Jeshi la mtu mmoja , Jike la simba queen of the best melodyyy umeua mamaaaa, washabiki hatutaki maneno tunataka kazi , kazi kama hiii uko juuu mama!!!!! Kimya ukitoa uanatoa kombora❤❤❤❤❤❤❤💯
@NassoroChiwana8 ай бұрын
Jaman hanifa maulidi akupe2 maua Yako hakuwez ant yang mwenye kipaji chako nakupend sanaaaa ❤❤❤❤❤ halafu ngoma ni motoooooooo
@osamamahmouds98278 ай бұрын
Shabik No1.. wa Mashauzii Unapendwa namm ❤️❤️❤️ Umeshindikana Mamaa 🙌🙌🙌
@radhyiawamburah23948 ай бұрын
Isha mambo yako makubwa makubwa na hii pia kali 🔥🔥🔥
@hilarybahati77638 ай бұрын
Video Kali Sana mambo ni 🔥🔥🔥🔥 weee ishaaa umepigaje hapooooo
@allymwijarubi89328 ай бұрын
I am from Los angels i don't know swahili ,but uyu isha anajua kinoma 😊😊😊❤❤❤
@subirajumanne8 ай бұрын
Mama la mama lao weyeee waongesheeeee🥰🥰🥰🥰 maujuzi hawajuiiih🤗
@shomari_msumi8 ай бұрын
Hongera kwako Queen of the best melody na kwa director pia,video Kali👌👌
@hilarybahati77638 ай бұрын
Bi star kaendana na uhalisia nice choice Sana
@blackbeauty-qe2xt8 ай бұрын
Umependeza sana ngoma Kali Kila kitu Kiko mwaaa❤❤
@Zaitoon728 ай бұрын
Ila bi star nampenda bure tu❤ huyu mama maan anavimbwanga😂
@faidhacute8 ай бұрын
Mi nampenda mpaka naumwa bi star
@saodashabani26528 ай бұрын
😂😂Achoshi ukimtazama
@mdetetv60508 ай бұрын
Haya ndio mambo tunayoyapenda dada toa ngoma bwana gem ichangamke
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Ila taarabu tam hii aswaaa za shoga yangu Maana wewe ndio mwenye mziki wako kucheza pembe hatar
@mapinduzi4711 күн бұрын
❤w
@mapinduzi4711 күн бұрын
Unanionaje
@AsminHakimo8 ай бұрын
Kila mtu na mtuwe video kwanini usituwekee hapa dada ili vipenzi vyako tuipate kwa urahic 2024 jan.... na bado inavutia ❤
@AbrahamBlass6 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimeingia u tube kwa ajili ya taarabu kwaajili ya huyu dada
@brianmithia29302 ай бұрын
Karibu 😊,Mie Isha Ndiye Kunileta Hapa, Nyimbo Ajaab😊
@rajabusaidi76812 ай бұрын
Hata mm naiskiaga leo ndio nimeipata...😂😂
@joyceshanh2 ай бұрын
mm pia aseeeee
@SuzanMoshi-m1s9 күн бұрын
Uyu kiboko yao
@JosephineMpangala19 сағат бұрын
upo kama mm😂😊
@johnymelkiory54518 ай бұрын
Nimeangalia mpk mwisho nyimbo hii ipewe mauwa yakeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@mwanashasjambia85728 ай бұрын
Hongera sana DDA Esha nyimbozako zote nzr.
@nevermgawe28028 ай бұрын
Isha wàngu jamani Hadi mwili wangu umesisimka nakupenda buree💖💖🙏
@aishamdinku91298 ай бұрын
Tupe raha isha weee 🔥🔥🔥🔥💃💃💃
@AshaMbaraka-cb5ix9 сағат бұрын
Isha , unajua,unajua, unajua Tena, hongera sana my dear
@latifaally45738 ай бұрын
Nyimbo tamu mpaka tamu Tena
@Virtualbets3658 ай бұрын
My love ❤❤❤❤❤❤❤ Mungu akuweke we Isha .mapenzi toka kenya
@christinasaimon90838 ай бұрын
Umenifanya niipende taarabu isha yani naichezaaa hapaaa hiiiiiiii weeeee ❤ iko kinanda acha tuu 😊😊
@marjansempa8 ай бұрын
makopa kwa wingi much luv
@KhassimMatangula15 күн бұрын
Uyu mdada achongewe sanam lake pale kivukono ❤❤ anajua Sana mbaka anajua Tena ❤❤akuna Kama wewe 🙌🙌🙌
@Naahlyan8 ай бұрын
Video nzur sana jmn unaenjoy kuangalia
@khadijaabdullah598 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mambo ni moto
@ayshazambia65098 ай бұрын
Hongera wajina sina roho ya kwann pambania yako ndoto makasiliko ya nn mbona pambe tuu❤❤❤❤❤
@Salma-f4x18 күн бұрын
M
@SintaHalimoja8 ай бұрын
🌹🌹🌹🌹nimekupa maua Yako isha
@azzaalhabsi15058 ай бұрын
😂😂 jinamizi jipu la kwapa.nakupendaga bure b dada. Like kwa b star.
