JE BIBILIA NI KITABU CHA MUNGU? [PART 2] DR GERISHON ODARE.

  Рет қаралды 8,844

KENYA DAWAH TV

KENYA DAWAH TV

Күн бұрын

Пікірлер: 50
@hamadamabali2895
@hamadamabali2895 4 жыл бұрын
Allah amuongoze Dr. Gerishon katika UISLAMU in sha Allah Amin
@ahlanwasahlan373
@ahlanwasahlan373 4 жыл бұрын
Ameen
@hassanrangambo8007
@hassanrangambo8007 4 жыл бұрын
maashaalla masheikh mulianza kwa kuwapa uji sasa wanakula ugali wenyewe wanafundishana wenyewe kwetu inamaanisha washaelewa TZ tunafuatilia sana
@maruboy5
@maruboy5 3 жыл бұрын
MashaaAllah without DR Gerishon there's no taste of debate without him....
@absameosman9113
@absameosman9113 3 жыл бұрын
Bwana Gerisson ht kama sio muislamu lkn anaaemanga ukwli... Hhhhhhhh ManshaAllah masheikh wetu wapendwa ustadh Yahya na ustadh yussuf.... Masheikh wangu nawapenda kwa ajili y mwnyezi mungu
@rbagha5280
@rbagha5280 2 жыл бұрын
From Canada. Christians please read! Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@janawchannel3797
@janawchannel3797 4 жыл бұрын
Manshallah shiekh yahya mungu akupariki mahali pazuri peponi na hata pastor ndacha ungeweka box kama gerishon
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 4 жыл бұрын
Mwenyekiti mchokozi 😃😃et. Anawezakutumia hii biblia ya kiafrika
@ahlanwasahlan373
@ahlanwasahlan373 3 жыл бұрын
MAA SHA ALLAH
@muslihmohd9420
@muslihmohd9420 4 жыл бұрын
Hii nzr sana imekuwa ndefu kiasi
@uwesusaid9764
@uwesusaid9764 3 жыл бұрын
Mashaallah 🇹🇿
@mariamali1887
@mariamali1887 4 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah Allah barik
@mwanamwinyibmwakinalo4094
@mwanamwinyibmwakinalo4094 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃,Subhanallah, sasa wakaushana mate wenyewe 😃😃😃😃😃
@hillaryarande745
@hillaryarande745 2 жыл бұрын
Hawa wachungaji wa kikristo hawana elimu,lazima wasome Quran,hadidhi za mtume,kitabu Cha maisha ya mutume ukiwa na iyo elimu waislamu wakikuona watakimbia
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 4 жыл бұрын
Melekaulam. Mr jrison hiko nikihindi.sikiyahudi..
@sarifimikidad3994
@sarifimikidad3994 4 жыл бұрын
Mashaallah Allah(s.w)awalipe mashekhe kwa kazi njema
@kenyadawahtv90
@kenyadawahtv90 4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@omargbabaomar2004
@omargbabaomar2004 4 жыл бұрын
Masha Allah
@makenakendi282
@makenakendi282 4 жыл бұрын
Mashaallah
@jaffarumar5258
@jaffarumar5258 4 жыл бұрын
Masha’Allah
@achangomaitambae1229
@achangomaitambae1229 4 жыл бұрын
MashaAllah.kikao kizuri sana.na huyu Gerison amepotelea wapi?
@kenyadawahtv90
@kenyadawahtv90 4 жыл бұрын
Yupo
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Kumbe watu wote hao wa kuingia kanisani wamepotezwa? Duh! Msiba huu
@faridsaid9180
@faridsaid9180 4 жыл бұрын
Bwana waziri yuko?
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 жыл бұрын
Hii mada nimecheka 😂😂 wallah Allah awaoneshe njia iliyo nyooka kwani huu ni msiba mzito sana
@ahmednoor9546
@ahmednoor9546 4 жыл бұрын
Heeeehe wameanza kubishana wao kwa wao nabado kitaeleweka tu
@jumakoga2179
@jumakoga2179 4 жыл бұрын
Hamtapata ukweli wa bibilia , ambao ni taurati , zaburi, na injili kwa sababu waliochakachua au kuviharibu ni haohao wanazuoni wa kiizraili na kazi yao ilikuwa ni kuwakataa mitume wao sasa nyinyi ukweli mutaupata wapi!!!! Silimuni nyinyi muje musome kitabu kisicho na shaka ndani yake,
@rukiamatano7764
@rukiamatano7764 4 жыл бұрын
""Maashaallah😄😄 kitaeleweka tu,
@kenyadawahtv90
@kenyadawahtv90 4 жыл бұрын
Sana
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 4 жыл бұрын
Jrison wayahudi wenu huko Ezrael wao pia wamepotea waabudu ukuta wa hekalu na nabii suleiman..pia wao wniwapoetvu hawa njia .kisha wamelaaniwa namungu..jrison wacha uyahudi wao pia ni wapotevu hawana njia...jrison fuata Dini ya yanabii isa yakweli. Acha uyahudi wao pia huko hawaelewani kwenye hizo dn zaukrsto.
@hillaryarande745
@hillaryarande745 2 жыл бұрын
Utangundua wakienda kuiji uenda kusujudia jiwe jeusi ,ni mungu anasema usishudie kitu chocolate ila yeye
@abdallahdoka9173
@abdallahdoka9173 4 ай бұрын
Badala ujibu aligation za bible fake we unaleta mada nyingine😂😂😂 ama huna jibu
@hillaryarande745
@hillaryarande745 2 жыл бұрын
Quran yenye we inasema Quran nimukusanyiko wa mambo ya uongo
@vivawizzy2536
@vivawizzy2536 3 жыл бұрын
Mwenye kiti mbona aumupi mtu muda wakujielezea bana
@stoispapi2380
@stoispapi2380 2 жыл бұрын
Hakuna muda wa kudanganyana.
@hillaryarande745
@hillaryarande745 2 жыл бұрын
Ikiwa Quran inasema wakristo ni watu wa injili, torato, na zaburi nyinyi ni nani Muna kataa
@Footballer-1992
@Footballer-1992 4 жыл бұрын
Yani nyinyi, kitu ya kitambo mnapost Jana?!!!!! Waah, nowadays hamna hoja.
@ahmadakishingo1935
@ahmadakishingo1935 4 жыл бұрын
Iwe ya jana juzi au siku yoyote tunachotakiwa kutizama dhamira na ujumbe ww wawapi nenda kwenye hoja za msingi
@nooor1120
@nooor1120 4 жыл бұрын
Haijalishi ya lini ukiona haki ifuate au utajidhulumu nafsi yako
@hillaryarande745
@hillaryarande745 2 жыл бұрын
Unaposoma Hadith za mtume utagudua aliowa mtoto wa miaka 6 kukua mke wake ,pia utangundua alirongwa ,nakwambia uislamu auna lolote
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 4 жыл бұрын
Mashe nawaomba mumtafute ndacha Apambane na jerison..Ampe ukweli wake maana kiburi chake kimezidi.?
@siamabakwe4274
@siamabakwe4274 4 жыл бұрын
Wacha unafiki banaaaaa we ni tiyitus hata wutembeye ulimwengu mzima we vp
@muslihmohd9420
@muslihmohd9420 4 жыл бұрын
Yani uyu Gerison amejuwa baadhi ya maneno ya kiibrania imekuwa balaa anawaona wakristo wote wamepotea ila yeye tu hajuwa kuwa na yeye ndio kapotea zaidi maana ata kitabu hana afadhali hao wengine wanazo izo za uongo,tunamwombea kwa allah ampe hidaya aijue haki inshallah
@kenyadawahtv90
@kenyadawahtv90 4 жыл бұрын
Allahuma Amin
@aaibrahim4487
@aaibrahim4487 4 жыл бұрын
Okoth😂😂😂😂
@siamabakwe4274
@siamabakwe4274 4 жыл бұрын
Sasa among all christianity religion's who is the owner of the bible
@stoispapi2380
@stoispapi2380 2 жыл бұрын
Bible ni nini? Jina ya wazungu tu.
@alimasigasaleh8659
@alimasigasaleh8659 3 жыл бұрын
(BLOGGING THEOLOGY) Hii channel Christian theologians wanafafanua ukiristo ,biblia na ujajanja mwingi uliyotumika na kuteka wakiristo akili kwa kubadilisha ,kuongeza na kutoa baadhi za aya za biblia.
@siwajibufarida3428
@siwajibufarida3428 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah
MJADALA JE YESU ALISULUBIWA? PART [1]
25:41
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 9 М.
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 86 МЛН
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 4,6 МЛН
SISI RASTAFARIAN HATUKULI NYAMA...DAAWAH MITAANI NA SH MAZINGE.
29:59
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 11 М.
منهج القرآن للصف الأول الابتدائي
16:16
فيديوهات مفيدة
Рет қаралды 9 МЛН
#@ ZIARA YA AFANDE HAMAD CHOKOCHO PEMBA YALETA MAFANIKIO MAKUBWA.
5:40
AFANDE HAMAD ONLINE
Рет қаралды 3,8 М.
DEBATE   SHAFII SHOMAR   BIBLIA IMEHARIBIWA
1:49:35
HABARI MOTO MOTO TV (HMM TV)
Рет қаралды 142 М.
TAZAMA NAMNA AFANDE HAMAD ANAVO KOMESHA UHALIFU "OLE SHUMINDU"
23:38
PEMBA ONLINE TV 🖥
Рет қаралды 254
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39