HOJA MEZANI: Ni ipi hasa siri ya mgogoro kati ya Russia na Ukraine?

  Рет қаралды 212,151

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 178
@juliussuleiman3999
@juliussuleiman3999 2 жыл бұрын
Adui namba moja wa dunia kwa karine hii na iliyopita ni Marekani ingawa Mungu mwenye zi atulinde na atujaalie Vita visiendelee
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
100 % Correct
@manarakassimmanara3132
@manarakassimmanara3132 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 Жыл бұрын
kivipi mzee?
@omysule7118
@omysule7118 2 жыл бұрын
Wachambuzi jaribun kuwa wakweli, anachokililia mrusi ni sawa n kile alichokililia Mmarekan wakat USSR alipofaný installation ya nuclear pale Cuba
@jonathanmutiwa3734
@jonathanmutiwa3734 2 жыл бұрын
Mahalia vita Kuna vita Mungu uacha watu kujitengemea.Kwakua Mungu aliacha upendo umtawale mwanandamu.
@germainpennant6439
@germainpennant6439 2 жыл бұрын
Wachambuzi mko very smart! Mko poa
@danielgitau5880
@danielgitau5880 2 жыл бұрын
Huyu mfalme mjinga, ataichukia siku aliyo saliwa,tayari maiti za waliye tumwa sinaozea ukraine 🇺🇦
@kassimmurji2872
@kassimmurji2872 2 жыл бұрын
Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Kabisaa Upo Sahihi
@staceychristensen7700
@staceychristensen7700 2 жыл бұрын
Tunaomba Amani 🙏🏽Mapenzi ya Mungu yatimizwe 🙏🏽
@amimumufaumekikwasa5921
@amimumufaumekikwasa5921 2 жыл бұрын
China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 жыл бұрын
Safi sana Nawapata vizur Azam tv tupo pamoja live mwanzo mwisho
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 2 жыл бұрын
Excellent analysis of what is going on in Ukraine and Russia
@allyshekh6610
@allyshekh6610 2 жыл бұрын
Unapokua mchambuz jitahidi kuondoa itikadi au mapenzi
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
100% umesema Kweli
@aminsalum5731
@aminsalum5731 2 жыл бұрын
ivi ni Mzozo au ni Vita???? TANZANIA bwana mpaka lini mnafichaficha
@brunoh_bx
@brunoh_bx 2 жыл бұрын
Vita pia ni mzozo
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
Ni vita🤣
@beatricekimbe4966
@beatricekimbe4966 2 жыл бұрын
Wanaficha wengine wantekete
@eatwell9161
@eatwell9161 2 жыл бұрын
Hii kuzidiwa kifikra na kuanza kuvamia inanikumbusha Tanganyika na Zanzibar
@dorothymutegeki7543
@dorothymutegeki7543 2 жыл бұрын
Msitudanganye bwana Urusi watachukua Ukraine.
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
😀😀😀 Kabisa
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 Жыл бұрын
@@shabbymakapaneshabby5000 22-09-2022 vipi kashaichukua? au umedanganywa na media?
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
Mtangazaji kihere here utadhani ni mukrain
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 жыл бұрын
Hapa tanzania tuna polis jamii washapu sana kukamata bodaboda ingefaa tuwapeleke huko wakapambane na vidume wezao
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@saheedali7467
@saheedali7467 2 жыл бұрын
Inafanana na mashaka ya Tanganyika na Zanzibar.
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 жыл бұрын
Mfano uliokufa
@mahadymasawe2659
@mahadymasawe2659 2 жыл бұрын
Urusi nawakubar
@anuaryally6177
@anuaryally6177 2 жыл бұрын
Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni
@ednageorge8676
@ednageorge8676 2 жыл бұрын
Yaani Putin ni mshenzi sanaa hana hata huruma
@abubakarmgaza9270
@abubakarmgaza9270 2 жыл бұрын
Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!
@mashakaluhamba1183
@mashakaluhamba1183 Жыл бұрын
Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.
