Wewe una chuki zako binafsi na zitakuumiza mno Hata wachawi huwa wanajua na tabia km zako za roho mbaya na chuki hizo
@AizackKalenge-ro5rc8 ай бұрын
Wewe ni Mtu mzuri sana Hongera kuudhuria msiba wa rafiki yako,Hayo mengine Mungu kawaasamehe yote
@shabanipanya10338 ай бұрын
Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao
@edwardkahembetz8 ай бұрын
Huyu ni hatari sana
@jumakalinga28128 ай бұрын
Ahsante sanaaa Kwa historia hii fupi canal jakaya mrisho kikwete na Pole Kwa msiba wa rafiki Yako wa utotoni mpaka uzeeni mola Amlaze mahali pema inshaallah
@husseinkarim76638 ай бұрын
Politics is a dirty game. I nashangaza wakati wote wawili wachukue form,from friends to rival.
@alhamiibrahim12898 ай бұрын
kwaio ulitakanwote wawe rais kwa wakat 1 kwasabua wamechukua form pamoja.. Acha uzwazwa
@mbwawafillingstation8 ай бұрын
Pole Baba kwa msiba wa Rafiki yako
@zulachama10678 ай бұрын
Amiin 🤲,mungu hailaze roho yake marehemu Edward luwasa mahala pema usika.
@MasiagaMatiku-qj3oc8 ай бұрын
Nyie mlimuiga Nyerere ndiomaana taifa alinamwetekeo
Mlikuw zaid ya marafik. Mungu amlze pema Lowassa Amina
@yohanaphilipo37588 ай бұрын
Mungu ailaze loho ya malehemu mahala pema peponi amina
@mwananganzi8 ай бұрын
Mungu amlaze pema . Mungu akubariki Jakaya kikwete.
@WaziriRamadhan-ML8 ай бұрын
Jambaz kuu la tanzania linalotinyima unafuu wa maisha daah walai huyu ana roho mbaya sn lkn naye siku yake itafika tu,
@KassimSalumu-fk6yk8 ай бұрын
Acha usenge wewe, kastaafu yeye ndio anagawa ridhiki na utakuwa wewe na yeye ukamuacha
@HaynessJafason8 ай бұрын
Poleni sana jamni hii nisafari ya Kila mtu mungu amlaze mahala pema peponi
@kianda9738 ай бұрын
Nimekumbuka ule wimbo pale Dodoma 2015 nadhani! "TUNA IMANI NA LOWASA...OYA OYA OYA...LOWASA KWELI.....". hahahaaa...siasa bana! Mungu akawe faraja ya familia ya Hon. Lowasa. Amina.
@dawsonkaaya42108 ай бұрын
❤
@thevoiceofdeliverance60618 ай бұрын
Hari ya Mzee kikwete haiko sawa jamani Mungu tuondolee misiba
@DatuBakary-in3ut8 ай бұрын
Pole baba na ww kwajinsi unavomfahamu muheshimiwa babayetu lowwasa polesana raisi mstaafu kwamoyowako mzr
@bonifacekaroli-z8o8 ай бұрын
Mzee warioba ameongea vzr sana. Ni mkweli amenyooka. Hana chembe ya uanfiki. Daima anasimamia ukweli
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amina
@stanleytemu65018 ай бұрын
Mpk alimchagua wazir mkuu wa TZ. Wewe unalaumu nn. Alivyo jiuzulu mkuu Kikwet alisha sema ni mtu mbayaa? Jiulize. Ss.
@kalumbugideon41598 ай бұрын
Hila TUKUBALIANE Kikwete anao utulivu maalum maana ninakumbuka mambo ya 1995 Huyu Mtu basi tu Utulivu wake ni Mkubwa Sana.
@mimiraia25318 ай бұрын
Acha kuandika UPUPU. Huo utulivu mwaka 2005-2015 ndio ulileta kilele cha UFISADI nchini Tanzania
@marthamungure17778 ай бұрын
Simba mwenda pole
@johmwamba68038 ай бұрын
Huyu mzee ni mnafiki
@mitaocamilliusthegreatest90688 ай бұрын
Pumzika Kwa amani mwamba wa Siasa za usawa na Role model wa kisiasa Afrika😢😢😢
@JustineWangi-j2t8 ай бұрын
😢😢😢napita tu.
