USHUHUDA WA MTEULE WA MAJINI | Part-2 final

  Рет қаралды 6,091

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Ni sehemu ya pili na ya mwisho ya simulizi ya kweli kwa jina ushuhuda wa mteule wa majini.Asante kwa kufatilia

Пікірлер: 26
@polinepoline2863
@polinepoline2863 6 жыл бұрын
Shetani hamkaribii mtu anaye mwomba yesu wa ukweli.point taken pray without ceasing.mungu abariki program hii
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 5 жыл бұрын
Jina la yesu ni ngome imara wenye haki ukimbilia wakawa salama
@isabelabakana7067
@isabelabakana7067 6 жыл бұрын
God is good... All the time
@remmymhalla3323
@remmymhalla3323 4 жыл бұрын
Jaktan Msafiri Ubarikiwe sana kwa Kazi nzuri. Ila mimi nakwazika unaporukisha baadhi ya mambo muhimu kama majina ya Makanisa ya Kishetani na Mapastor wake. Wewe hutaki tusikie kwa nn Jactan. Acha mtu atoe Ushuhuda wake acha kurukisha maneno. Acha tuwaaibishe hawa watu wa shetani Jacktan. Acha maneno yote ya mtoa shuhudu tuyasikie yote watu Waokoke. Kwa shuhuda nyingi ulizotuletea tumejifunza HATUMUOGOPI SHETANI TULIO WA KRISTO YESU. THANKS.
@hassankombo4475
@hassankombo4475 4 жыл бұрын
Kila kitu kina mipaka yake kaka , zipo dini ambazo zimepotea lakini hauwezi kuzitaja ila zaidi ni kuwaombea ili mungu awafungue maneno ya mungu yanasema niiteni nami nitawaitikia na nitawaonesha makubwa msio jua kwaiyo kama unataka kuyajua muombe mungu na atakujulisha
@remmymhalla3323
@remmymhalla3323 4 жыл бұрын
@@hassankombo4475 Kama kuna MTU anaenda sehemu ya hatari inabidi aambiwe kwamba humo kuna hatari sio kumuombea wakati Mungu anahitaji wewe umueleze. Coz wewe unajua ukweli.
@hassankombo4475
@hassankombo4475 4 жыл бұрын
@@remmymhalla3323 kupitia hili kila mtu ajitasmini na kuomba mungu aoneshwe kama sehemu aliopo ni sehemu sahihi kwa kufunga na kuomba mungu atakuonesha, kila mtu atafunguliwa kwa wakati wake utayajua tu kama utaka kuyajua ila hawezi kuyataja kama hajafunuliwa kuyataja
@hassankombo4475
@hassankombo4475 4 жыл бұрын
@@remmymhalla3323 muulize mungu atakuonesha
@remmymhalla3323
@remmymhalla3323 4 жыл бұрын
@@hassankombo4475 Umesema Vema. Barikiwa na Mungu.
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 4 жыл бұрын
Asante sana dadangu Mungu akubariki kwa ushuhuda wako na pia ndugu zangu tunapaswa kusimama na Mungu kweli kweli pia tuwaombee watoto wetu kila wakati tuwafinike na damu ya Yesu kristo ili wawe na ulinzi
@latefaafreca5486
@latefaafreca5486 6 жыл бұрын
Asante sana Abigael kwaushuhuda umenijenga kiroho namungu akulinde siku zote za hapa duniani Amem
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 6 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri.... Jesus is higher than the highest
@daviddavid-gq8zp
@daviddavid-gq8zp 6 жыл бұрын
Ahsante sana! Abigail God bless you for mighty name of Jesus Christ!
@gbonetz2120
@gbonetz2120 5 жыл бұрын
Makanisa tungependa tuyafahamu kaka mbna umekata kata maana twaweza ata cc au ndugu wa Karibu wakawa wauminiii cehemu icyokuwa sahihiiiiiii.... Na lengo la USHUHUDA N kujifunza...
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema,tufanye maombi sana,kwani Mungu anawapenda waja wake.tumuamini yeye.07.03.19.
@wilsonmapesa798
@wilsonmapesa798 6 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@PromovertvTz
@PromovertvTz 6 жыл бұрын
Ameen
@glorygunda8887
@glorygunda8887 4 жыл бұрын
Mmmh ungeacha tu tusikie hayo makanisa tujiepushe nayo
@michaelassam5789
@michaelassam5789 6 жыл бұрын
Kaka ungeacha hayo makanisa yatajwe. Kama umeamua kupigana vita vaa silaha zote na simamia ukweli wote. Hii Chanel haina maana kama ukweli unauficha. Tafakari
@pericykiko6198
@pericykiko6198 5 жыл бұрын
Wanamtetea shetani, acha aseme watu wasaidike bana
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 5 жыл бұрын
Michael Assam kuna sheria zinawabana
@lusekelomwinsasu318
@lusekelomwinsasu318 5 жыл бұрын
@@gloriaaugustino8031 sheria gani wanakataa tu lakini haisaidii kitu kuficha uovu wangetajwa ili giza liwatoke
@hassankombo4475
@hassankombo4475 4 жыл бұрын
Uelewa wako mdogo kaka pole we usiangalie angalia chaneli nyingine amna ataekulazimisha kusikiliza we ukitaka uyajue muulize mungu nae atakuonesha, kwasababu akitaja unajua yatakayo tokea coz kwanza hawa manabii fake ni watu wenye pesa mnaweza mkakosa ata ushaidi mahakamani mkafungwa
@monikamoniq6921
@monikamoniq6921 5 жыл бұрын
Wapi yule kaka mvuvi amepatikana?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 5 жыл бұрын
bado
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
I Spent 100 Hours Inside The Pyramids!
21:43
MrBeast
Рет қаралды 44 МЛН