Maneno ya Zainab yalinishtua sana ni kama kuna jambo alikuwa anahisi lipo ila hana uhakika. Kwahiyo alikuwa anataka kuthibitisha kutoka kwangu. Hata hivyo sikuwa tayari kumuambia ukweli. Pale pale nilipata uongo wa kumuambia
Пікірлер: 206
@fetreshazKhamisi3 ай бұрын
Woyooo kama ww familia ya Anko jay like na comment yko hp chini ❤❤🇴🇲🇴🇲
@mariam-yw3nn3 ай бұрын
Mtaninyima like ni mewahi
@ngashsam75867 күн бұрын
Chukua iyo like now inafanyia nini😂😂
@yalalakashindi45943 ай бұрын
Leo nimewahiwa niko wa kwanza naomba like wanafamilia wa Anko jay 😢😢😂
@@UmayyaNkya-ze3rikabsa mwaya tukae kwa kutulia tu😅😅😅
@Madameochu3 ай бұрын
Anko jay asante ilatunaomba na milele jamn
@Lucy-vp8pm3 ай бұрын
Wana ume wana ume kueni na huruma basi wana wake munatudhulumu kikweli akoj wambie waache tuna kupenda sana akoj kutupa simulizi nzuri pokea ❤❤❤❤❤nkiwa gulf
@MishyYusuph3 ай бұрын
Japo sijachelewa vile ila nimo, Ahsante sana Anko kwa muendelezo wetu huu mzuri wa simulizi yetu, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
@emathumani29013 ай бұрын
Vipenzi vya anko jay tupooo❤❤
@zaliafakilavire56893 ай бұрын
Anko j naomba utuletee simulizi ya milele sehem ya nne
@AngellaNdambuki3 ай бұрын
Wakwanza mie❤❤❤❤❤
@aumuelly29093 ай бұрын
Sina lakusema kwa uzuri wa usimulizi ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤❤
@Martha-uu9mb3 ай бұрын
Hatimae nimechukua 🎧🪑🛖najienjoy mdogomdogo❤❤ 🇰🇪
@tumainikweka19593 ай бұрын
Dah! Anko j uko vizuri sana kaka mimi ni mshabiki wako sana haswa similizi ya binti lisa 💪💪💯💯
@sephrinewarenga27453 ай бұрын
Kazi nzuri kaka,from Kenya much love.
@NeemaJoseph-q7d3 ай бұрын
Jaman ank 2malizie Milele please
@matronapuka3 ай бұрын
Ayaaaaa 💃💃💃💃💃 kwa simulizi taam na sauti nzuri sanaaa❤❤❤❤ like zenu wapendwa msipite hivihivi tungaliane
@shazimna3 ай бұрын
lak zenu niwahi
@Shadia5443 ай бұрын
Nilikuwa naisubili hapa kila muda nachungulia haya hiyo JELA YA MAPENZI ILI TUJUWE ITAKUWAJE ✌️✌️✌️
@roserosef12613 ай бұрын
Nami nmekua wa kwanza leo jamani likes
@WardatAbubakar3 ай бұрын
Nice one story ❤
@salmadavid-e2j3 ай бұрын
Yan ktkt suna zote wanaume wameona ni suna ya kuongeza mke tu hakika.mungu anawaona😢😢😢
@SummymaddyMaddy3 ай бұрын
Kutusaidia kazi za ndani ubwege na kati pia sunaa nzur pia
@godsfavour56653 ай бұрын
Mwanaume kama hana hela ni muaminifu sana ngoja apate hiyo hela wueeee atahanya hadi ushangae
@FatmaHassankhamisi3 ай бұрын
Asante anko jey 🪑🪑🪑🎧🎧🎧 tulisubiri Kwa hamu ❤❤❤
@AishaAljadidi3 ай бұрын