@AshaHussein-q8n8 ай бұрын
Sana dad isha pend sana
@ukhutymamuu74708 ай бұрын
Mashauzi yake tu kwenye kucheza napenda sanaaa 😂😂😂nyimbo tamu sana ♥️
@halimahassani1068 ай бұрын
Ishaa n mmoja t❤
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Mwana muzik wangu uliyebaki kwenye taarifa Maana nyimbo zako zote nipo zako kipenzi changu zinapa nguvu za kupambana uku
@Fatma-to6rq8 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉Quen tha best melody mambo motooo
@Sabraahmed-yv9rp8 ай бұрын
Namkubali sana isha,huyo nikoboko
@McMkombozi8 ай бұрын
Isha mashauzi. Nakupenda Bora. Tunaomba utoe sasa album ya band plz tupate raha pia kwa saida mashauzi Asia mashauzi neema masahauzi zubeida mashauzi pia
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Queen kama queen 👸 chukua crown 👑 yako🥳🥳🥳🥳
@ZuhuraAnuary-y5b8 ай бұрын
umependeza sana mashaallah umevunja kabati
@ValerianaBiseko-hc6uy8 ай бұрын
isha weeeeeee nakupenda sio kitoto
@Shadia5448 ай бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 tunainjoi tuu hasidi hana hasara🌹🌹🌹✌️✌️✌️
@Maas-d5d8 ай бұрын
uwiiiiiii my sweet love penda sana wewe..unahangaika kwawaganga lakini sie tuna mungu weweyaaaaaaa imeenda hio
@morrissila8 ай бұрын
Hii ndio taarab halisi. Kazi njema ishaa ❤❤
@zaharamuna58618 ай бұрын
Umetisha sana dada yangu
@AsiaMagombeka3 ай бұрын
Nakupenda isha, napenda nyimbo zako kipenz mungu azidi kukulinda
@Rukiarukyruky-zj8nk8 ай бұрын
Jike la simba haujawah kukosea 🔥🔥🔥🔥🔥
@stumaihamis67288 ай бұрын
Hirizi mzigo ipo vizuri sana ISHA umeshinda bila vita dada
@newswireKenya8 ай бұрын
ALL THE WAY FROM NAIROBI KENYA. GOOD MUSIC QUEEN OF THE BEST MELODIES.
@saiddotto85848 ай бұрын
Video tamu adi raha yani isha una baya kwangu kukupenda tuuu❤❤❤
@ZainabuMfanando8 ай бұрын
Queen of the best melody ujawai kumuacha mtu salama😂😂😂😂 weweeeee
@Kasweetie_2547 ай бұрын
Wivu na kutamani va watu chanzo cha makasiriko 😂much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
@khadijak66488 ай бұрын
Mwamba ndio huyu sasa penda ww mpaka basi uko juu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@furahinimbwambo8 ай бұрын
Wakwanza nipeni like kama zote namkubali sana isha❤
@AbdulAbdalla-f6j7 ай бұрын
❤❤❤
@earlyally51467 ай бұрын
Ume nipeweni chakweli.
