka qabul.na Dawa zako hazishindi hatsauda.إناسمعنا قرٱنا عجبا. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم"حبة السوداء شفاء من كل داء".
@ruu65923 жыл бұрын
Ruqya imenisaidia sana
@muhammadomar853 жыл бұрын
@@ruu6592 ماشاء الله
@jaffarchimbuvu74993 жыл бұрын
Sheikh namba yako ya cm bas,uitaje
@mohdshebe56403 жыл бұрын
Number yako ustadhi utoe basi wallekum sallam
@KassimuDoshoSuleiman2 ай бұрын
Shida heri ungetuonyesha pcha za hio miti
@ellymaz21872 жыл бұрын
1: Nikajua nitaona picha ya hiyo miti. 2: Kama inasaidia kwa nini isipandwe nyumbani?
@mamsmariam66703 жыл бұрын
Unaishi wapi nine unisaidie
@Namanda4253 жыл бұрын
Naomba utuaelimishe kuhusu Panga
@mohamedmzeeassuufiyy13343 жыл бұрын
Ahsantum
@rehemaothman22003 жыл бұрын
Sheikh naomba no zako tafadhali
@hansboytz35133 жыл бұрын
Amina
@mzeemtopa23643 жыл бұрын
Duh tumekwisha
@ShukulaniBaharia7 ай бұрын
Tuiombee mungu palestina hichukue maeneo yake ambayo yapo ndani ya israel
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
Hiyo miti unge tuonyesha
@Godneverfailed3 жыл бұрын
Sheikh wanivunja mbavu na kucheka
@sweetmeena59703 жыл бұрын
Ni kama unaniongelea mimi kabsaa
@thaubannaftal72653 жыл бұрын
Unasumbuliwa na nini hasa.
@sweetmeena59703 жыл бұрын
@@thaubannaftal7265 yani hata sijui nianzie wapi ila ni mwaka wa 7 sasa bila kuwasha Quran siwezi kulala jinamizi linanisumbua mara sauti inaniita kutokea dirishani usiku wa manane alaf ukorofi pesa kabla sijaipata yanazuka matatizo mengi inaisha yote hata ya kula naungaunga na kila nikilala nakula mavyakula ndotoni naamka nimeshiba na nazungushwa safari tofauti mara naambiwa naenda Israel mara sijui wapi yani nikiamka nimechoka mwili wote na nilisafiri angalau niwe mbali pengine nitapata unafuu ila huku ndio yamezidi mwaka wa 4 sasa pesa sijielewi hata nafanya nini huku naweza kuota nimejifungua na nimehisi kabisa nimetolewa kitu naamka nyumba yote inanuka majimaji ya chupa ya mtoto kama kumezaliwa mtoto kweli vile...mara nakutana na kivuli chooni na kila nikipata kazi inaharibika na inanichukua miaka 3 hadi 4 kupata kazi nyengine tena niende mbio sana kutoa sadaka na visomo yani nashinda mswalani kuswali usiku mchana dua visomo sadaka na nisiambie mtu hata mmoja niwe mpweke mpweke kila kitu nifanye kwa siri ndio kunafunguka sasa nikipata tu kazi nikiambia tu familia wakiambiana hata miezi 3 haichukui inaharibika tena narudi pale pale kwa mwanzo na dawa nikiiitumia mara ya kwanza mara ya pili haifanyi kazi tena mi nilifaniyiwa visomo masheikh mbali mbali mpaka nikafilisika na nikawa na madeni yani hadi nikasema sasa najifanyia visomo mwenyewe na sadaka huu mwezi nimefwatilia sana visomo vya ruqya KZbin basi nimeingiwa na ukorofi pesa siipati kabsaa hata hiyo wi fi imenishinda kulipia hadi simcard nimeipeana yani nikianza tiba wananionya ndotoni niachane nao nikisema naendelea inakuwa kama nimetangaza vita wanaharibu kila kitu nikila tu habasoda ndio siku hiyo hiyo nakula ndotoni mpaka naamka harufu ya chakula nlichokula ipo kooni mwezi ulopita nlikula siku 2 zakufuatana nikiamka tumbo limevimba hadi sasa halijarudi na kupata choo ni shida nilichange hadi diet ili nipate choo lkn wapi nikitu tu kinapiga tumboni kama moyo lkn mapigo yake yamezidi coz unaona kabsa tumbo linapiga yani kama mtu mwenye pumu vile anavopumua juu juu wallahi hata sielewi nifanye nini
@thaubannaftal72653 жыл бұрын
@@sweetmeena5970 OK icheki WhatsApp +255712415772 tujue cha kufanya hakuna kinachoshindikana dunia hii.
@khadizatan68353 жыл бұрын
Pole Sana endelea kumuomba mungu atakusaidia
@ibrahimabanur67943 жыл бұрын
Aaww nami pia mimi nashida natakupata vipi
@radhiasalum71563 жыл бұрын
Namba zake zipo hapo chini tazama iyo video
@zaitunirakoze52963 жыл бұрын
Subhannallah tunaomba number zake Docta mtusaidie Allah atawalipeni
Je mtu kuskia vitu zinamtembea kwenye mwili hadi kichwa 'karibu miaka 5 zimeisha bado najiskia hivo Alafu bwana kanifanyia taraka Bila sababu tu.na kwa sasa hivi sijapata mwanaume mwengine je waweza kazaidia? Mimi sio mu Islam sijui kama utaweza zaidia
@gesusgegangphray76893 жыл бұрын
Nakunukuu Allah kaumba uchawi na korani ushahdi upO??inamana dini yakichawi??? Unachafuwa uislam bro.. nlitaka kuslim Ila basi tena nsije kupoteA
@azlaantwalib3472 жыл бұрын
Uchawi Mungu aliuleta kwa kutupa mitihani n sawa na mwalimu anapokupa mtihani darasani kama umeelewa na kujua japo mungu anakupa na anajua na anafanya alitakalo na hafanyi asilolitaka