@juliussuleiman3999
@juliussuleiman3999 2 жыл бұрын
Putin anafanya ambacho kimewahi kufanywa na Marekani huko Iraki na libya
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Malipo atalipwa ipo siku wamemuua Shujaa wa africa gadafi walijua africa itakua na nguvu sasa wameingia motoni kwa mrusi putin black see
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
100 % 😀😀😀
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Watafurahi Na SHOW Hebu tuone kama BABA Mwenye NYUMBA Ataingilia 😂😂😂😂😂😂
@amimumufaumekikwasa5921
@amimumufaumekikwasa5921 2 жыл бұрын
Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@paschalcharles3617
@paschalcharles3617 2 жыл бұрын
Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka
@geraldpaul7772
@geraldpaul7772 2 жыл бұрын
Miminaona kweli kwamba hizinisiku za mwisho wa dunia hii
@yassinphonyogo2347
@yassinphonyogo2347 2 жыл бұрын
mna bwsbeaja tu sadam alipigwana majeshi ya nato kwa sku ngapy toeni umbea wenu
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 2 жыл бұрын
Tena walimchangia Nchi kibao
@nigagi3ew231
@nigagi3ew231 2 жыл бұрын
Acha mchezoooo mta kufaaa wote rashia wabayaa
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Hiyo black see unambia kuna vifaa hatari vimechimbiwa
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 2 жыл бұрын
Mbona hawa wachambuzi wanaegemea upande mmoja
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Kabisa
@rithajulius740
@rithajulius740 2 жыл бұрын
Wanao umia hapo ni watoto na wanawake😭😭😭😭
@danielgitau5880
@danielgitau5880 2 жыл бұрын
Wanaume hawaumii??
@johnsonuriourio6121
@johnsonuriourio6121 2 жыл бұрын
Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo
@johnmike6059
@johnmike6059 Жыл бұрын
Nyie waongo urusi aishindwe ukraine ivi urusi mnaijua vizuri au
@hatibually2451
@hatibually2451 2 жыл бұрын
Siovizuri.urusi.hajui.kama.wawo Ndug
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 2 жыл бұрын
Nyinyi wachambuzi hajui kiti hapo nendeni mkanywe chai na chapati mambo mengi hamjui
@danielmiburo8800
@danielmiburo8800 2 жыл бұрын
Vizuri.marekani.nikutoka.nyumayake.mana.anasababisha.tuuwawe.anataka.kujifanya.mungu.anacoceya.vita!
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Huyo.mchambuzi maandazi. Eti nato haihusikina. Vtayaukrani
@petershimbi7014
@petershimbi7014 2 жыл бұрын
tatzo mchambuz anaulizwa tofaut na yeye anajibu tofauti
@thomsanga7956
@thomsanga7956 2 жыл бұрын
No wewe ndio huelewi
@juliusjoseph6320
@juliusjoseph6320 2 жыл бұрын
Mr bin awe rahisi lazima taifa life
@tengezashemisea1787
@tengezashemisea1787 2 жыл бұрын
Sababu zilizo tajwa na wachambuzi hapo zinatosha kabisa kwa Moscow kuingia vitan , zaidi yakuzuia hatar inayokaribia, hakunanjia nyingine.
@mombasa0076
@mombasa0076 2 жыл бұрын
Ukraine ni kibaraka ..anayehatarisha amani ya dunia
@chancekambale3498
@chancekambale3498 2 жыл бұрын
Uyujama hajui Russia 🇷🇺 Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm 2 жыл бұрын
ao wanao ojiwa wanavyo zungumza utafikiria wanajua Russia ikoje Russia la kufanya now ampe kichapo cha maana ucrain
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 2 жыл бұрын
Nimeelewa sana yan na uchambuzi
@ibrahimbura434
@ibrahimbura434 2 жыл бұрын
Huwezi ukajikilim ukawa unahakili timamu
@juliusjoseph6320
@juliusjoseph6320 2 жыл бұрын
Alova shati jeupe ni form one ajui lolote kwanza haoni mtoeni miwani
@saidyhasshim2373
@saidyhasshim2373 2 жыл бұрын
Tatizo muna waona wamarekani wako sawa. Wakati wana nyanyasa Afrika mzima
@faridaabdallah2213
@faridaabdallah2213 2 жыл бұрын
kweli
@allymangosongo5570
@allymangosongo5570 2 жыл бұрын
Wachambuzi awajielewi urusi super power munachambua utumbo
@bonita329
@bonita329 2 жыл бұрын
kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.
