Mungu awajaalie umoja wakweli na awajaalienguvu inshaallaah
@AyoubHajjСағат бұрын
Ndugu zangu Mm kwaa furaha yangu adii machazi yananitoka Wallah m/mungu ni mkubwa Mungu adumishe undugu wetu Mungu awasimamiye
@allybetese620146 минут бұрын
Pole kaka nainatia mchungu sana kuona wapalestina wanateseka lakin chaajab bado wapo na usuilka na marekan na lsrail😢😢😢😢
@kouswayisaidahamada9979Сағат бұрын
Safi sana warabu wawungane PUTIN hoyeeeeeeeee
@matukiotvonline63662 сағат бұрын
WOW HII IMEENDA NDUGU WAWILI WAMEPATANA❤❤🎉🎉🎉🎉
@JafariNyallu36 минут бұрын
wee kuwa makin CIA at work
@JumaNtasimbaСағат бұрын
Safi sana warabu
@hizzasheshe320943 минут бұрын
hawa nindugu lazima wawepamoja sana ili kumshinada adui waulimwengu marekani na iziraeli mungu wajaliye washikamane kwania njema
@allybetese620150 минут бұрын
Shida mwarab haelewek,lakin wangekuwa wanaeleweka ingekuwa vizur zaidi labda allah kaleta nuru yake lnshaallah uwe muungano mwema
@AhmedAladhary35 минут бұрын
Mashaallah tumefurahi nihabari njema
@zuberkasim7150Сағат бұрын
Uovu unaofanywa na Israel umesambaa kwaharakasana lakini kwasasa tunaonamwanga wahaki unakuja taratibu atamae haki yawapalestina itasimama nahuenda tukashuhudia anguko la wamarekani❤
@KisagasiLuyangi2 сағат бұрын
Sina Imani na Saudi Arabia, maana ni rafiki na nitegemezi wa marekani
@ZahorSalum-h9q2 сағат бұрын
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏 Allah .atuoneshe hakii.
@hamzafishten95605 минут бұрын
Allah awajalie kabisa
@mussamabawa29732 сағат бұрын
MashaAllah
@bakarimusa6297Сағат бұрын
Mashaallah
@mwanabeniasia365342 минут бұрын
❤❤❤❤❤
@JafariNyallu37 минут бұрын
wafanye lakin wasaudia wasipewe taarifa zozote za kijeshi, huenda wametumwa na baba Yao marekan
@Mumewangu2 сағат бұрын
IRANI WAWE MAKIN NA HUYU MSAUDI
@paschalfausitine710848 минут бұрын
Siti. Neno, viva rusia
@kwizeracedrick-p6u2 сағат бұрын
Inshallah.yalabi.tupeushindi❤❤❤❤❤
@omarmohammed5157Сағат бұрын
Hii saut ya mtangazaji naikubuka kama kwenye media ya the hill tz kama ivo
@LabaniKushahaСағат бұрын
Hata wakiungana watapogwa tu
@AbubakarAlly-th6op23 минут бұрын
Tatizo la irani nikama marekani tu ukishirikiana nao wao wanawaza itiqadi zao na dini zao tamaduni zao wanataka waziingize kwenye nchi yako shida ndio hio dini ya ushia na dini ya kiislamu tofauti
@salymsuleiman20352 сағат бұрын
Si haba
@focusliving9453Сағат бұрын
Hayo mazoez n kwaajili ya kumshambulia iran mwenyewe
@shebyiddy-sd3wv2 сағат бұрын
Hawa saudi arabia wanafki sana,irani asiwaamini kbs
@DevZone10892 сағат бұрын
Hata mm naona isije kuwa wanataka kuwachoma kupata taarifa nyeti... mana SAUDIA hawaeleweki na silaha zote wananunua kutoka marekani
@shebyiddy-sd3wv2 сағат бұрын
Huyu msaudia atatumika na mmarekani kumsoma vzr muirani,,saudia mnafki san hana uadui wa wazi na mmarekani km ilivyo kwa muiran
@DevZone10892 сағат бұрын
@@shebyiddy-sd3wv eeh ndo hivyo man... sema Mungu awasaidie wanaopambania haki aamiin. mana ye ndo mjuzi wa mambo na ye ndo anaempa amtakae.
@PapaaMasauti-q7oСағат бұрын
WAARABU NI WANAFIKI SANA
@daxenkiller6274Сағат бұрын
Nan an tengeneza unafki nan anatengeneza uadui back tu africa yetu je s wanafiki lazm tuangliee chanzo ndipo tulaumu
@SiabaFadhili2 сағат бұрын
Ohooo sasa Iran inafanya kosa kubwa sana kumuamini huyu jamaa dar
@SalumMohamed-ph4ynСағат бұрын
Kumuamini nani Sasa unaleta udini?
@Daudimakaza-s1vСағат бұрын
Mm natak waungane warabu wt kwn hyo s mara ya kwanza waliungan zaman wakapigwa vby na tunatak waungane ili mkono wa mungu ufany kaz kw ukubwa kish wajue mungu wa Israel ndio mung
@Daudimakaza-s1v57 минут бұрын
Tutawapiga wt hv mpk sasa Israel tunapigana na nch 6 za kiarabu wkt huo chin na urusi wap upande wao ko niseme tu Israel tinajiwez n mungu anpenda muone nguvu zk
@MansourKabuhaya24 минут бұрын
Israel wamelaaniwa hawana Mungu yetote upande wao, na watapigwa siku moja tu
@RamadhanYusuph-xi3rhСағат бұрын
Mimi sioni Faida kwailo
@AliNassor-qt6fm2 сағат бұрын
Watu wameshamshitukia marekani lengo lake ni kuwagombanisha na kutanua mzozo middle east ili kumpiga iran
@MohamedRashid-py7ro2 сағат бұрын
Marekani ni Ulaya hawapendi kusikia Saudia na Iran wakiungana kijeshi wanappenda wachukiane tu
@selemanisalum7685Сағат бұрын
Duuh sasa waraabu wamejitambua hawa walikuwa chui na paka leo wameacha tofauti yao marekani alikuwa anawagombanisha ili haitawale shamm vizuri na israeli wake sasa israeli na mmarekani wake kwisha mchina akawambia hacheni kugombana
@hasanimkamba8377Сағат бұрын
saudia Sina Imani nao kabisa wamekuwa kama koroni la marekani
@amirinestory2 сағат бұрын
Kama waislam wataungana hakuna taifa litakaloonewa duniani hasa palestina