Kaka wewe ni mtumishi wa Mungu mzuri Sanaa...Ulituubiria neno zuri Sanaa kwenye Costa ya Moshi Arusha majuzi kati. Mungu akubariki Sanaa. Katika ukuwaji wa kiroho tunasamehe na kumuachia Mungu kuna maisha baada ya haya Kaka tuzidi kusali na kuishi katika njia zinazompendeza Mungu
@edmundnkarangu1345 сағат бұрын
Pole sana Mungu atakupa riziki nyingine zaidi ya hata hiyo.Na shida nchi zetu zimejaa rushwa😭😭😭🙏
@dicksonulotu74276 сағат бұрын
Pole sana Kaka. Wewe tajiri kama unaangalia hi video njo mtafute huyu mtumishi wa Mungu kabla Mungu hajakushusha.mpe chochote ili moyo wake ufurahi.
@mosseskalimbu46293 сағат бұрын
Pole sana jiwe haliachiwagi ungepanda nalo mpaka juu ufanye biashara na Tajiri pia ungepiga kelele ilipokuja wizara kusili madin ili lionekane serikal ipate kodi nawe upate haki yako
@Piussimon-n4z9 сағат бұрын
Pole sana kaka, kwanza hongera Kwa kuwa umeokoka umeokoka , ondoa uchungu moyoni mwako muachie mungu atawashughulikia moja baada momoja
@injilinjeyakutazakanisa2 сағат бұрын
Pole sana ndg yangu, wengi tumedhurumiwa mengi. Lakini Yehova unayemwabudu hata kuacha ulale njaa. Wengi walio na wanao fanikiwa ni kwakudhurumu haki za wengine. Yesu akuimarishe rohoni
@petercostakisoka5 сағат бұрын
Pole sana kaka muachie mungu atalipa
@twiseghekisilu88457 сағат бұрын
Pole Sasa kaka,Mungu ni mkubwa sana anafanya njia pasipo na njia!!
@LinnahLaizer-jg8ok2 сағат бұрын
Dahh asee3 Mungu aliingilia kati aseee siumeon sentensi ya mwisho shetani angejichukulia ushindi lkn Mungu alijua akampa upole kwanz
@fidelfidel-jz4iw4 сағат бұрын
Pole sanaa
@sambotofuraha99714 сағат бұрын
Pole saana!
@JustinMwakalukila8 сағат бұрын
NDUGU yangu kwenye madini yan mnakuwa wamoja pale mnapokuwa mnatafuta lkn liziki ikionekana aisee kukutoa uhai ni jambo la kawaida sana,yaan watu wa machimbo ni hatari sna😢😢😢 bora ata ukutaka kubshana nao ungepoteza uhai wako
@JonasKivuyo-o4o4 сағат бұрын
Shida Yako unawenge sana ulipookota ulishindwa kuwa na utulifu .
@AbuodSeleman2 сағат бұрын
kamuulize rambo pale kwa onee klichomkuta 2016 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@alexjackson59607 сағат бұрын
Da ingenipata mimi hiyo sichezi saba kwenye kumi na nane yaani ni tiger by the tail njoo kesho kasafiri, nipe kidogo kwanza kazimia, tutaipima keshokutwa kafa, lete tukuwekee ni marehemu. HAPa Amebaki NILIPE NISEPE
@johnsonsabanya58603 сағат бұрын
Pole kaka
@GeorgeJusto-y4v5 сағат бұрын
Kiukweli roho himeniuma sana hata Mimi hivi huyo tajiri angempa hata robo ya hela la hiyo jiwe kungekuwa Kuna shida gani
@AmaniManase-x1i6 сағат бұрын
Hii inatufundisha muda mwingine kilichocako kukipambania kwa mabavu ili ukipate kumbe ungeamua kuwa serious chako ungepata
@josephngiisha62497 сағат бұрын
Kwa kweli huyu jamaa anastahili kulipwa haki yake bila kupepesa macho
@tsumiduwe1406Сағат бұрын
KWANNI HUKULIVUNJA HATA MARA TATU
@saidm27182 сағат бұрын
ndio 350k
@kwisa48997 сағат бұрын
One mistake one goal
@AbuodSeleman2 сағат бұрын
ww auna akili timamu kabsa...mgodini chenga aichukuliwagi kama unaokota ngogwe mkuu....mgodin madini ni kuiba ndio formula yenyw....tajiri anaudumia mgod zaid ya miak minne na akati tamaa...we uje uchukue tu jiwe ueke mfukon ....😂😂😂😂
@ibrahimdaudi582321 минут бұрын
haki yake anaipataje.pamoja kuwa hana akili timamu.ama wewe binafsi unaona hastaili kupata chochote