Sh kishki mashallah umejibu kwa hishma na nidhamu na Amana ya kielimu na wala hujajibu kwa kufuata misimamo yako hivi ndivo wanazuoni wakubwa walivo hata imamu ibn thaimia alikua akijibu pande zote mbili wakati wamasuala alikua mwisho husema mie raí yangu nihivi lkn husema kwamba kuna kauli nyengine zipo hivi sasa watu wa leo wanavuruga kwa kulazimisha watu wawe kwenye misimamo yao mashallah
@HashimSalim-qj7zn8 күн бұрын
Alie na ufahamu kafahamu vzr Mashallah kwa jibu zuri na ulipo mtaja Mtume kua hajawahi kuomba dua ya pamoja baada ya swala pia tumekufahamu Sheikh na tukeshajua ukweli juu ya hilo dua ya pamoja pamoja na ikhtilafu iliopo ila kauli yenye nguvu km mtu amekusikiliza vzr bila ya ubishi basi ameshaelewa
@mohamedsalimaljahdhamy1436 Жыл бұрын
Maa shaa Allah shekh amejibu swali kana alivyoulizwa tu. Hao wengine waliocoment walitaka aende kule ktk ikhtilafu ya kuleta dua ya pamoja na si amesema kuwa lile suala lina ikhtilafu baina ya wanawachuoni. Lkn yeye amejibu kama alivyoulizwa na maashaa Allah amekuwa wazi na jibu zuri maa shaa Allah. Kuinua mikono ni suna wakati wa kuomba dua na Mtume s.a.w alinyanyua mikono na hadithi zinazozungumzia hivyo hazina idadi. Imam Suyutwi ametunga kitabu hasa kinaitwa "Fadhu wi'aa 'an Ahaadith raf'a l yadaini". Ktk kitabu hicho ametaja hadithi hazipungui 50 zinazothibitisha kucaa kuinua mikono wakati wa kuomba dua. Allah akubarik Shekh wetu na akupe hekima na busara ktk kulingania. Amin Ga Rab
@ahmedbaamironlinetv47536 ай бұрын
MASHALLAH
@boraihano26123 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki Sheikh
@churchmouse71313 жыл бұрын
MashaAllah brief and precisely putted
@cassimoa92173 жыл бұрын
Jazzakallah kheir, umejibu vzr sn
@farisytanzania65663 жыл бұрын
Masha,Allah kwa majibu yako mazuri. Allah akuongoze Shekhe.
@shabaniswedi19703 жыл бұрын
Naam shukran Shehk.
@faustinealoyce30463 жыл бұрын
Jazaq Allah kherii..
@saumuseif91893 жыл бұрын
Shukran sana ustadhi
@aishakinia49573 жыл бұрын
Shukran sheikh
@saidmuhibu13063 жыл бұрын
Jazakallahu khairan
@زينببنتسعيد-د9ح3 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu shukraan jazzakah Allahu kheir kwa jibu hili
@faizanassor63363 жыл бұрын
Shukrain allah barqi
@maryuabdallah73453 жыл бұрын
👍
@salmaalkyumi60303 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam
@manhajnnubuwahtz36322 жыл бұрын
kuwaridhisha watu ni kilele kisichofikiwa muogope Allah usichanganye haqq na batwil . utaenda kuulizwa juu ya maelezo yako hayo .
@Abuu_Asfiya-Salafy2 жыл бұрын
Wallah yani umeona kama mimi tu.. shekhe anajaribu kuwaridhisha watu walakin jibu liko straight foward.. na yeye anafahamu hilo..
@rajabumpangalala296811 ай бұрын
Anajua Akisema ni bid'a watu ataudhi wafuatiliaji wa channel yake, Allah amuongoze huyu Shekh wa Tv na showoff.
@hawamatuta19053 жыл бұрын
Shukuran
@manhajnnubuwahtz36322 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/d3fFdWOcfLF3ps0 JAWABU SAHIHI NI HILI .
@rehemasalim45903 жыл бұрын
M naomba lile swali na majibu nn maana ya sunna kisheria na kilugha
@khalfanikishki46873 жыл бұрын
Sheikh wangu Kishki. Kaa mbali na Ahlul-Bid'aah. Hao wanakutia woga husibainishe kabisaa. Dua baada ya Swala ni uzushi na uzushi utampelekea Muislamu motoni. Huko ni kumuharifu mtume.
@Abuu_Asfiya-Salafy2 жыл бұрын
Shekhe majibu yake yana talbiss nyingii sana .. anaona akijibu jibu la sawa sawa kulingana na sunna kama vile ataleta far'qa baina yake na watu wa bida'aa..
@saidihaji3739 Жыл бұрын
@@Abuu_Asfiya-Salafy Acha ushabiki wee talbiss iko wapi ?? Hayo mas-ala ni kweli yanakhilafu baina ya maulamaa . Ama dua baada ya swala ni jambo lililothibiti kwa quran na sunna za mtume ﷺ ۔ Angalia tafrisi za qur ani kwe aya ya mbili za mwisho za suratu (( الشرح/ الإنشراح ))
@salafyhlmanhaj5179 Жыл бұрын
@@saidihaji3739 sheik dalili zipo ktk surat gni nami nikajifunze