Majibu kwa wale wanaodai kusherehekea kuzaliwa kwa mtume ni Kheri, je wako kwa kheri au upotofu?
Пікірлер: 245
@abdulmalikngunje4022 жыл бұрын
islam nakuombea kwa allah akuhifadhi nakupenda sana kwa ajili ya allah
@abuusuhaibmchumi48252 жыл бұрын
Sheikh nakupenda san kwa ajili ya Allah unasifa nyingi sana za kuwa ww up kweny haki Allah akuwafikishe huko pamoja na ss "AMIN"
@abuubakarihussein2664 Жыл бұрын
بارك الله فيك يا شيخ
@AishaMtapa Жыл бұрын
Mashallah sh islam ujumbe umefika anaetaka atayafanyia kazi na asiyetaka atayaacha kama yalivyo ila wenye akili wameelewa. Hakuna kulazimishana katika dini. Waache wanawake wao wasivae stara za kueeleweka na wajipure kisha wajiposti mtandaoni eti wanamsifu mtume s.a.w. kesho kiama kuna mizani yote yanaandikwa musigombane kila mtu ataulizwa kwa kile alichokichuma kwa mikono yake.
@alikhamis63263 жыл бұрын
Shukran sheikh islam umefikisha uislamu wa mtume muhammad na maswahaba zake anaekuping ni mtu wa matamanio Allahulmustaan
@assanimoshi2721 Жыл бұрын
Jazakallahu khayra
@mussamohamedmohamed96293 жыл бұрын
Wallah haqi iko wazi na baatwil iko wazi
@abdurahmanomer66365 жыл бұрын
Mashallah mwalimu
@omarijawadu40473 жыл бұрын
بارك الله فيك
@abuhsanono43923 жыл бұрын
Wa sheikh wa kusoma vitabo vyewupe wana ilimu ya kinadjidi tunaelewa mfumo wawo basi ukimupenda nabi Muhammad s.a.a.w Hawuezi ukahuzunik akitajwa
@mariyamahmed91363 жыл бұрын
Huyu hajasoma
@mariyamahmed91363 жыл бұрын
Ongelea dhehebu lako naikitaka kueleza mawlidi basi soma Kwanza
@abdulazizmwipi92953 жыл бұрын
@@mariyamahmed9136 umeona eh ? Hapo ni kutaka kuonekana Kama kasoma na kutafta kick
@abuually-ol2xc Жыл бұрын
Kwani kipindi cha mtume hapakuwa na washairii ambao walikuwa wakimsifu mtume s.a.wa !
@dullahshaaban7282 жыл бұрын
Ukitaka kujua bidaa ni mbaya humo humo kwenye maulidi ushenzi ufanyika mabinti wanapewa mimba ....✍️✍️✍️
@mohammedali1645 Жыл бұрын
A.a ustadh wataka munakasha na sheikh Fadhil wa mambrui ?.Toa date tuwaeke live wacha mupambane mupimane tujuwe ukweli uko wapi?
@ounaogot Жыл бұрын
Kupimana kwa ajili gani? Na itakua na faida gani? Tusoneni did I tuwache ukaraa
@milanizuberikasimu1859 Жыл бұрын
Wengine wanajiita watu wasunna kumbe hata hadithi za mtume hawajui fasri zao mtume amesema jambo linalokutia shaka usilifanye fanya nisilokutia shaka maulid kwa kuwa wanaosoma ni mashekh na wanaokosoa ni mashekh tumieni hadithi hiyo acheni porojo kisha wengne mnajipa kiburi
@abubakaralimohammed33883 жыл бұрын
Jibu sahihi hakuna kheri yoyote katika maulid wanavyodai
@alisalim23843 жыл бұрын
Mauliidi ni bidaa
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
@@alisalim2384 hakuna kheri yoyote tunaposoma quran kwenye maulid. Subiri kiama umwambie Allah sw hio kauli
@abii-nurayn3 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 mnamsingizia mtume mana kaacha mazuri ya kumuabudu Allah Kwa kupitia maulid Kama we ulitumwa kufundisha dini kuliko mtume endelea kutetea Bida na uzushi
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
@@abii-nurayn ndugu yangu maulid inakusudia kuzaliwa kwa Mtume saw. Hilo la kuzaliwa yeye lilitokea kabla hajafa. Kitu ili kiwe bidaa maana yake kitokee baada ya kufa kama hio simu unayoitumia ni bidaa. Kueka feni msikitini ni bidaa. Sjui unafahamu?. Kama kafa kwanza Kisha kazaliwa basi hio mazazi (maulid) itaitwa bidaa😂. Kuna watu vichizi duniani vina fuata mikumbo tu hamna wajualo🤣🤣🤣
@abdallaali74503 жыл бұрын
Kuanzia leo musipike pilau na biriyani kwenye maulidi alafu tuone kama watu watakuja kusoma maulidi.Ibada sio lazima ya chakula ndio maana watu wanajaa kwenye maulidi na wakati wa sala safu moja.Hizo pilau na biriyani ni zakuvutia watu.Hizo pesa wasaidieni maskini kuliko kuzipoteza bure.Allah atuongoze sote ummah wa mtume wetu Muhammad rehma na amani zimshukie kwenye njia iliyonyooka.
