Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

  Рет қаралды 401,891

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

8 жыл бұрын

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Пікірлер: 206
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602
@gabylove4602 Жыл бұрын
Umesema kweli baba
@amonphilip5902
@amonphilip5902 5 ай бұрын
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 4 ай бұрын
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 3 ай бұрын
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9n
@user-sn1ke4su9n Ай бұрын
P0a ​@@gabylove4602
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv1116
@majumbatv1116 2 жыл бұрын
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Жыл бұрын
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
@Muchoma
@Muchoma Жыл бұрын
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
@edwardnamakonde156
@edwardnamakonde156 Жыл бұрын
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
@bennie7239
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
@frenziangella6676
@frenziangella6676 Жыл бұрын
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
@jumaakida5951
@jumaakida5951 2 жыл бұрын
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe9972
@fakiinajummwe9972 2 жыл бұрын
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916
@mpabwas5916 Жыл бұрын
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
@eliakimyesse6086
@eliakimyesse6086 2 жыл бұрын
Lala pema peponi kamanda,
@mialanomangobo9356
@mialanomangobo9356 2 жыл бұрын
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la Amani
@johnmichire7809
@johnmichire7809 10 ай бұрын
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
@jumahassan273
@jumahassan273 Жыл бұрын
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
@starworldengineering9523
@starworldengineering9523 2 жыл бұрын
Duh magu mungu akulaze maali pema
@robertchuri3222
@robertchuri3222 Жыл бұрын
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
@rosemongi5273
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally
@hashimally Жыл бұрын
Musa shegh dar
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 2 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh6420
@kingmwaxoh6420 2 жыл бұрын
chuma hasaa
@stevenmundi3142
@stevenmundi3142 Жыл бұрын
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 4 ай бұрын
Haha, yani wewe
@richardmalley68
@richardmalley68 2 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
@issayasosolo6033
@issayasosolo6033 Жыл бұрын
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 2 жыл бұрын
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
@user-uq2mo7mw2l
@user-uq2mo7mw2l 4 ай бұрын
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 5 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzeh wetu
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
@edmundbarongo8649
@edmundbarongo8649 Жыл бұрын
Great Loss, Mungu utulinde.
@stanslausbereghe3819
@stanslausbereghe3819 Жыл бұрын
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 жыл бұрын
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466
@jairosjulius3466 Жыл бұрын
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
@emmanuelntalima1717
@emmanuelntalima1717 2 жыл бұрын
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775
@anastaziabenedict7775 Жыл бұрын
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
@azadiunatishamumyloveungab6614
@azadiunatishamumyloveungab6614 8 жыл бұрын
bba ahsante kwa kazi
@deswaggz6185
@deswaggz6185 2 жыл бұрын
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
@motivational_leader
@motivational_leader Жыл бұрын
Nakukumbuka sana magu 😢
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 4 ай бұрын
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
@chidiomari.65
@chidiomari.65 Жыл бұрын
My President forever R.I.P Baba
@sisye1
@sisye1 2 жыл бұрын
Kama drama vile.. Sema ukweli
@tillionsmon6131
@tillionsmon6131 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
@safarirockerz2781
@safarirockerz2781 Жыл бұрын
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
@kelvinmugini6793
@kelvinmugini6793 2 жыл бұрын
genious
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 2 жыл бұрын
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
@papangoda229
@papangoda229 2 жыл бұрын
Ulinidanganya sindio
@fredythomas1848
@fredythomas1848 2 жыл бұрын
R.i.p jpm🙏🙏
@clementmusa7799
@clementmusa7799 Жыл бұрын
Mungu acha aitwe Mungu
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 4 ай бұрын
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
@bonfaceomuhande6332
@bonfaceomuhande6332 6 ай бұрын
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
@mfarijikibinga9281
@mfarijikibinga9281 Жыл бұрын
daah, RIP JPM
@isayakiyeyeu6295
@isayakiyeyeu6295 Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
@fadhilimbilinyi274
@fadhilimbilinyi274 8 жыл бұрын
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
@user-vn9yi3dj4q
@user-vn9yi3dj4q 8 ай бұрын
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
@bizzosela6186
@bizzosela6186 2 жыл бұрын
😭😭😭R.I.P
@fedrickmaganga2693
@fedrickmaganga2693 2 жыл бұрын
Good job
@mpabwas5916
@mpabwas5916 Жыл бұрын
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
@waswajumbe1075
@waswajumbe1075 Жыл бұрын
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
@usetobe.1067
@usetobe.1067 Жыл бұрын
One in a million..Rest easy Buldoza
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
@chrissamani7921
@chrissamani7921 Жыл бұрын
Mising you so much my przdt😭
@patrickmarwa5024
@patrickmarwa5024 Жыл бұрын
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
@nsanzetito1453
@nsanzetito1453 Жыл бұрын
Kasim atafanya kazi badae
@anthonynjoroge968
@anthonynjoroge968 4 ай бұрын
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 жыл бұрын
Huyu mwamba dah
@thabitabas7539
@thabitabas7539 2 жыл бұрын
r i p magu mis you
@tedroyc9897
@tedroyc9897 Жыл бұрын
You went too soon ,Much love from Rwanda
@basitv2299
@basitv2299 Жыл бұрын
We miss u baba
@LengaiSaruni
@LengaiSaruni 6 ай бұрын
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
@paulkarani559
@paulkarani559 9 ай бұрын
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
@saidsalum4602
@saidsalum4602 Жыл бұрын
Tutakukumbuka baba
@alexmpoke2610
@alexmpoke2610 2 жыл бұрын
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari3198
@huguetteomari3198 2 жыл бұрын
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari3198
@huguetteomari3198 2 жыл бұрын
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
@user-zd7iw3my3y
@user-zd7iw3my3y 9 ай бұрын
😢😢 r.i.p Jpm
@kelvinmugini6793
@kelvinmugini6793 2 жыл бұрын
ni yeyeeeeeeeeeee
@fidelislugusi5361
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
@bienvenukichambaomar5067
@bienvenukichambaomar5067 4 ай бұрын
Sijaona kweli😅...Congo 🇨🇩 tumpate wapii?
@nuruabasi5503
@nuruabasi5503 2 жыл бұрын
😭😭😭
@eriminahchai8489
@eriminahchai8489 Жыл бұрын
Kazi safi sana makofuli
@user-wg1hw5kj2o
@user-wg1hw5kj2o 5 ай бұрын
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
@mikevida08
@mikevida08 Жыл бұрын
baba alikua na informants wa ki sure sana..yani anauliza swali lakini ana full data..r.i.p
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
@flova7022
@flova7022 Жыл бұрын
RIP Baba daah
@PrissilaHussein-og3cg
@PrissilaHussein-og3cg 10 ай бұрын
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
@alirashid4887
@alirashid4887 Жыл бұрын
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
@williumjoel1410
@williumjoel1410 Жыл бұрын
Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana
@Hbk206
@Hbk206 14 күн бұрын
We miss you
@expert5898
@expert5898 2 жыл бұрын
Ulikuwa n uozo Ila!!!
@lutahmwesi8525
@lutahmwesi8525 Жыл бұрын
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 Жыл бұрын
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 10 ай бұрын
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
@denistarange5580
@denistarange5580 2 жыл бұрын
Dah
@lameckkasuga2270
@lameckkasuga2270 Жыл бұрын
Magufuli 🙏
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 11 ай бұрын
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Natamani kumjua huyu Novia, niko na shida naye tafadhari mwenye contact yake ama kama anasoma hapa
@FabriceKihanga-de7rp
@FabriceKihanga-de7rp 25 күн бұрын
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@gedionngetich6678
@gedionngetich6678 Жыл бұрын
Rip
@manigajr5127
@manigajr5127 Жыл бұрын
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
@omarybakari1681
@omarybakari1681 Жыл бұрын
Wabongo waongo sana
@emmanuelhema186
@emmanuelhema186 Жыл бұрын
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
@evanstum5032
@evanstum5032 Жыл бұрын
RIP baba
@FaridaIbrahim-ym6jy
@FaridaIbrahim-ym6jy 3 ай бұрын
Rest in peace
@rehemashabaniameen
@rehemashabaniameen 11 ай бұрын
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
@emarrgeorge8536
@emarrgeorge8536 Жыл бұрын
Baba 🇹🇿🙏
@user-un9gr1tk3u
@user-un9gr1tk3u 5 ай бұрын
Kweli jamani kizuri hakidumu😭😭😭
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 Ай бұрын
Ukiangalia sana hotuba za huyu mwamba unaweza kujikuta unatukana sana uongozi tuliyo nao kwa sasa nakujikuta pengine upo jera kwa ujinga tunao uona sasa ila sasa tunafanya je
@adrianbrown3586
@adrianbrown3586 5 ай бұрын
I.will always remember you
@laurenciakamata
@laurenciakamata 9 ай бұрын
Tunakukumbuka sana
Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
14:29
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 167 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57
Millard Ayo
Рет қаралды 932 М.
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 105 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 579 М.
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 238 М.
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
3:47
Amanitz News
Рет қаралды 2,1 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
25:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 1 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН