TUNZO MUNAWAPA WENGINE MUNA WAACHA WATU MUIM WATU WANAOJUA KUELIMISHA KUPITITIA NJIA YA COMEDY Watu wa tunzo angalien haKI-
@sulaymanwaziri44552 жыл бұрын
Nitakua napokea ndogondogo maana hizi nyekundu ndio zinazoleta maneno
@hanifajuma61212 жыл бұрын
Baba mkwe kwa kupora hatari.
@justineonline65562 жыл бұрын
Safi
@abeidabdullwarith89912 жыл бұрын
Mashallah
@beatricesanga79942 жыл бұрын
Nimewakubari kinyama
@mathayowilson15252 жыл бұрын
SIJAZKWA NA WEWE BORA NIENDE MOTONI....😀😃😄😁😁😁😆😆😅😅😅😂😂🤣
@jumannemrisho35172 жыл бұрын
Kakabwa roba yabao😁😁😁😁
@omarymnuru87462 жыл бұрын
Ujumbe wa leo umeonesha uhalisia wa mambo ambayo sisi wanaume tunayokumbana nayo tunapokuwa katika majukumu ya kifamilia pamona ujenzi...napenda kushauri kusoma alama za nyakati kwa ndugu zetu muda mwingine mtupe muda kidogo kwa ajili ya kuvuka kikwazo kilichokuwa mbele yetu
@fundiwakupaua2 жыл бұрын
49 tunaisubiriiyooo
@cuteprincess77282 жыл бұрын
baba mkwe ni wakuchinja huyo
@ilhamb12872 жыл бұрын
Bado 49
@happinessandrea21182 жыл бұрын
Kwani huyu Maringo,,,ndio mshauri wa kikundi🤣🤣🤣 maan kila siku yeye ndio anatoa soln
@batulemwamwaja65242 жыл бұрын
Baba mkwe wengine vichomi mwanzo mwisho
@athumanfuko1992 жыл бұрын
hatari
@noelkipera65812 жыл бұрын
Hahahaaaaa shimo lachoo mirunda,,umeua Dic wa bonyokwa
@gooddeeds1622 жыл бұрын
😊
@jamesobedy36872 жыл бұрын
yule mzee mwengine simuoni 🤔
@jenymtafya34302 жыл бұрын
Mzee yupi tena? Kama ni Matata mbona alifariki jamani!😥
@jamesobedy36872 жыл бұрын
@@jenymtafya3430 kumbe 😭
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Yule mzee mbona keshatangulia mbele ya haki si mzee matata au umekusdia yup
@lolojunior58082 жыл бұрын
Mzee mwembamba kafariki
@saumusaumu99002 жыл бұрын
Yule mzee matata alikufaga tna mwk jana mwshon kbs