Пікірлер
@EdwinMwembee
@EdwinMwembee 42 минут бұрын
Tuponye baba
@OmaryRamadan-m8v
@OmaryRamadan-m8v 48 минут бұрын
Danganya haohao mapopoma wenzio wakrist watakuskiliza sababu washazoea kudanganywa ila kwa muislamu kweli huwez nitoa kwenye imani yangu alhamdullah kwakuzaliwa muislamu allah atujaali mwisho mwema wa maisha yetu hapa duniani🙏🙏🙏
@neutybebz3187
@neutybebz3187 Сағат бұрын
Ameeeeeen
@lusekelowilliam2068
@lusekelowilliam2068 Сағат бұрын
Anaitwa nani nimfollow?
@janerosejohn8373
@janerosejohn8373 2 сағат бұрын
Hubiri dhambi wakatoliki wanasali na dhambi madhabahuni, waokoke!
@Soph-h9t
@Soph-h9t 10 сағат бұрын
Kweli
@DeboraMuhindo-q7d
@DeboraMuhindo-q7d 10 сағат бұрын
Raja sana mungu awabariki
@KutlwanoMenoe
@KutlwanoMenoe 10 сағат бұрын
❤❤🎉
@DeboraMuhindo-q7d
@DeboraMuhindo-q7d 10 сағат бұрын
Usuri wa Africa kila fasi unaubiri ubarikiwe
@MuyaHappy-j8y
@MuyaHappy-j8y 12 сағат бұрын
Amen
@RabbitsFarmer
@RabbitsFarmer 13 сағат бұрын
Nilikua nadhani Katekela atapewa holy communion
@GodfreyLazaro-bu8cy
@GodfreyLazaro-bu8cy 13 сағат бұрын
Yaaani mim ni mchanga sana kiroho lakini huyu ndo mtumishi
@MarrySanjingu
@MarrySanjingu 13 сағат бұрын
Kweli MUNGU aitwe MUNGU
@NeemaDavid-o3j
@NeemaDavid-o3j 13 сағат бұрын
😭😭😭 uuuuui mungu tusaindie kukutumukia
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 14 сағат бұрын
Very true
@LavinaJoseph-ei2tv
@LavinaJoseph-ei2tv 14 сағат бұрын
Hao wanaobishana nawewe Amiel ni mafreemaso wengine mlingot chuma benders chuma songa mtumish wa mungu
@EmmanuelKaselya
@EmmanuelKaselya 14 сағат бұрын
Aa
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 16 сағат бұрын
AMINA KUBWA hallelujah
@WilsonElijah-g5p
@WilsonElijah-g5p 16 сағат бұрын
Amen mtumishi 🙏🙏
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 16 сағат бұрын
Amina hallelujah
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 17 сағат бұрын
📌Hata Kupaza kwako Saiti/Kutoa Mahubiri Hadharani ilhali wewe ni Mwanamke (Japo umesitiri kwa Kuvaa Mavazi ya Sitara/yanayokubalika na Uislamu) laskin ni miongoni mwa Ishara na Dalili tosha za Kiyama/Mwisho wa Dunia.
@SarafinaNyamvula
@SarafinaNyamvula 18 сағат бұрын
Amen ,may God bless you 🙏
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 19 сағат бұрын
Mimi ni mtu ninayekupenda sana na neno lako linanitia moyo, ila Ukiaanza mara ameingia cha kike ,haipendezi kabisa!
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 19 сағат бұрын
Mtumishi wa Mungu, Acha kuimba nyimbo za duniani hata kama unatolea mfano haina haja ya kuwataja watu wa duniani huku huku kwetu tunajitosheleza
@NeemaPeter-i5w
@NeemaPeter-i5w 21 сағат бұрын
Ameni mtumishi
@Elizabethbonarrimasese
@Elizabethbonarrimasese 22 сағат бұрын
Wewe ndio unajua kile anafundisha hakina maana,,kwetu kina aana labda wewe nimmoja wa hao ndio maana una mashaka
@marysabihi9931
@marysabihi9931 14 сағат бұрын
Kweli Yanatusaidia kuelewa mambo duniani, huyo anaepinga yasifundishwe tunamwekea alama ya kuuliza?
@HarunMchana
@HarunMchana 22 сағат бұрын
Na angusa Kila utawala wakisetani ambao umesimama kinyume na njia zangu kwamamulaka ya jina laYesu amen and amen 🙏🙏👋👏👏
@merrythadeo5318
@merrythadeo5318 23 сағат бұрын
Sio kila mama mkwe ni mbaya,wapo wengine ni wazuri tu.
@ramadhanjinassa4237
@ramadhanjinassa4237 23 сағат бұрын
Siku nikija Dar nitataman kufka kanisan kwako nipate maarifa zaid kam haya.
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 23 сағат бұрын
Ameni ❤❤
@RamadhanMarco-o5s
@RamadhanMarco-o5s Күн бұрын
Amina kabisa
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Күн бұрын
katekela FUNDISHA Neno la Mungu, achana na hayo mambo unayo FUNDISHA. AYANA faida YEYOTE.
@Katembo_Official
@Katembo_Official 11 сағат бұрын
Kwa hyo ww unayatumia?
@Monica-wu7lq
@Monica-wu7lq Күн бұрын
Upo sawa kaka
@Magnus-m-t2f
@Magnus-m-t2f Күн бұрын
Mtumishi hadi vital signs zipo sawa ❤
@Relaxationature
@Relaxationature Күн бұрын
Kwahiyo wote mnataka tuwe wachungaji
@EdinaMwailenge
@EdinaMwailenge Күн бұрын
Aaaaamen
@selestiniasenga
@selestiniasenga Күн бұрын
Roho Mtakatifu akuinue watu wengi waokoke na kufunguliwa.
@PauloAmos-k2f
@PauloAmos-k2f Күн бұрын
Wangapi tunazidi kubarikiwa❤❤ naneno la bwana yesu
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
@MaryMichaelMaryMichael-i7o Күн бұрын
Blessed promvover tv..mtumishi wa MUNGU. Pamoja na kaka jacktani the power of testimony
@MaaDii-iz3ur
@MaaDii-iz3ur Күн бұрын
Amen
@ScolasticaHaule
@ScolasticaHaule Күн бұрын
Kupitia mahubiri haya nimebarikiwa sana skukrani kwa neno zuri🙏🙏.
@Samuelmulawaviro
@Samuelmulawaviro Күн бұрын
Amen🙏 ❤❤
@Kingsalumoni
@Kingsalumoni Күн бұрын
Ameni
@jennysabina8696
@jennysabina8696 Күн бұрын
MUNGU atusaidiye san amen kubwa 🙏🙏😭😭
@Elizabethmuronji
@Elizabethmuronji Күн бұрын
Amen
@moseshaule586
@moseshaule586 Күн бұрын
Hata Dunia yenyewe ni madhabahu.. Aliye ndani Yenu ni mkuu kuliko aliye katika Dunia. Mtu wa Mungu unaweza kuingia popote na usidhurike.
@nevianvitalis1141
@nevianvitalis1141 Күн бұрын
Tangia nimeanza kukufaham Mtumishi wa Mungu Amiel.kuna kitu kikubwa Sana nimejifunza .. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki zaidi
@PeterKimani-we3up
@PeterKimani-we3up Күн бұрын
Mungu wa azekiali amlinda amen 🙏
@Kingsalumoni
@Kingsalumoni Күн бұрын
Amen
@MarryJuma-g2s
@MarryJuma-g2s Күн бұрын
Amina