Hii nimecheka kama fala😂😂 wanaume wenye kitambi leo mumefikiwa...mm pia sitaki mwenye kitambi nataka mrefu hata kama hana pesa nko sawa😂😂😂
@Achievable26102 ай бұрын
Mbavu zinauma jamani 🤣🤣🤣
@salimbilali51742 ай бұрын
Hii ya Leo sio habari ni comedy 😂😂😂😂😂
@benjaminosura76652 ай бұрын
Kama kitambi ni pesa na mali ,mr zakayo the ruto angekua nacho 😂
@decoloniz_afro2 ай бұрын
Kitambi ya atwoli ni minyooo
@Agronomy1232 ай бұрын
😂😂NTV seriously 😂😂
@sufuriamakima55382 ай бұрын
Huyo ni ugonjwa
@abdimajidmohamed14632 ай бұрын
Hakuna mwenye amezungumzia mambo ya afya. Kitambo yaleta magonjwa ya kisukari na pressure
@gerezakatembo2 ай бұрын
😂😂 whatever!
@ToM-ht9oq2 ай бұрын
Ndio ni Thambi Mr. Atwoli yuko na thambi .
@elishajoshua70562 ай бұрын
There is a saying in my local dialect which says, kama huna gari unafaa kuwa na kitambi.(Yo Khan garaa basanii, yo khan gari basanii)😂
@paullubanga61352 ай бұрын
Heeeeh 😂 kisum ciity
@phosteneeugene76272 ай бұрын
Mtetesi kubwa ya kitambi
@happytimes97472 ай бұрын
A man is to be strong sio kitambi sasa anaoneneka mwenye mali na hana, kwani minyoo ni mali. Medium size ndio iko sawa kwa both gender si mnono ya kiboo na si mkondo wa kuhurumiwa
@MuthamaSabastian2 ай бұрын
Mwanamke anafaa kufurahia mwenye Ako na kitambi cos hiyo tumbo haiezi kuwa na mtu hana bidii ya kutafuta pesa ......hiyo tumbo ni ya food buana lakini sometimes unapata performance sio poa but inatemgemea msee huwa anafanya kazi Gani cos job zingine hujenga kiungo😂😂😂
@Fvhffhjifjkztkzmg2 ай бұрын
Ni rahisi ku kata kitambi kuna dawa za herbs ya ku kata na kusa fisha blood
@ancientpathssauciety18922 ай бұрын
Prediabetes then diabetes
@JumanneHunda2 ай бұрын
😂😂😂😂 harooooo inategemea
@mercynyaga18872 ай бұрын
Hata mi mwanaume ako na kitambi hukaa na shape mbaya ju hata kuvaa ni shida JU the body is unproportional
@Wisedonn2 ай бұрын
Wanawake maskini wanachukia kitambi
@dylankanyubi37002 ай бұрын
Kitambi si dhambi, lakini wkati mwingine kinaweza kuwa kizuizi ama kikwazo kwasababu ni kama kubeba mzigo mkubwa ambao umeanika kibindoni 🙂
@HK-wx4fy2 ай бұрын
Ntv don't promote kitambi😢😢😢 Ni MAGONJWA TUPU!!!!
@rosalinekemboi58152 ай бұрын
Not health.Sitambi.
@daniells712 ай бұрын
Kitambi ni ishara ya ugonjwa ambayo unao au unaowadia
@lawrencelawrence33052 ай бұрын
What do people think iko kwa Tumbo kubwa?its just excess fat and shit, not muscle,noooooo!!
@juliakanyoro59642 ай бұрын
NTV sharing nonsense we have more serious issues than men with big tummies