@DaudiMatage-z7e8 ай бұрын
poleni na msba ndg zangu, hii ni safar yetu sote lkn mkmbke mda kitambo tu ttaktana kwenye kiti cha enz cha Mungu baba, hvyo tjtafakar
@mbwanarajab72388 ай бұрын
Nyerere ndiye aliyekua akiiharibu nchi hii
@leganmichael61488 ай бұрын
Mbwa wewe
@mbwanarajab72388 ай бұрын
@@leganmichael6148 Mmbwa ni wewe na wanaharamu waliokuzaa jinga km wewe
@wamadoropushthestar41458 ай бұрын
Mzee Jakaya Utafikiri Sio Wewe Ulienda Na Majina Yako Matano Kwenye Mfuko Wa Shati!!,,Kufa Usifiwe Ondoka Usemwe
@OmbeniLuka8 ай бұрын
Wanasisa wanafki sana
@praygodmawalla78848 ай бұрын
Ulimtesa sana. Huna huruma
@danielkaaya71118 ай бұрын
Mnafiki, ulimuumiza mwenzako sana
@jumaamohamed28158 ай бұрын
Asingempa uprime Ile inaitwa Ajali ya kisiasa
@iddrashid70547 ай бұрын
Kwa maslahi ya chama ilikuwa lazima aumie vinginevyocCCM isingekuwepo madarakani
@isaaabdala70168 ай бұрын
Chukizenu dhidi.ya kikwete sisi.tunazijua ilayote hayo tunamuachia.mungu
@mimiraia25318 ай бұрын
NAFIKI LA WANAFIKI
@mimiraia25318 ай бұрын
Wewe MNAFIKI Unajua fika kwa nini achukiwe. NYINYI watu WAFITINI SANA….KAMA TU WAFILISITI WA HUKO PALESTINA YA KALE
@ExcitedBarnOwl-up6fc8 ай бұрын
Kazi ya mungu haiba makosa apumuzike kwa amani mwanga wamilele amwangazie
@wilisonsamwelongolo38228 ай бұрын
mimi 95 nazaliwa MH rais Kikwete
@elizalutiga62878 ай бұрын
Daaaaaaaaah
@wilisonsamwelongolo38228 ай бұрын
hivyo eliza
@AlfredSimba-p3g8 ай бұрын
Umenena vyema mzee
@malcomx40678 ай бұрын
Mnafiki #1 huyu hapa.
@mimiraia25318 ай бұрын
NAFIKI LA WANAFIKI
@Tegemeobrasio8 ай бұрын
Apumuzike kwa aman
@IsaacEliamini8 ай бұрын
Kumbe Lowassa alikuwa ameenda kuchukua form kwa mgongo wa kikwete
@ROZITHOMAS-y4q8 ай бұрын
Mungu anajua yote
@FREEMANPAUL8 ай бұрын
R I.P Lowassa, ila maneno ya siasa bhana
@edmundrutahiwa8 ай бұрын
Hapa ndo naelewaa kwanini kwenye awamu ya mshikaji kulikuwaa na upigaji mwingi sababu ilikuwaa team tangu zama..Sita tangu 95 alipokuwa rais huyu akawa Speaker na huyu Waziri mkuu..na ilitakiwaa elfu na kumi Lowassa ndo agombee urais hila jamaa ndo hvyoo😅😅😅
@masikitikomwakyonde12598 ай бұрын
Dah Mzee wetu Lowasa alikuwa na Utu mno kuliko Mali alijalu watu na HAKI nikiwa Munduli ndo nilipomfahamu Huyu Mzee dah laiti viongozi wetu wengine wangekuwa kama Huyu Nchi ingenyooka mno Kila Mtanzania angepata usawa wa HAKI eeh MWENYEZI MUNGU Kwa nni Wema Wafa Mapema unakusudi MUNGU katika hili .