@jumamataro4870
@jumamataro4870 2 жыл бұрын
Safi
@halfanimasudi4679
@halfanimasudi4679 2 жыл бұрын
Mungu atuepushe na haya matatizo
@frankbrightonembida3076
@frankbrightonembida3076 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏tuwaombee
@teljanahmed2051
@teljanahmed2051 2 жыл бұрын
Hawa sio wachambuzi nimashabiki wa UKRAINE au labda wanatafta viza ya ulaya🤔mnaelewa uwezo wa Urusi🤷‍♂️❓😳
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
😀😀😀😁😁😁 100 % Upo Sahihi
@tambasaloonhairstyles1148
@tambasaloonhairstyles1148 2 жыл бұрын
Unatatizo kwenye uwlewa wako
@rengijohn3798
@rengijohn3798 2 жыл бұрын
Mungu wasaidie weka maelewano na mapatano Kati yao
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 2 жыл бұрын
Hivi ninyi watangazaji amuoni uyo ukrin anapata nguvu kwa marekani nato na washirika wake kupewa siraha nzito kibaraka wao urussi apigani na ukrein tu
@igiraneza4
@igiraneza4 2 жыл бұрын
Yani mpaka sasa nikiwaangilia majamaa hawa hadi na waza kwa kauli zao Africa tunaelekea wapi mbona wa afrika hivi hatuone jamani !
@julianamargwe1663
@julianamargwe1663 2 жыл бұрын
Duhh
@yusufuzuberi9884
@yusufuzuberi9884 2 жыл бұрын
Kwann kama angekuepo trample kwamba vta into endelea ukren wakariti historia Inaonesha mgogoro ulikuepo tangu 2014 inakuaje
@sajadnduti4906
@sajadnduti4906 2 жыл бұрын
Mchambuz Mwenyewe anajichubua,anachochambua ni Pumba tu
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
🤣 usiwe ivo
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
Padala yakuchambua Ana tetea🤣
@masindijr.7633
@masindijr.7633 2 жыл бұрын
Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.
@johnsonmurithi807
@johnsonmurithi807 2 жыл бұрын
NATO niwachochezi tena sana,wao ndio wameshababisha hayo yote.
@salumsaid5369
@salumsaid5369 2 жыл бұрын
Ila kuna umuhimu wa nyinyi wachambuzi kusoma historia ndio mje mtusimulie coz mnaelezea mnavyohisi tu kutoka kwa mitazamo yenu
@danielmiburo8800
@danielmiburo8800 2 жыл бұрын
Marekani.nijambazi.sugu.waduniya.wanawokufa.wote.niju.ya.inchi.zamagaribi.namarekani.inabidi.wawonae.huruma.wana.wa.ukrene
@lorryvoice5223
@lorryvoice5223 2 жыл бұрын
usikoskutazama majabu yakutisha andika lorry vois kusimlia uwe wakwnza
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@nzeyimaamini3282
@nzeyimaamini3282 2 жыл бұрын
Acheni kuingea msio yajuwa
@frankmakomba378
@frankmakomba378 2 жыл бұрын
Toka hapa nilikuwa nawasikiliza hoja na maoni yenu mbalimbali, 95 % ni kweli.
@sherampunga3226
@sherampunga3226 2 жыл бұрын
Marekani hausiki hapo, wao wenyewe wameamua wenyewe kujiunga na nato
@eddiemay547
@eddiemay547 2 жыл бұрын
Umezaliwa lini ww libya , iraq, alfghanistan mboni ujajitokeza kuliongelea umetumwa?
@senikomanya7223
@senikomanya7223 2 жыл бұрын
Huyo mchambuzi wa nguo ya njano hana point
@jacobotipo1451
@jacobotipo1451 2 жыл бұрын
So 😢
@eddiemay547
@eddiemay547 2 жыл бұрын
Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani
@nemecykongolo3682
@nemecykongolo3682 2 жыл бұрын
pelekeni uongo wenu huko urusi nchi kubwa acheni ujuwa
@mombasa0076
@mombasa0076 2 жыл бұрын
NATO NI WACHOCHEZI WEWE KAMA HUTAKI BASI
@josephgelvas2668
@josephgelvas2668 2 жыл бұрын
Ok
@mustaphyassin9743
@mustaphyassin9743 2 жыл бұрын
Wachambuzi nyie ni waongo
@allyhilal2747
@allyhilal2747 2 жыл бұрын
Jamaa huyu naona saa hii anaona aibu kwa haya maneno alokua anatoa hapa. Putin Over calculated this bro, next time chill usikurupuke.