Hatimae anko jy umetuleteya❤❤❤❤🇴🇲🇴🇲
@CeciliaChuwa-q2k3 ай бұрын
Jamani mnawahi jelaaa
@annociatenyandwi62513 ай бұрын
Jela ya mapenzi tunasonganayo❤❤
@LyidiaSilayo3 ай бұрын
NAMI nimewahi kiasi 🎉🎉🎉🎉❤❤
@binthassan91913 ай бұрын
Nimechelewa lakini nimefika ❤❤😅😅
@GharshanLila3 ай бұрын
Wooyoooooo kitu roho inapenda
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
😂😂 ukweli ni kwamba,penzi haligawanyiki jamani piga, ua, galagaza😂😂
@MelisaSelena3 ай бұрын
Na huo ndooo ukweri mtupu
@KhadijaKassim-k8d3 ай бұрын
Nimewahi like zenu tafadhali. Asante sana ankojay Allah akulipe kheri Inshaallah ❤❤❤❤
@nuriatqueen55753 ай бұрын
jamani simulizi mzuri ankojay asante kwa muendelezo wa simulizi ya Jela ya mapenzi 🤗🧡🎉🎉
@reachelchemtai26043 ай бұрын
Kukosa heshima kwa wazizi utabarikiwa asente anko jay
@alicesidi95743 ай бұрын
❤️❤️❤️ anko jay
@RehemasiryaKabahasha3 ай бұрын
Hio ni kazi ya yule mama wa kambo alijua akileta huyo mwanamke mrembo kwa ofisi rama ataingia kwa mtego ili ndoa yake iharibike😢😢
@Sumaiya-h7m1p3 ай бұрын
Kabisa 💯
@MelisaSelena3 ай бұрын
Upo makini xana.
@NancyMmbone-gh9kg3 ай бұрын
Ni maoni2 hatumaa Nishi,,hatuna ubaya 💖💖🇰🇪🇰🇪
@MerryBenth3 ай бұрын
🤔 hakik mungu ndie aliwaogoza 🌹❤️❤️
@christinemwendejuma44013 ай бұрын
❤❤❤❤
@GoodluckMchome-e6n3 ай бұрын
Tupo pamojaa
@doreenkhendi3 ай бұрын
Hawa viumbe wanaitwa wanaume aisee si wakuaminiwa
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
Kabisa simwamini mwanaume hata nishikiwe mtutu wa bunduki
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
Sitakaa nifanye kitu Kwaajili ya faida ya mwanaume maana siku akikupiga matukio utaumia utatamani siku zirudi nyuma
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
Labda nimsaidie kama mtu yeyote kwenye shida
@agnesagnes52883 ай бұрын
NDO MAANA NAWACHUKIA WANAUME AISEE 😢😢😢😢 NIKIKUMBUKA M2 WANGU ALIKUA NA MANENO MATAMU KUMBE ANATEMBEA SIZ ANGU BILA KUJUA☹☹☹ HERI SINGLE AISE😂😂😂
@TeklaNdekeja3 ай бұрын
Inauma Sana Yani rama kasaindiwa maisha lakni anaripa hayo
@TabuKirumbi3 ай бұрын
Hao ndio wanaumee kikubwa kuwa na msimamo na kufanya maamuzi magumu ili heshima yako idumu
@Kellyperry9473 ай бұрын
ᴾᵒˡᵉ ᵐᵃᵃ ᵏᵃʳⁱᵇᵘ ᵏʷᵃ ᵍʳᵒᵘᵖ ˡᵃ ˢⁱⁿᵍˡᵉ😢😢😢
@DorcasMuomba-gd3sw3 ай бұрын
@@TeklaNdekejamalipo yote nihapa hapa duniani
@DorcasMuomba-gd3sw3 ай бұрын
Nikweli bora kuwa single kuliko kuishi na mume mnafiki asiye kuwa nashukrani Tena msaliti
@fatimafoaani2263Ай бұрын
Good job ubarikiwe sana kaka yetu ankooooo Jay,ila wanaume khaaa!
