MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO

  Рет қаралды 48,170

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 312
@mengindegeya2780
@mengindegeya2780 8 күн бұрын
Neno la mungu linasema ukiuua kwa upanga na wewe utauliwa kwa upanga mungu walio fanya hivo mungu shughulika naoooo!!!!!!!!!!!!
@aaronswai3092
@aaronswai3092 8 күн бұрын
Ni kweli kwa zaidi ya asilimia 300%. Ni kitu cha kusikitisha sana watu wanaweza kufanya huu upumbafu katika nchi yetu hii. Hakika kama Mungu aishivyo waliohusika kwenye jambo hili Mungu ashughulike nao!
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 8 күн бұрын
tufanyeni maombi ya kitaifa hata kama ni kufunga tufunge wahusika mungu awaangamize na familia zao na vizazi vyao .
@marieconnect6389
@marieconnect6389 8 күн бұрын
Jeeeesus of Nazareth. Poleni sana familia. Leo kwenu kesho kwa wengine, hatujui nani anafuata ee Mungu wetu tuokoe.
@Salhamohamedimwampagatwa
@Salhamohamedimwampagatwa 8 күн бұрын
Pole sana mboe nakupenda sana unaekima nabusara babaangu mpedwa nakukubali nasa sana nilikua natamani sikumoja nikuone uso kwauso ila aito wezekana ila naitaji nikwambie mboe nakupenda sana unahekima sana babaangu mungu akubariki sana baba napoleni sana kwamsiba mzito
@lomnyakijames6856
@lomnyakijames6856 8 күн бұрын
Nakupenda pia mwanangu nitamtuma katibu mkuu akufikishie salam zangu,je una kadi ya chadema au ni upendo wa agape tu? 😂😂
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 8 күн бұрын
dah wee umeongea vyema sana kwa upole na hekima. Mungu wtu Akubariki na kukufunika.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 8 күн бұрын
Mungu wetu uko wapi? Tusaidie baba yetu. Usituache wenyewe kwenye kiza hiki kinene hatuoni njia. Huzuni kuu na machozi yametufumba macho watoto wako. Mungu wetu uko wapi baba? Tuokoe
@yesgood3491
@yesgood3491 8 күн бұрын
Uhai wa mtu ni zawadi ya Mungu Kwa mtu,ukiutoa uhai wa mwenzako HAKIKA Mungua hatakuacha uishi na HAKIKA maisha yako utamaliza kwa mateso ya zaiid uliowaua na JEHANAM ni yako milele. Nawaomba watekaji ACHENI MARA MOJA, Kisha tubuni kwa Mungu ,Muokokoke.
@Hopesone
@Hopesone 8 күн бұрын
Mwenye nguvu ndio anasavaivu pekee tupo kama kuku bandani alafu serekali inatwambia amani ipo hakuna amani!! Naogopa mimi
@cyprianpetetmbonde6374
@cyprianpetetmbonde6374 8 күн бұрын
Huo ni upumbavu wa halo ya juu. Mwenye maamuzi ya maisha mwanzo na mwisho ni Mungu pekee na sio takataka nyingine.
@aaa64sa13
@aaa64sa13 8 күн бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun
@user-to7bs5pl4n
@user-to7bs5pl4n 8 күн бұрын
Namimi ni SHAHIDI siogopi KUFA Nina MIAKA 63 yatosha acha nitete wasiuawe wengine zaidi Mungu atusaidie
@user-je2om4dp7c
@user-je2om4dp7c 7 күн бұрын
Mwenyezi mungu atulehemu kwa hili linalo endelea sasa nchini kwetu poleni sana ndugu familia na jamaa mliofikwa na hili lai yangu nnaimani selikali itasimama madhubuti kwa hili tukio
@AbdallahShaabani
@AbdallahShaabani 8 күн бұрын
Tanzania haipo kwenye mikono salama yaani watu wanauwawa hovyo hovyo inatisha sana😢😢😢😢😢
@OmaryMwigula
@OmaryMwigula 8 күн бұрын
Allah ni hakimu wa haki na hasinzii wala hachoki anaona dhuruma hii ipo siku
@samwelitangasi9580
@samwelitangasi9580 8 күн бұрын
Mungu amrehem kiongoziwetu nduguyet babaetu amina
@DullahMasaaUncleeDullah
@DullahMasaaUncleeDullah 8 күн бұрын
Innalillah wainna ilyhi rajiun Allah ampe qauli thabit Shahid huyu, Hawa wasomewe albadiri wote waangamie
@lovoisaing2007
@lovoisaing2007 8 күн бұрын
Jamani inabidi tuwe kama Kenya tupinge maovu katika nchi yetu!!!
