Ee Mungu, nakuomba unisamehe dhambi zangu na jina lako litukuzwe milele amina.
@sylvestermhojaaron96593 жыл бұрын
BWANA YESU, nipe mwisho mzuri wa maisha yangu ya wokovu, AMINA🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊
@HappinessElisha-b6x Жыл бұрын
Mbalikiwe sanaa kwaushuhuda mzuri mungu atusaidie mwisho wetu uwe mzuri kuzimu inatisha jamani
@tamaraeliz71143 жыл бұрын
Jacktan Barikiwa sana. Huu ushuhuda wa leo ni wangu mimi. Nirekebishe Bwana Yesu. Ni mimi na 📺 saa zote Mungu nihurumie Yesu. Osha macho yangu Yesu Osha ulimi wangu Bwana na mwili wangu mzima Bwana Yesu. Jacktan na group yote ya Promover TV Barikiweni sana
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@jasonandjesuschrist41723 жыл бұрын
Mswahili hakukosea kusema LISEMWALO LIPO NA KAMA HALIPO BAS I TUGONJE LANJA , TUOKOKE TUMWAMBUNDU YESU KRISTO ASIFIWE MILELE ❣️ AMEN
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Milele Amina
@LukasNdaji13 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@reginafidelis3363 жыл бұрын
Huu ushuhuda niliusoma mwaka 2015,asante kwa kutuletea mahali hapa watu tuijue kweli ya Mungu
@rozinamaleka2143 жыл бұрын
Hata mimi niliusoma hakika nilijifunza mengi Mungu atupe mwisho mwema
@reginafidelis3363 жыл бұрын
@@rozinamaleka214 Amina
@neemanzengele71693 жыл бұрын
Mtumishi Jactan Mungu akubariki sana ushuhuda huu umenigusa yaani umekuja ilinibadilike nimeambiwa sana kuhusu TV sikuelewa ila leo namuomba Bwana Yesu anisaidie.Yaani nimeusikiliza zaidi ya mara mmoja.
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen, barikiwa sana
@alinefeyi67313 жыл бұрын
Mungu atupe mwishomzuri
@rabilubinza76613 жыл бұрын
Oooo Yesu kwa nguvu zangu siwezi lolote naomba uniwezeshe Bwana
@josephmutemi74943 жыл бұрын
Barikiwa sana brother Jackitan kwa kazi zuri
@beckhamcasen19453 жыл бұрын
Sorry to be offtopic but does someone know a method to get back into an Instagram account? I was dumb forgot the login password. I would love any assistance you can give me
@editarichard19673 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@erianne4943 жыл бұрын
Barikia sana
@totoyamungu3 жыл бұрын
Tuokoe Eh mwokozi Wetu Mateso Hayo Hatuyawezi Baba🥺😭😭
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Eee Mungu mwenye rehema nihurumie na uniongoze niweze kutembea ktk njia zinazo kupendeza
@medadiissa3243 жыл бұрын
Nikweli kabisa wapo wanaodanganya lakini hiyo haizuii kuwa wapo wanaosema ukweli.
@nelsonsalumuclovis7533 жыл бұрын
Amen
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
Yesu usiniache unapozuru wengine
@desderiafrancis14043 жыл бұрын
Ee yesu nitakase
@anaiskafilleaineedejesus36423 жыл бұрын
Nitaku fwata milele ehhh yesu wangu
@Sala-vk6qy11 күн бұрын
Amen ila mawigi na mapambo yote uyaache
@Sala-vk6qy11 күн бұрын
Ushuhuda huu ndo nausikiliza Niko chuoni maisha magumu nna hell 69000 ambayao nlitaka nitumie mtaji wa kununua vitenge na kuuza lakini ndani nasukumwa kuwa nikanunue Biblia kwani Bible yangu ilpotea ndani kwa mazingira ya ajabu na kila nikipuuzia kinakuja kitabu Cha mathayo 6:33😭
@PromovertvTz10 күн бұрын
Msikilize Mungu atakutendea
@Sala-vk6qy10 күн бұрын
@@PromovertvTz mda uleule jana nilinunua Tena kubwa ya elf 30000 tangu hapo baada ya kununua nikawa na Aman na furaha Kama ya mtu anayetoka kuokoka
@الوردالورد-ز4غ3 жыл бұрын
Kila siku najaribu kuachana na tamaa za hii dunia coz naogopa jehanam
@lydiamichael55093 жыл бұрын
Eeh MUNGU BABA NIREHEMU
@josephmutemi74943 жыл бұрын
Wewe unaitaji maombi maana uko katika kifungo Cha shetani
@Joyceisaka2 ай бұрын
Mimi natubuuu kabisaa na utakaso eee BWANA NAONA UPATANISHO NAWEW NAOMBAA TOBA MAANA NIMESENGENYAA WENGI NA KUWAZA MABAYA JUU YA WATU WA MUNGU EEE MUNGU NIREHEMU MIMI YAANI NIMCHAFU HAKIKAA UBARIKIWEEE MNO SHUJA JACKTANI MSAFIRI
@PromovertvTz2 ай бұрын
Amen
@chuggapjt37823 жыл бұрын
Najiuliza tu watu wengi wanadai wamefika mbinguni na motoni na ukisikiliza kila mtu anaongea lake huyu anasimulia hivi huyu hivi kana kwamba mbingu ni tofauti. Na ndani ya miaka miwili iliopita ndio wengi wameenda mbinguni. YESU KRISTO HAJAWAHI TOA SIRI ZA MBINGUNI ANASEMA HAKUNA AJUAE SIRI ZA MBINGUNI HAWA WAMETOKA WAPI? NAJIULIZA
@rmaryp62693 жыл бұрын
Pole! Mungu akusaidie kutokuamini kwako, na soma maandiko vzr.
@marianachriss24443 жыл бұрын
Soma ufunuo wa yohana 19.yote ushuhuda wa YESU ndio roho ya unabii ,ndio maana inatenda kazi kwa watu tofautitofauti amini upate okolewa
@christopherbomola41513 жыл бұрын
Yesu yupi alisema mbinguni ni siri?,wakati mtume stephano kabla hajapigwa mawe na kufa alifunuliwa mbingu na kumuona Yesu ameketi mbinguni mkono wa kuume wa Mungu,soma biblia
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Iko shida ndani ya moyo wako unahitaji wokovu ili ukombolewe fahamu zako bado unaishi unayofursa ya kuujua ukweli. Kuzimu hadi leo kuna watu dunia wanatumikia huko ingawa shetani hawapeleki sehemu hii ya mateso ya milele ili wasijue ubaya wa kuzimu. Waganga wachawi free mason manabii wa uongo na maajenti wote huenda kuzimu na kurudi duniani kwa kuwa shetani kwa hila zake amewaficha wasijue yaliyombele yao. Ndivyo afanyavyo kwa wanadamu wajinga wasiomwamini Mungu anawapa roho ya kutokuamini kuzimu wala mbingu. Tubu ee mwanadamu
@chuggapjt37823 жыл бұрын
Tofauti ya kuonyeshwa, na kwenda na kurudi duniani. Embu njooni na maandiko. Sio kila kitu kinachosemwa cha kiroho tukiamini nyingine ni tungo tu za kujikweza