No video

Kwanini Haifai kuleta dua ya kunuti katika swala ya Alfajiri? Jawabu la Sheikh Nassor Bachu

  Рет қаралды 64,104

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.

Пікірлер: 87
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 3 жыл бұрын
Shkrn jazakaAllaah khayran ALLAAH AKUPE MALIPO YA JANNA TULL-FIRDAUS NA ALIJALIE KABURI LAKO LIWE MIONGONI MWA BUSTANI ZA PEPONII
@hafidhhemed5002
@hafidhhemed5002 3 жыл бұрын
Wallah nikisikia saut yake moyo wang unafurah san ((nampenda ndani ya moyo wng)), allah akurehem na akusameh dhamb zak inshaallah
@abk1127
@abk1127 3 жыл бұрын
Aamin
@hajjiyasin4255
@hajjiyasin4255 3 жыл бұрын
Amiin tutakusikiliza mpaka siku ya qiyama
@ramlamohamed1955
@ramlamohamed1955 3 жыл бұрын
Allahumma aameen
@salehjuma935
@salehjuma935 11 ай бұрын
Aamiyn
@yasinali4377
@yasinali4377 10 ай бұрын
Amin🤲🏾
@abutafawa
@abutafawa 3 жыл бұрын
Allâh Amrehemu sheikh Nassor Bachu... Jazzak Allâhu Khayran akhii Mohammad Bachu nawe Allâh akuhifadhi.
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Ай бұрын
Allha akupe pepo siku ya kwnz tu namsikia redio Iman nilitakabr Moja Kwa Moja Kwa Allha.
@NinoNino-fm8dr
@NinoNino-fm8dr 2 жыл бұрын
Ooh Allah Msamehe shekh Wetu, Hakika Sisi tunampenda kwaajili yako
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
Allah Akupe Rehma Zake Ewe Sheikh Nassir
@mrishoshabani2597
@mrishoshabani2597 3 жыл бұрын
Ni role model wangu. Allah amrehem na amsamehe madhambi yake. Aamiin.
@yussufmussa8122
@yussufmussa8122 Жыл бұрын
Amiin
@warshysaid8564
@warshysaid8564 4 ай бұрын
Amiin
@mudiabdala3406
@mudiabdala3406 3 жыл бұрын
Asante sana shehe wangu mpendwa. Ukweli ndo huo aneechukiya ukweli muache achukiye
@vitalcool9266
@vitalcool9266 3 жыл бұрын
ALLAH amrehemu sheikh Nassor...jazakallahul khayr..
@yunnusmiraj529
@yunnusmiraj529 3 жыл бұрын
shukran ustadh allah amhifadh almarhuum sheikh nassir
@suleimankhatibjogoo7236
@suleimankhatibjogoo7236 3 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu
@selemanishukrnzakaria2490
@selemanishukrnzakaria2490 3 жыл бұрын
ما له من محيص
@adammuhidin3016
@adammuhidin3016 2 жыл бұрын
allah akulaze pema peponi shekh wetu
@samirsaid762
@samirsaid762 2 жыл бұрын
Allah amueke pema peponi shekhe wetu nassor abdallaah Bachu
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 3 жыл бұрын
SHEKHH TUNATAKA ELIMUU JUU YA NAMNA BADA SWALA NINII KINASEMWAA KWAMUJIBU WA SHERIA NA SUNNA YA MTUME WETU MUHAMMAD SWALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE
@khaledrajab3830
@khaledrajab3830 3 жыл бұрын
jazakumu llahu khayr
@fadhilimussa5067
@fadhilimussa5067 3 жыл бұрын
Allah maarhamhuu good leader in Islam
@user-xn2hp4iz6k
@user-xn2hp4iz6k 4 ай бұрын
Wallah Allah atakulipa kwa kile ulicho tuachia
@nassraissa717
@nassraissa717 4 ай бұрын
Mashallah Allah akuĺipe kheri
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci 4 ай бұрын
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ anangurum na kututowa tongo # Firdaus iwe malipo yako sheikh hakika umefikisha
@rashidmsita6588
@rashidmsita6588 5 ай бұрын
Allah ampe kher kubwa kubwa kipenzi cha wengi,hakika Darsa zako hazina mfano,sikupata kukuona ila nikikusikoa ni kama nakuona bayana kabisa
@khalidkhaild208
@khalidkhaild208 3 жыл бұрын
Allah amrehemu insha allah
@user-rt5vq5vc3k
@user-rt5vq5vc3k 7 ай бұрын
Allha amrehemu shekhe Nasoro bacho
@alisimba4089
@alisimba4089 2 жыл бұрын
جزاه الله خيرا
@YussufSaid-ok4pu
@YussufSaid-ok4pu 7 ай бұрын
اللهم غفرله و رحمه
@suleimanissa9316
@suleimanissa9316 3 жыл бұрын
Jazaka llah
@HassanMohamed-vs4re
@HassanMohamed-vs4re 3 жыл бұрын
Usiibezee elimu, Elimu ni bahari chukua kama ukiona haikufai achaa
@akramomar3273
@akramomar3273 Жыл бұрын
Masha Allah
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 жыл бұрын
الله يرحمك رحمة واسعة
@abk1127
@abk1127 3 жыл бұрын
امین‌
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
اللهم أ مين يا رب العالمين
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
اللهم رحمه وسكن فلجن
@yussufjumaomar5903
@yussufjumaomar5903 3 жыл бұрын
Asant sheikh
@fatumamwantumu4081
@fatumamwantumu4081 3 жыл бұрын
Mashalla Allah
@ummually1918
@ummually1918 Жыл бұрын
Shekhe mohammed fuwata mokoba ya mzee allah amsamehe makosa yake
@daudijuma5914
@daudijuma5914 3 жыл бұрын
shukraaan
@ismailnamtuma1830
@ismailnamtuma1830 2 жыл бұрын
rabbana ghfirlahu warhamhu
@Mwadaba
@Mwadaba 3 жыл бұрын
Asalam alykum brother nakuomba siku moja uelimishe watu au umma kuusu uwahabi na madhehebu mbalimbali
@saidmakame8867
@saidmakame8867 3 жыл бұрын
Uwahabi ni nini kwani brother...