@essiensaid60897 ай бұрын
Snaa
@leeafricanfashionanddesign71535 ай бұрын
Wueh!kazi ipoh,Huna baya mama
@ZainabuswedАй бұрын
.p
@fatimafoaani22638 ай бұрын
Mungu akubariki sana na akuzidishie kila la heri maishani mwako Amin ❤❤❤🎉🎉🎉
@RayaJuma-r7k7 ай бұрын
Namkubali kinoma
@HamisiFaraji-ej5mf8 ай бұрын
Jisongi tamu sana dada Isha umetisha
@MamiChoba-ep9cc8 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤ wanipunga sana swahiba natokea Kenya💪💪💪💪💪
@nandymdogo53638 ай бұрын
Best melody kama yeye 🎉❤pendeza sana isha
@SalmaShaibu-ww4dx8 ай бұрын
❤❤❤❤❤ nlmis sana ulud huku
@AishaAli-y7w8 ай бұрын
Bi star umeuwa love it
@PelinaFrancis8 ай бұрын
Yaan mm na taarab mbali mbali ila isha kuna kitu kanifanyia wallah tena ❤❤❤😂😂😂
@HeryGhost7 ай бұрын
Nyimbo kari san hongera isha ww noma san ❤
@BinHaju8 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Nimeirudia mara nne
@AsmaSoud-e8z2 ай бұрын
Dada atulia Sana Na nyimbo zake mashaallah ❤
@alumbelurando87683 ай бұрын
Hii ni Kali kwa yote inshallah Allah pekee🔥🔥🔥
@FatumaMohammedi-w1z8 ай бұрын
Wanapendaaaaa❤❤❤❤ super woman mmja tu . Isha ana hatari sanah katufanya nyumba nzima tuwe shabiki yake 😢
@MamyLily-f2i8 ай бұрын
Hii video 🎉🎉🎉🎉🎉 Iko juu wimbo 🎉🎉🎉🎉 like hpa twende
@msomangaorijinal39218 ай бұрын
Nice video kutoka Kwa mashaizi
@zamaradiabdallah28217 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ pambeee t nyimbo yke
@rehemaAyubu-q3w8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ hongera zake nyimbo ikopowa
@ogetoj6245Ай бұрын
Ukistaajabu ya wengine vipi ya Isha?Chako Mungu kakupa si cha mwingine , mpaka kulalia mlango wazi. Dalali wa Wagang'a si jobo. Potelea mbali makasiriko, Dada!! Dr. Ogeto International
@RebekaJoseph-k8h8 ай бұрын
❤❤❤❤❤nyimbo tamuuu sanaa
@aishaomar96212 ай бұрын
Nakupenda bure ddngu ❤❤ umeweza hii Kali kwakweli viumbe wazito😢
@reaganochango76288 ай бұрын
Locked in kitambo toka Nairobi Kenya🇰🇪.....Tamu kweli kweli😅❤
@MrsMariam-x2s8 ай бұрын
Safi sana isha ume nipa furaha sana imekaza sawa kabisa
@ThuwaibaMkana8 ай бұрын
❤❤❤❤nakupenda ishaaaa unavyo cheza
@abawaqanawat64198 ай бұрын
Happ ndipo mistari mikali Nakupa maua yako mamaa
@janethmkumba89043 ай бұрын
Nakupenda sana Isha na nyimbo zako zoote
@moudboss8468 ай бұрын
Asante sana ISHA tulipoa sana watu wa Music wa Taarabu
@UpendoAyubu-b5r8 ай бұрын
Wapiiiiii mamasemeniii wa jua kaliiii
@UswegesongaSonga6 күн бұрын
Inyimbo imeturia Sana hongera dada mbinguni unakitichako❤❤❤❤❤❤❤
@AishaHaji-n3f8 ай бұрын
Nampnd san uy dada yet kin isha ❤❤❤
@feswalfaizoo21328 ай бұрын
❤❤❤❤❤Big video uko juu mashauzi
@latwibujuma8 ай бұрын
Mganga punyeto kwenye ubora wake hana baya ❤❤😂😂😂
@Mzuri_0028 ай бұрын
Nakuaminia queen of best melody❤❤🎉🎉
@EvaBaya-ym4ok8 ай бұрын
Nyimbo tamu clear video ❤mob love from Kenya
@christobellndovie70608 ай бұрын
Hawo wakina mama wa mashauzi classic band wa backup Mimi nimewapenda yani wanajuwa mpka wanajuwa tena
@Amourharoub-rf1tc8 ай бұрын
Queen safi sana irudishe tarabu
@FloraMwashigadi8 ай бұрын
Dada nimependa sana nyimbo yako. From mombasa
@zaudatmakula34548 ай бұрын
Isha umepigajeee hapoooo❤️❤️❤️❤️❤️
@FatumaHamisi-sr6yj8 ай бұрын
Nimeipenda hii 😍😍
@Malikamtajir8 ай бұрын
Long time kupata kutuachilia kibao pambe kama hiki...Watafa siku si zao wenye roho za kwanini
@marthachambuso94478 күн бұрын
Pole sana Kila kilichoumbwa na mungu kina mwanzo na mwisho wake tumuombe Allah atupe mwisho mwema inshaallah
@AshuraAziza8 ай бұрын
Imeelewek iyoooooooooo❤❤❤
@Nuru95688 ай бұрын
Isha anadamu ya nguo mashallah ❤
@Samiafficial39428 ай бұрын
Kweli👌👌👌💕💕💕from Rwanda
@maryayo4918 ай бұрын
Isha unaimba ❤❤❤
@francispaul58063 ай бұрын
Isha wewe ni Legend wa Morden Taarab, leo huu wimbo nimeanza kuusikiliza kuanzia asubuhi mpaka jioni nikiwa kazini. Nimeweka Loop on yaani ni burudani haswa. Unajua kuimba kipenzi.