Ndiomaana mimi uniambie uchaguzi au kuchagua mwaka huu, ila hongereni kwa hatua mlio Ichukua hamnadeni mbele za Mungu.
@MarryMwamwezi54 минут бұрын
Asantee mahakama Kwa tamisemi uchaguzi. Wanaokata rufaa wakateee
@matiredms917Сағат бұрын
Mtangazaji acha ushabiki. Hili siyo la kusema Tamisemi yaibuka kidedea. Maslahi ya Wananchi hayawezi kufyekuzwa na mahakama zinazopotosha HAKI ili kufurahisha Watawala. Waandishi wa Habari muwe sehemu ya Wananchi badala ya kushabikia mambo ambayo yanafifisha haki na utawala wa sheria.
@VenaElikiСағат бұрын
🎉yaan hii nchi watoto na wajukuu zetu watakuja kuyachapa makaburi yetu kweli sisi ni mapoyoyo
@mfwimiekayuki86922 сағат бұрын
Pole Tanzania.
@EliaoniTerryСағат бұрын
Waziri alikuwa anatunga na kusimamia kanuni na kusimamia uchaguzi kulikuwa hakuna sheria ya tume huru ya uchaguzi, BUNGE LILIACHA KUFUTA SHERIA KWA MAKUSUDI. ILA WANANCHI TUTAJUA CHA KUFANYA.
@kalebphilip34263 минут бұрын
Ni muda wangu mwafaka wa kustaafu kupga kura Tanzania iwe uchaguz wa serikali za mitaa au uchaguz mkuu
@JosephIsanzu-g1rСағат бұрын
Haki iko Kwa mungu pekee.
@richardnganya23112 сағат бұрын
Jaji ameteuliwa na yule aliyeteua Waziri. Katika Mahakama ya ndege,mshtakiwa au mlalamikaji akiwa panzi hawezi kushinda shauri lake !! Bila Katiba imara kama ile Rasimu ya Katiba ya Warioba mambo yataendelea kuwa hivyohivo bila ufumbuzi.
@AnnaFelix-p1z23 минут бұрын
Jamani mahakama inashikiliwa na laisinye mnafikili tunaweza kutobowa
@ephraimsaimon3125Сағат бұрын
Serikari n Ninitamisemi ni Nini na mahakama ni Nini ondoa neno wanainchi.
@Kazera-y2w6 минут бұрын
Vip mwambukusi nae kalamba asali zile kelele hatuzisikii kwenye hili
@zephaniachibaya28942 сағат бұрын
Hapo nisawa nimekuelewa mwanasgeria WA serikali uko vizuri
@deniseliuter30022 сағат бұрын
Kuandika tuh ni shida
@FloridaAdelinusСағат бұрын
Sheria ilitungwa ili ifanye kazi gani?!!!!!! kuharibu karatasi na wino na kumchosha mchapaji.😡😡😖
@DesderusMrosso-oh5dz49 минут бұрын
Sijaelewa mahakama Haina mamlaka katiba inasema mahakama ndio chombo chenye mamlaka ya juu sijamuelewa jaji kapigiwa sm kweli tatangamia jaji hana wajukuu
@zakaria924Сағат бұрын
Mtajua mlikuwa hamjui, hizi ndizo Mahakama za Bongo!
@rizwankiaze9264Сағат бұрын
Watafanya yote lkn siku ikifika watatoka wenyewe chawa wakipungua
@FloridaAdelinusСағат бұрын
NAFIKIRIA MUDA NA POSHO ZA KUTUNGA SHERIA YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI🤣🤣😄😃😌
@TomasiklistophaMwinukaСағат бұрын
Nyie mawakili waselikali machawa tu hizo sheria simmeona kunamaslai yenu
@BarakaveresiСағат бұрын
Mahakani hakunaga tena muhimili1 umemeza miimili mingine
@samsonsamwel87822 сағат бұрын
😢😢😢😢
@HamisiSamweli58 минут бұрын
Mahakama ni ya rais Je Wangepingaje😂😂😂 Piga kura yako cdm Okoa bandari
@zephaniachibaya28942 сағат бұрын
Nimekielewa mwasheria WA serikali
@rizwankiaze9264Сағат бұрын
Simu moja tu lzma ushinde
@SelfathumanMisere-te6kgСағат бұрын
Watanzania hatutapiga kura hakuna haki
@harounmaarufu3241Сағат бұрын
Mlitegemea nini
@EmanueliWildausoni2 сағат бұрын
Shida nyingne ya nchi yetu wananchi mambo ya muhim kama hayo hata hawaoninkuwa niyafwatilia na kutoa maamuz yan kesi hiyo hiyo ingekuwa kenya hahaa ila tutafk tu
@harounmaarufu3241Сағат бұрын
Haki ikwa mungu
@rebekakulwa61592 сағат бұрын
Haina meno ni maelekezo tu
@leokamil62842 сағат бұрын
Kama kawaida yaani kumeoza
@ZaidAKissinzaСағат бұрын
Nilisema mtapigwa na kitu kizito au sikusema? haya bhana