Рет қаралды 49
Reconstruction Labs Tanzania au R-Labs-Iringa Tanzania ni shirika linalowajengea vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu maarifa ya kujitegemea kwa kuwafundisha stadi muhimu za maisha
Mpaka sasa, R-Labs imeshapata zaidi ya milioni 45 kutoka Serikalini kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Technolojia (COSTECH) ambazo zimesaidia kuwanufaisha Zaidi ya vijana 700 na jamii inayozunguka Manispaa ya Iringa.