@bijouxbigaya21163 ай бұрын
Sawa
@WinniePretty-t1v3 ай бұрын
Ramadan hakujua kama mama mkwe wa kambo alimutega loooh akaingia mtegoni pasipo jua wanaume hawaminiki
@doreenkhendi3 ай бұрын
Jameni Ako tumalisie milele part 4
@RahimaHamisi-z3i3 ай бұрын
❤❤❤ Mvumilivu hula mbivu asante ankojay
@rayfasaid78733 ай бұрын
Wanaume waudhi sana ase
@JulianaYusto3 ай бұрын
Jaman wakwanza nipen maua yangu
@rizikibakari35983 ай бұрын
Thanks Ankojay wetu ❤️
@EvaemmanuelMondea3 ай бұрын
Bona milele humalizii jaman au tunaipataje
@MarimGodifrey3 ай бұрын
Pole sana zainabu ndio mitihani ya ndoa na majaribu
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Hee,we mama,huyo anaishi kwa akili zake siyo hisani bibi wewe😂😂😂
@Mupawarda-gj9qo3 ай бұрын
Nice❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@akothsewe7343 ай бұрын
Haki naskia raha kuskia vile ma injinia wanapewa sifa kwa sababu bwanangu pia ni injinia hodari huku ujerumani❤😂 Asante sana Anko J... Sasa hivi namtranslatia unasema nini kuhusu migodini😅😅😅 lots of love from Germany❤❤❤
@puritykananu99203 ай бұрын
Hebu sikizeni nyie wanawake akuna mwanaume wa mke mmoja awe mukiristo au muislam nakama yupo anajifanya tu,,jipeni moyo mjue unashare na mwingine ivo tu.
@zawadiseif3 ай бұрын
Kweli kabsa
@najatakajumulo92923 ай бұрын
True
@alineumutoniwase96673 ай бұрын
Hello anko jay mimi penda sana sa wutiyako sana
@Kellyperry9473 ай бұрын
ᵂᵃᵏᵘᵘ ʷᵃᵐʷᵉˢʰᵒ ᵗᵘᵏᵃᵉ ʷᵃᵖⁱ😊😊
@jokhajj3 ай бұрын
Wanaume so watu wakuwaamin aise😂
@MelisaSelena3 ай бұрын
Wale hawanaga shukukulani mbn.
@jokhajj3 ай бұрын
Kwakwel
@mariamjumbe86273 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@honestywaukweli16393 ай бұрын
Simulizi nzuri sana
@FatumaHamisi-sr6yj3 ай бұрын
🪑🎧👏👏👏👏 nzuri sana
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Mh,mtoto mchanga hivyo utajuaje kama anafanana na nani?ni wachache sana wanaoonekana kufanana na wazazi wao
@ThurayaAlsuwedi3 ай бұрын
Plz ankojay natumai uko salama simulizi mzuri hio sana ya jela ya mapenzi natumai tutapata sehemu ya 4 Kwa ham kubwa asanti
Jmn mumecomment but hakuna views 🤣🤣nyie nomaa haya bwana
@JamilahDilunga3 ай бұрын
Nikiisikiriza hii simulizi nasikia hasira wanaume uwa awanaga shukurani simpendi rama
@FadhilunMohamed-je8en3 ай бұрын
Mbona hii haiuzwi? Sio sawa wote ni wako unatukosea sana kutubania simulizi za Dada Lisa sio vzr
@ROSEROBERTROBART3 ай бұрын
Utasema sana hio itauzwa mpaka the end au sio,wacha atubanie itaisha tu,wacha tuipe mda 😂😂😂😂
@judikadzo87123 ай бұрын
Thanks ankojay mapesa 🥰🥰
@UmayyaNkya-ze3ri3 ай бұрын
Wanaume jmniii nyoko hivi mnatakaga nn surely 😢
@nuriatqueen55753 ай бұрын
Next episode please 🤗🎉🇬🇧🇬🇧
@medinahsamita39813 ай бұрын
Kwa kweli wanaume wanamapungu nguvu
@TeklaNdekeja3 ай бұрын
Kweli haita pungua takwim ya singo mama kila itapo leo
@hdhjdh7753 ай бұрын
@@TeklaNdekeja😂😂😂Pamela Pamela kakomet hala 😂😂😂😂
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
@@hdhjdh775Ee huyo timu pamela😂
@FadhilaJumanne-l8k3 ай бұрын
Kuna mkasa nilisikiliza unasema wanaume mammbwa nimetambua maana yake
@Sumaiya-h7m1p3 ай бұрын
I seeeeee wanaume mnamoto wenu tena wa pekeeeeee 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@HopefulGuitarAmp-si9gi3 ай бұрын
Nakubari kaka Rama❤❤❤
@winnygilbert63183 ай бұрын
Nimewahi leo😂
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Mhmm,huyo Zamra aliyeletwa na mamamkwe wake huyo kisirani kabisa,hilo ni pandikizi la balaa lililoletwa ndani ya familia hiyo,ngoja tuone itakuwaje
@EdithaJoseph-zt2xu3 ай бұрын
Kabisaaaa
@PendoRite3 ай бұрын
Yaani wanaume Aliokotwa hana ata chupi ya pili leo anasaliti Nikumuacha kama kama ulivyomta tuu
@josephineuwizeye82503 ай бұрын
RAMA pamoja na hayo hauna shukrani.
@ashaabdalla9243 ай бұрын
Hawa wanaume ukiwasaidia ndio wanakuwa mbwa hawa bora usimsaidie wala usitoe chako kumpa labda awe anatoa yeye ukimpa kidogo sana ili akibadilika kuwa mnyama usiumie siwapendi hawa wanaoitwa wanaume
@FaithPeter-j4w3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aminanimbona18613 ай бұрын
Wew mwanaume hufadhiliki kwa kweli
@MwanatumuJumaa-rj4fgАй бұрын
Ila mbona kika mmoja analaani Rama kisa kusaidiwa na zeinab ...kumbukeni pia yye kuwekwa kwenye mtego bila kujuwa kanasa.na sheria inamruhusu kubwa wake 2 .kikubwa maelewano tu hapo
@ZaiZainabu-o4p3 ай бұрын
Mi wakwanza kwakuwacukia wanaume 😂napenda simulizi za Ancojey kuliko wanaume😂Ancojey mung akupe maisha malefu
@syliviamurondoro46903 ай бұрын
Ankoni simulizi hii ni tamu ukisikiliza duuuh nilitamani iendeleee.
@AnastasiaKilonzi3 ай бұрын
Mzee unalasimisha kweli
@RoseMbuya-cn5dg3 ай бұрын
Wadau nimefika hewani like nitapata ataa tano Tu,❤🎉
@Babyfaty-m3y3 ай бұрын
Asosikia la mkuu huvunjika guu ndo ramlaa sas
@lucyjohn13423 ай бұрын
🤗
@GraceDavid-nq4zc3 ай бұрын
ila anko j unatufanyia makusud kutuletea simuliz ya milele
@NeemaKwayu-g5m2 ай бұрын
Yan hawa ndomana wanapewaga limbwata na hata kulogwa fyuuu😏
@DamariJohn3 ай бұрын
Leo wa 40 naombeni like zenu ❤❤
@periswairimu25453 ай бұрын
Mkaka ovyo maneno matamu ila daah yani wanaume dada zangu msiwekee moyoni ikiwezekana wawekwe makwapani
@MelisaSelena3 ай бұрын
Nalo neno.
@RahabuKal3 ай бұрын
NIU seni uyo😮
@bahatimwachepha99023 ай бұрын
Aky kuwa singular
@paulsadick-wt9rx3 ай бұрын
Atariiiiiiii
@avelinabaluhya28043 ай бұрын
Rama,si angeacha fedha za kutosha kwa mchepuko na aende kupeleka mgonjwa tu,shida ni nini?
@ChristineOresha3 ай бұрын
Imagine kumbuka wewe bwana wee mke wako wa kwanza mahali amekutoa haijalishi eti wewe ni mwislamu eti lazima uoe bibi mwingine wajameni 😢