Рет қаралды 2,408
Mahakama ya hakimu mkazi Iringa yenye mamlaka ya nyongeza imemhukumu Naftari Lulandala kifungo cha kunyongwa hadi kufa baada ya kumkuta na hatia ya kumuua aiyekuwa mchungaji wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri KKKT Dayosisi ya Iringa marehemuElizabeth Ng’ unga