Hapo kweli wazigula chatongera dini yakiislamu na twajiweza .kuwatunza wanne
@asmaajuma33283 жыл бұрын
😂😂😂😂😂. Ataomba rufaa kweli. Mzee wangu uko sawa Mashaalah.
@mohamedmkwayu29173 жыл бұрын
Kwa watu wa zamani ilikuwa ni sawa kuoa wake 4 kwakuwa walikuwa na uwezo lakn kwa vijana wa kisasa hawawezi. Hata huyo mmoja tu ni shida itakuwa hao 4. Sababu nguvu hawana chakula chicken/chips/mayai wataweza nn.
@الزغويالزغوي-ض3ن4 жыл бұрын
KUA MWANAMKE ANAKUA KATIKA ADA YAKE HIYO BADO SIYO HOJA YA KUFANYA MTU UONGEZE MKE KWA SABABU SHERIA YA DINI YETU YA KIISLAMU HAIKURUHUSU KUTOKA KWENYE ZAMU YA MKE KWENDA KWA ASIE NA ZAMU KISA YUKO KWENYE ADA. MTUME SWAL-LA AL-LAAH A'LAYHI WA AALIHI WASAL-LAMA ALIKUA NA WAKE WENGI ZAIDI YA 4 LAKINI ALIKUA AKILAZIMIKA KULALA MIGUUNI KWA MKEWE KUKIDHI HAJA YAKE PALE ANAPO KUA MKE HUYO YUKO KWENYE ADA NA NDO MWENYE ZAMU YAKE. HIVYO INGEKUA KUOA WAKE ZAIDI YA MMOJA NI KUKWEPA HILO MTUME SWAL-LA AL-LAAH A'LAYHI WA AALIHI WASAL-LAMA BASI ASINGKUA NA HAJA YA KULALA MIGUUNI KWA MKEWE KUKIDHI HAJA YAKE YA KIMAUMBILE ILIHALI ANAO WENGINE WASIO NA DHARURA !
@sofisofisanatuwamezidikumf8844 жыл бұрын
sasa hivi hakuna mashekhe nikupotoshana tu nasasa hivi hawafati shelia ya MTUME wanaoweya sifa tu
@mohamedmkwayu29173 жыл бұрын
Hao ni wazigua wa enzi hizo.
@mohamedmkwayu29173 жыл бұрын
I agree to You Tube's Terms of Service
@MdEmon-yn4cw4 жыл бұрын
dini yetu mwisho 4 watano ume halifu sheria ya Allah
@aishaasumany5613 жыл бұрын
Msisahau watanga wengi wamejaa Kenya Mombasa Nairobi mje muaisabu pia
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
😂😂😂😂eti anaweza mchezesha bint mchezo mpaka akaomba rufaa.👏
@mosesmzakwe77743 жыл бұрын
Wako vizuri sana
@aishaasumany5613 жыл бұрын
Huyu mzee hajafika 90 nimjanja tuu kisha mitaa yangu hii nkitoka South Africa ntamtafuta huyu babu
@aichaabdul58444 жыл бұрын
Atakuwa amekisia tu ila miaka 90 ajafikisha kwa jinsi alivyo sitegemei atakuwa na miaka hiyo
Huyo hajijui anaumri gani hafiki kabisa miaka 90 sio zaidi 80
@yassinisuleimani19124 жыл бұрын
Asalamu Aleykum warahamatulahi wabarakatu Masha Allah Tabarakala Allah alahamudulilahi Allah ila nilicho naoba sana sana kuhusu kuweza kupata zaidhi za history hata ikiwa ni vitamu kwa naba zangu na Email zangu ziko haba chini tafazali yassini55@yahoo.com yassinisuleimani@gmail.com yassinisuleimani87@gmail.com jomokenyatta45@gmail.com 210-326-1905 Ahasante
@kiuwamhina28024 жыл бұрын
Wabondei wavumilivu sana, mi bibi yangu ana 87 lakini yupo anapigana.
@athumanikigolo87533 жыл бұрын
Huyu ana 79-80s
@chidiomari.653 жыл бұрын
👁️👁️🇫🇮🤝
@MohammedAhmed-hw3lg3 жыл бұрын
Tizama meno yake unajuwa anaumri gani anajuwa historia kidogo tu