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
Kumbe huna akili eeeh😂😂😂. Sasa kama watu wananjaa ndio wanaokuja maulidini basi yawastahikia kulishwa walio na njaa. Au vibaya kumlisha anonjaa akija maulidini?. Huyo ni bora zaidi kulishwa kwakuwa amehudhuria kikao cha kheri tokea asubuhi mpaka mchana. Waonaje ualikwe Kuna mkutano wa dini Kisha asubuhi mpaka jioni na URUDI kwenu hukulaa?. Kwahakika utasema wale watu ni wabaya. Sasa watu wanaoandaa maulid ni wakarimu mnoo
@abdallaali74503 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 kila wakati wa sala pikeni pia mulishe watu maana wanaosali wanastahili kulishwa kama wanataka kulisha walio na njaa waende vijijini wee vp?uhurafi unakusumbua maulidi hayana dalili we danganywa na ma shia ole wenu daulatul islamiya isimame muone. Ww unaijua dini kuliko walioko miji mitukufu ya makka na madinah.kama ingekua dini maulidi tungeona yakifanywa katika miskiti mikubwa ya kiislamu duniani.
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
@@abdallaali7450 kumbe mwenzangu dalili zako ni misikiti na sio quran na hadithi😂😂😂. Umepotezwa kabisaa. Makafiri washakuweza. Halafu tu kwa choyo zako unabagua waislamu flani walishwe na wengine waachiwe na njaa au vipi? Kama rizki unapanga weye basi watu wangekufa njaa. Halafu dola ya kiislamu mumeiua nyie Sasa isimame vipi wakati nyie kwa fitna zenu mumeiua mashekhe na mumeuza palestina na mumevunja umoja wa kiislamu kwa kudidai hamtaki arajwe Mtume saw siku ya kuzaliwa na mumevunja mpaka nyumba ya Mtume saw na maswahaba zake fitna wakubwa mbwa WA motoni
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
@@abdallaali7450 Tena nakupa taarifa. Kabla kusimama Tena dola ya kiislamu basi yatarudi upya mambo yalioachwa kama dhikri, maulid na mfano huo. Tena Allah sw kishasema kumuahidi Mtume wake ya kuwa. WARAFAANA LAKADHIKRAKA. Yaani TUTAUNYANYUA UTAJO WAKO (MUHAMMAD SAW). Kwaio Allah sw ananyanyua utajo wa Mtume saw kwa Makundi ardhini na mbinguni ila nyie vikaragosi mnauzuia utajo wa Mtume saw 😂😂😂. Sasa sijui Nani atashinda hapo ama nyie au Allah sw. Mechi hio mmeanzisha mtaiwezaaaa?. LA ajabu maulid yanazidi kushamiri kila siku zikienda mbele Sasa hamuoni kuwa Allah sw ndio mwenye ushindi dhidi yenu?!. Ndio tunamtaja na siku ya kuzaliwa anatajwa kila kona Mtume saw, mwenye wivu na anywe sumu ajinyoonge😂😂😂. Lakini hili halirudi nyumaa kwa ahadi ya Allah sw
@albaharyhaji82313 жыл бұрын
Hivi wapi mtume alisema bidaa ni maulid tuu lakini mashindano ya Qur-an mnayoyafanya na mazawadi ya mamilion hilo mumelitolea wapi makongamano mnayoyafanya kwenye maskuli yenu na mahafali na visomo vya Qur-an hilo pia mumelitowa wapi hasa mbona hamuyskatazi hayo au kwa kuwa mnayapenda kwenu si bidaa..nataka nikulize swali..Hivi ni nani hasa aliyeanzisha mfumo wa kutia iraab kwenye Qur-an...
@alisalim23843 жыл бұрын
Swadaqta
@ushindiushindi57492 жыл бұрын
Yuko sahihi kabs
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Fact mashaallah
@rashidomar27713 жыл бұрын
Nyinyi wenyewe mnapenda kujulikana,,halafu mnataka waislam wasimsome na kumjua nakumpenda mtume wao ,,hilo halitowezekana kabisa milele
@solohunt3r5883 жыл бұрын
Toa dalili
@solohunt3r5883 жыл бұрын
Wewe Muslims MashaAllah basi toa dalili
@medimisi69303 жыл бұрын
Mtume mwenyewe kasema ukimsulia umejiandalia makaazi motoni sasa ww ndo unampenda au unadhulia kwani yy j3 alio zaliwa alikua akifanya nn
@rashidomar27713 жыл бұрын
Nyinyi wengine vichwa vyenu inaulemavu tu wa kufahamu mambo
@medimisi69303 жыл бұрын
@@rashidomar2771 ukikutana na mtu hataki aya ya Qur'an Wala hadithi inakua ni shida sn maana anakua mgumu kuelewa mm nimekuambia hapo ukipata aya yyte au hadithi yyte ninakupa zawadi,maana QUR-AN ilishuka kwa mtume yy hakuyatambua kabisa Wala maswaha Wala maimamu wanne hawakutambua kua kuna Jambo linaitwa mauli yy mtu ataenda kushangaa ck ya kiama kwa yaliotokea baada yake.achana na BIDAA zitakuletea shida mbele ya Allah.
@ummuabdsheikh95813 жыл бұрын
Tuwate kugongana kuna mengine mengi ya kujadiliwa
@shedrackhusseni80053 жыл бұрын
Uwezo wake ni mdogo tena sana.
@nassorozubery73943 жыл бұрын
Huyu ni doctor ktk elmu ya dini
@omarsaid47022 жыл бұрын
Dr jina amehifadhi hadithi ngapi za mtumi ikiwa hio khutba yenyewe yuangalia kartasi
@abdulkarimmohamed54943 жыл бұрын
Doctor Islam . nakuomba kuwa na kitu kinacho itwa musamaha.hii ninasaha yng .wwe elewa upande wko na hawo waoelewa vingine wape hishima yao .Quran Iko na maana Pana .ww ni doktor hebu jihishimu .daraja yko ibakie . nyamaza ktk mambo ikhtilafi .Ila usinyamAze ktk usuli
@mabrukjuma38783 жыл бұрын
Wacha mchezo wakatazwa bidaa sio mambo yakunyamaziwa munkar huu umeenea sana lazima watoto watahadharishwe
@shadyaaboud24052 жыл бұрын
Mbona ukiongea wafumba macho Islam,au nikutafuta la kutukenga
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Wanakataaga maulidi nibidaa swali je hizo nasheed mnazozisoma mbele za wanawake wamejipamba na wanaume wamejipamba alaf mwanaume unaimba kwa sauti nzuri kabisa hiyo nayo ilikuwepo? Au mashindano ya quran mwanamke anaenda mbele za wanaume anasoma quran kwasauti nzuri kabisa sauti ambayo huenda ikatikisa moyo wa rijali , hiyo nayo imekaaje mbona hamuisemi? Basi bidaa zipo nyingi sana tuacheni na maulidi nanyie mbaki na nasheed zenu!
Kila Mahali, mkiingia mnawa piga na kuwakufuriha wenye miskiti nakupokonya mapato Yao bila wao kujua .mnadhaniwa ndugu katika dini kumbe agenda tofauti. Vita mmeanzisha miskitini msioijenga.. jengeni yenu msisome maulid humo.
@medimisi69303 жыл бұрын
Ndo nn hadith au aya umetumia
@ammoahmed25612 жыл бұрын
Hata taraweh pia Rasul hakuswali jamaa wala msikitini. But munavyoitiya nguvu ni kama ni faradhi. Allah ayadumishe maulidi ili kila generation imjue Mtume s.a.w
@abuusuhaibmchumi48252 жыл бұрын
Mtume hakuswali tataweh jamaa wala msikitin sio lakin waloanzisha hayo ni maswhaba hoja nikwamb hata maswahab hawakufanya hem tufanyen ayo walofanya ao maswahab tuone km tutaambiw wazushi lakin km tutakuwa na yetu ambao hata hao maswahab hawakufanya ndo mtihan unaanzia hapo hiv Huyo Jaafar mtuz wa kitabu cha Maulid akitajwa na swahaba akitajwa nani anatukuzwa? Ujue wakitajwa maswahab tunasem radhiya llah anhu Allah amewarixia kawarixia kwasababu gani wamepatia kwakile walichokisimamia hawa maulamaa wetu tunamuomb Allah awerehem hakuma cha ziada sasa ujue tofaut kubwa ipo hapo.
@isihakambalawa8088 Жыл бұрын
Kwani mtume anajulikana sababu ya maulidi?