@bonabonala55598 ай бұрын
jk mnafiki nspia ndio rsis tajiti kuriko marais wote waastaafu ns pia ndio mpinga katiba mpyaa ira atashindwa kwa nguvu ya mungu afe yeye katiba itspstikana tuu tufe sisi eanainchi
@awadhrajabu14038 ай бұрын
Kila Nikimuona Kikwete Nakumbuka Mbali Sana Mana Alipokua Ikulu Kila Akitaka Kupita Tukiona Wazee Wa Kusafisha Njia Tunajua Kikwete Uyo Anakalibia Kupita Ukweli Watu Wengi Usimama Balabala Morogoro Rodi Mpaka Apite Ndipo Watu Wamalize Fulaha Zao Kikwete Alikua Mtu Mwenye Kupendwa Sana Kwenye Uongozi Wake
@sadickibrahim39608 ай бұрын
mzee kimwete kwa namn moja imemuumiza san ukizingatia misuko suko yote kwanzia 207 ad 15
@AlexMkwama8 ай бұрын
Naona watu kabla hawajafika msibani ,wanapangilia maneno ya kuongea . Mbaya zaidi Kila mtu anatafuta undugu na marehemu
@KassimSalumu-fk6yk8 ай бұрын
Kivipi
@AbdillahiLulinda8 ай бұрын
Yaani wanaandaa mistari ya kutosha
@HajiMakame-m8l8 ай бұрын
Ulikua rafikiayako sana hata miaka yenu hamjapishana sana uraisi umempiga na shini ukampa makufuli kila wanzo wakafa ujitasimini mia tulopewa 60.tukwenda mbele ni frii tu
@SakiShop1-iy9br8 ай бұрын
Magufuli akupewa na kikwete,magu alipewa na mkapa,maan wote walikuwa wanaendeshwa na mkapa,uyu kikwete best wa bernadi membe na lowasa,il hii inchi km angepewa Rowasa kungekuw na hatari mno,maana shida Ipo kwenye mabifu na hata ivyo angalia alivyo ingia magu kikwete akuwa na kauli mwenye kauli ni mkapa sasa yupo mama mwenye kauli kikwete sasa hivi kiongoz akiumwa tyu akipelekwa hospital uyo arudi home Tena
@EsterEmanuel-uq8no8 ай бұрын
Mungu ailaze roho yake ahalapema 😭😭😭
@CatherineKilulumo8 ай бұрын
huyu baba ni mnafiki,mchawi ananafuuu haki tena ebu pita kule ,linafiki la wanafiki
@ramadhanimandoa7168 ай бұрын
Tuambie wew huo ukweli
@danielkabigili8758 ай бұрын
mlimfanyia mwezenu umafia 2014. mkakata jina lake kama mgombea kiti cha urais
@estermathias83548 ай бұрын
Usimusumbue hata nyerere aliwahi kumkata .urais anapanga Mungu.hata hizo nafasi alizofanya ni neema ya Mungu ni level za juu sana
@marthamungure17778 ай бұрын
Hamna sababu ya maneno hayo yote. Ungelimtetea angekuwa raisi.
@karyori698 ай бұрын
Msee es Msoga Aache unafki
@brownmwailunda14368 ай бұрын
Kura zako zilitosha Mweshimiwa Mungu Alikujaria unyenyekevj
@elishakayagwa93718 ай бұрын
Mzee wa tricks Mingi. Mungu anakuona Kìkwete ila hata wewe muda utafika ili taifa letu lipate Amani
Rafiki yako ndio adui yako tukumbuke Mkapa alisema tukubaliane na wengi mbona haikuwa hivyo kwa alie kuwa mwenyekiti baada ya kuona ukumbi mzima wanaimba tunaimani na Lowasa baada ya kuingia mwenyekiti nae aliimba kusikia Lowasa akasimamisha kama hata wajumbe walimpenda yeye nae angefanya kama Mkapa wengi wape
@meryevance67448 ай бұрын
Huyu nae sindio alikuwa anampiga vita lowasa
@mbwawafillingstation8 ай бұрын
Mh.Rais amewakosea nini mpaka mumsemee hayo mnyoyasema?wivu tuu mnamuombea kifo?atakula matanga yenu walahi😂Allah akulinde Baba Ridhiwani hunaga baya na mtu
@ommaromary48288 ай бұрын
Mbona hakuenda kumsalimia hospitali?NAFIKI la WANAFIKI
@hajihassan54338 ай бұрын
Waliokwenda Hospital hawakutangazwa. Ukumbuke Mhe. Kikwete ndie aliemteuwa kuwa Waziri Mkuu kwenye Serikali yake. Kuna imani kubwa kuliko hiyo? Migongano ya hapa na pale ndio ubinaadam.