@simongwandu7392
@simongwandu7392 8 күн бұрын
@@lovoisaing2007 usicheze na dola utaumia bure
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er 8 күн бұрын
​@@simongwandu7392 hadi yakukute au ndani ya familia yako KENGE MAJI MMOJA WEWE
@RobertMushi-ic1gc
@RobertMushi-ic1gc 8 күн бұрын
Ni vyema ukitumiaa hekima kablaa hujazungumza🙋
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 8 күн бұрын
Wajinga tu ndio watakupinga
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 8 күн бұрын
ila sie Tanzania tumewabeza sana Kenya, lakini wao waliona wamevumilia mpaka ikafika mwisho ndo wakaingia kitaa. Ila tumuombe Mungu sie tusifike huko na hali iwe shwari na ndugu zetu au sie kutokutekwa. nchi yetu ni ya amani na Mungu mwema siku zot ndug yang
@marieconnect6389
@marieconnect6389 8 күн бұрын
Ee mungu wetu tusaidie tuepushe na kikombe hiki. Kama unependezwa na haya baba aubkamaumepanga wewe basi mapenzi yako yatimie. Lakini kama ni mapenzi ya binadamu basi baba niko chino ya miguu yako naomna utends jambo la kuonekana baba, tunajua unaweza. Tuhurumie baba tuokoe. Hali hii inatisha sana.
@charlesmambya6759
@charlesmambya6759 8 күн бұрын
Daah!!😢😢inaumiza sana.
@YoabuChengula
@YoabuChengula 8 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu
@DerickEdson
@DerickEdson 8 күн бұрын
Mungu yupo acha waendelee kuyafanya haya
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 4 күн бұрын
Hapa Umeongea kwa hekima na utulivu sana. Ni sahihi uliyoshauri.
@EliaHiluka
@EliaHiluka 8 күн бұрын
Watanzania tusitishwe Mungu atatushindia kwa dhahiri
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 8 күн бұрын
Nimeumia Sana dah japo mzee wa watu nilikua simjui hila aina ya unyama huu mmmh Mungu yupo atajibu muda c mrefu
@RobertMaarifa
@RobertMaarifa 8 күн бұрын
Nalahan.tukio.hilo.la.utekaji.mungu.awapige.wote.waliomteka.kwa.jina.la.yesu
@ChristerKoku
@ChristerKoku 8 күн бұрын
Jamani,jamani baba wa watu nini aliwakosea binadamu tumefika pagumi.Pole Mbowe,pole familiya pole taifa zima.mungu tufute machozi.
@hawahussein9055
@hawahussein9055 8 күн бұрын
Mungu atusaidie tunaishi kama wanyama wanaowindwa kwenye nchi yetu duuu jamani
@gadiellaizer2051
@gadiellaizer2051 8 күн бұрын
Too polite message mr chairman..hii haitakiwi kuongelea kwa mtindo huu.tunahitaji maagizo mr Mbowe..nooooooo this is too much..tufe milioni wabaki salama mamilioni man
@EmanuelMbandi
@EmanuelMbandi 8 күн бұрын
Huyo mzee anawatoto inatakiwa watoto waende kwa mtaaramu kwanza huko tanga wapo kibao au kigoma au Sumbawa ga ote walio husika nywekelea mbal
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 8 күн бұрын
Hata mm naunga mkono
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 8 күн бұрын
@@user-eb3hf1lm9e tunamuachia mungu mpk tunachoka jmn
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 8 күн бұрын
Nikweli
@jumamchina9038
@jumamchina9038 7 күн бұрын
Inna lilah wa inna ilaih Rajiu'un. Kama kweli ameuawa, wahusika walaaniwe na wakamatwe wafikishwe mahakamani, huu ni unyama wa hali ya juu. Tumuogope MUNGU ndugu zangu hapa Duniani tunapita tu! Ipo siku nasi tutakufa, tutaulizwa na tutahukumiwa kwa yote tuliofanya hapa Duniani.
@frankraphael7546
@frankraphael7546 8 күн бұрын
Samia achia nchi imekushinda mbona Zanzibar awatekwi tumechoka
@ridhiwanimtaita4439
@ridhiwanimtaita4439 8 күн бұрын
😢😢😢 inasikitisha kwa kweli
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 8 күн бұрын
Mungu kweli upo kama kweli upo naomba naomba kimtokee kama Kilcho mtokea Falao au filaun
@user-bn2bc1zi6e
@user-bn2bc1zi6e 8 күн бұрын
Mh! Inauma sana
@nicolausisaya
@nicolausisaya 8 күн бұрын
Mungu anataka kuwaumbua watu nyie subirini kuna siku inakuja Mungu atageuza dunia hii
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 8 күн бұрын
Poleni Sana!, hao nao wata kufa tu, ni suala la muda tu!, hivi hii ni Tanzania kweli au ni nchi tusioifahamu!, Tumefikia huko kweli?.
@yesgood3491
@yesgood3491 8 күн бұрын
Inaumiza,kisiwa kilichokuwa na amana Leo ardhi take badala ya kunywa mvua inakunywa damu za watu,hakika ni uchokozi Kwa Mungu.
@EVALSTIGNONDOA
@EVALSTIGNONDOA 8 күн бұрын
Ivi mbona rais yupo kimya jaman ccm mnasikitisha sana au kwavile alie uwawa ni wabala sio mzanzibar inauma 😢😢
@feruzmato4422
@feruzmato4422 7 күн бұрын
Hii serikali Mungu ataipiga vibaya kuliko serikali yoyote Ile iliyowai kuwepo wakatubu haraka kabla adhabu ijafika adhabu ya Mungu aizuiliwi na mtutu wa bunduki.
@SamuelLainzar
@SamuelLainzar 8 күн бұрын
Ila mama iyo damu uliyo wa ruhusu watu wako wamwage n a upo kmy ipo siku tutamzika abduli kama tunanyo sika hawa😢😢
@kisinza6077
@kisinza6077 8 күн бұрын
Mh. F. Mbowe, hapo hakuna haki itapatikana zaidi ya uhai uliozimwa kikatili. Mungu anisamehe Mimi pengine nawaza dhambi bila kujua😭😭😭😭😭
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 күн бұрын
Mungu weeeeeeeeeenini hiki kinafanyika Tanzania
@chikujuma18
@chikujuma18 8 күн бұрын
😢😢😢😢 inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zenu wote jaman tunaelekea wap kwa sasa serikali mko wap jaman mbona tunauwawa kinyama mtu hadi kumwagiwa tindi kali kwa kosa gan ewe mola wetu tusaidie
@user-bf9xj3nf1o
@user-bf9xj3nf1o 7 күн бұрын
Naomba nimuulize samia na abdul je wanajuwa kama watafariki samia samia samia unaroho ngumu mungu anakuona
@JacksonBiyaga
@JacksonBiyaga 8 күн бұрын
MUNGU wetu tunakuomba utukumbuke , utunusuru katikati ya mateso na mauaji haya yanatekelezwa na utawala huu dhalimu usio na hofu ya Mungu .
@GraceKazi-z8d
@GraceKazi-z8d 8 күн бұрын
Viongozi wa dini mko wapi!?? Tanzania inalia, mko wapi jmniii! Watanzania Tunalia eeeeee Mungu stopisha hiii hali inatuumiza sana watanzania.
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 8 күн бұрын
Da inauma sana
@BahatiIsangu
@BahatiIsangu 8 күн бұрын
Utasikia mbwa wengine wanasema eti wanajiteka wenyewe hao hii nchi tunapoelekea itakuwa kongo
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 7 күн бұрын
Mungu ni Mungu tu..
@AdabertChilumba
@AdabertChilumba 8 күн бұрын
Naomba mashekhe wachungaji na mapadre wafanye dua maalumu ili wote wanaohusika na kazi hiyo ya utekaji na mauaji Mungu ashughulike nao maana sheria ya nchi yetu haiwezi kutoa haki kwasababu wanaosimamia sheria ndiyo wahusika wakuu wa matukio hayo Mungu pekee ndiyo anaweza kuhukumu
@AndrewBakari
@AndrewBakari 8 күн бұрын
MUNGU waabishwe wafedheheshwe warudishwe nyuma wanaofanya ukatili huu😢😢
@SHUKURUMahiki
@SHUKURUMahiki 8 күн бұрын
Mbona hii kitu inaumiza kwa nini chadema tu dah
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 8 күн бұрын
Wewe unaona chadema tu acha uchawa!!! Ujawahi sikia katibia kila baada ya siku kadhaa anaokotwa mtu kauawa au katekwa wakiwema watoto😓😓😓
@SHUKURUMahiki
@SHUKURUMahiki 8 күн бұрын
@@mamboshepea8888 mbona unatoa mapovu au na wewe unahusika uchawa wa nini bwege nini
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 8 күн бұрын
@@SHUKURUMahiki Nakushangaa ukisema ni chadema tu ndo wanaotekwa wakati nchi nzima imejaa vilio vya watu kupotea wakiwemo watoto!!! Na watoto wadogo nao ni chadema??!!!😢😢
@SHUKURUMahiki
@SHUKURUMahiki 8 күн бұрын
@@mamboshepea8888 huyo mzee waliemteka juzi kwenye basi akienda zake kwao Tanga na jana kakutwa amekufa ni wa chama gani kama si chadema na watekaji wameonekana hadharani na watu wanawaona ndugu
@johnkatte5098
@johnkatte5098 8 күн бұрын
Ila hii nchi,hii nchi, hii nchi!!! haya Mungu halali
@LinusMbwiga
@LinusMbwiga 7 күн бұрын
mboe kuiachia sheria ni sawa na kumwachia Mungu ndugu wasome albadili wahusika wote na wao yawakute
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 8 күн бұрын
Poleni sana inauma Mungu atalpa
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 8 күн бұрын
Jaman haya mpaka lini. Ila msilipe kisaa Chadema ni ya haki
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 күн бұрын
Kwani kosa lake nini hasa Siasa tu eeeee Mungu ukatili huu kibokoooooo
@stellamiyombe6117
@stellamiyombe6117 8 күн бұрын
Nikweli uyu baba tumemshuhudia masikini nimemuona huyu baba masikini jamani kaaaah
@Eliasmarwaturuka
@Eliasmarwaturuka 8 күн бұрын
Tanzania haina amani
@paulojohn-bh2vz
@paulojohn-bh2vz 8 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢mbn ni mtihani Police sahivyi wamekuwa ni watu wakuwadhuru raia badala yakuwalinda abiria mimi sikubaliuwiiiiii mama samia hili jambo unalijua ww sio bure
@tanzanite9944
@tanzanite9944 8 күн бұрын
Umejuaje ni Polisi na sio Majambazi? Usiamini vitu vya Mbowe vya kuhisi
@samkitwima7933
@samkitwima7933 8 күн бұрын
​@@tanzanite9944kama hayakukuta nyamaza mpumbavu wewe. Watu wangapi wamepotea?? Kwani kazi ya uchunguzi wa haya mambo?? Kw nini hakuna taarifa maalumu. Au majambazi wamewazidi akili police siku hizi. Kenge ww
@JacksonBiyaga
@JacksonBiyaga 8 күн бұрын
Yanayofanywa na utawala wa CCM, ni aheri ya utawala wa mkoloni wa Kizungu.
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 8 күн бұрын
Poleni
@meshackmpalanga9130
@meshackmpalanga9130 8 күн бұрын
Pole sana kwa maumivu ya msiba wa ndugu yetu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 күн бұрын
Mbowe anamchango mkubwa sana kuilea CCM. Asingeingia maridhiano na CCM.
@rizikiminga3010
@rizikiminga3010 8 күн бұрын
Chama cha mafisadi CCM, chama cha makafili CCM, chama cha majambazi CCM, chama cha majangili CCM, chama cha mauaji CCM😢😢 Inauma sana WATANZANIA TUAMKE TUMELALA SANA, KIUFUPI BADO WATU WENGI BADO HAWAJAJITAMBUA😢
@tanzanite9944
@tanzanite9944 8 күн бұрын
Ujinga unakumbua…
@MUSAHAMISI-ke9qx
@MUSAHAMISI-ke9qx 8 күн бұрын
Inallilah wainahillahi rajiun
@cassianyapesa5406
@cassianyapesa5406 8 күн бұрын
Hii noma sasa
@SebastPolepole
@SebastPolepole 8 күн бұрын
Huo ni msiba wa kitaifa poléni sana Mungu akupe wepesi mwenyekiti wangu
@EliaHiluka
@EliaHiluka 8 күн бұрын
Sawa kabisa Mzee mbowe
@user-gd8cx2ig9p
@user-gd8cx2ig9p 8 күн бұрын
😢😢😢natetemeka hata sielewi nina shida gani . Mungu atuangalie kwa jicho la nne maana la tatu ndio hili😢😢
@kuryatvfilm1161
@kuryatvfilm1161 8 күн бұрын
Tubuni na kuamini injili maana ufalme wa mungu umekaribia
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 8 күн бұрын
Poleni sana
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 8 күн бұрын
Hii imeniuma kupitiliza mimi sina ushabiki wa chama ila kwa hili sijawahi kufikilia kwamba taifa hili tutafikia viwango hivi kweli sasa tunamchokoza mungu alietulinda miaka 60 sasa viongozi wa dini itisheni maombi ya kufunga na kuomba msingoje makanisa yavunjwe ndio muitishe maombi tuombe jamani hii damu inayomwagwa sio ya mbuzi damu ya mwanadamu tukimlilia mungu atajibu maombi tusisubili yawe makubwa
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 8 күн бұрын
Amina
@Ahmedseif-l5g
@Ahmedseif-l5g 8 күн бұрын
ccm hao
@MaguguStore
@MaguguStore 8 күн бұрын
Drama za mbowe hizo
@Ahmedseif-l5g
@Ahmedseif-l5g 8 күн бұрын
@@MaguguStore lissu pia ilikua drama zamboe?
@ellenirelli4912
@ellenirelli4912 8 күн бұрын
​@@MaguguStoreAkili kisoda
@SamweliHozza
@SamweliHozza 8 күн бұрын
Ninauhakika , Kuna watu wanajiona wamefika malipo nihapa hapa wanaofanya hvo wote watapotea kama wanavopoteza watu
@bernadetamushi
@bernadetamushi 8 күн бұрын
Jamani viongozi wa Dini kemeeni hili jambo. Hata watoto wanapotea sana. Watanzania tumeisha. Mungu tuokowe😢
@CalistiNicetas
@CalistiNicetas 8 күн бұрын
Mimi ningemshauri raisi ajiusulu. Nchi imemshinda
@RaphaelMbughi-n1g
@RaphaelMbughi-n1g 8 күн бұрын
Mungu anawaona maana Bunge halina sauti
@frankjohn8706
@frankjohn8706 8 күн бұрын
Watu wema tumuombe Mungu ili Hawa wahusika wote wakatiliwe MBALI bila kuharibu utulivu wa INCHI jambo hili lifanyike kwa upanga wa MALAIKA MIKAELI na tuseme wote AMINA
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 8 күн бұрын
Watanzania tubadilike,maneno matupu wameshayazoea
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 8 күн бұрын
Njia ni wananchi kupinga kwa umojaaaa... Bila hivyo watanzania mtalufaaa mmoja mmoja.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 8 күн бұрын
Dah. What's going on?
@FikiriniMwaluko
@FikiriniMwaluko 8 күн бұрын
Mimi jamani😭😭😭😭😭je tuwe hivi Nchi nzima 🤐🤐🤐kasolo hawa.............!!!? Sielewi mimi
@yudatadeimdoe9215
@yudatadeimdoe9215 8 күн бұрын
Duuu, asee mchana kweupe kweli ao watu wasijulikane jaman😢😢😢😢
@michaelmwambije3603
@michaelmwambije3603 8 күн бұрын
Samia Samia Samia mungu ndo mwamzi
@matukutajuma156
@matukutajuma156 8 күн бұрын
RAIS HUYU DADA HUYU MIMI NAAMINI KAMWE HAWEZI HAWEZI KUTOA MAELEKEZO YAFANYIKE MAUWAJI KWA MASLAHI YAKE! MUNGU ANAJUWA! RIP BRO!
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d 8 күн бұрын
Pole familia
@billwaltermbilinyi2055
@billwaltermbilinyi2055 8 күн бұрын
So sad
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 8 күн бұрын
This is sad.poleni familia 😭😭😭
@AbrahamJacob-i7o
@AbrahamJacob-i7o 8 күн бұрын
Mungu simama kwenye wakati huu mgum
@raysonngowi4679
@raysonngowi4679 8 күн бұрын
Mungu nisamehe kwa ninachowaza juu ya hawa watekaji,
@TimotheoKanjwel
@TimotheoKanjwel 8 күн бұрын
MUNGU awaitiye ngufu familia ya marhemu
@mbismarckredpenperfect4380
@mbismarckredpenperfect4380 7 күн бұрын
Ni jpm tena na watu wasio julikana😂😂😂😂 Muda ni rafiki mwema Tumuombe Mungu sana Taifa taifa taifa
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 8 күн бұрын
anae fata atujui nani mungu tulinde na balaa ili
@Anton-t5c2w
@Anton-t5c2w 8 күн бұрын
Mwenyekiti tuhimize tufanye
@JacksonBiyaga
@JacksonBiyaga 8 күн бұрын
Utawala wa CCM na Serikali yake ni zaidi ya UDIKTETA.
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 8 күн бұрын
Kwa nini viongozi wa dini msisimame na kufunga kwa maombi na ikibidi na kanzu nyeusi zivaliwe,naamini Mungu ni mwaminifu atashughulika na mmoja mmoja kwa kadri alivohusika.
@bunzaristeven5772
@bunzaristeven5772 8 күн бұрын
Viongozi wa dini Ipi? Hawa wanaokesha kukusanya kila aina ya sadaka kwa masikini?
@JfourHumbi
@JfourHumbi 8 күн бұрын
Wanafiki hata kukemea TU hawawezi 😊
@JfourHumbi
@JfourHumbi 8 күн бұрын
Mtumishi kama mwamposa hawezi hata kukemea TU utafikili hawaoni ujambazi na uuwaji inauma sana
@ThadeoJohn-ds6sg
@ThadeoJohn-ds6sg 8 күн бұрын
Daa inauma sana sana
@JacksonBiyaga
@JacksonBiyaga 8 күн бұрын
Hivi ! Sisi Watanganyika ni nani aliyeturoga? Tunashindwa je kuungana na kuchukua maamuzi magumu dhidi ya chama dhalimu cha CCM ambacho kimetugeuza Watanganyika kama wanyama pori wawindwao na kuuawa bila huruma.
@daudkondo4069
@daudkondo4069 8 күн бұрын
Nyie kina mbowe hakuna mahakama za kimataifa zinazoweza sikiliza haya malalamiko
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 күн бұрын
Haya mambo jmn ni hatar sana. Duh, sasa nani yuko salama?
@Hopesone
@Hopesone 8 күн бұрын
@@edisonpeter3894 hakuna anaye jua salama yake iko wap lakini tunalazimishwa kuwa inchi salama wananchi hatuna wakumwambia tunaowategemea watered haki zatu wanyonge tuna hofu nao hatuko salama
@YahayaChima-ji7dk
@YahayaChima-ji7dk 8 күн бұрын
Hivi tuko Tnzania ambayo naifahamu? Wallah siamini tunakoenda ni kubaya sana sijui waziri wa ulinzi ana kazi gani jamani tuchukue maamuzi magumu nawasifu sana wakenya hakika inaumiza sana Watanzania
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 64 МЛН