@eddiemay547
@eddiemay547 2 жыл бұрын
Hiv ww ushajuwa fulani adui kisha jirani yako anamkaribisha karibu muhim usalama wa nchi
@saidiabas8855
@saidiabas8855 2 жыл бұрын
Mbona nyinyi hamuyadili ya Palestine Congo Libya na irak mbona hamumjadili mmarekani na mabaya yake
@gfckukivi209
@gfckukivi209 2 жыл бұрын
Tafteni habari za ukweli
@dorothymutegeki7543
@dorothymutegeki7543 2 жыл бұрын
Hacha uongo Urusi iko vizuri saana
@zephaniapeter3167
@zephaniapeter3167 2 жыл бұрын
Besisira kutoka nkome geita Mungu Ubaruku dunia hivi vita ikome
@saidiabas8855
@saidiabas8855 2 жыл бұрын
Naomba mujadili na Palestine
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Usiseme hajielewi usiejielewaniwewe na us
@julianamargwe1663
@julianamargwe1663 2 жыл бұрын
Hamna kitu hapa
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 жыл бұрын
Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 2 жыл бұрын
Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!
@ruu6592
@ruu6592 2 жыл бұрын
Iyo democracy imetuu tia umaskini kabisa
@unknownafrica5568
@unknownafrica5568 2 жыл бұрын
Umeonaa
@godfreydavid6267
@godfreydavid6267 Жыл бұрын
@@ruu6592 kivipi?
@abdalahngozi5455
@abdalahngozi5455 2 жыл бұрын
Wachambuzi wanakwama, wanapga story kama wapo vijiwen. Putin anapgana vita vya kimkakati sio vita ya kuimaliza Ukraine
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 жыл бұрын
Wewe ni juha hujui kitu ushabiki bila macho kululu kalale
@suleymandachi782
@suleymandachi782 2 жыл бұрын
Kuna mtu anawaelewa hawa wachambuzi? Mie nawaona ni wapigasoga waliokariri hotuba za mataifa ya magharibi
@AliSaid-il7ko
@AliSaid-il7ko 2 жыл бұрын
mnatuangusha kuweni wakweli mnaongea msichokijua
@DonaldOHBrown
@DonaldOHBrown 2 жыл бұрын
ningependa kusikia generals wako zamani wanachosema kuhusu sughuli katika Ukraine?
@magangakibella6895
@magangakibella6895 2 жыл бұрын
Hamjui ninyi urusi yukoje
@danielmiburo8800
@danielmiburo8800 2 жыл бұрын
Nikweri.angetaka.kumunkoa.madrakani.angemutoa.rengo.nikupunguza.nguvuza.aduyiwafrika.tunamusapoti
@johnasmasulu5205
@johnasmasulu5205 2 жыл бұрын
Balinana
@chumakasibi3585
@chumakasibi3585 2 жыл бұрын
Poutine acha muzozo autafika fasi aki ya mungu iko autafika fasi acha mapema utapata asara kubwa
@danielmiburo8800
@danielmiburo8800 2 жыл бұрын
Zeresiki.natabarisi.yemere.ivyasabwa.naprezi.wuburusia.
@julianamargwe1663
@julianamargwe1663 2 жыл бұрын
Hamna kitu
@bensonmwabulambo9663
@bensonmwabulambo9663 2 жыл бұрын
Mbona Russia"240" Today mmeitoa. mmefuata mikumbo na mmetunyima haki ya sisi wazamaji kubalansisha story.
@sadickomary9999
@sadickomary9999 2 жыл бұрын
hawaelewi hata wanachokichambua. kisa cha kutoonyesha rt nn sasa au mmepewa fedha..mshiriki kutudanganya
@eddiemay547
@eddiemay547 2 жыл бұрын
Weunaongea utumbo kibaraka nato mchochezi wa dunia
@danielmiburo8800
@danielmiburo8800 2 жыл бұрын
Ndiyo.raisi.waukereni.nikibraka
@omysule7118
@omysule7118 2 жыл бұрын
Urusi ya mwaka 2004 huwezi kuifananisha na Urusi ya sasa kaka
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Huyo mchambuzi hamnakitu
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
"SLOVENSKÁ MAFIA"  rozhovor Ján Petrovič
1:49:43
ABY SI VEDEL
Рет қаралды 167 М.
MAREKANI NA NATO WAANZA KUPELEKA JESHI MASHARIKI MWA ULAYA
4:24
VOA Swahili
Рет қаралды 455 М.
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
28:17
BBC News Swahili
Рет қаралды 98 М.
The war in Ukraine and the decline of the West | #1623 with Douglas Macgregor
2:01:30
TRUTH: Is Raila a CONMAN?
17:58
Herman Manyora
Рет қаралды 24 М.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН