No video

Isaya 55: 1- 13|| Mtafuteni BWANA maadamu apatikana

  Рет қаралды 157

MASEMBO GOSPEL LIBRARY

MASEMBO GOSPEL LIBRARY

4 ай бұрын

Isaya 55: 1-13
1 Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa, Bila fedha na bila thamani.
Isaya 55:1
2 Kwani kutoa fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.
Isaya 55:2
3 Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.
Isaya 55:3
4 Angalieni, nimemweka kuwa shahidi kwa kabila za watu; kuwa kiongozi na jemadari kwa kabila za watu.
Isaya 55:4
5 Tazama, utaita taifa usilolijua, na taifa lisilokujua wewe litakukimbilia, kwa sababu ya Bwana, Mungu wako, na kwa ajili yake Mtakatifu wa Israeli; maana amekutukuza.
Isaya 55:5
6 Mtafuteni Bwana, maadamu anapatikana, Mwiteni, maadamu yu karibu;
Isaya 55:6
7 Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie Bwana, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.
Isaya 55:7
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
Isaya 55:8
9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
Isaya 55:9
10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
Isaya 55:10
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
Isaya 55:11
12 Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
Isaya 55:12
13 Badala ya michongoma utamea msunobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia Bwana jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.
Isaya 55:13
#isaiah55
#isaya55

Пікірлер
Yohana 11 "YESU AMFUFUA LAZARO" ▪️▪️ by Frank Masembo
8:07
MASEMBO GOSPEL LIBRARY
Рет қаралды 4,9 М.
ZABURI 35 "Ee BWANA UTETE NAO WANAOTETA NAMI" (#Psalms35)
4:33
MASEMBO GOSPEL LIBRARY
Рет қаралды 4,2 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 31 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН
JIFUNZE KEY G NA Mwl Masembo
10:33
MASEMBO GOSPEL LIBRARY
Рет қаралды 10 М.
KISA CHA KUSISIMUA CHA NABII YONA
45:10
Pastor Lazaro Samwel Kilala
Рет қаралды 4,8 М.
Yona kumezwa na Samaki- (Book of Jonah 1-4)
2:40
Hadithi za Bibilia
Рет қаралды 7 М.
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Dj Marita
Рет қаралды 2,1 МЛН
Niipi Dini Ya Kweli Kati Ya uislam Na Ukristo? Sheikh Imani petro
5:01
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 19 М.
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Israel Mbonyi
Рет қаралды 57 МЛН
Matendo 3:1-11|| Petro na Yohana wamponya Kiwete
2:32
MASEMBO GOSPEL LIBRARY
Рет қаралды 861
BWANA NI NURU YANGU NA WOKOVU WANGU (Zaburi/Psalms 27) by Frank Masembo
2:49
MASEMBO GOSPEL LIBRARY
Рет қаралды 2 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 31 МЛН