JE MUHAMMAD ALITABILIWA KUA MTUME KATIKA VITABU

  Рет қаралды 20,274

BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

Күн бұрын

Пікірлер: 70
@petromachanga29
@petromachanga29 5 жыл бұрын
Hamisi kulola mungu wa mhamadi ni Allah. Mungu wa manabii wa bibilia ni yehova
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 жыл бұрын
Mafundisho mabaya hulevyà akili waisilamu wamelevya na mafundisho mabaya
@hermanemmanuel1953
@hermanemmanuel1953 4 жыл бұрын
HALELUYAAAAA SIFA NI ZA BWANA WETU YESU KRISTO HALELUYA AMINA.
@chanokhchannel2590
@chanokhchannel2590 3 жыл бұрын
Kazi nzuri wainjilisti,kunielimisha Biblia Sana
@festusgwota2998
@festusgwota2998 6 жыл бұрын
Huyo mwl wa kiislam Ni pasua kichwa,amezidiwa na hoja,Kama Kuna mwenzake aokoe jahazi.
@abcdg1995
@abcdg1995 4 жыл бұрын
Mad respect lov folks watching from Diaspora U.S.
@yusuphjamal6844
@yusuphjamal6844 4 жыл бұрын
Nyie wajanja sana mnakata majib wanayowapa ma sheikh
@newlightmoviesproduction3598
@newlightmoviesproduction3598 2 жыл бұрын
Weslam mnashangaza kweli mshindwe on might name of Jesus christ.
@thxzbst49cnh80
@thxzbst49cnh80 5 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi kwa kazi nzuri
@jemimanekesa2782
@jemimanekesa2782 2 жыл бұрын
Mungu awapiganie watumishi
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
John 16:12 John 14:16 ufunuo 19:11 isaya 23:11-13 isaya 29:12 isaya 42:1 song of Solomon 5:16
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👌👌👌👌👌asanteee waislam ludini kwa yesu tuuuu Ona wanavyo tetemeka
@DavisWangodi
@DavisWangodi 5 жыл бұрын
Waislam natarajia mnaona waalimu wenu vile wanahepa maswali...
@janek9103
@janek9103 6 жыл бұрын
Kumbe vipofu ni wengi.saidiya baba ufunguwe watu wako macho na masikiyo ya kimwili na kiroho
@DavisWangodi
@DavisWangodi 5 жыл бұрын
Waislam hawaezi jibu swali... Wapi Muhammed alitairiwa kama vile sheria ?? Hio hawajajibu
@rapafata1108
@rapafata1108 6 жыл бұрын
Mashekh si kila kitu mnaweza jibu. Vingine nyie hamjui
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 4 жыл бұрын
Nyuma ya yesu kuna mitume wawili wamevainika kuna wauongo ndio paulo na kuna wakweli ndio MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio yesu ameondoka anakusudiya uyo ungine paulo kadomatu sana nakufanya mikusaniko nakubadili maneno ya mungu nakujipa utume nakumufanya nabi isa MUNGU yeye paulo awe MUTUME. Nayeye yeye paulo njo kasema yesu kafa musalabani yesu hakufa musalabani wala hawakumuuwa alikwenda fasi Allah kabadilisha matakwa yawaliyotaka kumuuwa yesu yesu alibakihayi nyumasikutatu kapaishwa watu wameshakufuru someni kitabo kisiokuwa nadhaka ni coroani acana na izo vitabo vya wazungu namikusanyiko yakujipa utakatifu yesu alipaishwa muzimamuzima na atarudiswhwa na Allah ili aje watu awaukumiye kukoseya yesu yupo namamulaka yakuwahukumu watu wazima nawene wameshakufa kwamana nyuma yayesu kilamutu atajuwa kweli na atasali nawaisilamu na badalayahapo njo atakufa namakanisa hayatokuwepo tena na kiyama kitakua kinaanza sasa yesu ni dalili kubwa mudalili kubwa zinazozungumuzwa katika coroan ninyingi kubwa akiwamo yesu sisi waisilamu ndio tunamujuwa yesu nini kwelikweli sio kumuita binadamu ati ni MUNGU mungu niyule aliye muumba yesu na ni yule yesu alikua akiomba kuna MUNGU na kuna yesu yesu Alla alimupa tu uwezo wakufanya miujiza ka yake si Mungu yesu ombeni mungu ambaye yesu na manabi wengine walikuwa wakitegemzya na kuomba sio kudanganya watu na maneno ya paulo maana paulo kiboko yake ni MUTUME MUHAMMADI S.A.W paulo maneno mengi muongo wala hajatumwa na maneno yake mengi hatana mazingatiyo wala akili.kwa hiyo ukiwa unamuamini mungu na ukawa na akili kweli huwezi fundishwa ao kusomewa coroan ukakosa kusilimu ao kuzingatiya.
@mrumbihamadi5601
@mrumbihamadi5601 2 жыл бұрын
Bibilia huwezi pata jina Muhamad nikitabu kilichoandikwa Kwa utashi angalia dibaji utaona walivyochagua jina gani liandikwe
@DavisWangodi
@DavisWangodi 5 жыл бұрын
Hio mathayo 12:7 ati rehema ndo utabiri wa Muhammed?????? Hihihihi am done😂😂😂
@urbanstranger8840
@urbanstranger8840 2 жыл бұрын
Mtume alitabiliwa katika bibilia ila kama false phrophet😂😂😂😂😂
@mohammedzyenhassan1401
@mohammedzyenhassan1401 5 жыл бұрын
Potezeni wakristo Kanisani Onyango bado Elimu yko ni chache!!!!
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
inalillah wainaillah rajiun Quran 3:67 Ibrahim hakuwa myahudi wala mkristo bali alikuwa muislamu tena mnyenyekevu.
@evalineakuku590
@evalineakuku590 5 жыл бұрын
hamisi kulola hakuna nabii aliye kuwa muislamu toka mwanzo kuran imekuja nyuma kabla ibrahim kuzaliwaa yesu alikuweko
@Mhandisi2008
@Mhandisi2008 5 жыл бұрын
Muislam wa kwanza ni mohamad
@paulocharo7780
@paulocharo7780 4 жыл бұрын
Ibrahim si muislamu wala hakukanyaga ndani ya musikitini musikitini.
@DavisWangodi
@DavisWangodi 5 жыл бұрын
Muhammad mtume wa yesu Basi😂😂
@slimslim7819
@slimslim7819 5 жыл бұрын
Ukweli Hao Wote wawili Niwa Dini Moja Ni Mchezo tu wakupangwa Kuwadanganya Watu
@yohanamwamkili4397
@yohanamwamkili4397 3 жыл бұрын
Huna akili
@nyerere0056
@nyerere0056 5 жыл бұрын
Msomaji mbona unagana gana
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 3 жыл бұрын
Unajua mi huwa naona jinsi hawa waisilamu wanatoa maandishi nakuyatumia vibaya kupotosha watu kuwatoa ni ngumu maana shetani na majini yamewaingia
@lenjeevara3407
@lenjeevara3407 6 жыл бұрын
pwaaaaaaaaaaaaa
@myself4128
@myself4128 6 жыл бұрын
Biblia sio kitabu cha kukariri kama quraan! Bila roho wa Mungu huwezi kuilewa na biblia inasema tunaelewa nusu tu!!! Halafu leo unaona hao wahadhiri wa kiislamu wanapayuka utadhani wanaelewa wanachokiongea kisa wamekariri mistari mitatu ya biblia!
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 жыл бұрын
Huyu muislamu naona atabatiswa baada ya mdahalo
@mohammedzyenhassan1401
@mohammedzyenhassan1401 5 жыл бұрын
Pelekeni kelele Kanisani
@savege-zh8yk
@savege-zh8yk 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana ila Quran imekuja myaka +600 nyuma ya Yesu Kristo na myaka +60000 nyuma ya Bible
@yusarjunkhanna4100
@yusarjunkhanna4100 4 жыл бұрын
Letee andikoo, ukitaka kujua chimbuko la ukristo njoo unitafutee nitakufunzaa, Yesu hajui hiyo dinii Inaitwa ukristo
@nancynafula5477
@nancynafula5477 6 жыл бұрын
hky mimi sijui nifanye nini bcoz I don't want to go hell God help Christian or Muslim
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Only Jesus
@simonmakanjila5700
@simonmakanjila5700 5 жыл бұрын
Kupita yesu tu
@richardyomo7307
@richardyomo7307 5 жыл бұрын
Mjadala Ni mzuri lakini mnaongea bila utaratibu
@bidafumbuka855
@bidafumbuka855 6 жыл бұрын
Waislam mnafakamia biblia huku kurani yenyewe mnashinda nayo na bado hamjaijua kama kurani yawashinda Biblia mtaiweza wapi??
@DavisWangodi
@DavisWangodi 5 жыл бұрын
Sasa Ishmael pia ni Muhammed??? Mmezidi sasa
@halfaniland3850
@halfaniland3850 4 жыл бұрын
Wakristo Shida
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 3 жыл бұрын
Quran , n ktabu cha kukalili na co kuelewa
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
sheikh umemjibu vyema hiyo yohana 16:7-14 kwani kiswahili pia hamuelewi? yesu hana uwezo wa kutuma mtume yeyote
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Ila Ana uwez wa kufufua wafu na kusamehe zambi za wanadamu na Ana uwezo wa kufufuka na Ana uwezo wa kuludi duniani apa tena uyo ndo yesu
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
yani kuna mambo ya kusikitisha kwanza leteni biblia asili sio tafsiri
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
Galatians 4:21-28 kwani haya maandiko wakristo hamyaoni ama?
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Sasa kama ww unaona mtoto wa ajili ni muislm na mnamkubali.jee dini yenu inakubali mtoto wa nje ya ndoa si mnasema haramu vp uyo mtoto wa ajili sio haramu?waislam nyinyi bhana mnanifurahisha snaa mda mwingine😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
Iyo iyo galatia1 :6:9 soma iyo itakueleza imesemaje kuusu nyinyi mnao fata injili ingine mnamuacha yesu mmelaaniwa soma iyo
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
tulilaniwa na nani ?
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
@@hamisikulola8481 soma iyo iyo galatia 1 utapata kujua nani kawalaani
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
@@hamisikulola8481 na nakuuliza mnamkubali vp ismail wkt yule kazaliwa nje ya ndoa au yule sio haramu?😂😂😂😂😂😂😂makafiri mnajifunga wenyewe
@nyerere0056
@nyerere0056 5 жыл бұрын
Yesu nabii wawayahudi makabila 12 wala hawajui nyie
@masungwasalumu1278
@masungwasalumu1278 4 жыл бұрын
Na Muhamad ni mtume Wa waarabu tena Wa koreshi
@masungwasalumu1278
@masungwasalumu1278 4 жыл бұрын
Na Muhamad ni mtume Wa waarabu tena Wa koreshi
@yusarjunkhanna4100
@yusarjunkhanna4100 4 жыл бұрын
@@masungwasalumu1278 ulisoma wapii, usiongee kwa maneno utalaaniwa buree, si babako huyo unayeshindana naye
@yohanamwamkili4397
@yohanamwamkili4397 3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 yan alaaniwe kisa kumtaja yule mwarabu? Ebu kwenda ukoo
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 4 жыл бұрын
Na Allah kashasema kitambo mitume wote wake ni ndugu ata kama hawacangiyi wazazi.munataka nini tena ili muelewe coroan? Sikitabo cakutungwa navinadamu kama ico ca paulo amekuta kitabo kipo sawa akabadili yeye na mayahudi nyinyi ico kitabo cenu ukitowa maneno ya paulo yote nikisafi ila vikicanganya kitawapoteza aca ofisadi na ukafiri huwezi kumuweza muisilamu ambaye yeye yupo na kweli na wewe uko na uongo ata ma pape wanajuwa nakusema hawana kweli na dini ya kikirisu wanasema kilasiku kuwa hawana haki na dini ya kikirisu iyo si dini ya MUNGU kweli wala yesu wala nabi yoyote hakuna aliyesalia izo dini zenu zakisazi.eti yesu MUNGU ??? Nyinyinyi aceni kupenda pesa unapewa pesa ili ubaki unahakikisha uongo? Na kesho akheira utakwenda kuulizwa maneno ya paulo yatakupotezeni nakuwatupeni motoni juweni kutafautisha kitu na kingine haki imeshafika
@yohanamwamkili4397
@yohanamwamkili4397 3 жыл бұрын
Umesoma kuandika uzeeni ndio maana hujui kuandika kama...... then unaongea utadhan ww msaidizi wa Mungu. Una mambo ya ajabu ww yan mtu akitetea dini yake ni anapenda pesa, ila nyie mkitetea dini yenu si sababu ya pesa? What a selfish mind, hio akhera unavyo iongea utadhan ww utakua kwenye panel ya majaji kumbe nawe moton, mnajifanya kuijua sana jehanam utadhan ulienda ukarudi, mue ja aibu mda mwingine, kazi kujihesabia haki kaz kujifanya watakatifu utadhan hampo dunian. Fanya jitihada kumtafuta Mungu na sio kujufanya jaji wa binadam wenzio
@mbesinghabi1994
@mbesinghabi1994 6 жыл бұрын
Mathayo 12:30-31
@thxzbst49cnh80
@thxzbst49cnh80 5 жыл бұрын
Waislamu bwana!hamjui Biblia wala hamtoijua.Eti Yesu aliongea hivyo kwa ajili ya Mohammed?huo ni ujinga wa hali ya juu
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
wacha uongo uchawi ulianzia kwa mayahudi wakati wa nabii Suleiman
@janekwahada580
@janekwahada580 5 жыл бұрын
This people they just look book in the Bible that it's the same with Quan but no any answer talking too much but no answer
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 4 жыл бұрын
Uyo kafiri anasumbuwa kweli Allah ameshasema mitume wake wote niwaisilamu na yesu ni MUTUME unangoja nini kuelewa nakuzungushana ivo??? Yesu ni mutume wa MUNGU na wenginewo na mitume wote niwaisilamu Allah kasema sasa wewe towa andiko yesu anasema mimi ni mukiriu wala MUNGU aliyeumba bila kauli ya paulo iseme iyo haya nyinyi niwa kirisu nyinyi vip???? Ata ma pape wanazidi kusema hawana uhakika na dini zakikirisu sasa dini sio kujicaguliya vile kama kwenda sokoni nakuemeya unacokitaka dini nikufata maamurisho ya Allah sio kujipa jipa vile kama vyako dini niya mungu nani moja ya uisilamu tangu Adam mpaka lasta prophet mutume MUHAMADI S.A.W. UYO UNGINE AJULIKANI NANDOMANA KAFA KWA NJIA YA LAANA KAMA GISI VITABO VYAO VYASEMA YEYZ KATUNGIKA NABI WA ALLAH MANENO ATI ALIKUFA KWA KUSULUBIWA NAYEYE YEYE UYO MUSALABA HAUKUMUACA SALAMA KWA HIYO ALLAH KAONESGA MALIPO NI HAPA DUNIYANI IVI NYINYI NIWATU HAINA GANI KUKUFURU KILA MARA ATI YESU NI MUNGU HAMUNA AKILI WAKRISTO WOTE.MUNGU HAJAWAYI ONEKANA YESU KAISHINAWATU NAKUONEKANA YESU MUISILAMU NA AKIJA ATASALI KIISILAMU ACENI KUMUZONGISHIA ATAWASHITAKI KWA ALLAH
@Eeva-q6h
@Eeva-q6h 25 күн бұрын
Wapi pameandikwa kwamba nitumie wote ni waisilamu na wapi mungu kasema yesu ni mtume usiongee kwa kukalilishwa ongea kwa kuaoma kitabu
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 5 жыл бұрын
wacha kupindua aya wewe kafiri neno "nasi " halimaanishi watu mungu anatumia wingi kujiashiria kasome implementle Bible. hivi ndio mwasema mwajua elimu?
NAKURU WAISLAMU WASHINDWA KUTETEA MTUME MUHAMMAD
55:22
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 17 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН
Muhadhara kakara kukuru ujumbe wafika kisawasawa kumeeleweka
1:01:17
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 4,5 М.
UPI MUNGU WA KWELI KATI YA ALLAH NA BWANA YESU . NEXT PART WITH QUESTIONS
1:02:45
Je? TUAMINI Nani? Kati ya Muhammad Na Bwana Yesu.
23:44
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 29 М.
VTS 01 3
45:34
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 34 М.
MDAHALO KATI YA WAKRISTO NA WAISLAMU MUJINI KISUMU MADA MSALABA
56:27
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 49 М.
SHERIA ZA MUNGU HAZIWEZI KUISHA - MWALIMU FRANCIS NDACHA NAKURU
1:29:16
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 98 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН