RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

  Рет қаралды 1,610,420

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali

Пікірлер: 593
@qasammamachinya4448
@qasammamachinya4448 11 ай бұрын
Alikuwa mwenzetu, mungu amemkuchua, tunaomba mungu type mwingine mbora zaidi atimize kazi Yako,
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 7 ай бұрын
Anakuja Amin tu
@Theloopmenu
@Theloopmenu 3 ай бұрын
Mwenzetu😢😢😢
@BabaLucy
@BabaLucy 28 күн бұрын
makonda
@AthmanHamis
@AthmanHamis 8 күн бұрын
By after by XD XD XD XD BBlog😊​oikk😊😅@@jacksonkabaata6011
@hellenhowshoo9719
@hellenhowshoo9719 2 күн бұрын
Pp​@@jacksonkabaata6011
@givenjackson5449
@givenjackson5449 Жыл бұрын
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
@MarryLinors-hj7jb
@MarryLinors-hj7jb Жыл бұрын
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Amina ♥️♥️♥️
@gastoenock3020
@gastoenock3020 10 ай бұрын
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
@maramegamahega1991
@maramegamahega1991 Жыл бұрын
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
@msafirinampya8986
@msafirinampya8986 Жыл бұрын
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 7 ай бұрын
Amina
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Amina
@TunzaFikiri
@TunzaFikiri 5 күн бұрын
African we need people like this one
@stephanojames2935
@stephanojames2935 Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
@YousuphstevenDaniely
@YousuphstevenDaniely 8 ай бұрын
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
@mkandalasbudete2620
@mkandalasbudete2620 2 ай бұрын
🎉
@Aimee_world
@Aimee_world 28 күн бұрын
@@mkandalasbudete2620aaaqi😅
@giftladis
@giftladis 8 ай бұрын
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
@consolateurmgeni6772
@consolateurmgeni6772 2 ай бұрын
Aitoke wapi uku kwetu 🇨🇩😭🇨🇩
@MeshackMarwakihengu
@MeshackMarwakihengu 5 ай бұрын
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
@MaryNdauka-qq9eo
@MaryNdauka-qq9eo 2 ай бұрын
Wewe ni mimi kabisa😢
@BahatiMateru-us7zt
@BahatiMateru-us7zt 19 күн бұрын
Hat mimi
@nimujocentre2173
@nimujocentre2173 5 жыл бұрын
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
@olivasumundi9227
@olivasumundi9227 Жыл бұрын
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Жыл бұрын
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
@joelmusyimi2565
@joelmusyimi2565 10 ай бұрын
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
@grease7635
@grease7635 Жыл бұрын
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
@mourinhonyamkekwa3568
@mourinhonyamkekwa3568 Жыл бұрын
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
@LucyNtambi
@LucyNtambi 4 ай бұрын
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
@kaburamechack4071
@kaburamechack4071 Жыл бұрын
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
@lucaskanga6342
@lucaskanga6342 Жыл бұрын
T
@abdifatahbarkatle8696
@abdifatahbarkatle8696 7 ай бұрын
😊
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@ombababrian
@ombababrian Жыл бұрын
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
@stevenbupamba4161
@stevenbupamba4161 9 ай бұрын
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
@issabella1455
@issabella1455 Жыл бұрын
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
@FahdMbwego
@FahdMbwego Жыл бұрын
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Amina
@Theloopmenu
@Theloopmenu 3 ай бұрын
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
@MaryNdauka-qq9eo
@MaryNdauka-qq9eo 2 ай бұрын
​@@Theloopmenusana😢
@julaimalidadi6394
@julaimalidadi6394 Жыл бұрын
Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi
@TechnicianTz
@TechnicianTz 9 ай бұрын
🤔🤔
@bashiruhassani1017
@bashiruhassani1017 Ай бұрын
Mlia mkuka Leo rais wet like apa 2024
@SaidiSalumu-rj3nt
@SaidiSalumu-rj3nt 3 күн бұрын
Jaman tulio angalia 2024 target 15 tujuane
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Жыл бұрын
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
@DenisOkuzi-je8jb
@DenisOkuzi-je8jb 10 ай бұрын
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
@MwanasitiSalim-yb3dm
@MwanasitiSalim-yb3dm 9 ай бұрын
Lllllllllllllllll
@abubakarmwita6974
@abubakarmwita6974 Жыл бұрын
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
@wigoxfashionkiller8675
@wigoxfashionkiller8675 7 ай бұрын
Rest in peace kiongozi wetyu
@eastleighphoto2833
@eastleighphoto2833 11 ай бұрын
HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umenigusa sana Rais JPM. Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao. Barikiwe sana Rais wetu
@rashidkassim7836
@rashidkassim7836 Жыл бұрын
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 Жыл бұрын
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
@WeInHere-nr8yz
@WeInHere-nr8yz 11 ай бұрын
haitakuja kutokea tena
@JohnNjengaCOCO
@JohnNjengaCOCO 5 жыл бұрын
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 7 ай бұрын
So sad alinyakuliwa malema mno
@JumanneAbdallah-vp3vk
@JumanneAbdallah-vp3vk Жыл бұрын
MUNGU akubaliki
@JohnNjenga-em4fd
@JohnNjenga-em4fd 9 ай бұрын
True leader,chosen by God him self...
@safari5774
@safari5774 Жыл бұрын
We will never forget you
@neemagabrieli-ff4mq
@neemagabrieli-ff4mq Жыл бұрын
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
@giftkitua9712
@giftkitua9712 Жыл бұрын
No one like you baba😢😢
@directordin3976
@directordin3976 Ай бұрын
My lovely Dadyyy
@StewartUkason
@StewartUkason 6 ай бұрын
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
@hajiame583
@hajiame583 13 күн бұрын
Leo tareh 5/10/2024
@KelvinNassary-ld5yg
@KelvinNassary-ld5yg Жыл бұрын
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
@Kakaduma
@Kakaduma Ай бұрын
Tunakukumbuka Baba Makufuli
@ochiengbrian5065
@ochiengbrian5065 Жыл бұрын
RIP from kenya we loved uuuuu
@IddiJumanne-po2pp
@IddiJumanne-po2pp Жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
@mkangyailutashaggy7207
@mkangyailutashaggy7207 Жыл бұрын
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
@RukiaSalum-z4l
@RukiaSalum-z4l Жыл бұрын
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
@mwanaidyhamis
@mwanaidyhamis Жыл бұрын
Tunakukumbuka magufuli raisi wa wanyonge mungu akulaze nahala pema
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daimaa milele IPO siku mi na ww tutaonana tena mtetezi wetu%
@MwanaharusiJumanne
@MwanaharusiJumanne 6 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏
@LemannMbalwa-g7q
@LemannMbalwa-g7q 9 ай бұрын
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
@rosemuthoni1549
@rosemuthoni1549 Жыл бұрын
Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya
@SELENapubari
@SELENapubari 2 ай бұрын
Merci m le président
@emmanuelmwamlima1027
@emmanuelmwamlima1027 9 ай бұрын
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
@gaspeldaniel1140
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
@bahatisanga8664
@bahatisanga8664 8 күн бұрын
Love MAGUFULI 8/10/2024
@bettymapesa34
@bettymapesa34 Жыл бұрын
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
@japhetmalahuleokilangi9872
@japhetmalahuleokilangi9872 5 жыл бұрын
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
@gilbertmwilu7429
@gilbertmwilu7429 Жыл бұрын
😅
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 3 ай бұрын
😂😂
@paulondiek4355
@paulondiek4355 Жыл бұрын
Am still shedding tears 😭😭😭😭 missing you my mentor, nobody else will ever fill the big gap you left continue resting in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ Baba la Africa 🌍
@aminaomarimaidi
@aminaomarimaidi Жыл бұрын
099
@gilhardshao4246
@gilhardshao4246 Жыл бұрын
Isitoria ya Vita vya Uganda
@annethmmari
@annethmmari Жыл бұрын
I'm
@MouriceDelewa
@MouriceDelewa Жыл бұрын
Guitar 😂😂
@willistonemdindi9898
@willistonemdindi9898 Жыл бұрын
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
@justinebosire9804
@justinebosire9804 Ай бұрын
we loved the nan in kenya. so much
@muhammadvirjee
@muhammadvirjee Жыл бұрын
RIP ma president John Pombe Joseph MAGUFULI 🙌🙌🙌m
@innocentmkuwa2938
@innocentmkuwa2938 13 күн бұрын
RIP Magufuli
@lyricszonetogo2502
@lyricszonetogo2502 8 ай бұрын
Tunakushukuru ee mungu muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa maisha ya john magufuli umsamehe uovu wake na umpumzishe kwa amani..R .I .P
@generalkago5361
@generalkago5361 8 ай бұрын
A GREAT LEADER.
@UncleJonah-h8l
@UncleJonah-h8l Жыл бұрын
This was a man of God
@BabaZena-n6w
@BabaZena-n6w 6 ай бұрын
God Bless Him ,Tanzania and Africa as a whole is mourning him
@Madmax_kingTz
@Madmax_kingTz Жыл бұрын
Nimepita kurudia rudia mambo yako mzee wewe hakika ulikuja kwa mipango ya MUNGU. Na kila kauli yako ulisisitiza tumtangulize MUNGU
@hamisimkongwe5035
@hamisimkongwe5035 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie pumziko la milele
@AngelHamad-d6q
@AngelHamad-d6q 7 ай бұрын
Wewe ni rais bora wa muda wote nchini Tanzania.
@kellennehemiah2534
@kellennehemiah2534 5 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
@MaryStambuli-r4p
@MaryStambuli-r4p Жыл бұрын
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
@akilimalilisholukazige
@akilimalilisholukazige 5 ай бұрын
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
@jdwuodMuhuru
@jdwuodMuhuru 9 ай бұрын
''Hata sisi tuliopo hapa, ni wafungwa au mahabusu wa baadaye''. Ni ombi langu kila siku, siku moja ikiwezekana niwe Magufuli wa pili hapa duniani!!
@rivinusradslaus6988
@rivinusradslaus6988 6 ай бұрын
Una mawazo kama yangu kaka angu
@SamuelGodwin_
@SamuelGodwin_ Жыл бұрын
Magufuli if you're seeing this just know that you're a legend. No one can replace your gap Sir. Keep resting in eternal peace
@rashidsaid678
@rashidsaid678 7 ай бұрын
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Жыл бұрын
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
@kidrajuma4092
@kidrajuma4092 Жыл бұрын
wema awana maisha cku zote
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 7 ай бұрын
Kweli 😢😢😢
@NarokeeMusa-j3k
@NarokeeMusa-j3k 9 ай бұрын
Magufuli mweshimiwa Mungu akurehumu 🌧️🌧️🌧️🌧️🙏🙏🙏
@simontamba2189
@simontamba2189 Жыл бұрын
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
@hawamjungu3396
@hawamjungu3396 Жыл бұрын
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
@ROLYNENYANGARESI-fc2xs
@ROLYNENYANGARESI-fc2xs Жыл бұрын
Maulana Ailaze roho yako pema peponi Mr President Magufuli
@EstermbawalaMbawala
@EstermbawalaMbawala 11 ай бұрын
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
@jumakichamo1344
@jumakichamo1344 8 ай бұрын
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
@c.e.omasasi5131
@c.e.omasasi5131 Жыл бұрын
2022 November 😭 Rip my father John
@Nasibu-wi9ky
@Nasibu-wi9ky 10 ай бұрын
Kila Jambo na Wakati Mungu mkuu ndie Mamlaka Yake
@fadhilikaphizi7772
@fadhilikaphizi7772 2 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Жыл бұрын
MAGOFURI MBONA MASHEHE WA UAMSHO UMEWAACHA KOSALAO LIKO WAPI ,AALLAH AKUTUMIE MBU ZIKUMALIZE NAOTE WADHAALIMU WENZIO !
@UncleJonah-h8l
@UncleJonah-h8l Жыл бұрын
This was a gospel God nionyeshe Mungu
@JaredOrieny-ic9on
@JaredOrieny-ic9on 11 ай бұрын
A wise leader.
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 5 жыл бұрын
Nimejikuta naliatu kiukweli
@ElizabethIyungu
@ElizabethIyungu Ай бұрын
😭😭😭
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 Жыл бұрын
Rest easy John pombe magufuli Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
@rsonmangale
@rsonmangale Жыл бұрын
Lazima uyu king ako heaven
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 5 жыл бұрын
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Tatizo wakilipwa mishahara wafungwa wataongezeka
@poaswahilimovies99k
@poaswahilimovies99k Жыл бұрын
Point
@IssaOmary-s3x
@IssaOmary-s3x Ай бұрын
Amen magu wetu Mungu akulehemu huko uliko
@JohnMurithiri
@JohnMurithiri 3 ай бұрын
RIP MAKUFURI as Kenyan us lovey u soo much ma Friends
@allyomary9902
@allyomary9902 10 ай бұрын
Rest easly Magufuli.😢
URITHI WABIBI FULL MOVIE
1:17:38
Steve Mweusi
Рет қаралды 791 М.
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA  mp4
34:13
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,8 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2 МЛН
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,6 МЛН
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 100 М.