Рет қаралды 18,620
Kweli majira ya saa kumi alasiri tulifika nyumbani tukaingia ndani ambapo tuliwakuta wameketi sebuleni huku wakiwa
wanazungumza mada zao binafsi. Tuliwasalimia na kwa bahati nzuri walipokea vizuri tu salamu yangu jambo ambalo sikutegemea kama lingewezekana