@maryamshuraim4163
@maryamshuraim4163 3 жыл бұрын
Ashafariki zamani huyu shekhe
@cideboy4676
@cideboy4676 3 жыл бұрын
Sheikh nasoro bacho mwenyewe watu wanambeza kwa kumuita wahabi 😥
@kkutanzania5386
@kkutanzania5386 2 жыл бұрын
@@cideboy4676 Wahabi ni ni kwan
@YassirmohdAli
@YassirmohdAli 5 ай бұрын
Mung akup pepo na sis sot waislam
@KIMSwahili
@KIMSwahili 2 жыл бұрын
Alhdullah
@fatmamohdmuhidini7663
@fatmamohdmuhidini7663 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@adammuhidin3016
@adammuhidin3016 10 ай бұрын
Simba uyoo Allah amlipe kheri
@ibrahimmwilo1586
@ibrahimmwilo1586 3 жыл бұрын
🙏
@asriyaaljabry27
@asriyaaljabry27 3 жыл бұрын
Kweli kabisa hiyo ni dua baada ya swala
@abubakarnassor8280
@abubakarnassor8280 Ай бұрын
no commandments but kumbusha hakika ww ni mkumbushaji maamuna wakiona ww unaondoka na wao haooo mbio nyingi hakuna nyuradi wala salamtume ila ww ukitulia pale utakumbusha in term of body language na wao watabaki kufanya nyuradi but ukiondoka na wao kma unawaruhusu na karne hizi tucdanganyane mtu akitoka masjid hakuna sehem m2 ataenda kaa kufanya nyuradi.😎
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 3 жыл бұрын
Hakika tumempeteza mtu muhmu ktk uislam, ww ulikuwa mkwel wala sio mbabaifu hakika bado tunakuombea dua
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
@Yahya tulitarajia mwanawe Muhammad bachu atarithi ilimu ya Marhum babake kule htaa yeye ameshika mambo ya Radi tuu....yasiyo nifaisha dini bali kuleta chuki na husma na kugawanya waislamu
@Mwadaba
@Mwadaba 3 жыл бұрын
@@aliomar612 hujamfatilia marehemu Allah amuifadh. Maana brother haleti chuki bali anasema ukweli na uzur haneni maneno take yeye ananukuu kutoka kwa mtume Muhammad S.A.W na wanzuoni sasa kosalake lipi kuelez umma kuusu itikadi potovu
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
@@Mwadaba naongelea mtoto wake Mohammed bachu sio Marhum mwenyewe
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
@@Mwadaba bro kurekebisha na kukosowa kma mtu amekosea nisawa kabisaa wala halina mjadala hilo....tatizo yeye anakosea kwenye kurekebisha kwake hatumia njia ya sawa na busara wala hikma yeye anakejeli na kudharau wakati kila mmoja ana ufahamu wake ulivyo fahamu wewe sivyo nilivyo fahamu kwahio inatakuwa hikma na busara katika kurekebisha pasi na hivyo inaweza kuwa chuki na husma kama ilivyo sasa inasababishwa na watu kma sheikh Muhammad bachu
@tandalesse4544
@tandalesse4544 3 жыл бұрын
Kuna hawa wanaojinasibisha na #Usalafy wakati mwingine huitafsiri QUR'AN kwa matakwa ya nafsi zao na si kwa kuwafuata #mufasirina katika #wajawema_walotangulia mfano kuna #Sheikh mashuhuri huko #Mombasa_Kenya ambaye aliitafsiri visivyo AYA ya 03 ya SURA ya 05(QUR'AN 05:03),yule na wengineo mfano wake,wanastahiri kufanyiwa ruduud ili wajirekebishe. Na hakuna lugha mbaya aloitumia Sheikh @Muhammad_Nassor_Bachu(الله amuhifadhi) katika kuwanasihi wanaokosea.
@huseninchasi
@huseninchasi 6 ай бұрын
Imamu shafi tunamfuata ww kama huleti kunuti kaa kimya usimtukane mwenzako
@hajjisanga789
@hajjisanga789 9 ай бұрын
Kunut ipo ktk suna mtume alikua akikutut mpaka anaingia kaburini ktk swala ya alfajir lete hadithi inayo pinga hii hadithi sio maelezo
@husein202
@husein202 Жыл бұрын
ماذا الله
@wakwetu2444
@wakwetu2444 3 ай бұрын
Sasa wanaoleta kunuti sala Yao haikubaliki?
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 3 жыл бұрын
Simba huyo m/mungu amrehem
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
MashaAllah Mungu hakusamei makosa yako shelkh wetu shukra
@ahmadiibrahimahmadi3513
@ahmadiibrahimahmadi3513 3 жыл бұрын
Proffesor Sheikh Nossour Bachu Allah amrehem
@khamismbarouk9014
@khamismbarouk9014 3 жыл бұрын
Huo ndi ukweli ukweli usemwe2 at a w2 wkinuna
@khamikhan9998
@khamikhan9998 3 жыл бұрын
Mtume ﷺ alisali vipi sala ya Alfajir je! alikunuti? na kama alikunuti lete ushahidi wa hadithi sahihi.Na tufahamu tu mtume ﷺ amesema kuwaambia masahaba wasali kama walivyomuona yeye anasali maana yake na sisi tufanye hivyohivyo.Tunapokosea sisi ni kutaka kulazimisha kuweka majambo mahala ambapo si pake yawezeana kuwa jambo ni zuri lakini linafanywa wakati sahihi na mahala pake. Sharti za kukubaliwa Amal (matendo); 1.Mfanyaji awe Muislamu 2.Afanye kwaajili ya Allah 3.Afanye kama alivyofundisha Mtume ﷺ mwenye kufanya kinyume na hivyo hana ujira atakaoupata. Na Allah ndiye mjuzi zaid.
@EtihadBega
@EtihadBega 5 ай бұрын
Kamsome Anaa ibn maalik
@daressalaamtanzania2736
@daressalaamtanzania2736 3 жыл бұрын
Na haijathibiti ktk kitabu chochote cha shafiy ninachosema qunut ni laazima
@damondhamonaizbadowangu4559
@damondhamonaizbadowangu4559 Жыл бұрын
kwa iyo tumfuate nan kati u ya imam shafii na said swadik
@hilalskanda3567
@hilalskanda3567 2 жыл бұрын
Vipi lei twaswali taraweh kwa jamaa na iwe sawa hilo na kuleta dua baada ya swala kwa jamaa isiwe sawa??? Yote haya hayakufanywa na mtume bali mawahabi wakubali tarawehe.!!
@adammuhidin3016
@adammuhidin3016 10 ай бұрын
mamb yanaend kielimu nasiyo kiakili tutafute sehem tusome
@khaledrajab3830
@khaledrajab3830 3 жыл бұрын
jazakumu llahu khayr
Amekufuru atakae sema anayajua mambo haya|| Nassor Bachu.
14:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 61 М.
Nassor Bachu, mawaidha ya kusisimua
15:15
MzalendoTz
Рет қаралды 46 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 26 МЛН
HAYA NDIO MAMBO AMBAYO SIO LAZIMA KATIKA SWALA :-SH.OTHMAN KHAMIS
14:22
Nini hukmu ya kumsomea Maiti Qur'an ambaye ameshazikwa? | Shk. Mohammed Al-Busaidy
4:50
Masjid Al-Tawba Makorora Tanga
Рет қаралды 5 М.
CHANZO CHA MAJADIDA KUMTOWA MUHAMMAD BACHU KWENYE MANHAJ YA AHLU-SUNNA WAL-JAMAA.
36:22
KUOMBA DUA BAADA YA SWALA INAFAA AU HAIFAI......? JIBU HILI HAPA
6:41
Je nikweli Sheikh Nassor Bachu Aliwahi kuwa SHIA??Ukweli ni huu.
11:39
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 47 М.
JE QUNUT NI HARAMU
4:23
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 12 М.
DUA YA PAMOJA BAADA YA SWALA.-Al-Akh Muhammad Nassor Bachu
41:43
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
Mawaidha mazito sana || Sheikh Nassor Bachu
29:43
Jiongezee Maarifa
Рет қаралды 41 М.
Siku ya malipo||Sheikh Nassor Bachu 1988.
59:56
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 16 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН