Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
Пікірлер: 206
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602 Жыл бұрын
Umesema kweli baba
@amonphilip59025 ай бұрын
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v4 ай бұрын
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga9923 ай бұрын
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9nАй бұрын
P0a @@gabylove4602
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv11162 жыл бұрын
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo83302 жыл бұрын
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401 Жыл бұрын
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
@Muchoma Жыл бұрын
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
@edwardnamakonde156 Жыл бұрын
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
@bennie7239 Жыл бұрын
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
@frenziangella6676 Жыл бұрын
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
@flova7022 Жыл бұрын
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
@jumaakida59512 жыл бұрын
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe99722 жыл бұрын
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916 Жыл бұрын
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
@eliakimyesse60862 жыл бұрын
Lala pema peponi kamanda,
@mialanomangobo93562 жыл бұрын
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la Amani
@johnmichire780910 ай бұрын
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
@jumahassan273 Жыл бұрын
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
@starworldengineering95232 жыл бұрын
Duh magu mungu akulaze maali pema
@robertchuri3222 Жыл бұрын
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally Жыл бұрын
Musa shegh dar
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh64202 жыл бұрын
chuma hasaa
@stevenmundi3142 Жыл бұрын
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v4 ай бұрын
Haha, yani wewe
@richardmalley682 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
@issayasosolo6033 Жыл бұрын
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
@emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
@evancykashaga65762 жыл бұрын
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
@user-uq2mo7mw2l4 ай бұрын
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
@ndikumanaismail54195 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzeh wetu
@daudpaulo2867 Жыл бұрын
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
@edmundbarongo8649 Жыл бұрын
Great Loss, Mungu utulinde.
@stanslausbereghe3819 Жыл бұрын
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466 Жыл бұрын
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
@emmanuelntalima17172 жыл бұрын
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775 Жыл бұрын
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
@azadiunatishamumyloveungab66148 жыл бұрын
bba ahsante kwa kazi
@deswaggz61852 жыл бұрын
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
@motivational_leader Жыл бұрын
Nakukumbuka sana magu 😢
@user-ct4jp1ux1z4 ай бұрын
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
@chidiomari.65 Жыл бұрын
My President forever R.I.P Baba
@sisye12 жыл бұрын
Kama drama vile.. Sema ukweli
@tillionsmon61312 жыл бұрын
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
@safarirockerz2781 Жыл бұрын
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
@kelvinmugini67932 жыл бұрын
genious
@ishipalemypasco25672 жыл бұрын
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
@papangoda2292 жыл бұрын
Ulinidanganya sindio
@fredythomas18482 жыл бұрын
R.i.p jpm🙏🙏
@clementmusa7799 Жыл бұрын
Mungu acha aitwe Mungu
@Joseph-lu4yj4 ай бұрын
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
@tatutumbi4640 Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
@bonfaceomuhande63326 ай бұрын
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
@mfarijikibinga9281 Жыл бұрын
daah, RIP JPM
@isayakiyeyeu6295 Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
@fadhilimbilinyi2748 жыл бұрын
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
@user-vn9yi3dj4q8 ай бұрын
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
@bizzosela61862 жыл бұрын
😭😭😭R.I.P
@fedrickmaganga26932 жыл бұрын
Good job
@mpabwas5916 Жыл бұрын
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
@waswajumbe1075 Жыл бұрын
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
@usetobe.1067 Жыл бұрын
One in a million..Rest easy Buldoza
@ntegrity277 Жыл бұрын
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
@chrissamani7921 Жыл бұрын
Mising you so much my przdt😭
@patrickmarwa5024 Жыл бұрын
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
@nsanzetito1453 Жыл бұрын
Kasim atafanya kazi badae
@anthonynjoroge9684 ай бұрын
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
@richardtungaraza75092 жыл бұрын
Huyu mwamba dah
@thabitabas75392 жыл бұрын
r i p magu mis you
@tedroyc9897 Жыл бұрын
You went too soon ,Much love from Rwanda
@basitv2299 Жыл бұрын
We miss u baba
@LengaiSaruni6 ай бұрын
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
@paulkarani5599 ай бұрын
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
@saidsalum4602 Жыл бұрын
Tutakukumbuka baba
@alexmpoke26102 жыл бұрын
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari31982 жыл бұрын
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari31982 жыл бұрын
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
@user-zd7iw3my3y9 ай бұрын
😢😢 r.i.p Jpm
@kelvinmugini67932 жыл бұрын
ni yeyeeeeeeeeeee
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
@bienvenukichambaomar50674 ай бұрын
Sijaona kweli😅...Congo 🇨🇩 tumpate wapii?
@nuruabasi55032 жыл бұрын
😭😭😭
@eriminahchai8489 Жыл бұрын
Kazi safi sana makofuli
@user-wg1hw5kj2o5 ай бұрын
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
@mikevida08 Жыл бұрын
baba alikua na informants wa ki sure sana..yani anauliza swali lakini ana full data..r.i.p
@frankmwinuka6298 Жыл бұрын
Chuma hicho tutakukumbuka baba yetu
@flova7022 Жыл бұрын
RIP Baba daah
@PrissilaHussein-og3cg10 ай бұрын
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
@alirashid4887 Жыл бұрын
BABA HAKUNA KAMA WW 😭
@williumjoel1410 Жыл бұрын
Kweli muongo nimwizi mzur make majibu yanapishana tu dah ila jpm me nmekumiss make Mambo meng sana
@Hbk20614 күн бұрын
We miss you
@expert58982 жыл бұрын
Ulikuwa n uozo Ila!!!
@lutahmwesi8525 Жыл бұрын
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
@pascalntandu1217 Жыл бұрын
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
@priscamrekoni345110 ай бұрын
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
@denistarange55802 жыл бұрын
Dah
@lameckkasuga2270 Жыл бұрын
Magufuli 🙏
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Natamani kumjua huyu Novia, niko na shida naye tafadhari mwenye contact yake ama kama anasoma hapa
@FabriceKihanga-de7rp25 күн бұрын
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@gedionngetich6678 Жыл бұрын
Rip
@manigajr5127 Жыл бұрын
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
@omarybakari1681 Жыл бұрын
Wabongo waongo sana
@emmanuelhema186 Жыл бұрын
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
@evanstum5032 Жыл бұрын
RIP baba
@FaridaIbrahim-ym6jy3 ай бұрын
Rest in peace
@rehemashabaniameen11 ай бұрын
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
@emarrgeorge8536 Жыл бұрын
Baba 🇹🇿🙏
@user-un9gr1tk3u5 ай бұрын
Kweli jamani kizuri hakidumu😭😭😭
@magesagambajr3546Ай бұрын
Ukiangalia sana hotuba za huyu mwamba unaweza kujikuta unatukana sana uongozi tuliyo nao kwa sasa nakujikuta pengine upo jera kwa ujinga tunao uona sasa ila sasa tunafanya je