@milanizuberikasimu1859 Жыл бұрын
Tunawaita mashekh wa kutafta views walipwe youtube hamjajua ndg zng nilijua bhn mko siriaz na dini kumbe mnakimbia maulid mnaingia kwenye unafiki kumbukeni ndug zangu dini siyo maneno tu dini ni vitendo kuna uchamungu wa kukosoa tu kila siku unawakosoa wenzako tena mitandaoni
@osmanmanbile9327 Жыл бұрын
Huyu ni jahil mpotofu
@yusuffaki88413 жыл бұрын
Huna mpngo hujui kit fanya upumbav wako ukalale
@samirybinaliy25643 жыл бұрын
halamu bana
@hajihassan54333 жыл бұрын
Hivi Masheikh mnakusudia kukuza au kuuwa dini? Kila amali itahukumiwa kwa nia. Clips za Mtume Muhammad SAW ziko wapi? Maulid, Mashindano ya Qur'an nk acha tunaokusudia kheir Mungu atuhukumu kwa nia zetu. Hata huyo Sahaba aliyewakataza tawasul hakuwa sahihi na kukosea kuhukumu hata Mtume Muhammad SAW mwenyewe ilimtokea (asali). Kila amali itahukumiwa kwa nia, kumsifu au kumtukana Mtume nia yako Mungu anaijuwa!
@ahmadnassor6833 жыл бұрын
Hukuelewa kilichosemewa ??
@abdab84663 жыл бұрын
Sasa jamaa kusema subhanallah unapata madhambi
@abdab84663 жыл бұрын
Ustaadh Hawa wanazungumza zero, ye hapo anatumia mic na speaker mtume hakutumia, we fikiria watu wanaleta tasbeeh unasema ni makosa
@alikhamis63263 жыл бұрын
Nan amekuambia kutumia mic na speaker ni bidaa kuwa makini kaka bidaa iko kilugha na kisheria bidaa iliyokusudiwa ni bidaa katika dini si vitu vilivyokuja vya kidunia
@abdab84663 жыл бұрын
@@alikhamis6326 Sasa mtume alitumia mic na speaker tutumieni busara waislamu haitokwenda mkashkilia hatua Kwa hatua mtamueza mtume
Mayahudi???? Hio ni dhana mbaya na haifai kumtuhumu muslim kua ni myahudi Adui mkubwa. و عند الله تجتمع الخصوم
@salumasaa7933 Жыл бұрын
Kama pepon kutakuwa na kusomea maulid mm nitasoma ukimaliza KUSEMA nenda ukapumzike
@ahmadmadaai13573 жыл бұрын
Huyu mji g mwengn tukaache kumft barzanji tukakufat ww ht karatas moj huwez kutung kasom tn ww mjibg
@abaafarhat91913 жыл бұрын
Kama unamtukana huyu shekh wewe ndo mjinga kabisa
@muhidinally37533 жыл бұрын
Duuuu Barazanje ni nani jamani mbona ametunga kitabu chenye uwongo mwingi sana???
@mariamshaban91283 жыл бұрын
Maulid haifai khitima haifai Waislam tuzinduke hawa Masheikh wanatuzindua
@zuberyally99113 жыл бұрын
Ww huna jamb ongea ueleweke
@hutisaleh23204 жыл бұрын
Hamna kitu humuu kla unavyjtahd kuyapinga huwez na hutoweza SHEKH wng unajpa taabu bure
@abdulraimoaliabduly55634 жыл бұрын
قال الله، في قلوبهم مرض فزاد الله مرضا ......
@mohdmohd48533 жыл бұрын
Mm siswmi kua ni haram au siharamu alla ndie hakim
@FaaidaTVtz3 жыл бұрын
Hapo huoni kuwa kashapinga..?
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
@@abdulraimoaliabduly5563 mioyo Yao Ina maradhi Wana macho kuwa swahaba bin thabit alimsomea mashairi ya maulid mbele ya mtume mwenyewe na Mtume saw kafurahi 🤣. Wana masikio ila hawasikii kuwa swahaba huyo alimsomea maulid Mtume saw mbele yake na hakukatazwa. 🤣 Wanamidomo ila mabubu hawasemi Yale ya kweli Bali wanapotosha tu waislamu sijui wanataka nini🤔
@adamhashim33523 жыл бұрын
Yaan hawa watu wanatabu wanaharamisha kitu kwa jina lake tu wala hawaangalii yanayofanyika ndani yake
@adamhashim33523 жыл бұрын
Yatasomwa maulid hata ukikasirika vumilia tu.
@khalfanikimanta66633 жыл бұрын
Kwani wahisi wamkomoa naani ndugu yngu?kwani hujui kama halali iko waazi na haraamu iko waazi?Allah akuongoze Aamin
@adamhashim33523 жыл бұрын
@@khalfanikimanta6663 leta uharamu wa maulid kwa ushahid
@ummua50063 жыл бұрын
Wewe ndio vumilia maulid ni bidaa ukikubali ukibisha.