Huu wimbo ulikua kama signature (kibwagizo) wakati Channel 5 ilitokea. Mtamu kweli. This introduced me to Bongo Music. Mad love from 🇰🇪
@RioIpo Жыл бұрын
KAMA UNATAKA DEMU. _______________________ "Kama unataka demu" Sema unataka awaje-awaje "Kama ukienda boogie" Ungependa atokeaje-atokeaje "Marashi itakuwaje" Angenukiaje "Na akiwa mtaani" Ungependa atokeje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 1: ----------- Ndiyo nataka demu Lakini tuanzie makumbusho Awe mfano wa Fifi Madada zangu waitwe wifi Siyo Nkinde siyo Leyla Mtaa wao Miyeyusho Simtaki fulani amri ndefu Ndiyo wa leo na kesho Siongopei Phat Pham Nimefull zaidi watapeta Belinda na Moza waki-realize Vipi watadata Jadida la Lydia Wabakie vikono nikipita Sina habari na Naomi wala Salama Vile walinitesa Ndiyo kisa cha kutompenda Koku wala Septou Mwambie Samira amtoe Kachichi Ni washkaji tu Rose na Mariam mapacha Nisije nikachanganya Ni sawa na Esther na Suzie Wa maghorofa ya Bima Bora nitoke Makumbusho Niende zangu K Nyama Kwenye Watoto wa geti Kali Baba Mama tajiri Kama Miriam Hassan Nusu mbongo nusu Msomali Nakwenda kumpa dili Akinata nageuza gari Nikaendelee na Sinza Mbezi mpaka Kunduchi Herieth wa Sinza Mbezi Shakira Tamoh Kunduchi Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje We njoo makumbusho Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 2: -------------- Sasa nakwenda kwenye majina Na heshima mahsusi. Kama mfaudhia, Jodity, Domina au kama Hoops. Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya.? Nadhani Mamiss Hawataniona tena mimi mbaya Ila awe Mkweli Siyo mambo ya Miss California Awe kama Sister J Mweupe kama Eugenia Naomba radhi Niliowataja naomba msiwe na kinyongo Mimi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo Tukisema mtoto wa tajiri Mimi namchagua Regina Tukisema Model Ni Miriam Odemba, au hapana..? Tukisema Miss Aminata Keita haina noma IFM watakoma Kwa muda wote ambao anasoma Ila ataweza vipi Kuimba R&B kama Stara Au ni sawa na Mercy Galabawa Leo kuwa msela Nini Gado kama Zay B Mrefu kama Basilla Designer Khadija Mavazi akatuoneshee Kajala Nitahakikisha Hakuna machozi kama Jaydee Sintosubiri Akisema anakuja kama Sister P Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje Kama ukija Bills Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 3: ------------- Yo.. Nataka demu Miguu mizuri kama Ray C Macho kama Asia Alcoholic kama Sister V Nampenda demu Awe Sister Dread kama Babe Naogopa sana Mpenda chapaa kama Dokii Awe anapenda Rap Siyo bolingo kama AC Mchizi kama Naziz Ila bright kama Cecy Mrefu siyo mfupi na nyama Siyo mwembamba Hewani kama Magese Kiuno kama Odemba Hasiwe Lady flani Hajui kupiga pamba Avae Kama Seven Japo atoke bomba Awe anajua kupika Awe anang'aa kama Sanca Laini kama mafuta Kwenye giza awe anawaka Awe anang'ara Apoze zangu harara Awe na sauti tamu Kuliko ile ya Stara Siyo Kauzu kama Nina Bora mcheshi kama Nora Ili nimpende Sana Waganga wasijenipora Awe anaishi kama Precious Bila mama yake Gypsies Ili siku akichacha Tukakope hata chipsi Maridadi.. Mvuto wa Zamaradi Apitapo maskani Washkaji mpandwe midadi Awe aliyefundwa kama Zinduna Mjanja kama Muna Awe anatabasamu Siyo Kila siku ananua Kama ntapata demu Atakuwaje fikiria Lafudhi iwe tamu Siyo kithethe ka Radhia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶 ************** Wimbo: Kama unataka demu Wasanii: Jay Moe Solo Thang & Q Chilla Studio: Bongo Records Prodyuza: P Funk Majan
@queenandchill91 Жыл бұрын
Umetisha 🔥
@RioIpo Жыл бұрын
@@queenandchill91 Yeah
@KalamuYaGalana Жыл бұрын
Safi sana
@RioIpo Жыл бұрын
@@KalamuYaGalana 💥💥
@sengybreeze Жыл бұрын
sjawai ku reply comment you tube hii ya kwanza
@boniphacegervas8118 Жыл бұрын
2023 who else around here ?
@flexflex6685 Жыл бұрын
Nimepiga seti hapa nimekuwa naitafta.Hii ndio bongo yenye ilitawala enzi zake.Rhymes after rhymes
@salminabdallah6328 Жыл бұрын
Daaa enzi hizo nasoma Kijitonyama primary school hii ngoma nilikuwa naimba verse after verse
@privernnorens23176 ай бұрын
Ulikuwa darasa la ngapi na ilikuwa mwaka gani
@rafaelmaniamba56625 ай бұрын
Enzi hizo tupo na kodo
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343Ай бұрын
A legend indeed
@user-bw2qo6bg1nАй бұрын
Nataka demu / basi nimegahili nenda kwauyo jay moe 2024
@therealTanzanian4 ай бұрын
This to me is the best bongo flava beat of all time 🔥🔥🔥🔥
@mutumbaroni754627 күн бұрын
Kabisa
@Ogutateganya-KasuleКүн бұрын
True, the beat so infectious.
@MrMPUTO2 жыл бұрын
NYIMBO YA TAIFA ENZI HIZO
@Kimosa-eb7qi7 күн бұрын
Respect brother jay mo
@goodluckydavid53312 ай бұрын
June2024' who else z HERE.
@witopeter750123 күн бұрын
sio mademu wa siku hizi lakini uta nyonyoka
@fauziashabibu1467 Жыл бұрын
Jamani hii nyimbo enzi hizo mimi mim hata shule bado sjaanza kusoma mpaka leo 2022 naingalia
@jaffjeff69125 ай бұрын
Duuh
@RaiderTube2 ай бұрын
Hii ngoma 2002, miaka 22 iliyopita
@mutumbaroni754627 күн бұрын
The Best bongo flava rapper of all time?
@kenwatkinz98284 ай бұрын
Gone are the days, 2002 Kiwira - Tukuyu.
@frankkajoba83724 ай бұрын
Bonge la ngoma
@WaziriLugazo4 ай бұрын
Aaaaah kitamboooo iyoooo jay mo
@bizzosela61863 ай бұрын
16/May/ 2024 +27 Bado Tunaish nayo 😜
@francistarimo3105 Жыл бұрын
Old is gold 🔥🔥🔥
@chotarawakingoni8148Ай бұрын
Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..! Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅 Daah…
@kiruikaptich81527 ай бұрын
Here 2024.... and counting!
@ngenokipkorir97588 ай бұрын
Old is gold...i missed these songs
@user-hp9yu3xo5p6 ай бұрын
Tanzania day by p mawenge
@bizzodaboy5367 Жыл бұрын
Verse la solo thang noma
@shabanimakwaru2875 Жыл бұрын
Hii na ingekuwa vipi ya FA ngoma za zamani kali
@shafiiluwongo5199 Жыл бұрын
Kwa heshima zote kwa FA hili dude kali sana. Jay Mo, Solo thang Mkono wa P- Funk. Bonge la biti
@brownngullo40515 ай бұрын
Q chief aliua kwenye chorus .. Enzi hizo niko Form One ngoma imetoka
@Qqambaa5 ай бұрын
Wow! Kumbe ni qchief
@stanslausmteme84554 ай бұрын
Namkumbuka sana DJ Fred Waaah!
@lightmedia80968 ай бұрын
here 2024
@clivedishon81928 ай бұрын
classic
@saleh9997 Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana 2005-2023
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Old iz gold## j mo🔥🔥🔥🔥🔥
@eliasanyimu1669Ай бұрын
2024 still going strong
@albertlilechi49065 ай бұрын
Jay Moe nakubali mkuu
@sajumahege49036 ай бұрын
VERSE 1__JayMo Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho, Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi, Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho, Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta, Belinda na Mose wakirealize vipi watadata? Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita, Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa, Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun, Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu, Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya, Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima, Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama, Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali, Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari, Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi, Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi, Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje, Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje
@user-en2fc5xp7e Жыл бұрын
Oyaaa kama hili goma ulikuwa kwenu na hadi Leo uko kwenu mkuu mkuu mkuu utapakatwa toka magetoni kondoo wa bwana