@mimiraia25318 ай бұрын
@@hajihassan5433 NAFIKI LA WANAFIKI
@KassimSalumu-fk6yk8 ай бұрын
Mjinga wewe
@MamodelPark8 ай бұрын
Kwan kuna sehem wametoa list ya waliouzuria hospitalini 😂😂 eb acha kelele
@DOUBLE_G_DA_BST8 ай бұрын
Lowasa alifanyiwa ubaya kipindi cha urais wako, ulichukua hatua gani ile hali unajua kabisa alisingiziwa? Ipo siku ukweli utajulikana, hakuna uongo usiokuwa na mwisho hakika
@josephjulio61128 ай бұрын
Upo uwezekano wa kuishi miaka 150 unafiki sio mzuri
@AidanJohn-bp1mo8 ай бұрын
Pumzika kwa amani Lowasa
@GodfredAlfredNgarama8 ай бұрын
Ubinadamu kazi
@mimiraia25318 ай бұрын
NAFIKI LA WANAFIKI
@elizabethpetro12588 ай бұрын
😊
@KassimSalumu-fk6yk8 ай бұрын
@@mimiraia2531mpumbavu
@WinfridaDavid8 ай бұрын
Sas cjui itakuwaje lile gorofa lenu la makao makuu ya voda maan mmechanaga wote
@KingBuddah-nx3ui8 ай бұрын
HUYU NDIO MAUAJI KIKWETE ANAJIFANYA KILLS SQUAD HILE SINEMA MASTERING SABA
@edwinamos25758 ай бұрын
Rafiki wa obama
@stanleytemu65018 ай бұрын
Watanzania bwana mkuu rais mstaafu ana makosa gan ss nyinyi hamuelew mambo sio mpk vyombo vya habari viripot. Kaenda kumsalimia. Maisha hayapo ivo. Vyombo vikisema anajipost akiw hospitaly kumjulia hali mkuu lowas. Anajikosh
@kisamurashid3468 ай бұрын
Mola ampmzish vema mhe Lowasa
@dominicksangu89348 ай бұрын
Mengi muongo tuu unajiplaud tu.
@ChalachimuZephania8 ай бұрын
Tushukuru kwa kila jambo
@mdiakoniajonas23838 ай бұрын
Kati ya mashetani waliobaki duniani ni JK wewe ndio Sababu toa unafiki hapo
@ProsperiaPonera-w2n8 ай бұрын
So sad
@zabronmwaipungu22128 ай бұрын
Mmmh!
@tendwajohn77858 ай бұрын
Ulilikuwepo hospital na mgonjwa mpk jk usimuone
@marthamungure17778 ай бұрын
Ulimnyima nafasi ya uraisi😢 nchi ingekuwa tofauti
@mathiaslyamunda25268 ай бұрын
Kitendo Cha kumnyima Lowasa Urais kimefanya Tanzania ipitie Mambo mazito.
@norahfrank8 ай бұрын
Kabisaaaa
@abednego38768 ай бұрын
Unafikiiiiii mtupu
@AmriShaban-c3d8 ай бұрын
Mlikuwa ni marafiki WA haki
@zabronmwaipungu22128 ай бұрын
Akawa kampeni meneja wako, umesahau hilo mkuu.
@ZawadianagodfeyGodwin-wf9jv8 ай бұрын
😢
@luganomwakyusa76978 ай бұрын
Mi ngoja nikachekeeee chooni nyieeeeeee!!
@wadeelegbogun30158 ай бұрын
Unafiki mtupu
@eliassangisangi8 ай бұрын
Na wewe utakufa tuu tena sio muda mrefu
@NgassaSupila8 ай бұрын
Kweli hapo umesema
@NgassaSupila8 ай бұрын
😢
@ShadowScreamStudio8 ай бұрын
SIKU JK.. IKIDONDOKA SIPATI PICHA
@RobinMtukacha-pk7rc8 ай бұрын
Mh....?? Ya Dunia aya.
@wadeelegbogun30158 ай бұрын
Mnafikili, huna lolote
@KingBuddah-nx3ui8 ай бұрын
KIKWETE UNAWAMALIZA VIONGOZI BORA KUMBUKA WEWE UTOISHI MILELE
@hamzarehani92648 ай бұрын
Wewe mpumbavu
@mimiraia25318 ай бұрын
NAFIKI LA WANAFIKI
@prochesytesha80408 ай бұрын
Napita
@aziziabeid60528 ай бұрын
Mlikuwa zaidi ya marafiki
@mimiraia25318 ай бұрын
NAFIKI LA WANAFIKI
@josephsisa81398 ай бұрын
Acheni kumuhukumu mtu bila hatia ww unaushahidi kama huyu ndo anaua acheni upagani kifo kila mtu atakufa hata ww utakufa ukishiba kula ugari kalale usi ropoke