JEMEDARI "TATIZO LA SIMBA LIMEANZIA KWA MO MWENYEWE" AFUNGUKA MAZITO JUU YA KINACHOENDELEA SIMBA

  Рет қаралды 18,203

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 21
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 4 ай бұрын
The true man ,the freeman
@iluvjesus313
@iluvjesus313 4 ай бұрын
Huyu jamaa mimi namfahamu tokea anasoma sekondari.. Kwanza alikuwa jirani yangu Mtwara, jamaa mpira alikuwa anaujua shida kipindi chake kilikuwa na mastaa wengi.. Jiulize jambo moja, anaitwa timu ya taifa ya Tanzania lakini timu hiyohiyo ina watu kama lunyamila,masha,saidi mwamba,mteze john n.k Waulizeni wakina julio au matola wanamjua Tatizo lake tokea udogo wake ambalo wengi linawasumbua ni Kwanza ana misimamo ya kimakonde iliyochanganyika na ubishi ambao umechanganyika na ufahamu wake wa vitu vingi vya mpira,elimu aliyonayo Sasa watu wengi huwa wanapenda kubishana bila kufanya utafiti matokeo yake wakimsikia wanamuona mjuaji
@allyrembo6714
@allyrembo6714 4 ай бұрын
Huyu ni mchambuzi matako hao wamaomuunga mkono ni genge la wahuni wanao shindwa kulisha familia zao sasa wanataka Mo aondoke ili watawale wao
@abbasisudi6899
@abbasisudi6899 4 ай бұрын
Jemedar ndo mchambuz bora kuliko wote nchi ,toa hoja hana upande km wengine badala ya mpira wanaongelea mapenz ya tim zao
@LinusKyando
@LinusKyando 4 ай бұрын
HUYU NI MCHAMBUZI KENGE KULIKO WOTE,FIKIRIA UBORA WA KUONGOZA YANGA WA KINA HERS NA WENZIE ALIWAITA WAHUNI
@kedmonmpangala2294
@kedmonmpangala2294 4 ай бұрын
Hili chambuzi jinga tu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Huyu mjamaa mkweli na anamsimamo shida sasa kwakua washabiki wengi wa mpira ni wameingia kushangilia mpira ghafla ndo Hua hawamuelewi akiwasema yanga mishabiki inasema huyu mamluki haya Leo anawachana simba Kuna mijitu nayo italaumu shida tz watu kuambiwa ukweli Hua hawataki kuanzia kwenye mipira hadi siasa.
@ursulinenyandindi3051
@ursulinenyandindi3051 4 ай бұрын
Amna anaisemaga sana yanga peke yake na sio kosa. Content ya soka bongo ni lazma ulalie upande mmoja ili watu wakasirike waje kwenye coments upate kijiji chako. Hiyo ni mbinu ya wengi, ukibalance unaonekana huna jipya. Ukishaelewa hawa jamaa wala hutaabiki.
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 4 ай бұрын
Huyu hajawahi kuongea ukweli,,, ni chuki tu imemjaa.. Na leo unavoona ivi anaiponda simba.. Ni kwa sababu hana cha kuisifia,,, ameanguka chali
@MeksonyJoseph
@MeksonyJoseph 4 ай бұрын
Alisema yanga ita chezea kichaapo kwa mamelodi ..tena kwa uhakika
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
@@ursulinenyandindi3051 ndo mana tujuane mpira mean mmeanza fatilia Jana au juzi manara akiwa msemaji wa simba akiwahi Sema huyo anaisakama sana simba na washabiki wasimba wamchukulie huyo ni adui wa simba, na akawaaminisha watu kuwa huyo ni yanga na anachuki na simba .sasa hiyo sjui ikoje kinachomponza huyo ni kuwa huru komkosoa yoyote kitu ambacho kwetu Hua hatukubali.
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
@@MeksonyJoseph yanga ilimfunga mamelodi sasa
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 4 ай бұрын
Sio kizazi hichi cha karibuni ni kizazi chote tangu mpira uundwe Tanzania
@LinusKyando
@LinusKyando 4 ай бұрын
JEMEDARI SAIDI NI SIMBA BAADALA YA KUSAIDIA SIMBA IFANYE VIZURI KWA KUIKOSOA NAMNA HII UNATUMIA MUDA MWINGI KUIPONDA YANGA YENYE MAFANIKIO HUKO NI KUFERI SANA,NA KINACHOENDELEA SIMBA NI SABABU YAKO PIA
@mubaraalichiku6089
@mubaraalichiku6089 4 ай бұрын
Mchambuaji mchongo pumbavu nilishasema huyo Jem ni msenge 😂😂
@warrenkilimber4013
@warrenkilimber4013 4 ай бұрын
Kabisa jitu la hovyo sana hili
@collinndabi1914
@collinndabi1914 4 ай бұрын
Muongo sana uyu jamaa we kila kitu umefanya duuh
@godfrey3926
@godfrey3926 4 ай бұрын
Watu kama wewe unayejiita Jemadari ulikuwa wapi miaka yoooote mpaka sasa ndio unajali..Mo Dewji na familia wana moyo wa kweli Simba na wametumia pesa ambazo hatuwezi kama kuanza kuzihesabu..Wewe hapo una uwezo gani wa kuwalipa wachezaji.Simba kama timu tunahitaji wawekezaji kama Dewji na watu kama wewe Jemadari mnatafuta kiki za nini.Walioharibu timu ni hawa viongozi waliomfukuza Barbara ili waendelee kuiba pesa za usajili.Hawa ndio unatakiwa kuwaongelea, sio Dewji..Wajinga sana nyie
🔴LIVE:JANA NA LEO NDANI YA WASAFI FM - 28-10-2024
28:45
Wasafi Media
Рет қаралды 3,1 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 16 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 63 МЛН
Mo Akasilika na kinachoendelea Simba
15:01
Dira Mpya Tv
Рет қаралды 17
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MANGUNGU, SIMBA INAANGAMIAAA! MASHABIKI TUNAUMIA
20:23
УРОВЕНЬ ЕГО ПОНТОВ ЗАШКАЛИВАЕТ! #shorts
0:51
Whatever You Land On, Bicycle Kick! 🚲⚽️😂
0:27
Ben Nuttall
Рет қаралды 1,9 МЛН
Michiel ☠#shorts
0:14
ALİŞ
Рет қаралды 12 МЛН
Attacking more & more strong on my sis
0:15
David Seybering
Рет қаралды 18 МЛН