Kweli Kuna washirika wengine Kuhudhuria kanisani=0 Maombi =0 Sadaka=0 Kufanya usafi kanisani=0 Changizo za kanisa=0 Kuchelewa kanisan=100% Kuongea kanisan=100% Sasa huyo ni mshirika au shirika
@Husnasalim-f2g5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwaiy ukaend au Mungu alisema sik za mwish watatokea manabii fek hatimae nabii wa kike kakujieni 😂😂
@tumainsaimon6 сағат бұрын
Mbarikiwe sana Promover kutuhudumia na kutujuza habari njema za utukufu.
@PromovertvTz5 сағат бұрын
Amen
@ChristopherMayanga6 сағат бұрын
Amen
@LatifaMwandu6 сағат бұрын
Dada yetu ungemuamini ndugu yako alisema kweli huyo ni jini Mjitahidi kusikiliza mawaidha kwani kuna sheikh moja aliwahi kuelezea ujanja wa hao mashetani ... Kwanza wanaweza jibadili sura zote na sauti..isippokuwa sura ya mtume mohammad swalalahu aley wasalam
@FelixMwinuka-p3z6 сағат бұрын
Mungu akubariki
@gracemutono50237 сағат бұрын
Amen asante sana karibuni sana mombasa na kitui tunawangoja
@happyminja-kb1ow7 сағат бұрын
Aise maisha sio marahis
@RhianShauri-h8r8 сағат бұрын
Uishi milele baba
@elidachengula8 сағат бұрын
😊 l
@joseloya13498 сағат бұрын
Vipi ile move ya dar to logos??
@AhmedAhmed-gf1rd8 сағат бұрын
Njaa bwana!!!
@lydiamakenge56138 сағат бұрын
Pray for me
@RubenMtuwaMungu-bz8ee8 сағат бұрын
Wapendwa fanyeni utafiti imani ya vitu vya upako imeanza miaka ya 2000 kabla ya hapo watu waliponywa kwa imani katika jina la Yesu. Ukweli ni biashara za watu na haitupasi kuyanyamazia maana tutadaiwa. Anachosema mtumishi ananawa mikono ili asidaiwe
@NancyNaomi-od6ng11 сағат бұрын
Wa Kenya tuko tayari kwa jina la Yesu
@nizigamaviolette-ig9dl11 сағат бұрын
Wakatiwa Nubu watu waliangamia kwakutosikiya Nuhu aliwambiya wajenge safina wakakataa Mungu akawangamiza wote Leo neno la Mungu likowazi ili litufunze nakutuonya ila tunashupaza shingo kumbe itakuwa kama Sodoma nagomora muke WA Ruthu aliambiwa asigeuke nyuma akageuka matokeo yake aligeuka kuwanguzo yachumvi chamuhimu nikutii magizo yaneno la Mungu
@nizigamaviolette-ig9dl11 сағат бұрын
Neema Iko ilitutende Dhambi kupingana naneno la Mungu ni hatari sana
@ThomasMmary-r7w11 сағат бұрын
😢so painful pore pastor
@sarahgeorge445812 сағат бұрын
Ebwatupe na roho mtakatifu tujanzwe narotakatifu
@KoleYasini12 сағат бұрын
Hakika Allah si muhitaji..
@dianamutachuba136913 сағат бұрын
Amen
@agnesspaul186613 сағат бұрын
❤❤❤❤ kweli kabisaa
@tausimhando686614 сағат бұрын
Vipi kuhusu wanaonyoa mtumishi,maana Mungu ameumba nywele zikue alafu wao wanakata,vipi wanaovaa nguo maana tuliumbwa uchi,?
@AbeidkhalfanAbdalla16 сағат бұрын
Huyo anaongea nn jmn
@RaimamomedSaidi-wz1yu16 сағат бұрын
Ivi kumbe wasomali wapo wajinga wasosoma dini yao?na wasiokua na iman thabiti na dini yao?nliskia kua somalia waislam ni99% mbona huyu dada anachafua dini ya Allah?au kafanana tu na msomal?mbona maneno anayoongea na alivo tofaut?me nadhan ameanza kurukwa na akil huyo mpeleken klinik 😢😢😢
@ChrisantJohn-d3l17 сағат бұрын
Acha uongo
@CharlesMakasi-jp2hs9 сағат бұрын
Amesha zoea kutunga saana mwache
@leonardjoseph92117 сағат бұрын
Tungeni na ninyi, kama anatunga ushuhudie uongo wake
@HalimaDerua19 сағат бұрын
kweli njaa bora ingekuuwa Kuliko kuritadi
@Datiuspp20 сағат бұрын
Kweli kabisa kunena kwa lugha hipo kibiblia ila sasa hivi kuna maigizo mengi sana mpaka wengine wanamadarasa ya kufundisha kunena kwa lugha wakati kunena ni karama. Makanisa mengi ya kipentekoste yamekuwa na wauni wengi ili muladi wapate pesa ila kweli itaubiliwa watu mumujue Bwana Yesu Kristo kuwa ndiye Mungu wa kweli
@NdarusanzeLeonidas20 сағат бұрын
Wewe unaogopa Nini mbona unanitisha😮😮
@abubakarbwika839720 сағат бұрын
Ama kweli Wenda wazimu ni wengi !!!! Urongo mtupu !!! But hayo ni maisha yako !!! Uko na hirayi yakooo !! Sasa kwa nini uchaguliwe wewe !!! Binamu yako awachwe na huyo mungu ??!!! 😂😂 Mungu aliumba watu wote sio wewe peke yako !!
@RehemaMohamed-m6o20 сағат бұрын
Wamjua huyo yesu sura yakee? Msiba mkubwa
@Bénigne-k4x20 сағат бұрын
Ndio kabisa
@BigZhumbe21 сағат бұрын
Movie za kichawi zinazomtukuza Mungu mwisho ni za kiafrica tu watu ambao dini waliletewa ni wazungu, ukienda kwa wazungu wenyewe si lazima Mungu ahusishwe kwenye movie ya kichawi.
@HalimaMohamed-m7x21 сағат бұрын
Naisi wwe nikundi la wachawi
@yudachelango682422 сағат бұрын
Kwani lazima uambiwe mbona maandiko ndiyo yanasema hivyo, na wakristo wote wanajua hilo
@ibrahimgwasma122322 сағат бұрын
Hapo sikuelewi kabisa kwani Chaguo lako lzm liwe sawa na ya Wengine?
@BenjaminiSongoro22 сағат бұрын
We we umepotoka bado haujaokoka kabisa.
@fatumaminyeko1875Күн бұрын
Amen
@PolycapySilayo-g9wКүн бұрын
Kaka ubarikiwe, ila kuwa makini sana na msikilize Sana roho mtakatifu c unaijua kuzimu ila hasira na ww? Huduma yako inanibariki Sana,Bwana akulinde na hila za shetani.
@GggyJhh-y4xКүн бұрын
Waziii❤❤❤ Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@NapatNapat-x6iКүн бұрын
Pumbavu zako mshenzi
@RoselineNyachwayaКүн бұрын
Mm nilikanyagishwa na kunywa mafuta ee Yesu nisamehe na unikomboe
@CharlesMapunda-d5iКүн бұрын
Wanao kandia mtumishi watakua ni Wachawi au wafuasi wa Freemason au waumini wa mitume na Manabii wazee Mafuta ya upako na Maji ya upako yaani huwa hawataki kuambiwa ukweli zaidi ya kupenda kutabiliwa na kuoneshwa Mazingaombwe ndio wanakuona mtumishi wa kweli, ila ukiwakataza ndio utaishia kutukanwa